Thursday 16 May 2024

MATAPELI WA MTANDAONI WATIWA MBALONI

 Mkuu wa Jeshi la Police Kanda Maalum ya Dar es salaam  Jumanne Mulilo amesema wamewakamata watu 27 jijini dar es salaam ambao wamekuwa wakifanya utapeli kwa kutumia raini za simu za mkononi  ,matapeli hawa walikuwa wanatuma jumbe kwenye simu tofautitofauti ili watumiwe pesa .

Jeshi la Police linawashukuru wananchi kwa kutoa taarifa ambazo zimepelekea kukamatwa kwa matapeli hawa ,kamanda Mulilo amesema mpaka sasa jumla ya matapeli wanaotumia simu za mkononi kwaajili ya kutapeli watu wameshakamatwa 85 amesema haaya wakati akizungumza na wanahabari makao makuu ya Jeshi la Police kanda maalum jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit 

Wednesday 15 May 2024

DR LUCAS MAGANGA MTAFITI NIMR MBEYA AELEZA CHANJO KUMI 10 ZA UKIMWI


 Taasisi ya NIMR  Mkoa wa Mbeya inafanya tafiti kwenye magonjwa mbalimbali mfano marelia,ukimwi ,  Kifua kikuu ,kansa na magonjwa mengineyo Dr  Lucas Maganga mtafiti taasisi ya utafiti NIMR  Mbeya ameitaka jamii kuwa na uvumilivu kwa watu wanaofanya tafiti kwani tafiti autoi majibu ya hapo kwa hapo.

Ameitaka jamii watafiti wanapoenda kufanya tafiti zao wawape ushilikiano wa kutosha kwani utafiti unaitaji ushiliki mkubwa wa jamii , taasisi ya NIMR  Mbeya inafanya kazi ya utafiti kanda ya kusini pamoja na mkoa wa mbeya kwa ujumla ambako mwaka1990 taasisi hii ilikuwa na mashilikiano na wabia kutoka ujerumani na marekani lakini ilipofika mwaka 2008 taasisi  hii ya utafiti Mbeya ilichukuwa na taasisi ya utafiti NIMR  ambako kwa sasa inatambulika taasisi ya utafiti  NIMR  Mbeya.

Dr Lucas Maganga amesema taasisi ya NIMR  Mbeya imefanya tafiti za chanjo 10 za UKIMWI  lengo kupata tiba na namna ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa UKIMWI  kupitia chanjo hizi walizofanyia tafiti taasisi ya NIMR  Mbeya inajumla ya wataalam 170

Kupitia Tafiti zao Wana Mipango na Mikakati ya kufikia makundi yote kwa sasa watu wenye uziwi wana mtaalam mmoja ambaye anatumia Lugha ya Alama, taasisi hii inasaidia serikali katika kufanya mabadiliko  ya kisera kwenye sekta ya afya.

Habari picha na Ally Thabit 

KAMATI YA BUNGE INAYOSIMAMIA MASWALA YA UKIMWI,AFYA NA MAZINGIRA YATEMBELEA TAASISI YA UTAFITI IFAKARA INSTITUTE


 Mbunge wa Jimbo la Ndanda na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge inayosimamia Ukimwi,Afya na Mazingira Devidi Mwambe akimwakilisha Mwenyekiti wa Kamati hii kama amavyoonekana pichani akipata maelezo kutoka kwa mtafiti wa taasisi ya IFAKARA INSTITUTE  Kama wanavyoonekana pichani wakiwa kwenye banda. Ambako mtafiti huyu akimwelezea namna taasisi ya IFAKARA ilivyogundua inside ya kukabiliana na mbu lengo ni kutokomeza marelia nchini.

Habari picha na Ally Thabit .


TAASISI YA IFAKARA YAIMIZA USHIRIKIANO KWA WANANCHI


 Alex Limwagu Mtafiti wa Taasisi ya Ifakara amesema kongamano  la kisayansi  la 32  litasaidia kwa kiasi kikubwa katika kuleta mabadiliko ya kiutafiti nchini tanzania kwani watafiti wengi kutoka nchi mbalimbali wataeleza mbinu na njia wanazozitumia katika kufanya tafiti zao pamoja na teknolojia za kisasa za kufanyia tafiti.

