Friday, 11 July 2025

TAWA YAVUTIWA NA MWITIKIO WA WATU VIWANJA VYA SABASABA


 Zuwena Kikoti Muifadhi  Mkuu wa TAWA amesema kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 yanayofanyika jijini dar es salaam  wilayani temeke Tawa wamevutiwa kwa kiasi kikubwa kwa watu kujitokeza kwa wingi kuona wanyama .

Maombi ya watu kutaka kuwepo kwa Tembo na Twiga watafanyia kazi kutokana na mazingira ya Ikolojia  hata ivyo amewataka watu kufika eneo la Pande lililopo Bunju ambako kuna hifadhi ya wanyamapori ambako kiingilio elfu 11800 .

Habari picha na Victoria Stanslaus 

No comments:

Post a Comment