Sunday, 13 July 2025

PICHANI BIDHAA ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA


 Kama inavyoonekana Pichani Jiko linalotumia mkaa mbadala  pamoja na mkaa wennyewe mbadala kwenye viwanja vya sabasaba  maonyesho  jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

TIRDO YAJA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA


 Devid Langa Afisa Uhusiano  na Mawasiliano TIRDO  amesema wanatebgeneza na kupima majiko yanayotumia nishati mbadala vile vile TIRDO  inatoa mafunzo ya namna ya kutengeneza mkaa mbadala .,Mkaa huu auchafui mazingira kwani nishati yake ya kupikia ni safi na salama .

TIRDO imetoa mafunzo kwenye mikoa 12 juu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia pia  kwa upande mwingine TIRDO  inatoa mafunzo kwa watu wenye ulemavu wa aina zote  na kuwafanyia hatamizi amesema haya kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 yaliofanyika jijini dar es salaam .

Habari picha na Victoria Stanslaus 

WAZIRI MKUU ASIFU NA KUPONGEZA MAONYESHO YA SABASABA YA 49

 Majaliwa Kasimu Majaliwa  Waziri Mkuu wa Tanzania amesema maonyesho ya Sabasaba ya 49 ambayo yamefanyika  wilayani temeke jijini dar es salaam  yamekuwa yenye tija kwa Wajasiliamali,Wafanya biashara wadogo ,Wakati na Wakubwa kwani wameweza kutangaza bidhaa zao kitaifa na kimataifa pia wamepata masoko ndani ya nchi na nje ya nchi.

Waziri  Mkuu  Kasimu Majaliwa  amesema sekta ya utalii imetangazwa vyema kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 na yamepelekea kuvutia walii kuja kutaliina kuwekeza ,vile vile ameupongeza uongozi wa TANTRADE  chini ya Mkurugenzi Mkuu  Bi Latifa kwa ubunifu wake kwa kuyafanya maonyesho ya Sabasaba ya 49 kwa njia ya kidigitali .

Bi Latifa Muhamed  amepongezwa na Waziri  Mkuu  Majaliwa kasimu Majaliwa  Waziri Mkuu  wa tanzania kwa kuweka mifumo imala ya kiteknolojia kwa waombaji maeneo ya kufanyia biashara zao na kununua tiketi kwa njia ya mtandao  amesema haya wakati akifunga maonyesho ya Sabasaba ya 49 yaliofanyika wilayani temeke jijini dar es salaam  kuanzia tarehe 28 mwezi6 2025 na hatimae yamefungwa na Waziri Mkuu  Kasimu Majaliwa  tarehe 13 mwezi 7 mwaka 2025. 

Habari na Ally Thabit Mbungo 

TBA YAJA NA MIKAKATI MIZITO


  Martin Sayeli Afisa Mipango Idara ya Milki Wakala wa Majengo Nchini Tanzania (TBA) wanatekeleza kwa vitendo miradi yote ya ujenzi wa nyumba za serikali ambako nyumba hizi wanauziwa na kupangishiwa watumishi wa serikali na watu binausi .

TBA inajenga nyumba rafiki na wezeshi kwa makundi yote kwa watumishi wa serikali wanapangishwa nyumba kwa kiasi cha shiringi milioni moja  nawasio wa serikali milioni moja na laki tano . TBA  wameweka vutasa janja kwenye milango lengo ni kukabiliana na kuwadhibiti wapangaji ambao awalipi kodi.

Amesema haya kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 yanayofanyika wilaya ya temeke jijini dar es. 

Habari picha na Victoria Stanslaus. 

PICHANI BIDHAA ZA KAMPUNI YA TANFOAM

 

Kama Inavyoonekana Kitanda .Mito, Taulo ,Mito ya duara na Vishikizia miguu vyote vinapatikana kwenye TANFOAM  LIMITED  vilevile TANFOAM wana vitanda pamoja na magodoro ambayo ni rafiki kwa watu wenye changamoto ya uti wa mgongo .

Hivi vyote vinapatikana ndani ya viwanja vya Sabasaba kwenye banda la Karume kwenye maonyesho ya  Sabasaba ya 49 yanayofanyika wilaya ya temeke jijini dar es salaam. Pia wanapatikana kwa mawakala wao waliopo nchi nzima tanzania na kwenye maduka yao yote.

Habari picha na Ally Thabit 

TANFOAM YAJA KIVINGINE KWEMBE MAONYESHO YA SABASABA YA 49

 

Daniel Philipo Marko Afisa Mauzo wa Kampuni ya Tonfoam amesema kwenye maonyesho  ya Sabasaba  ya 49  kampuni yao imeleta bidhaa zenye ubora na zenye gharama nafuu kwa wateja wa jumla na lejaleja . Miongoni mwa bidhaa ambazo wamezileta kampuni ya  Tanfoam Magodoro,Vitanda,Taulo, Mito na Mashuka .

Afisa Mauzo amesema kulingana na msimu huu wa Sabasaba  kuna punguzo la bidhaa zao kwa asilimia 10  kuanzia tarehe 1 mwezi wa 7 2025 mpaka tarehè 31 mwezi wa 7 mwaka 2025.Kampuni hii ya Tanfoam ina miaka 55 tangu kuanzishwa ,Pia ina maduka yao binausi mfano Masaki,Vingunguti,Tegeta na ina mawakqla tanzania nzima  kanda ya Magharibi ,Nyanda za juu kusini,Kanda ya kaskazini,Kanda ya kati ,Kanda ya kati  na kanda ya Mashariki.

Licha Tanfoam  kufanya biashara vilevile inatoa fursa kwa watu kwa kuwaajili ama kujiajili wenyewe kwa kuwapa bidhaa zao kwa makubaliano ivyo ametoa rai kwa vijana na watu wengineo kutumia kampuni ya Tanfoam  ili wajikwamuwe kiuchumi na amewataka kutembelea viwanja vya Sabasaba kwenye  banda la Karume watakutana na watoa huduma wa kampuni ya  TANFOAM  ambako watawahudumia kwa uraisi.

Ametoa wito kwa watu kutumia bidhaa za  Tanfoam  kwani zina ubora amesema haya kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 ndani ya viwanja vya Sabasaba  wilayani  temeke jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit Mbungo. 

Saturday, 12 July 2025

PICHANI NI KAHAWA AINA YA ARABICA INAYOPATIKANA KWENYE CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOANI MARA WAMACU LIMITED


 Chama Kikuu cha Ushirika kutoka Mkoani MARA WAMACU COOPERATIVE UNION  LMT kama inavyoonekana pichani hii ni kahawa aina ya Arabica inayouzwa kwa bei rafiki kwa kila mtu. Hivyo ni vyema watu wafike ndani ya viwanja vya Sabasaba  kwenye maonyesho ya 49 kwenye banda la Wizara ya Kilimo wanunue kahawa hii aina ya Arabica kutoka mkoani mara .

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA KUTOKA MKOANI MARA WAMACU LIMITED CHAFICHUA SIRI NZITO KWENYE MAONYESHO YA SABASABA YA 49


 Olais Piniel Meneja Shughuri wa Chama Kikuu cha Ushirika kutoka Mkoani MARA WAMACU LIMITED   amesema ni muhimu watu kutumia kahawa aina ya Arabica  kwani miongoni mwa siri zilizojificha kuasaidia mtu kutopata kisukari steji ya pili ,kansa steji ya oili,kulinda maungio ya mguu,kibofu cha mkojo kutopata matatizo , kulinda Figo kutopata na magonjwa, na  inapunguza unene uliokithiri.

Ivyoamesema bei zao ni rafiki na nafuu kwa wateja wao na pia kahawa inawawezesha watu kupata ajira amesema haya kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 yanayofanyika jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

CHAMA CHA USHIRIKA CHA MARA COOPERATIVE UNION WAMACU LIMITED YAJITANGAZA KWENYE MAONYESHO YA SABASABA YA 49 JIJINI DAR ES SALAAM


 Alfred Msajigwa Afisa Tehama Chama Kikuu cha Ushirika kutoka Mkoani MARA WAMACU LIMITED  amesema wao ni mara  ya kwanza kushiriki kwenye maonyesho ya Sabasaba  yanayofanyika wilaya ya temeke jijini dar es salaam  licha ya ugeni wao wamepata faida ya kujitangaza na kupata masoko ya kitaifa na kimataifa  ambako nchi ya Bulgaria,Ukraine  na Rashia. 

Kahawa yao aina ya Arabika ina ubora ivyo wanawataka watanzania na wasio watanzania kutumia kahawa yao aina ya Arabika . Chama kikuu cha Wakulima Mkoani MARA WAMACU LIMITED  itafanya ka'i ya kufungua masoko jijini dar es salaam  na mikoa mingine kwaajili ya kuwafikia wateja wao amesema haya kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 kwenye banda la Wizara ya Kilimo .

Habari picha na Ally Thabit 

Friday, 11 July 2025

MAMLAKA YA AFYA YA MIMEA NA VIWATILIFU TANZANIA YAMPONGEZA RAIS SAMIA


 Dr Mujuni Kabululu Kaimu Mkuu Kitengo cha Kuifadhi Nasaba za Mimea Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viwatilifu Tanzania  amempongeza rais Dr Samia  kwa kuweza kununua ndege kwaajili ya kupambana na kuwadhibiti Viwavijeshi,Kweleakwelea na Nzige .

Ndege hii imekuwa mkombozi kwa wakulima ambao mazao yao yalikuwa yanaaribiwa na  vivamizi  hata ivyo serikali itaepukana na gharama ya kukodi ndege nchi za nje kwaajili ya kudhibiti kwelea Kwelea,Viwa vijashi , Nzige na Panya .