 Ameipongeza na kuishukuru NIMR  kwa kuweka kongamano ili kwani litajenga mausiano mazuri na watafiti hapa nchini na nje ya nchi na kukuza ushirikiano wa kitafiti.

Ametoa wito kwa jamii kutoa ushilikiano pindi watafiti wanaitaji taarifa kwaajili ya utafiti pamoja na maeneo ya kufanyia tafiti mfano bila utafiti wa kuuwa mbu kwa kutumia dawa using fanyika mpaka Leo mazalia ya mbu yangekuwa  mengi na kusingekuwa na tafiti ya kutibu marelia watu wengi wangekufa kwaajili ya marelia. 

Amesema haya kwenye kongamano la 32 la watafiti wa sayansi lililoandaliwa na NIMR  kwenye ukumbi wa mwalimu nyerere  jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit 

KAMATI YA UKIMWI AFYA MAZINGIRA YA BUNGE YAPONGEZA TAFITI ZA NIMR


 Mbunge wa Mkoa wa Lindi Devidi Mwambe ambae amemwakilisha Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ukimwi na afya mazingira amesema tafiti zinazofanywa na NIMR  zinafaida kubwa Sana ,kwani tafiti hizi zinatatuwa changamoto katika jamii na zinasaidia kwa kiasi kikubwa katika kuboresha na kuandaa sera kwenye sekta ya afya.

Mbunge Mwambe ameipongeza NIMR  kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kufanya tafiti zenye tija na mafanikio makubwa ikiwemo namna ya kukabiliana na HIV na magonjwa mengine . Swala la tafiti kuwekwa kwenye maandishi ya nukta nundu kwaajili ya wasioona ni muhimu pia matumizi ya Lugha za alama kwa wenye uziwi ni vyema yazingatiwe.

Amesema haya kwenye kongamano la 32 la utafiti wa  kisayansi  uliofanyika ukumbi wa mwalimu nyerere  jijini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit 

TCRA YAKUTANA NA WADAU WA HABARI

 Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tcra Mwandisi Kisaka amesema lengo la kukutana na wadau wa habari ni kuweza kujadili changamoto wanazokutana nazo ili serikali iweze kufanyia kazi.

Habari na Ally 

Tuesday 14 May 2024

NAIBU WAZIRI MKUU AIPONGEZA NATIONAL INSTITUTE FOR MEDICAL RESEACH (NIMR)


 Dr Doto Mashaka Biteko amesema tafiti zinazofanywa na  National Institute  for Medical Reseach (NIMR) zinasaidia kwa kiasi kikubwa katika kukuza sekta mbalimbali nchini tanzania Pia tafiti hizi zinawezesha serikali kufanya maamuzi sahihi kupitia tafiti zao na kupelekea kupatikana maendeleo kwa haraka na kwa kasi nchini tanzania .

Naibu Waziri Mkuu Dr Doto Mashaka Biteko amesema serikali itaendelea kutoa fedha nyingi kwenye National  Institute for  Medical Reseach (NIMR) wafanye tafiti zao za sayansi  kwa kisasa kupitia teknolojia mpya kwani tafiti zao zimeboresha huduma za kiafya nchini na kupelekea kuwepo na madiliko ya sera za afya.

Pia serikali itaendelea kuboresha miundombinu kwenye mahabarata wanazofanyia tafiti na kuongeza wafanyakazi kwenye taasisi  pamoja na kuboresha maslai yao.amesema haya kwenye kongamano la 32 lililojuisha watafiti wa kisayansi  kutoka mataifa mbalimbali duniani ambako linafanyika jijini dar es salaam  ukumbi wa mwalimu nyerere. 

