Monday, 7 July 2025

PICHANI NAMNA YA JOSEPH JOACHIM MTEI


Kama inavyoonekana  Pichani Kijana  Joseph Joachim  Mtei hii ndio njia ambayo anatumia kuchora ramani za majengo ambako chuo cha Veta  Dodoma  ilivyoweza kumpa mbinu ya kuchora ramani kupitia miguu yake, Joseph Joachim Mtei anawataka watu watembelee kwenye banda la Veta ndani ya viwanja  vya Sabasaba kwenye maonyesho  ya 49 jijini dar es salaam. 

Lengo wajifunze namna  ya watu wenye ulemavu  wanavyofanya kazi zao na Veta walivyoludisha tumaini la watu wenye ulemavu  katika maisha yao .

Habari picha na Victoria Stanslaus 

No comments:

Post a Comment