Dr Mujuni amesema Mamlaka yao inatoa vibali vya kuingiza na kupeleka nje ya nchi mazao vilevile Mamlaka  hii inatoa vibali vya kuingiza viwatilifu na kusambaza teknolojia  kwa wakulima na wanatoa elimu kupitia Almashauri  kwa wakulima namna ya kutumia viwatilifu kwenye mazao yao .

Pia wanatumia redio,TV,Vipeperushi  na Mafunzo mbalimbali kwa wakulima anawataka watu wote kufika  kwenye banda la Wizara ya Kilimo na kutembelea Mamlaka  ya Afya ya Mimea na Viwatilifu Tanzania  ndani ya viwanja vya Sabasaba kwenye maonyesho ya 49 yanayofanyika wilayani temeke jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit 

TARI YAJA NA MUAROBAINI KWA WAKULIMA


 Dr Filson Kagimbo Mkurugenzi Mkuu wa TARI  Kigoma amesema wakulima wengi walikuwa wanakumbwa na changamoto za kulima bila tija ivyo Taasisi ya Kilimo Tanzania TARI  imeamuwa kufanya tafiti na kuwapelekea teknolojia wakulima.

Moja ya majukumu ya TARI  kufanya utafiti wa Afya ya Udongo,Utafiti wa mazao na Ugunduzi wa mbegu bora,Kulinda mazao yasishambuliwe na wadudu pamoja na magonjwa mbalimbali, Namna ya kuongeza thamani kwenye mazao na kutunza pia wanawafundisha na kufanya utafiti wa za kuifadhi na kusindika mazao pamoja na kuwapelekea teknolojia mbalimbali.

Amesema haya kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 wilayani temeke jijini dar es salaam  kwenye  banda la TARI. 

Habari picha na Ally Thabit 

TAWA YAVUTIWA NA MWITIKIO WA WATU VIWANJA VYA SABASABA


 Zuwena Kikoti Muifadhi  Mkuu wa TAWA amesema kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 yanayofanyika jijini dar es salaam  wilayani temeke Tawa wamevutiwa kwa kiasi kikubwa kwa watu kujitokeza kwa wingi kuona wanyama .

Maombi ya watu kutaka kuwepo kwa Tembo na Twiga watafanyia kazi kutokana na mazingira ya Ikolojia  hata ivyo amewataka watu kufika eneo la Pande lililopo Bunju ambako kuna hifadhi ya wanyamapori ambako kiingilio elfu 11800 .

Habari picha na Victoria Stanslaus 

CHUO KIKUU CHA CBE CHAWAFIKIA WAKULIMA KIDIGITALI


 Martin Alfred Lwafu ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha CBE kwa ngazi ya Diploma ICT amesema wakulima nchini tanzania wanapata changamoto nyingi sana katika kuuza mazao yao kwa njia ya MNADA ivyo ameamua kuja na mfumo wa Tehama ambao utamuwezesha mkulima kuuza mazao yake kupitia njia ya kidigitali  ambako mkulima anaweza kutumia simu janja au kompyuta mpakato .

Kama inavyoonekana pichani mazao ya Mpunga na Korosho amesema haya ndani ya viwanja vya Sabasaba  kwenye  banda  la CBE kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit 

MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA CBE KUTATUA SIDA YA MAEGESHO YA MAGARI


 Petero ni Mwanafunzi wa Ngazi ya Diploma Mwaka wa pili Chuo Kikuu cha CBE  ICT amebuni mfumo ambao utatumika kutatua matatizo ya maegesho ya magari Mfumo huu utamwezesha mtu kutambua maegesho ya magari kama yamejaa ama ayajajaa kupitia simu janja au kompyuta mpakato  miongoni mwa faida zitakazo patikana kupitia mfumo huu serikali itakusanya pesa yake kwa wepesi , kuepuka usumbufu  kwa wenye magari na kunusuru upoteaji wa mafuta .

Petro  amewaakikishia watu kuwa mfumo huu ni salama huku akitoa wito watu wajiunge na Chuo Kikuu cha CBE  amesema haya ndani ya banda la CBE lililopo kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 wilaya ya temeke jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit 


CHUO KIKUU CHA CBE CHAWATAKA WATU KUCHANGAMKIA FURSA


 Afisa wa Chuo Kikuu cha CBE Jakrene E Kaaya anawataka watu kujiunga na Chuo cha CBE ambako chuo Kikuu hichi kina matawi Dodoma,Mbeya,Arusha na Dar es salaam ambako mtu anaweza kujisajili na kujiunga na matawi ya chuo Kikuu cha  CBE  kwenye maeneo yalio tajwa , Viwango mbalimbali vya elimu vinatolewa kwa ngazi ya Cheti, Diploma ,Digree,Master na PHD vilevile Kozi ya ICT inatolewa kwa ngazi zote Ambako inawezesha watu kuendana na teknolojia za kisasa.

Kozi hizi zinatolewa Asubuhi mpaka jioha  nawengine  wanaingia joini mpaka usiku  Pia Chuokikuu  cha CBE wanatoa kozi za muda mfupi mfano . Wanashirikiana na Latra kwaajili ya kutoa mafunzo kwa watoa huduma kwenye mabasi na madereva  wa bodaboda .

Bi jakrene E Kaaya   anawataka watu kutembelea  banda la CBE ili waweze kujisajili kwaajili ya kupata elimu  Chuokikuu  cha CBE ambako chuo hiki kina miaka 60 amesma haya kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 wilaya ya temeke jijini dar es salaam. 

Habari picha na Victoria Stanslaus 

Wednesday, 9 July 2025

TANTRADE MPYA NA YENYE UBUNIFU YANG'ARA KITAIFA NA KIMATAIFA


 Mkurugenzi Mkuu Mtendaji  wa TANTRADE  Latifa Muhamed amesma ubunifu alioufanya na maboresho alioyafanya ndani ya TANTRADE yamepelekea TANTRADE  kuwa mpya na ya kisasa ndio maana inang'ara kitaifa na kimataifa na kupelekea wafabiashara na wawekezaji kuchangamkia fursa mbalimbali.

Mkurugenzi  ZLatifa Muhamed amesema ameamuwa kuweka mifumo ya Tehama  kwa watu wanaoitaji huduma za TANTRADE  na ukataji wa tiketi kwa njia ya Kieletronik Lengo fedha ya serikali iingie moja kwa moja serikalini  hili kusiwe na ubadhirifu na zisipotee na hili TANTRADE imefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Vilevile TANTRADE imefungua matawi Mwanza ,Arusha,Mbeya,Dodoma na Zanzibar  Lengo kuwafikia wateja kwa uraisi. TANTRADE ndani ya viwanja vya Sabasaba kutajengwa majengo ya kisasa ambako magari yatakuwa na sehemu ya kupaki,Sehemu ya watoto kucheza na biashara zitakuwa zinafanyika wakati wote.

Latifa Muhamed anatekeleza kwa vitendo farsafa na maono ya rais Dr Samia  na huku akimpongeza rais Dr Samia  kwa kuiwezesha TANTRADE kufanya mabadiriko amesema haya kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 yanayofanyika wilaya ya temeke jijini dar es salaam .

Habari picha na Victoria Stanslaus 


Tuesday, 8 July 2025

TUME YA MADINI YAWAFIKIA WATU WENYE ULEMAVU

 

Meneja Mahusiano na Mawasiliano Tume ya Madini Greyson amesema tume ya madini nchini tanzania imewafikia na itaendelea kuwafikia watu wenye ulemavu wa aina zote pia tume ya madini imefungua masoko 43 na vituo vya  ununuzi wa madini kwa  tanzania  109 Lengo la serikali kufanya hivi ni kutoa usumbufu kwa wauzaji na wanunuzi wa madini.

Vilevile tume ya madini  inapanga na kusimamia bei elekezi za madini ambako kauli mbiu inasema Madini ni Maisha na Utajiri amesema haya kwenye maonyesho ya Sabasaba  ya 49 yanayofanyika wilaya ya temeke jijini dar es salaam .
Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

TUME YA MADINI YAWAITA WATU KUWEKEZA


 Afisa wa Leseni Tume ya Madini  Egera Doto amewataka  Watu  ususani watanzania kuchangamkia fursa za kuwekeza kwenye sekta ya madini , Ambako tume ya madini imeweka mazingira rafiki na wezeshi kwa mtu ama kikundi cha watu anaehitaji kuwekeza kwenye sekta hii.

Leseni mbalimbali tume ya madini  inatoa miongoni mwao ni Leseni ya Utafiti wa Madini,Leseni ya uchimbaji wa madini , Uchenjuaji madini, Usafishaji wa madini na zinginezo ambako tume ya madini inatoa Leseni  kupitia mifumo ya Tehama Lengo kuondoa urasimu na kuarakisha kupatikana kwa muda mfupi ambako ndani ya mwezi mmoja unapata Leseni. 

Egera Doto amewataka watu kufika kwenye banda la tume ya madini ndani ya viwanja vya maonyesho  ya Sabasaba ya 49 yanayofanyika wilayani temeke jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

Monday, 7 July 2025

RAIS WA ZANZIBAR AVUTIWA NA UONGOZI WA TANTRADE

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Wawakirishi Zanzibar Dr Hoseni Mwinyi amewapongeza viongozi wa TANTRADE chini ya Mkurugenzi Mkuu Mtendaji  Ratifa Ali Muhammed kwa kutafasiri kwa vitendo farsafa ya Dr Samia  na maono yake ya kukuza biashara ya mtu mmoja mmoja   au makundi mbalimbali kwa kuweza kufanya ubunifu kwenye  maonyesho ya Sabasaba  kwa kuweka mifumo ya kujisajili kwaajili ya kupata mabanda na ukataji tiketi kwa njia ya mtandao ambako inasaidia fedha ya serikali kuingia moja kwa moja bila kupitia mikononi mwa watu.