Habari picha na Ally 


MKURUGENZI WA NIMR AHAIDI MAZITO KWENYE KONGAMANO LA 32 LA TAFITI ZA KISAYANSI


 Prof Saidi Abudi Mkurugenzi  Mkuu wa Taasisi ya Tafiti Tanzania NIMR  amesema kongamano ili la 32 lililowakutanisha watafiti wa kisayansi kutoka nchi mbalimbali duuniani litasaidia kutatua changamoto mbalimbali za tafiti pamoja na kuwawezesha watumishi wa NIMR  wanaofanya tafiti kupata mbinu mpya za tafiti na kujifunza teknolojia za kisasa za kufanyia tafiti .

Kongamano ili litasaidia kufanya maboresho ya sera za utafiti tanzania, Prof Saidi Abudi amemshukuru na kumpongeza rais Dr Samia  kwa kutoa fedha nyingi kwenye taasisi ya NIMR  ambazo zimesaidia kwa kiasi kikubwa kufanya uwekezaji kwenye vituo 7 vya utafiti ikiwemo  Mbeya,Mwanza,Amani,Dar es salaam  upande wa muhimbili na mabibo,Morogoro na Pwani uko kote tafiti zinafanyika kwenye marelia,Tibii na magonjwa mengineyo.

Amesema haya kwenye kongamano la32 la kisayansi jijini dar es salaam ukumbi wa mwalimu nyerere 

Habari picha na Ally Thabit .

DR KAPOLOGWE ABAINISHA UMUHIMU WA UTAFITI


 Dr Kapologwe Kutoka NIMR amesema Tafiti zinasaidia kwa kiasi kikubwa katika kutatua changamoto zilizopo kwenye Jamii mfano sekta ya Elimu ,kilimo na sekta zinginezo Kupitia taasisi ya NIMR  sekta ya afya imeweza kukuwa kwa kiasi kikubwa mpaka kupelekea kuwepo na huduma bora za afya haya yote yamefanywa na taasisi ya NIMR. 

Dr Kapologwe amesema tafiti zinazofanywa na NIMR  ni jumuishi kwa makurdi yote amesema haya kwenye kongamano la 32 la tafiti za kisayansi jijini Dsm  ukumbi wa mwalimu nyerere.

Habari picha na Ally Thabit 

DR ERIZABETI SHAYO AELEZEA TUZO ALIOIPATA

 

Mtafiti kutoka Taasisi ya NIMR Tanzania amesema Tuzo alioipata leo nikwaajili ya tafiti anazozifanya zilivyoweza kusaidia mabadiliko kwenye sekta ya Afya ambako imepelekea mpaka kuwepo na mabadiliko makubwa ya kisera ambako apoawali kwenyesekta ya afya kuna sera zilikuwa zinakwamisha upatikanaji wa huduma bora za afya tanzania.

Pia ameandika Majarida ambayo yalizungumzia matatizo yaliopo kwenye sekta ya afya na kutoa mapendekezo na mabolesho ya sekta afya ,ambako serikali kupitia taasisi ya NIMR imefanyia kazi na kuleta mabadiliko kwenye sekta ya afya .

Dr Erizabeti Shayo ameweza kuwatia moyo wasichana na wanawake kushiliki kwenye maswala ya tafiti na kupenda masomo ya sayansi .ametoa wito kwa wazazi na walezi kuwasomesha watoto wa kike kwani wanauwezo mkubwa wa kufanya  kama rais Dr Samia. Amewataka kutenga muda wakuwa na familia pamoja na malezi pia washiliki katika shughuri mbalimbali  za kiuchumi.

Swala la tafiti kuwafikia watu wenye makundi maalum ni muhimu na lina tija amesema haya kwenye kongamano la 32 la kisayansi lililoandaliwa na taasisi ya utafiti tanzania NIMR jijini dar es salaam  ukumbi wa mwalimu nyerere.

Habari picha na Ally Thabit 

Monday 13 May 2024

ESTA MAMBALI ABAINISHA MIKAKATI YA WIZARA YA AFYA


Esta Mambali wa Wizara ya Afya amesema katika kukabiliana na maswala ya afya na mazingira wizara ya afya inatekeleza kwa vitendo jitihada na juhudi za rais Dr Samia  kwa kufanya miradi mbalimbali ya kuondoa ualibifu wa mazingira kwa kuimiza wananchi matumizi ya nishati safi ya kupikia ambako wizara ya afya imeandaa machapisho mbalimbali pamoja na utoaji wa elimu kwa wananchi na watumishi wa wizara ya afya  namna ya kuzingatia utunzaji wa mazingira ambko itasaidia kwa kiasi kikubwa kuondokana na mabadiliko ya nchi.

