Saturday, 12 July 2025

CHAMA CHA USHIRIKA CHA MARA COOPERATIVE UNION WAMACU LIMITED YAJITANGAZA KWENYE MAONYESHO YA SABASABA YA 49 JIJINI DAR ES SALAAM


 Alfred Msajigwa Afisa Tehama Chama Kikuu cha Ushirika kutoka Mkoani MARA WAMACU LIMITED  amesema wao ni mara  ya kwanza kushiriki kwenye maonyesho ya Sabasaba  yanayofanyika wilaya ya temeke jijini dar es salaam  licha ya ugeni wao wamepata faida ya kujitangaza na kupata masoko ya kitaifa na kimataifa  ambako nchi ya Bulgaria,Ukraine  na Rashia. 

Kahawa yao aina ya Arabika ina ubora ivyo wanawataka watanzania na wasio watanzania kutumia kahawa yao aina ya Arabika . Chama kikuu cha Wakulima Mkoani MARA WAMACU LIMITED  itafanya ka'i ya kufungua masoko jijini dar es salaam  na mikoa mingine kwaajili ya kuwafikia wateja wao amesema haya kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 kwenye banda la Wizara ya Kilimo .

Habari picha na Ally Thabit 

No comments:

Post a Comment