Pia wameweza kukamilisha mpango wa ujenzi wa kiwanja cha kisasa cha maonyesho ya sabasaba .

Uwepo wa ubunifu wa maonyesho wa bidhaa za nchi za kigeni mfano siku China ,Japani huku ni kukuza dipromasia  ya Kiuchumi. Rais wa Zanzibar ameiakikishia TANTRADE yeye na rais Samia wataendelea kuwapa ushirikiano wa Ali na mali na serikali ina mikakati mikubwa juu ya TANTRADE. 

Rais amezindua Nembo ya Bidhaa za Tanzania  ambako hii ni alama ya kutamburisha bidhaa zetu kitaifa na kimataifa amesema haya tarehe 7 mwezi wa 7 2025 ndani ya viwanja vya Sabasaba wilayani temeke jijini dar es salaam  wakati alipofungua maonyesho ya sabasaba  ya 49.

Habari na Ally Thabit Mbungo. 

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA AWAMU YA SITA YAVUNJA REKODI NA KUTIA FOLA

 Katibu Mkuu wa  Baraza  la Mitihani  nchini tanzania amesema matokeo ya Mitihani ya Taifa ya Kidato cha sita yamekuwa yenyekuleta faida na faraja kwa kiasi kikubwa kwa ufahuru kuongezeka ukilinganisha na miaka ya nyuma  .Uongozi wa rais Dr Samia awamu hii ya sita ya uongozi wake ameweza kufanya maboresho na mabadiriko kwa kiasi kikubwa kwenye sekta ya elimu kwenye ujenzi wa madarasa ,mabweni ,nyumba za walimu ,kidato cha tano na cha sita awalipi ada haya yote yamepelekea wanafunzi waliofanya mitihani ya taifa ya kidato cha sita ufahuru wao kuongezeka na kuwa mzuri.

Ufahuru wa somo la Hisabati umeongezeka ambako asilimia 73 ukilinganisha na miaka ya nyuma , Walio futiwa matokeo ya kidato cha sita ni wanafunzi 70 kwa sababu za udanganyifu na sababu zinginezo na mmoja kafutiwa matokeo kwa mitihani ya Ualimu na kupelekea jumla ya waliofufiwa matokeo  kuwa 71 ambako 70 kidato cha sita na  mmoja ni mitihani ya Ualimu.

Haya ametangaza Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani Dr Mohamedi Ally akiwa Zanzibar. 

Habari na Ally Thabit 

WATU WENYE ULEMAVU YAWAPA TANO LATRA CCC

 

Kijana Mwenye Changamoto ya Kuto Ona Ally Thabit Mbungo  ameupongeza Uongozi wa Latra Ccc kwa kuweza kuwajali na kuwazingatia watu wenye ulemavu  wa aina zote kwa kuandika majarida kwa kutumia maandishi ya nukta nundu kwaajili ya wasio Ona kama inavyoonekana pichani .Ambako sisi tusio ona tunapata elimu na kujifunza maswala ya Latra Ccc kwa njia raisi na nyepesi bila utegemezi .

Pia Latra Ccc wameweka maandishi makubwa kwenye watu wenye Uoni hafifu vilevile  watu wenye Uziwi wanapata elimu kutoka Latra Ccc kupitia Lugha ya Alama.

Ni vyema watu wafike kwenye maonyesho  ya Sabasaba  ya 49 yanayofanyika wilayani temeke jijini dar es salaam. 

Habari picha na Victoria Stanslaus 

LATRA CCC YAWAFIKIA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM


 Kama inavyoonekana Pichani Katibu Mkuu Mtendaji wa Latra Ccc  Daud Daud akimkabidhi kijana mwenyechangamoto ya kuto Ona kitabu cha maandishi ya nukta nundu ambacho wanatumia watu wasio ona kwaajili ya kupata taarifa za huduma zinazotolewa na Latra ccc  ambako Katibu Mkuu Mtendaji  amesema Latra ccc inatoa elimu kwa makundi yote .

Huku akiwataka abiria kuakikisha kwenye tiketi zao wanaandikiwa taarifa sahihi mwanzo wa safari yake na mwisho wa safari na jina la mmiliki wa basi liandikwe kwa kilefu ili kuepuka kushushwa eneo ambalo ujakusudiwa na ukipata matatizo iweraisi kupata haki zako kupitia kampuni za bima .

Amesema haya kwenye  maonyesho ya 49 ndani ya  viwanja vya Sabasaba yanayofanyika wilaya ya temeke jijini Dar es salaam. Habari picha na Victoria Stanslaus. 

LATRA CCC YATOA SIRI NZITO TIKETI MTANDAO


 Katibu Mkuu Mtendaji wa Latra Ccc Daud Daud ameeleza faida za kutumia Tiketi Mtandao ambako kwa wamiliki wa mabasi inawasaidia kwa kiasi kikubwa kupata taarifa sahihi za watu waliopanda kwenye mabasi yao  Pia pesa wanakusanya kwa wakati kwa upande wa abiria  wanaepukana na usumbufu wa kuuziwa tiketi mala mbili mbili.

Ametoa wito kwa wamiliki wa mabasi kutekeleza kwa vitendo kanuni ya kutumia tiketi mtandao na kwa abiria wazingatie matumizi ya tiketi mtandao kwani itaepusha kupandishiwa nauli kiolela olela amesema haya kwenye maonyesho ya  Sabasaba ya 49 yanayofanyika wilaya ya temeke jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit 

MWALIMU KINTU AELEZA MAGUMU VETA WALIOPITIA KWA WATU WENYE ULEMAVU

 

Mwalimu Kintu  anaefundisha Watu wenye Ulemavu  Chuo cha Veta amesema katika kutoa mafunzo kwa watu wenye ulemavu  ya fani mbalimbali Veta Dar es salaam  ndio wa kwanza kutoa mafunzo kwa watu wenye ulemavu. 

Mwalimu Kintu amesema iliwachukuwa miaka saba kufanya ushawishi kwa Vyuo  vya Veta  mikoa ya tanzania kuwapokea na kuwafundisha watu wenye ulemavu  ambako kwa sasa amejawa na furaha kwa kuona mafunzo ya fani mbali mbali yanatolewa kwenye Vyuo vya Veta  vyote nchini kwa watu wenye ulemavu wa aina zote.

Mwalimu Kintu amesema kuwepo kwa sera inayowatambua watu wenye ulemavu  kuwa na wao wana haki ya kupata mafunzo kupitia Veta ni jambo zuri. 
Habari picha na Ally Thabit. 

VETA YAJA KIVINGINE KWA WATU WENYE UREMAVU


 Gonsalva Lungu ni Msichana Mwenye Ulemavu wa viungo ambae amehitimu mafunzo ya Ushonaji Chuo cha Veta Songea ndani ya miaka miwili ambako amefungua ofisi ya ushonaji songea mjini eneo la mshangano Licha ya kuwa mlemavu kwenye ofisi yake ameweza kuajili watu wawili ambao awana ulemavu na kuwalipa posho kila mwezi.

Na yeye mwenyewe ameweza kijitegemea katika maisha yake anaishukuru Veta Songea kwa kumlejeshea tumaini lake la maisha licha yakuwa mlemavu anawataka wazazi na walezi kutowafungia ndani watu  wenye ulemavu  hivyo wawapeleke shuleni ama kwenye Vyuo vya Veta huku akiwataka watu wenye ulemavu  kutokata tamaa  .Wafike kwenye Vyuo vya Veta ili wapate mafunzo ya fani mbalimbali kwani Veta ndio kimbilio la watu wenye ulemavu. 

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 


VETA SONGEA YAMUIBUA MTU MWENYE ULEMAVU


Riziki Stefano Ndumba ni Kijana mwenye ulemavu wa viungo ameipongeza na kuishukuru Veta Songea kwakuweza kumpa mafunzo ya kushona nguo ambako 2020 aliweza kupata mafunzo haya na kuweza kuhitimu kwa miaka miwili  ambako mafunzo haya yamemuwezesha kuingiza pesa . Hivyo anawataka watu wenye ulemavu kufika kwenye Vyuo vya Veta popote walipo hapa tanzania hili waweze kupata fani ambako itawasaidia kutokuwa wategemezi katika maisha yao .

Huku akiwataka watu kutembelea  banda la Veta kwenye maonyesho ya 49 yanayofanyika wilaya ya temeke jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit 

PICHANI NAMNA YA JOSEPH JOACHIM MTEI


Kama inavyoonekana  Pichani Kijana  Joseph Joachim  Mtei hii ndio njia ambayo anatumia kuchora ramani za majengo ambako chuo cha Veta  Dodoma  ilivyoweza kumpa mbinu ya kuchora ramani kupitia miguu yake, Joseph Joachim Mtei anawataka watu watembelee kwenye banda la Veta ndani ya viwanja  vya Sabasaba kwenye maonyesho  ya 49 jijini dar es salaam. 

Lengo wajifunze namna  ya watu wenye ulemavu  wanavyofanya kazi zao na Veta walivyoludisha tumaini la watu wenye ulemavu  katika maisha yao .

Habari picha na Victoria Stanslaus 

VETA YAIBUA VIPAJI VYA WATU WENYE ULEMAVU


Joseph Johachim Mtei  ni Kijana  Mwenye  Ulemavu  wa Viungo ambae Veta imempa  Mafunzo ya Uchoraji wa Ramani mafunzo haya anapata mkoani Dodoma, Joseph amesema lengo lake anataka awe Mwandisi wa kucora ramani za majengo Licha yakuwa na changamoto ya mikono Joseph  ndoto zake na ndoto zake zimeweza kuibuliwa na Chuo cha Veta Dodoma ambako anachora ramani za majengo kupitia Miguu.