Mfano wanawaimiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia na waachane na matumizi ya kuni na mkaa amesema haya kwenye semina  iliowakutaanisha mabibiafya na mabwanaafya ukumbi wa mwalimu nyerere  jijini dar es salaam  .

Huku Esta Mambali akisisitiza kuwa elimu wanazozitoa wanafikia makurdi yote wakiwemo watu waishiopembezoni na makurdi maalum wakiwemo watu wenye ulemavu wa aina zote.

Habari picha na Ally 

CUF KUSIMAMISHA WAGOMBEA WANAWAKE UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA


 Mwenyekiti wa Chama cha CUF Prof Hibrahim Haruna Lipumba amesema uchaguzi wa serikali za mitaa ambao unafanyika mwaka huu 2024 chama cha cuf kitasimamisha kwa wingi wanawake ili wagombee nafasi  za wenyekiti na ujumbe Tanzania nzima kwani wanawake wanauwezo mkubwa wa kuongoza pia amesema watawaunga mkono na kuondoa vikwazo vilivyokuwavinafanya wanawake washing we kugombea  huku akiwataka wanawake wajitokeze kwa wingi katika kuchagua na kuchaguliwa kwenye uchaguzi huu.

Mwenyekiti Lipumba amesema elimu wanayoitoa TGNP ya watu kuachana na mira na desturi potofu dhidi ya wanawake katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ni mzuri na ni vema vyama vote vya siasa kuunga mkono juhudi na jitihada hizi zinazofanywa na TGNP kwa kuondoa vikwazo kandamizi na mira desturi potofu zinazokuwa kikwazo kwa wanawake kugombea nafasi za uongozi.

Ametoa wito kwa wanaume nchini kuwachana na mifumo dume badala ÿke wawape ruksa wanawake kugombea nafasi za uongozi amesema haya kwenye kongamano la miaka 60 ya muungano lililoandaliwa na shirika la utangazaji TBC maktaba ya taifa chuo kikuu mlimani nilipofanya nae maojiano.

Habari picha na Ally Thabit 

TCCIA WAIPONGEZA TANTRADE


 Mkurugenzi  wa Tccia Oska Kisanga amesema tantrade imewasaidia kwa kiasi kikubwa kupeleka biashara zao nchini Korea Kusini  baada ya kuingia makubaliano na nchi hiya ambako mwanzoni ilikuwa vigumu watanzania kupeleka biashara zao nchini Korea Kusini.

Habari picha na Ally Thabit 

TANTRADE YATEKELEZA KWA VITENDO DHAMIRA YA DR SAMIA


 Mkurugenzi wa Tantrade Latifa M Khamis amesema  wameingia makubaliano na nchi ya Korea Kusini lengo wafanyabiashara watanzania waweze kupeleka biashara zao kwa uhuru ambako itasaidia kwa kiasi kikubwa  kukua kwa biashara za watanzania .

Makubaliano haya yamefungua milango ya Wakorea Kusini kuja kuwekeza Tanzania. Bi Latifa M Khamis amesema tantrade inatekeleza haya kwa vitendo kwaajili ya kumuunga mkono rais Dr Samia falsafa ya kukuza diplomatic ya uchumi ambako kwenye maonyesho ya sabasaba ya mwaka huu kutakuwa na siku ya bidhaa za Korea amesema jijini dar es salaam  alipokutana na  wakorea.

Habari picha na 

RAIS DR SAMIA KUONGOZA MKUTANO NCHINI UFARANSA


 Waziri wa Mambo Ya Nje na Ushilikiano wa Afrika Mashariki January Makamba amesema rais Dr Samia anaenda nchini  Ufaransa kwaajili ya kuongoza mkutano wa kujadili matumizi ya nishati safi ya kupikia ambako rais Dr Samia yeye ndio Mwenyekiti Mwenza wa maswala ya nishati safi ya kupikia .

