Mkurugenzi Mkuu wa PPRA Denisi Simba amewataka watanzania kuchangamkia fursa za Uzabuni wa tenda mbalimbali zinazotolewa na PPRA kwani serikali imetenga kiasi cha tilioni 38 kwaajili ya wale wote wanaopata tenda za serikali .
Denisi Simba amesema PPRA wameweka mazingira rafiki na wezeshi kwa makundi yote ikiwemo wanawake ,vijana,wazee na Watu wenye ulemavu Pia amewataka watu watembelee banda la PPRA kwenye maonyesho ya 49 ya sabasaba yanayofanyika jijini dar es salaam.
Habari picha na Ally Thabit Mbungo
No comments:
Post a Comment