Ameishukuru Veta kwakuweza kuibua matumaini yake ya maisha yake na kukamilika kwa ndoto zake. 

Ametoa wito kwa wazazi na walezi kuwapeleka watu wenye Ulemavu Veta amesema haya kwenye  banda la Veta  ndani ya viwanja  vya Sabasaba kwenye maonyesho ya 49 Wilaya ya Temeke Jijini Dar es salaam. 

Habari picha na Victoria Stanslaus 

Saturday, 5 July 2025

SIDO YAPONGEZWA KWA MKAA MBADALQ


Bi Fatma ameipongeza Sido na Kuishukuru kwa kuweza kumpa mafunzo ya kutengeneza Mkaa Mbadala ambao auchafui mazingira na gharama yake nafuu .Bi Fatma anawataka watu wote nchini tanzania watumie mkaa mbadala kwani ni nishati safi na salama kwa kupikia na ambayo aichafui mazingira Pia aina madhara kwenye mwili wa binadamu, Bi Fatma ametoa wito kwa watu wote kufika kwenye banda la Sido kununua mkaa mbadala kwani ni nishati safi ya kupikia na inapatikana ndani ya viwanja vya Sabasaba kwenye maonyesho  ya 49 yanayofanyika jijini Dar es salaam. 

Habari picha na Victoria Stanslaus 

PICHANI NI MAJIKO YA NISHATI MBADALA YANAYOPATIKANA KWENYE BANDA LA SIDO VIWANJA VYA SABASABA


Hama hakika  haya ni majiko yenye ubora na imara yanayotengenezwa na Sido ambayo yanatumia nishati safi ya kupikia  hivyo ni vyema watu wote kufika kwenye banda la Sido kwenye  viwanja vya Maonyesho ya sabasaba  ambako maonyesho haya ni ya 49 yanayofanyika Wilaya ya Temeke Jijini Dar es salaam. 

Habari picha na Victoria Stanslaus. 

SIDO YAUNGA MKONO MATUMIZI YA NISHATI SAFI


 Afisa Masoko Mwandamizi Sido Makao Makuu Christopha Eduwadi Mwakyusa amesema katika kuunga mkono juhudi na jitihada za Dr Samia  ifikapo mwaka 2030 watu wote nchini tanzania watumie nishati safi ya kupikia  ambako upande wao Sido wanatoa mafunzo ya kutengeneza mkaa mbadala Mkaa huu auchafuhi mazingira . 

Pia Sido imewaandaa wataalam wa kutengeneza majiko ambayo yanatumia mkaa mbadala vilevile Sido wanatengeneza mashine na vipuri vya majiko yote Mali ghafi zake zinatoka hapa nchini tanzania .

Sido wameweza kuwafikia Mama Lishe na Baba Lishe kwa kuwapa elimu na mafunzo namna ya kutumia nishati safi ya kupikia ,Taasisi , kampuni,mashuleni,kwenye kambi za jeshi ,polisi na magerezani Sido imeweza kupeleka majiko yanayotumia nishati safi ya kupikia huku akiwataka watu kutembelea kwenye banda la Sido  ili wanunue majiko yanayotumia nishati safi ya kupikia  kwenye viwanja vya Sabasaba Wilaya ya Temeke Jijini Dar es salaam  katika maonyesho ya 49. 

Habari picha na Ally Thabit Mbungo. 

PPRA YAWAFIKIA WATU WENYE ULEMAVU


 Afisa Uhusiano Mwandamizi wa PPRA  Josefu Muozi amesema watu wenye ulemavu katika  kupata fursa za tenda za PPRA  wamefikiwa kwa kiwango kikubwa huu ni mpango maalum ulioandaliwa na serikali tangu mwaka 2011 na sheria ya PPRA  ikafanyiwa maboresho mwaka 2023  ambako maboresho haya yamesaidia kwa kiasi kikubwa watu wenye ulemavu wa aina zote kupata zabuni za tenda za PPRA. 

Pia PPRA  imeandaa majarida yenye maandishi ya nukta nundu kwaajili ya walemavu wasio Ona na vifaa vya kurekodia sauti zana hizi zimewezesha watu wenye ulemavu kupata elimu na uwelewa kuhusu  zabuni na tenda zinazotolewa na PPRA  vilevile PPRA  inatoa elimu kwa watu wote kupitia redio,tv,magazeti,na makongamano pamoja na semina  kupitia taasisi za watu wenye ulemavu. 

Josefu Muozi amewataka watu kutembelea banda la PPRA  viwanja vya sabasaba maonyesho Wilaya ya Temeke Jijini Dar es salaam kwenye maonyesho ya 49 habari picha na Victoria Stanslaus. 


PPRA YAFUNGUA FURSA KWA WATANZANIA


 Mkurugenzi  Mkuu wa PPRA Denisi Simba amewataka watanzania kuchangamkia fursa  za Uzabuni wa tenda mbalimbali zinazotolewa na PPRA  kwani serikali imetenga kiasi cha tilioni 38  kwaajili ya wale wote wanaopata tenda za serikali .

Denisi Simba amesema PPRA  wameweka mazingira rafiki na wezeshi kwa makundi yote ikiwemo wanawake ,vijana,wazee na Watu wenye ulemavu Pia amewataka watu watembelee banda la PPRA  kwenye maonyesho ya 49 ya sabasaba yanayofanyika jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

Tuesday, 17 June 2025

MWENYEKITI WA CHAMA CHA CHAUMA AZIDIWA MAUTUTI

 Ashim Rungwe  Mwenyekiti wa Chama cha Chauma Maarufu Mzee wa Ubwabwa yupo  Maututi Mkoani Kilimanjaro Mjini Moshi na kupelekea kulazwa kwenye hospitali ya Kisms hali hii ya ugonjwa imemtokea kwenye zoezi la kukieneza na kukitangaza chama cha Chauma haya yamesemwa na mkuu wa Idara ya chama  cha Chauma John Mrema . 

Ambae amesema plesha na sukari vimepanda kwa Ashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa.

Habari na Ally Thabit Mbungo  

WADAU WA KILIMO WAKUTANA

 Dr Mustafa amewasilisha Mada ya Namna ya ubunifu utakavyo wasaidia wakulima  kulima kilimo chenye tija .

Habari na Ally Thabit Mbungo.  

Monday, 16 June 2025

NCHI YA DRC KONGO YAJA NA MIKAKATI KABAMBE KWA TANZANIA


 Mkurugenzi Mkuu wa Uhamiaji nchi ya Drc Kongo Roland Kashwakale  amesema watahakikisha kudhibiti kwenye mipaka yao dhidi ya wahamiaji wanaotaka kuingia tanzania . Pia watakuwa wanafanya doria mara kwa mara na pindi watakapo wakamata watu wasifuata taratibu za kuingia tanzania  kupitia Drc Kongo sheria kali watachukuliwa amemuhakikishia Kamishina Mkuu wa Tanzania Dr Ana Makakala kuwa nchi ya Drc Kongo itatoa ushirikiano wao na kuimarisha ulinzi na usalama kwe nye mipaka ya nchi ya Drc Kongo na nchi ya Tanzania  kama wanavyoonekana kwenye picha ya pamoja viongozi hawa.

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

TANZANIA NA DRC KONGO YAKUTANA KUDHIBITI WAHAMIAJI HARAM


 Kamishina Uhamiaji Nchini Tanzania Dr Ana Makakala amesema lengo la nchi ya tanzania kukutana na Mkurugenzi  Mkuu wa Uhamiaji kutoka nchi ya Drc Kongo Roland Kashwakale ni kuhimarisha ulinzi na usalama kati ya Tanzania na Drc Kongo na kukuza uchumi wa nchi zote mbili Pamoja na kuleta maendeleo.

Dr Ana Makakala Kamishina Mkuu wa Uhamiaji  nchini tanzania  amesema katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu jeshi la Uhamiaji la tanzania limeweka nguvu kubwa mipakani kote kwenye nchi zinazozunguka tanzania  kwaajili ya kudhibiti wahamihaji ambao awana vibali vya kuingia tanzania hili kuimarisha ulinzi na usalama wa tanzania kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi.

Dr Ana Makakala amesisitiza kuwa tanzania itaendelea kufanya mikutano yake na nchi za Rwanda, Burundi,Uganda na nchi zinginezo.

Mfano Mkutano wa Drc Kongo na Tanzania ni mwanzo tu wa mikutano mingiyo Dr Ana Makakala ametoa wito kwa watu wanaotaka kuja tanzania wafuate kanuni,miongozo,taratibu na sheria kabla awajaingia tanzania .

Amesema haya jijini dar es salaam 

Habari picha na Ally Thabit Mbungo. 

Friday, 13 June 2025

TANZANIA YAWASIRISHA BAJETI YA KIMKAKATI

 Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Mchemba amesema bajeti alioiwasirisha bungeni jijini dodoma kiasi cha tilioni56.49 bajeti hii itamalizia miradi mbalimbali ya kimkakati na ile itakayoanzishwa . Bajeti hii fedha nyingi za ndani zitaendesha uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 bila kutegemea mataifa ya nje .

Habari na Ally Thabit Mbungo 

ISRAEL K. ILUNDE. AKOSOA MIFUMO YA KODI

 Ndg Israel K. Ilunde Mwenyekiti wa Policy Forum(PF) na Mkurugenzi mtendaji wa YPC kutoka Kibaha mkoa wa pwani amesema mifumo ya kodi iliyopo nchini tanzania si rafiki kwa wajasilia Mali na wafanyabiashara wadogo ndio maana watu awatoi ushirikiano pindi TRA wanapowahitaji wafike kwenye ofisi zao na kwenye mamlaka zingine za kikodi.