Mkutano huu utaudhuliwa na mataifa mbalimbali kutoka duniani kote lengo kuu la mkutano ni kujadili sera,sheria,kanuni na taratibu zinazokwaimisha na kuludisha nyuma mipango ya nishati safi ya kupikia kwa nchi za Afrika ,pili kubolesha na kulekebisha sera,sheria,kanuni na taratibu zilizopo sasa na tatu kuzitaka nchi zilizoendelea na makampuni makubwa kutoa fedha na ahadi mbalimbali ambazo zitasaidia katika kuarakisha matumizi ya nishatisafi ya kupikia.

Waziri January Makamba amesema Tanzania imepata nafasi kubwa ya kushiriki mkutano huukwa sababu rais Dr Samia amekuwa kinara na ameweka mikakati mizuri na mikubwa katika kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia  Mkutano huu utafanyika tarehe 14 /5/2024 amesema haya jijini dar es salaam kwenye office ya mambo ya nnje.

Habari picha na Ally Thabit 


Thursday 9 May 2024

MKURUGENZI WA MILKI BUNIFU ABAINISHA MIKAKATI YA KUWAFIKIA WATU WENYE


 Loy Mhando Mkurugenzi wa Milki bunifu  Brela amesema kupitia mkataba wa marakeshi inayozungumzia maswala ya kujumuisha watu wenye ulemavu namna ya kupata taarifa kwaupande wao brela kupitia milki bunifu  kwenye shughuri mbalimbali ikiwemo utoaji wa elimu na wataweza kuwafikia watu wenye ulemavu wa aina zote .

Kwa wenye uziwi watatumia wataalamu wa rugha za alama ili na wao waweze kupata taarifa na kufaidika na milki bunifu,kwa wasioona brela inamikakati yakuweza kuweka maandishi ya nukta nundu ili na wao waweze kupata taarifa mbalimbali na kushiliki kikamilifu kwenye milki bunifu kwa ngazi zote.

Amesema haya jijini dar es salaam  kwenye maazimisho ya siku  milki bunifu ambako kila mwaka ufanyika tarehe 26/4 Duncan kote.

Habari picha na Ally Thabit 

RAIS DR SAMIA APIGA MALUFUKU MATUMIZI YA MKAA

 Rais Dr Samia amezitaka taasisi zote za kiserikali ifikapo mwezi wa nane 8/2024  taasisi ziachane na matumizi ya mkaa na kuni wakati wa kupika kwani matumizi haya ya mkaa canaletto athali kubwa ya kiafya na mazingira kwa ukataji wa miti.

Pia serikali iko kwenye mango wa kushusha bei ya gesi za kupikia ili kila mtanzania aweze kutumia nishati safi katika kupika chakula. Nae kwa upande wake Spika wa bunge la tanzania dokta Tulia Akison amesema nishati safi ya kupikia inasaidia kwa kiasi kikubwa kwa kukuza wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla

piainawaepusha wanawake na vijana kuepukana na vitendo vya ukatili wakati wanapoenda kukata kuni mfano kubakwa na vitendo vya uzalilishaji.

Kwa upande wake waziri mkuu amewataka wakuu wa wilaya,wakurugenzi, wakuu wa mikoa na watendaji wote kusimamia na kuwaimiza wananchi wote wazingatie matumizi ya nishati safi ya kupikia .

Nae waziri wa nishati Dr Doto Biteku ameahidi kutekeleza kwa vitendo maagizo na maelekezo ya matumizi ya nishati safi ya kupikia, pia ataenda kuwasimamia watendaji wote kutotumia kuni na mkaa kwenye taasisi zao na wakuu wa wilaya ,wakuu wa mikoa attendance kuwasimamia .

Waziri wa nishati amesema ifikapo mwaka 2034 watanzania zaidi ya asilimia 80%waweze kutumia nishati safi ya kupikia haya ndio malengo ya serikali waliojiwekea.

