Martin Alfred Lwafu ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha CBE kwa ngazi ya Diploma ICT amesema wakulima nchini tanzania wanapata changamoto nyingi sana katika kuuza mazao yao kwa njia ya MNADA ivyo ameamua kuja na mfumo wa Tehama ambao utamuwezesha mkulima kuuza mazao yake kupitia njia ya kidigitali ambako mkulima anaweza kutumia simu janja au kompyuta mpakato .
Kama inavyoonekana pichani mazao ya Mpunga na Korosho amesema haya ndani ya viwanja vya Sabasaba kwenye banda la CBE kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 jijini dar es salaam.
Habari picha na Ally Thabit
No comments:
Post a Comment