Na pindi mtu au taasisi ukihitaji uwe mlipa kodi unapofika kwenye ofisi zao unakutana na mambo mengi ya kukukatisha tamaa . 

Mwenyekiti na Mkurugenzi ametoa wito kwa serikali na mamlaka za kikodi nchini tanzania zifanye marekebisho kwenye mifumo ya kodi na waweke mazingira rafiki na wezeshi kwa wanaohitaji kulipa kodi ambao ni wapya na wale wanaoendelea kulipa kodi hii itasaidia nchi yetu kukusanya kiasi kikubwa cha fedha kutoka kwa walipa kodi na kuachana na bajeti yetu ya tanzania . Kutegemea fedha za misahada na za waisani kutoka nje ya nchi.

Amesema haya makao makuu ya TGNP eneo la mabibo jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit Mbungo 

MJUMBE WA TGNP AIMIZA BAJETI YENYE USAWA WA KIJINSIA

 Mwanaharakati na Mjumbe wa TGNP Ana amesema serikali ya tanzania iakikishe bajeti wanazozipanga zizingatie usawa wa kijinsia .Kwani bajeti iliyowasilishwa na Waziri wa Fedha na Dr Mwigulu Mchemba yenye kiasi cha shilingi za kitanzania tilioni 56.49 ,kwa kiasi kikubwa aijazingatia misamaha ya kikodi kwenye taulo za kike,visaidizi vya watu wenye ulemavu na mengineyo.

Ametoa wito kwa Wanaharakati wa tanzania kuendelea kupaza sauti kwa serikali amesema haya makao makuu ya TGNP eneo la mabibo jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit Mbungo

MWANA HARAKATI WA TGNP ALIA NA BAJETI

 Mwanaharakati Mkongwe wa TGNP BI Subira  ameitaka serikali ya tanzania  kabla ya kupanga bajeti ni vyema kuwashirikisha wananchi wote kuanzia ngazi ya kaya ,kitongoji au Mtaa ,Kijiji,Kata,Tarafa,Wilaya,Mkoa na ngazi ya Kitaifa lengo kuwa na bajeti shirikishi .

Hamesema haya Makao Makuu  TGNP  eneo la mabibo jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit 

Friday, 9 May 2025

WALIP MPIGA KATIBU MKUU BARAZA LA MAASKOFU WATIWA MBALONI

 Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam  Mulilo Jumanne Mulilo amethibitisha kuwa watu waliompiga na kumjeruhi Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Dkt Charese  Kitima wamekatwa na utaratibu wa kufikishwa Mahakamani unafanyika .

Ambako hivi karibuni eneo la Kurasini Makao Makuu ya Baraza la Maaskofu nchini Tanzania majira ya saa nne ya usiku watu hawa walifika eneo hili na kumshambulia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania.

Habari na Ally Thabit 

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AIMIZA UTUNZAJI WA AMANI NA USALAMA WAKATI WA UCHAGUZI


 Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Tanzania Nyaoza awataka Wanachama,Wapenzi na Viongozi wa Vyama vya Siasa Kutunza na Kuilinda Amani iliyopo kipindi cha Uchaguzi na baada ya uchaguzi. 

Anesema haya kwenye mkutano mkuu wa chama cha NLD ambako chama hiki wanachama wake walipomchagua na kumpitisha Doyo Hassan Doyo  kuwa ndiye atakayepeperusha bendera ya urais ifikako mwezi wa kumi mwaka huu 1025 kwenye uchaguzi mkuu.

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

DOYO KUWA RAISI WA TANZANIA


 Doyo Hassan Doyo amesema Mwaka huu 2025 Katika Uchaguzi Mkuu Utakao Fanyika mwezi wa Kumi yeye ndiye atakayekuwa Rais wa Tanzania. Kupitia Chama cha NLD.

Kitu ambacho kinamfanya awe na uhakika wa kuwa Raisi kutokana na dira ya chama chake cha NLD ambako kusimamia Kilimo kwa kuwapa wakulima mbegu bora na za kisasa pamoja na kuwatafutia masoko ya kitaifa na kimataifa. Ugawaji wa mbolea na pembeje bule kwa wakulima . Kilimo cha kisasa kupitia umwagiliaji,Usimamizi bora kwenye sekta ya madini ambako atahakikisha kila mchimbaji anapata vifaa vya kisasa vya kuchimbia madini na kuweka bei elekezi, Utoaji wa resen kwa wazawa bila mashariti magumu.

Sekta ya Ajira .

Doyo Hassan Doyo Mgombea kiti cha urais kupitia chama cha NLD atahakikisha kila mtanzania anapata ajira ya kudumu,hatakuza sekta ya viwanda na upatikanaji wa maji safi na salama pamoja na kuimarisha sekta ya Afya na upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa gharama nafuu.

Vile vile atakuza sekta ya Usafirishaji na Uchukuzi kwenye miundombinu ya majini ,nchikavu na Angani amesema haya baada ya kupewa nafasi ya kupeperusha bendera ya uraisi kupitia chama cha NLD . Hivyo amewataka watanzania wamchague Doyo Hassan Doyo  awe rais wa tanzania kupitia chama cha NLD. Kwani ccm walio ahixi hawajatekeleza hata moja .

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

WAZIRI WA AFYA WA ZANZIBAR AWATOA HOFU WATALII


 Nasoro Mazrui Waziri wa Afya wa Zanzibar amesema  wizara yake ya afya  inasimamia kikamilifu maswala ya Afya Zanzibar kwa kina na umakini mkubwa .Hivyo anawataka watalii kutoka nchi mbalimbali duniani wafike Zanzibar kufanya Utalii. Kwani Afya iko salama na imeimarika kwa Zanzibar na wakipata changamoto za kiafya mara nyingi wizara yake inawatibu bule.

Pia miundombinu ya kiafya imezidi kujengwa na kuimarishwa kwa Unguja na Pemba na Madaktali bingwa wapo wa kutosha .

Waziri wa Afya wa Zanzibar anawataka wazanzibar wakate bima za Afya.vilevile ameongeza kwa kusema  katika mwaswala ya watu wenye ulemavu zanzibar yanazingatiwa kwa kiasi kikubwa .Mfano Mashuleni kuna miundombinu rafiki na wezeshi kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa aina zote.

Kwa upande wa wanafunzi wasioona kuna maandishi ya nukta nundu pia kwa watu wenye ulemavu wakienda kupata huduma kwenye vituo vya Afya ,Zahanati, Mahospitalini na maeneo mengine wanapewa kipaumbele.

Habari picha na Victoria Stanslaus. 

BARAZA LA MITIHANI LAJIVUNIA ONGEZEKO LA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA

 Ndugu Wanahabari Mitihani ya Kidato cha sita ( ACSEE) na Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada imeanza tarehe 05 mei 2025 Tanzania Bara na Zanzibar. Mtihani wa Ualimu utakamilika tarehe 19 Mei,2025 na Kidato cha Sita tarehe 26 Mei,2025. Mtihani wa kidato cha sita utafanyika katika jumla ya shule za secondari 982 na vituo vya watahiniwa wa kujitegemea 245. Aidha , Mtihani wa Ualimu  utafanyika katika Vyuo vya Ualimu 68.

USAJILI WA WATAHINIWA

(a) Watahiniwa wa Kidato cha Sita 

Jumla ya watahiniwa 134,390 wamesajiliwa kufanya mtihani wa  Kidato cha Sita 2025 ambapo watahiniwa wa shule ni 126,957 na  Watahiniwa wa Kujitegemea ni 7,433.

Kati ya Watahiniwa wa Shule 126,957 waliosajiliwa, wavulana ni64,581 sawa na asilimia 50.87 na Wasichana  ni 62,376 sawa na asilimia 49.13. Aidha  watahiniwa  wenye mahitaji maalum ni 453 ambapo kati yao weenye Uoni hafifu ni 300, wasioona ni 16, wenye Uziwi 58, wenye ulemavu wa akili ni 04 na wenye ulemavu  wa viungo vya mwili ni 75.

Kati ya  Watahiniwa wa Kujitegemea 7,433 waliosajiliwa,wavulana 4,782 sawa na asilimia 64.33 na wasichana ni 2,651 sawa na asilimia 35.67. Aidha Watahiniwa  wa Kujitegemea wenye mahitaji maalum wako 151 ambapo kati yao wenye uoni hafifu ni142 na wasioona ni 9.

Mwaka 2024 idadi ya watahiniwa wa Shule na Kujitegemea waliosajiliwa walikuwa 113,536. Hivyo, kuna ongezeko la jumla ya watahiniwa 20,854 (18.37) kwa mwaka 2025 ukilinganisha na mwaka 2014.

(b) Mtihani wa Ualimu

Jumla ya watahiniwa 10,895 wamesajiliwa kufanya mtihani wa Ualimu Mei 2025.

Kati ya watahiniwa hawa 3,100 ni wa ngazi ya Stashahada na 7,795 ni wa ngazi ya Cheti.kwa ngazi ya Stashahada, wanaume ni1,751 sawa na asilimia 56.48 na wanawake ni 1,349 sawa na asilimia 43.52. Aidha kwa ngazi ya Cheti watahiniwa 3,987 sawa na asilimia 51.15 ni wanawake .

Watahiniwa  wenye Mahitaji Maalum waliosajiliwa kufanya mtihani wa Ualimu 24.Kati yao 2 ni wenye Uoni hafifu kwa ngazi ya Stashahada; na 16 wenye uoni hafifu ,3 wasioona ,1uziwi,1Ulemavu wa viungo ni wa ngazi ya Cheti.