Habari picha na Ally Thabit 


BRELA YAWAESHIMISHA WABUNIFU

 

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu Brela Godfrey Nyaiza amesema brela wanafanya kazi kubwa ya kutangaza na kutafuta masoko kazi za wabunifu lengo wabunifu waweze kujikwamuwa kiuchumi na waweze kujiajili na waweze kujiajili wenyewe, ndio maana kwenye maazimisho ya wiki milki bunifu brela impinging makubaliano na chuo kikuu Mzumbe,chuo kikuu TIA, Kosota,chuo kikuu Mlimani na taasisi ya viwatilifu lengo wabunifu wafikiwe kwa uraisi na  wapewembinu mbalimbali za kazi zao.
Amesema haya jijini Dar es salaam  kwenyeaazimisho ya wiki ya milki bunifu ambako kila mwaka uazimishwa kila ifikapo tarehe26 mwezi wa 4 .

Habari picha na Ally Thabit 

NAIBU WAZIRI ATEMBELEA MABANDA YA WAWUNIFU


 Naibu waziri wa wizara ya michezo ,Sanaa na utamaduni Amisi Mwijuma amewapongeza na kuwatia moyo wabunifu nchini Tanzania na kuwaaidi kuwa kupitia brela kazi zao za ubunifu zitakuwa na mafanikio na kuwanyanyua kiuchumi.

Amesema haya baada ya kuwatembelea moja ya wabunifu jijini Dsm alipokabiziwa kazi anazozifanya mbunifu huyu.

Habari picha cha Ally thabiti

WANAWAKE WAJANE WAPONGEZA UCHECHEMUZI WA TGNP

 

Katibu wa Wajane  Kata ya Kibonde Maji Adija Abdallah amewapongeza TGNP kwa kazi wanayoifanya ya uchechemuzi  kwa kuamasisha watu kuachana na mila na desturi potofu zidi ya wanawake wanapoitaji kugombea nafasi za uongozi.

Ivyo amewataka wanawake nchini Tanzania kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi za serikali ya mitaa takao fanyika mwaka huu na uchaguzi mkuu takao fanyika mwakani kwenye udiwani,ubunge na uris.

 ametoa wito kwa wanawake wajane kuunga mkono  juhudi na  jitiada zinazofanywa na tgnp za kuwataka wanawake kushiliki kwenye chaguzi na amewataka wamaume kuondoa mawazo Uganda za kutoa nafasi kwa wanawake kugombea amesema haya jijini Dsm viwanja vya sabasaba kwenye wiki ya wanawake wajane nilipofanya nae maojiano.

Habari na Ally Thabit 

BRELA YAAZIMISHA WIKI YA UBUNIFU

Katika Maazimisho ya Wiki Bunifu Brela imefunguwa fursa kwa taasisi mbalimbali lengo kukuza bunifu na kuzilinda  kama inavyoonekana kwenye picha  taasisi zikitiliana saini kwenye hati ya makubaliano kwaajili ya kushilikiana  kwenye nyanja mbalimbali 

 Habari picha na Ally  Thabiti.

TIA YAIPONGEZA BRELA


 Mkuu wa Chuo cha TIA Prof Paranju amesema hati ya makubaliano waliosaini na Brela itasaidia kwa kiasi kikubwa kukuza bunifu,kupatikana kwa masoko ya kitaifa na kimataifa na Brela inasajili wajasilia Mali wa chuo cha TIA kwa Mwanza,Mbeya,dar es salaam, zanzibar na kwenye matawi ya TIA .

Prof Paranju amesema wafanyakazi wa tia pamoja na wanafunzi 28153 watanufaika na makuvaliano haya jijinini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit 

LIBERTY SPARKS WAITAKA SERIKALI KUBOLESHA SERA YA BIASHARA


 Mkurugenzi Mkuu wa Liberty Sparks Evance amesema ni vyema serikali kuweza kufanya mabadiliko ya sera na sheria  kwani itasaidia kukuza biashara.

