Tuesday 22 May 2018

BANK YA DCB YA TANGAZA NEEMA NZITO.
Akielezea neema hiyo Mkurugenzi wa benki DCB (godfrei ndalwahwa),wata toa mikopo kwa masharti nafuu kwa wajasiliamali vijana na wanawake ilikuweza kujikwamua kiuchumi na kimaisha,pia amezitaka almashauri kupeleka fedha zao kwenye benki hiyo.
Amesema hayo kwenye maonyesho ya siku nne ya wajasiliamali kwenye viwanja vya manazi moja yalio andaliwa na manispaa ya ilala pia wanatoa mikopo ya nyumba.
habari picha na ALL THABITI
habari picha na ALL THABITI


BENKI YA CRDB YAJA KIVINGINE.
Afsa biashara wa tawi la vijana aitwe ZAINABU MANORO wa benki ya CRDB amesema wameamua kutoa huduma kwa wajasiliamali wakiwa na lengo la kuwawezesha kiuchumi kwa kuanzisha huduma ya FAHARI HUDUMA pamoja na mikopo kwa wajasilia mali mojamoja na vikundi na mikopo nafuu na rahisi kwa wajasiliamali wanawake, amesema hayo kwenye viwanja vya mnazi mmoja wakati wa maonyesho ya ujasiliamali.

habari picha na ALL THABITI



























LETSHEGO YA WATOA HOFU WATANZANIA.

Afisa mahusiano wa LETSHEGO amewataka watanzania kujiunga na benki yao kwani umeenea kwakwakiasi kikubwa na wanatoa mikopo kwa bei nafuu nawanapatikana morroko jijini dar es salaam.
habari picha na ALL THABITI



MADIWANI WALAANI VIKALI MASHAMBULIO.

Madiwani wa manispaa ya kinondoni wamelaani vikali shambulio waliofanyiwa na mfanya biashara aliefahamika kwa jina la ALFONSI BEATA.Shambulo hilo lilitokea katika eneo la coco beach wakati kamati ya biaashara ilipo fika ilikufanya ukaguzi.
habari picha na ALL THABITI















MANISPAA YA KINONDONI YA MWAGA MABILIONI YA PESA.
Mstahiki meya wa manispaa ya kinondoni BENI SITA,amesema kua kiasi cha bilioni 14 imetengwa kwaajili ya ujenzi wa eneo la coco beach wakiwa na lengo la kuwezeza kipato kuingia katika manispaa huku akiwato hofu wafamya biashara wadogo hasa watu wakipato cha chini.

habari picha na ALL THABITI





Monday 21 May 2018