Mwaka 2024 idadi ya Watahiniwa wa Ualimu waliosajiliwa walikuwa 11,435. Hivyo, kuna upungufu wa jumla ya watahiniwa 540 (4.72) kwa mwaka 2025 ukulinganisha na mwaka 2024.

MAANDALIZI YAMEKAMILIKA PAMOJA NA KUSAMBAZWA KWENYE VITUO USIKA PAMOJA NA VITABU VYA KUJIBIA  NA NYARAKA ZOTE MUHIMU KWENYE MIKOA YOTE  KWA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR. 

Mitihani  wa kidato cha sita  ni muhimu kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla kwani upima  maarifa .stadi na umahiri wa wanafunzi katika maeneo yote waliojifunza  kwa kipindi cha miaka miwili ya elimu ya secondari ya juu. Matokeo ya mtihani huu hutumika katika uchaguzi wa wanafunzi wanaojiunga  na Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati katika fani mbalimbali za Utaalaam wa kazi kama vile Afya ,Kilimo,Ualimu,Ufundi na nyinginezo. Hivyo Mtihani huu ni muhimu sana kwa wanafunzi ,Wazazi na Taifa kwa ujumla.kwa upande wa mtihani wa Ualimu,mtihani hufanyika kwa lengo la kupata walimu makini ambao watafundisha  katika ngazi ya Elimu ya Msingi na Secondari.

WITO KWA KAMATI ZA MITIHANI,WASIMAMIZI,WAMILIKI WA SHULE NA JAMII

Wito kwa Kamati za Mitihani

Pamoja na Maandalizi yote muhimu yaliyofanyika  Kamati za Miitihani za Mikoa  na Almashauri ziakikishe kuwa usalama  wa Vituo vya Mitihani vinaimarishwa na kwamba Vituo hivyo vinatumika kwa mujibu wa Mwongozo uliotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania .Aidha , Wahaakikishe wasimamizi wote waliopangwa kusimamaia uendeshaji wa mtihani  katika kituo husika  wanafika kwa wakati katika vituo husika.

WITO KWA WASIMAMIZI

Baraza linatoa wito kwa wasimamizi wote walioteuliwa kusimamia mitihani kufanya kazi yao kwa weledi na uadilifu wa hali ya juu.Wasimamizi wahakikishe kuwa wanazingatia kanuni za mitihani, Tarabu na Miongozo ya Baraza la mitihani waliyopewa ili kila mtahiniwa apate haki yake.

Aidha ,wasimamizi wahakikishe watahiniwa wote wenye mahitajiamaalum wanafanya mitihani yao ipasavyo ili wapate haki zao za  msingi.Haki hizo ni pamoja na  kuwapa mitihani yenye  maandishi ya nukta nundu kwa watahiniwa wasio ona  na Maandishi ya kukuza kwa watahiniwa wenye uoni hafifu. Watahiniwa wote wenye mahitaji maalum waongezewe muda wa dakika 20 kwa kila saa kwa somo la Hisabatina dakika 10 kwa kila saa kwa masomo mengine,kama kanuni za mitihanizinavyoelekeza .Wasimamizi wahakikishe watahiniwa wote wanafanya mitihani kwa muda ulio pangwa na katika hali ya utulivu.

WITO KWA WATAHINIWA

Baraza linaamini kuwa walimu na wanafunzi wamewaandaa vizuri katika kipindi cha miaka miwili ya secondari ya juu na kozu ya mafunzo ya Ualimu. Hivyo ni matarajio ya Baraza la mitihani kuwa kila mtahiniwa atafanya mtihani wake kwa kuzingatia kanuni za mitihani.Aida,Baraza halitarajii kuona mtahiniwa yeyote atakayebainika kufanya udanganyifu. Mtahiniwa yeyote atakayebainiwa kufanya udanganyifu  kwa  Mitihani matokeo yake yatafutwa kwa mujibu wa kanuni za Mitihani.

WITO KWA WAKUU WA SHULE  MA WAMILIKI WA SHULE NA VYUO

Baraza linawaasa Wakuu wa Shule na Wakuu wa Vyuo kutekeleza majukumu yao ya usimamizi kwa kuzingatia  mwongozo wa usimamizi uliotolewa na Baraza la Mitihani  na kuepuka kuingilia usimamizi wa watahiniwa ndani ya vyumba vya mitihani.

Aidha, Baraza linawaasa Wamiliki wa Shule  na Vyuo kutambua kuwa shule zao ni vituo maalum vya mitihani na hivyo hawatakiwi kwa  namna yoyote kuingilia majukumu ya wasimamizi wa mitihani katika kipindi chote cha ufanyikaji wa mitihani hii.  Baraza halitasita kukifuta kituo chochote cha mitihani endapo litajiridhisha pasipo shaka kuwa uwepo wake unahatqrisha usalama wa Mitihani.

WITO KWA JAMII

Baraza linatoa wito kwa jamii kutoa ushirikiano unaotakiwa katika kuhakikisha Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu mwaka 2015 inafanyika kwa amani na utulivu. Wananchi wanaombwa kuhakikisha kuwa hakuna mtu yeyote asiyehusika na mitihani anaingia kwenye maeneo ya shule na vyuo katika kipindi chote chamitihani. Kwa kufanya hivyo,tutawawezesha  wanafunzi waliosajiliwa kufanya mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu Mei 2025 kwa amani na utulivu.

Haya yanesemwa na Katibu Mtendaji Dkt .Said A. Mohamed.

Habari na Ally Thabit Mbungo 



Saturday, 22 March 2025

TGNP YAGUSWA NA UONGOZI WA RAIS DR SAMIA

 

Mkurugenzi  Mtendaji  Tgnp Liliani Liundi amesema tarehe 19 ya mwezi 3 mwaka 2025 rais Dr Samia ametimiza miaka minne ya uongozi wake kitendo hiki wanaharakati wanaopigania haki za binadamu kwao ni mafanikio makubwa kwani watu wengi waliamini kuwa mwanamke awezi kuiongoza nchi . Kupitia rais Dr Samia zana hii mbaya na potofu dhidi ya mwanamke imeweza kufutwa na kunjwa.

Pia Tgnp na wadau wanaopigania haki za binadamu wanampongeza rais Dr Samia baada ya kuapishwa alipohutubia bunge alisema atapigania na kuondoa mifumo dume, ataondoa mila na destuli potofu dhidi ya mwanamke na atawapa fursa mbalimbali wanawake  na hili amelitekeleza kwa vitendo kwa kuwapa fursa mbalimbali wanawake kwenye sekta tofauti na amewafungulia milango ya uongozi . Pia amemtua ndoo mama kichwani kwa kuanzisha miradi ya maji, amewapigania maswala ya ardhi, amefanya maboresho ya sera  ya ardhi ambako zamani mwanamke ananyimwa fursa ya kumiliki ardhi, kwenye sekta ya elimu amejenga madarasa, mabweni , matundu ya vyoo na amefanya maboresho dhidi ya mtoto wa kike akipata ujauzito baada ya kujifungua aweze kuludi shule na kuendelea na masomo,   kuwainuwa wanawake kiuchumi  kwa kuanzisha majukwaa mbalimbali na kuwapa mikopo nafuu.

Amesema haya kwenye viwanja vya  Tgnp  mabibo kwenye maadhimisho ya mwanamke duniani na uzinduzi wa ripoti ya miaka 30 ya tamko la Beijing nilipofanya nae mahojiano.

Habari picha na Victoria Stanslaus 

UNDP YAIMIZA MIKAKATI IONGEZWE YA KUWAINUWA WANAWAKE


 Mwakilishi wa  Undp  amesema Wanawake waweze kupewa fursa mbalimbali ili waweze kujikwamuwa kiuchumi hii itasaidia kwa kiasi kikubwa kuondokana na ukatili wa kijinsia .

Ndani ya miaka 30 ya Beijing wanawake wamejikomboa kiungozi, ardhi na wameweza kujiamini amesema haya viwanja vya  tgnp mabibo katika siku ya mwanamke duniani na uzinduzi wa ripoti ya Beijing. 

Habari picha na Victoria Stanslaus 

BODI YA SUKARI YAJIVUNIA MAFANIKIO YA RAIS DR SAMIA KWA MIAKA MINNE


 Prof Keneth Bengesi Mtendaji Mkuu wa  Bodi ya Sukari  Tanzania amesema tangu tarehe 19 mwezi wa 3 mwaka 2021 baada ya Dr Samia  kuapishwa na kuwa rais wa tanzania  amewezesha sekta ya Sukari  kukuwa na kupiga hatuwa kwa kuwapa ruzuku wakulima wa miwa, kwa kufanya mabadiliko ya sheria ya NFRA kwa kupewa mamlaka ya kuhifadhi Sukari ambako mwanzoni wafanyabiashara wa sukari walikuwa wanaifadhi wenyewe na kupelekea ufichaji wa sukari na kusababisha kupanda kwa bei ya sukari olela olela na kupelekea usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa sukari  nchini tanzania. 

Ujenzi wa viwanda vya sukari na upanuzi wa viwanda vya zamani vya sukari. Prof Keneth Bengesi amesema rais Dr Samia  kwa kipindi cha uongozi wake wa miaka minne amekamilisha miradi yote ilioachwa na mtangulizi wake.mfano ujenzi wa bwawa la mwalimu nyerere, daraja la Kigongo busisi mwanza, ujenzi wa SGR, uwanja wa msarato jijini dodoma , amekuza demokrasia kwa kuwa nafasi viongozi wa vyama vya siasa kufanya mikutano yao kwa uhuru, maridhiano kwa kupitia farsafa yake ya R nne na kuwarejesha watu wote waliokimbia nje ya nchi.