Habari na Ally Thabit 

KANISA LA TAG LAJA NA MUAROBAINI WA MMOMONYOKO WA MAADILI


 Mchungaji Drt. Barbaras  Weston Mtokambali Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God. Amesema kanisa la Tag katika kukabiliana na maswala ya mmomonyoko wa maadili nchini Tanzania  wamewekeza vijana kwa kiwango kikubwa kwa kuwapa elimu mbalimbali za kumjuwa mungo na makatazo mbalimbali ambako kuànzia shule za awali,msingi,secondary na vyuo vyikuu kanisa la Tag linatoa mafunzo kwa wanafunzi wote wa shule za seeikali na binausi.

Ambako kanisa la Tag three 14/7/2024 kwenye uwanja wa uhuru jijini dsm wataazimisha miaka 85 tanguy kuanzishwa kanisa la Tag, pia kutakuwa na makongamano mbalimbali yatakayojumuisha vijana ,viongozi wa dini na viongozi kutifa mbalimbali na viongozi wa serikali.
Habari picha na Ally Thabit 

HAKI ELIMU YATOA MAPENDEKEZO YA BAJETI


 Makumba Mwenezi Meneja Idara ya Utafiti na Uchambuzi wa Sera haki Elimu amesema kwenye makadlio ya bajeti Elimu iliowasilishwa bungeni na Waziri wa elimu Prof Adofu Mkenda kiasi cha tilioni 1.9 bad akijafikia viwango vya kimataifa kwa kila nchi iwezekufikia asilimia20% lakini kwa Tanzania makadilio ya bajeti iliowasilishwa bungeni aijafikiwa haha kidogo.

Swala la mikopo ya elimu ya juu si rafiki kwa vyuo vya Ufundi na vyuo vya kati  kwani wanafunzi wa vyuo hivi awana sifa za kukopesheka na hata wanafunzi wa vyuo vya juu wasio somea masomo ya sayansi nao awana sifa za  kukopesheka.

Taasisi ya haki Elimu inaitaka serikali kuweka mifumo ya mikopo ya elimu rafiki kwa wanafunzi wote ,pia waondoe vikwazo na masharti magumu ya mikopo kwa wanafunzi wote.

Swala la mafunzo ya Amali ni vema serikali mafunzo haya yangeanza kuanzia kidato cha kwanza hadi 4 kwa shule zote za secondary za serikali na binausi, pia walimu wa mafunzo haya wawe na ujuzi wa kutosha

Elimu jumuishi bajeti yake sio rafiki.

Habari picha na Ally Thabit 

Tuesday 7 May 2024

COOK FUND YAONGEZA UWELEWA WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI


 Dr Peter amesema biashara ya hewa ukaa ni muhimu Sana kwani inasaidia kwa kiasi kikubwa katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ambako watu wataachana kupika kupitia kuni na mkaa kwa kiwango kikubwa.

Watanzania walio wengi wanapika kwa kutumia kuni na mkaa ndio maana taasisi  ya Cookfund wamesajili miradi ipatayo42 ya hewa ukaa na wamewezesha wataalamu 80 kwenye sekta 4 kwaajili ya kuwapa mafunzo ya matumizi ya hewa ukaa mpaka sasa washatoa semina6 za kuwajengea uwezo wataalam mbalimbali .

Lengo kubwa watu waingie kwenye biashara ya hewa ukaa ili kuzinusulu na kuziokoa ekta 48.14 milioni za misitu nchini Tanzania zisialibiwe kwa kukatwa.

Pia taasisi yao inatoa mafunzo kwa wakulima namna ya kutumia nishati safi ya kupikia ili wailing na kuitunza misitu yao na waingie kwenye biashara ya hews ukaa ambako itawasaidia kujiinua kiuchumi.

Habari picha na Ally Thabit 

WATANZANIA WAIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA YA HEWA UKAA


 Manual W Muro senior Finance Specialist  Cookfund Programme Meneger amesema biashara ya hewa ukaa inafaida kubwa ni vyema watanzania wajitokeze kwa wingi katika kuwekeza kwenye biashara hii ya hewa ukaa.

Kwani kwa Tanzania inafursa kubwa ya kufanya biashara hii kwakuwa kuna hekta za misitu zaidi ya milioni40  pia biashara hii itasaidia kwa kiasi kikubwa kuifadhi na kulinda misitu yet kwani wananchi wataacha matumizi ya kuni na mkaa katika kupika.  