Na mengineyo mengi ameyafanya rais Dr Samia ikiwemo kufunguwa fursa kwa wafabiashara, wasanii kwa kusafiri nao nje ya nchi kwaajili ya kuwatafutia masoko ya kitaifa na kimataifa , ameweka mazingira rafiki na wezeshi kwa wawekezaji kuwekeza kwenye sekta ya sukari na maeneo mengineyo.

Ametoa wito kwa watanzania waendelee  kumuunga mkono na mwaka huu kwenye uchaguzi wampe kura za kutosha rais Dr Samia  ili aendekee kuwa rais wa Tanzania hakika rais Dr Samia  mitano tena. 

Habari picha na Victoria Stanslaus 

PICHANI KAMA INAVYOONEKANA RIPOTI ILIYOZINDULIWA TGNP


 Habari picha  na Ally Thabit 

MGENI RASMI AKIZINDUA RIPOTI YA TGNP


 Mwenyekiti wa Jumuhiya ya Kiislamu na Waziri Msitaafu wa wizara ya viwanda na biashara na wizara ya maendeleo  ya jamii , jinsia na watoto ambae alikuwa   mbunge mwanamke  kwanza kuchaguliwa na wananchi mnamo mwaka 1985 Hajati Shamimu pichani akizindua ripoti ya TGNP inayoeleza na kueleza hatua na changamoto zilizo jitokeza baada ya mkutano wa Beijing uliofanyika mwaka 1995 ambako kwa sasa tunatimiza miaka 30 ya Beijing.

Habari picha na Ally Thabit 

HAJATI SHAMIMU AWAPONGEZA TGNP

Mwenyekiti wa Jumuhiya ya Wanawake  wa Kiislamu Taifa na Mwana harakati mkongwe amewapongeza TGNP kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kupiga vita ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake , wasichana na makundi mengineyo na kupelekea idadi ya wanawake ya kuwa viongozi nchini tanzania imeongezeka. Mfano wabunge wanawake wa ku haguliwa wapo 26 ukilinganisha na miaka ya nyuma haya ndio walio yapigania kwenye mkutano wa Beijing nchini China mwaka 1995 amesema haya kwenye siku ya mwanamke duniani kwenye viwanja vya TGNP  Mabibo jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit 

ST. MATTHEW'S YAGUSWA NA MIAKA MINNE YA RAIS DR SAMIA


 Wakiri Msomi na Mkurugenzi  wa Shule za St. Matthew's Dr Peter Tadeo Mtembei amesema tarehe 19 mwezi wa 3 mwaka 2025 rais Dr Samia  ametimiza miaka minne ya uongozi wake  .Katika miaka hii amekuza na kustawisha maridhiano, miundombinu mfano ujenzi wa SGR,Barabara , Madaraja na Upatikanaji wa Maji safi na salama kwa wananchi wote.

Pia rais Dr Samia ameanzisha miradi mipya na kukamisha miradi ilioachwa na mtangulizi wake. kupitia sekta ya elimu amejenga madarasa mapya, mabweni, ameajili waalimu, ujenzi wa nyumba za walimu na mabadiliko ya sera ya elimu ambako inamuwezesha mwanafunzi akimaliza elimu yake anaweza kujiajili ama kuajiliŵa.

Vilevile Wakiri Msomi na Mkurugenzi wa Shule za St. Matthew's Dr Peter Tadeo Mtembei amewataka wa'azi na walezi kuwaandikisha watoto wao kwenye shule zote nane za St Matthew's  kwani shule zao zinatoa elimu bora nidhamu na usalama ni vitu vya msingi na wanavizingatia na ufahuru wa uhakika na wakiwango cha juu.

Ametoa rai kwa wahitimu 97 wa kidato cha sita kwenye shule ya St. Matthew's iliyopo mkoa wa wa pwani wilaya ya mkuranga kata ya mwandege katika maafari haya ya 20 kwa mwaka 2025 pindi wa wakimaliza mitihani ya taifa wakawe mabalozi wema , waendeleze maadili mema kwa jamii, tabia njema na watumie elimu walioipata kutatuwa changamoto za kijamii.

Pia amewasisitiza wazazi na walezi kwa elimu bora, nidhamu na usalama kwa wanafunzi na gharama nafuu za ada ni vyema wachague shule za St Matthew's  kwani kupitia Maendeleo Bank  wazazi na walezi  watakopeshwa ada kwa riba nafuu ya asilimia moja .

Habari picha na Victoria Stanslaus 

MKUU WA WIRAYA YA KISARAWE AFUNGUWA MILANGO KWA WAZAZI NA WALEZI KWENYE SHULE YA ST MATTHEW'S

 Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Dr Tito Magoti anawataka wazazi na walezi kuwapeleka watoto wao kwenye shule  za St. Matthew's  kwani zinafundisha vizuri mpaka kupelekea mwanafunzi kuweza kujiajili kupitia mafunzo ya ujasilia Mali na kuondokana kuwa tegemezi katika jamii .

Shule za St. Matthew's zinaunga mkono na kutekeleza maono ya rais Dr Samia  kwa kuwapa wanafunzi elimu bora na viwango vikubwa hivyo ni vyema wazazi na walezi wasiache kuwapeleka watoto wao kwenye shule  za St. Matthew's.

Amesema haya kwenye maafari ya 20 ya kidato cha sita ambako wahitimu 97 wanamaliza elimu yao kwenye shule ya St. Matthew's  wilaya ya Mkuranga kata ya mwandege mkoani pwani.

Habari na Ally Thabit 

MAKAMU MWENYEKITI WA BODI YA SHULE YA ST. MATTHEW'S AFICHUWA SIRI NZITO

 Makamu Mwenyekiti  wa Bodi Shule ya St. Matthew's Dr Mwisiga   amesema siri kubwa ya mafanikio kwa shule za St Matthew's  katika wanafunzi kufahuru kwa kiwango kikubwa  ni mazingira ni rafiki na wezeshi ya kufundishia na kujifunza wanafunzi.

Kuwepo kwa mahabara za kutosha na matumizi ya kiteknolojia ya kufundishia na kujisomea .swala la nidhamu, usalama na  malezi ni misingi inayosimamiwa na kuzingatiwa kwenye shule zote za St. Matthew's. 

Makamu Mwenyekiti wa  Shule za St. Matthew's anawataka wazazi na walezi wawpeleke watoto wao kwenye shule za St Matthew's  kwani watapata elimu bora na gharama ni nafuu na inalipika kwa hawamu nne lakini pia kupitia Maendeleo Bank watapata mkopo wa ada wenye riba ya  asili moja .Makamu Mwenyekiti  wa bodi  Dr Mwisiga amesema swala la maadili, mafundisho ya dini , tabia njema ni vitu. Vinavyosimamiwa na kuzingatiwa kwa wanafunzi  ndio maana ufahuru unaongezeka mwaka hadi mwaka  amesema haya kwenye maafari ya 20 ya kidato cha sita kwa wanafunzi wapatao 97 wa shule  ya St. Matthew's. 

Habari na Ally Thabit 

ST. MATTHEW'S INATOA ELIMU KWA GHARAMA NAFUU

Mkuu wa Shule ya St. Matthew's  Josefu Malahila. amewataka Wazazi na walezi kuwahandikisha watoto wao kwenye shule zote nane za St. Matthew's  kuanzia elimu ya Awali , msingi kwa Secondary kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha sita. Ambako mzazi analipa hada kwa awamu nne.

Shule za St. Matthew's zina malengo ya kutoa elimu inayozingatia nidhamu, usalama kwa wanafunzi na malezi bora kwa wanafunzi wote  shule ya St Matthew's  inamuwezesha mwanafunzi kujiajili ama kuajiliwa amesema haya kwenye maafari ya kidato cha sita ya wanafunzi wapatao 97 wa shule ya St.Matthew's. 

Mkuu wa Shule ya St. Matthew's  Josefu Malahila ametoa wito kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita elimu na ujuzi walioupata wakatumie katika kutatuwa changamoto za kijamii.

Habari na Ally Thabit 

Wednesday, 19 March 2025

BALOZI RIBERATA MULAMULA AWATAKA WANAWAKE KUCHANGAMKIA FURSA MBALIMBALI

 Balozi Mulamula amewataka Wanawake Kuchangamkia fursa mbalimbali miongoni mwao zikiwemo fursa za kiuchumu ambako wakifanya biashara au ujasilia Mali watafanikiwa kiuchumi .

Pia amewataka wanawake wote wawe na elimu ya fedha amesema haya wakati wa kuwajengea uwezo wanawake na wasichana  walipo kutana na Women Shaping the future (SRS) jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit 

SAMIA 4×4 WANAWAKE WAJAWAZITO WAGUSWQ NA SAMIA 4×4


 Salmu Kikeke amesema Tarehe 5 ya Mwezi wa 4 mwaka  2025 amesema kutakuwa na msafara wa magari mia moja yataelekea mkoani Tanga eneo la pangani pia yatapita kwenye ushoroba wa saadani  lengo ni kuonesha mafanikio na maendeleo yaliofanywa narais  Dr Samia  kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wake.

Samia 4×4  itagawa vifaa vya kujifungulia wamama  wajawazito  ambako vifaaa hivyo ni zaidi ya elfu moja ivyo wanawake wote wanatakiwa kujitokeza kwa wingi .

Pia msafara huu utapokelewa na waziri wa maji Awesu Juma Awesu .katika msafara huu kutakuwa na uzinduzi wa miradi mbalimbali iliyotekelezwa na rais Dr samia  na kilele cha msafara huu wa Samia 4×4 utafikia tamati tarehe 8 mwezi wa 4 mwaka 2025.

Habari picha na Ally Thabit 

MAENDELEO BANK YAJA NA CLICK BANK SMILE

 Mwenyekiti wa Bodi ya Maendeleo Bank Plc Prof Ulingeta Mbamba Azindua Huduma ya CLICK BANK SMILE amesema uzinduzi wa Internet Banking .

Amechukua fursa ya kuwapongeza kwa dhati Menejimenti na  wafanyakazi wa Maendeleo bank kwa juhudi kubwa walizofanya kuhakikisha  huduma hii mpya ya  inakamilika na kuzinduliwa kwa mafanikio.jitohada,maarifa,na kujituma kwao kumeifanya Maendeleo bank kuwa kinara wa ubunifu katika sekta ya kifedha amewaponeza sana .

Katika Ulimwenngu wa sasa wa kidigitali,benkiinayoendelea ni ile inayokwenda sambamba na teknolojia- Click Bank Smile ni jibu sahihi kwa mahitaji yawateja wa leo wanaotaka huduma za haraka ,salama na zinazoweza kupatikana mahali popote  na muda wowote .

Hivyo Matarajio ya huduma  hii itaongeza ufanisi wa biashara, hasa kwa wafannyabiashaara wadogo na wa kati na kuokoa muda na gharama za wateja  kwa kila kitu kinapatikana kwa mfuso wa kidole  kwenye simu au kompyuta.

Huu ni ushahidi kwa Maendeleo Bank Plc inatekeleza kwa vitendo mkakati wake wa ukuaji wa kidigitali na kufanikisha azma ya kuwa benki ya kisasa inayoendana na mabadiliko ya kiteknolojia.

Kwa Mujibu wa Fin-Scope Survey ya Mwaka 2023 kiwango cha upatikanaji na matumizi ya huduma rasmi za kifedha kiliongezeka hadi 89% na 76% mwaka 2023 kutoka 86% na 65% mwaka 2017". Hii ilichangiwa sana na uimarikaji wa huduma za kifedha kwa njia ya kidigitali na hasa huduma za kifedha kwa njia ya simu.

Hivyo ni Imani kuwa huduma  hii ya Internet banking  si tu kwamba itawanufaisha wateja wa Maendeleo Bank  tu bali pia itasaidia ukuaji wa uchumi wa wananchi kwa kuongeza ujumuishi wa kifedha nchini. Kwa namna hii, Maendeleo Bank inachangia moja kwa moja katika malengo ya serikali , katika kuimarisha uchumi wa kidigitali na kuhakikisha wananchi wengi wanapata huduma za kifedha kwa urahisi zaidi.

Pia ametoa wito kwa watanzania wote kutumia  huduma hii ya CLICK BANK SMILE  ili kujionea urahisi wake na manufaa yake .Hii ni huduma iliyoandaliwa kwa ajili yenu hivyo ni jukumu letu kuitumia kwa tija . 

Kwa heshima na taadhima ,sasa ameitangaza rasmi kuwa huduma ya Internet banking  ya Maendeleo Bank Plc -CLICK BANK SMILE- imezinduliwa rasmi, leo tarehe 18 mwezi wa tatu mwaka 2025 .PONGEZI KWA MAENDELEO BANK PLC!.

Habari na Ally Thabit 

Tuesday, 11 March 2025

TAASISI YA BI AISHA SURURU YAAHIDI MAKUBWA KWA VIJANA


 Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Taasisi ya BI Aisha Sururu amesema wataendelea kuwawahifadhisha Quran vijana wote wa kitanzania na wasio watanzania lengo wamtambue mungu na wawe wenye maadili mama. 

BI Aisha Sururu ametoa wito kwa watanzania na wasio watanzania kutoa michango yao ya fedha na Mali ili taasisi yake ijenge madarasa na mabweni eneo la kiparang'anda mkoa wa pwani kiasi kinachoitajika ni zaidi ya bilioni mia nne.
Amesema haya jijini dar es salaam  kwenye mashindano  ya kuhifadhi Quran. 

Habari picha na Victoria Stanslaus 

Monday, 10 March 2025

AMANA BENK YAAIDI MAZITO


 Mkurugenzi wa Amana Benk Abubakari amesema watazidi kudhamini na kufadhiri mashindano ya Quran lengo kuwatia moyo wanaohifadhi na kusoma Quran  na kukikuza kitabu cha mungu amesema haya kwenye mashindano ya 25 ya kuifadhi Quran  yalioandaliwa na taasisi ya Bi Aisha Sururu foundation ambayo yamefany8ka jijini dar es salaam. 

Habari picha na Victoria Stanslaus 

BI ASHA DIWANI VITI MAALUM JIJI LA ILALA AIMIZA WAZAZI NA WALEZI KUWAPELEKA WATOTO WAO KUSOMA QURAN


 Diwani wa Viti Maalum  na Mweka hazina kwenye taasisi ya Aisha Sururu Foundation anawataka wazazi na walezi kuwapeleka watoto wao kusoma Quran  kwani kuna faida zinapatikana  zikiwemo kuwa na imani,kuulumia binadamu mwenzako,kuwana ofu na kuwa mwadilifu na weredi katika kazi na jamii kwa ujumla .

Habari picha na Victoria Stanslaus

MJUMBE WA ALMASHAURI KUU YA CCM APONGEZA MASHINDANO YA QURAN

 

Amoll Abudi Juma Mjumbe wa Almashauri Kuu ya ccm taifa mkoa wa dar es salaam  amempongeza bi Aisha Sururu kwa kuendesha mashindano ya quran kwa miaka ishilini na tano pamoja na kuwahifazisha maneno ya mungu watoto yatima,wajane,wasiojiweza,watu wa makundi maalum kwani kufanya hivi kunasaidia kupata watu wenye maadili,wenye ofu ya mungu na hatimae nchi ya tanzania inapata amani ,upendo na utulivu.

Habari picha na Victoria Stanslaus 

SHEIKH PONDA AELEZA UMUHIMU WA FUNGA

 Sheikh Issa Ponda  amewataka Waislamu wote wale ambao awana matatizo ya kiafya waweze kutekeleza nguzo ya nne ya kiislam kati ya tano wafunge ramadhani ndani ya mwezi huu wa ramadhani kwani watakuwa waja wema  pia wasome Quran mara kwa mara.

Habari na  Victoria Stanslaus 

SHEIKH CHIZENGA AELEZA FAIDA ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

 Katibu Mkuu  wa Baraza Kuu la Ulamaa Bakwata amewataka waislamu nchini tanzania wafunge ramadhani kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani kwani miongoni mwa faida watakazozipata ni kuimarika kwa afya zao .Pia mungu atawasamehe makosa yao na zambi zao pia anawasisitiza watanzania wote bila jujali dini,kabila,rangi na jinsia wazidi kumuombea afya njema rais Dr Samia  kwani amekalisha miradi yote na anatenda haki kwa kila mmoja hivyo ni vyema kumchagua kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka huu hakika mama samia mitano tena.

Habari picha na Ally Thabit. 

KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI AWATOA OFU WATANZANIA















Eng. Felchesmi J.Mramba  Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati amewatoa ofu watanzania  kuhusu uhamuzi uliofanywa na serikali yetu ya tanzania kwa kununua umeme megawati mia moja kutika nchi ya Ethiopia .

Kwani Umeme huu unanunuliwa kwa gharama ndogo  kwani umeme utasaidia mikoa ya kaskazini kupata umeme wa uhakika  kwenye viwanda na  maeneo wanayoishi wananchi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Eng Felchesmi J. Mramba amesema tanzania itapata umeme huu kupitia kutoka Ethiopia kwa kutumia miundombinu ya Kenya kwani Kenya na Ethiopia zipo karibu . Serikali ya tanzania imefanya uhamuzi huu kwa sababu tunapoteza megawati kumi na saba za umeme kwa kutumia kupitisha umeme kwa njia za ndani ya nchi yetu Pia sera zetu zinaruhusu kununua umeme nchi za nje .

Mfano Mkoa wa Rukwa umeme unaotumika ni kutoka nchi ya Zambia ,Umeme unaotumika  mkoa wa Kagera unatoka nchi ya Uganda hata nchi ya Ethiopia amnayo inatuuzia tanzania  umeme licha ina megawati elfu sita lakini bado inanunua umeme nchi zinginezo na mpaka sasa nchi zipatazo tatu zimeleta maombi za kuuziwa umeme na tanzania  na wamekubaliana na wapo hatua za mwisho nchi hizi ni Burundi,Rwanda na Zambia .

Na sasa Tanzania kwa Kushirikiana na Zambia wanatekeleza mradi wa Taza ambao megawati sita za umeme zitauzwa nchini Zambia na mradi umefikia asilimia hamsini .Nakampu  ya Mifodi ya Zambia itanunua megawati mia moja tanzania  nchi zinginezo  zitazonunu umeme tanzania Msumbiji,Marawi,Dr kongo

Katibu Mkuu amesisitiza kuwa bei tunayouziwa umeme na nchi ya Ethiopia  ni bei na fuu na rafiki kwani ni dora saba nukta saba sent .

Swala la Bwawa la Mwalimu Nyerere limeleta ukombozi katika kupatikana umeme wa kutosha nchini tanzania hivyo watanzania tuunge mkono uwamuzi uliofanywa na serikali yetu ya tanzania na tuendelee kumpongeza rais Dr Samia kwa kukamilisha bwawa la mwalimu nyerere na miradi mingineyo mpaka kuwezesha nchi kuondokana na tatizo la kukatikakatika umeme mara kwa mara.

Habari picha na Victoria Stanslaus