Imanue W Muro amesema ni vyema serikali na sekta binausi waweke dira ya pamoja ili kufanikisha biashara ya hewa ukaa ,pia serikali ifanye mabolesho ya sera ,kanuni na sheria ya biashara ya hewa ukaa lengo kuwavutia watu wengi kuwekeza kwenye  biashara hii ya hewa ukaa.

Ambako sheria iliopo sasa ilianzishwa mwaka 2022  ,amesema haya jijini dar es salaam kwenye mkutano wa wadau wa hewa ya ukaa UNIDO,COOKFUND FOOD AND AGRICUITURE OF ORGANIZATION OF THE UNITED NATIONS NA UNCDF

 

Habari picha na  Ally thabit

Monday 29 April 2024

TAASISI YA TUME YA NGUVU ZA ATOMU (TAEC) YABAINISHA MAFANIKIO CHINI YA RAIS DKT SAMIA

 


Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Tume ya Nguvu za Atomu (TAEC) Professor Razaro Busagala amesema kipindi cha miaka mitatu kwenye uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wameweza kujenga maabara sita miaka ya Arusha, Dodoma, Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na Zanzaibar, 

Ambako kiasi cha shilingi Bilioni 28.11 zimeweza kutumika kwenye ujenzi wa maabara hizo lengo la kujenga maabara hizi ni kuwezasha usalama katika sekta ya kilimo, kwenye matumizi ya pembe jeo na viwatirifu, sekta ya afya ambako kuweza matumizi sahihi na yenye ubora kwenye vifaa vya MRI, CT-Scan ambako zimewawezesha watoa huduma watoe huduma kwa usalama kwao na kwa wapokeaji huduma hizi na sekta ya uchimbaji madini.

Ambako taasisi yao imeweza kufanikiwa kwa kiasia kikubwa katika uwangalizi na usimamizi wa matumizi ya Nguvu za Atomu haya kwao ni mafanikio makubwa sana, Profesor Razaro Busagala amesema kipindi cha miaka mitatu cha Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kiwango chao cha ukusanyaji wa fedha kimeongezeka ambako wamepata kiasi cha Bilioni 10.9, ukilinganisha na miaka ya nyuma walikuwa wanakusanya Bilioni 8.3 pia amewatoa hofu Watanzania na wasio Watanzania kuwa Tanzania kwenye nguvu za Atomu angani na ardhini ni salama, 

Swala la utowaji wa elimu kwa matumizi ya Nguvu ya Atomu wanatoa kwa kiasi kikubwa huku wakiwa na mipango mikakati kutoa elimu kwa watu wenye ulemavu, amesema haya jijini Dar es Salaam kwenye ukumbi wa chuo cha Utarii wakati akizungumzia mafanikio ya taasisi yao kwa miaka mitatu chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa na wanahabari mapoja na wahariri wa vyombo vya habari.

Habari Picha na Ally Thabiti

Tuesday 23 April 2024

ASKOFU DR PETER AIMIZA MAOMBI KWA RAIS DR SAMIA


 Mkurugenzi  wa Taasisi ya Kumuombea rais Dr Samia askofu dr Peter Rashidi amewataka viongozi wote wa kidini Tanzania wafanye maombi usiku na mchana kama inavyofanya taasisi yake lengo ili mungu amlinde na maadui,amuepushe na mitosis na aweze kufanya maamuzi yenye hekima na busala.

Ametoa wito kwa watanzania kuendelea kutunza na kuilinda amanita iliopo pia waendelee kuombea muungano wa nchi yetu uendelee kuhimarika

Amesema haya jijini dar es salaam kwenye maombezi na dua yakuombea taifa na miaka60 ya muungano.

Habari picha na  Ally Thabit 


VIONGOZI WA KIDINI WAUNGA MKONO KAZI YA TGNP


 Makalu Mwenyekiti wa Kamati ya Maliziano Wilaya ya Ilala na Mchungaji Liliani amewataka wanawake nchini Tanzania kujitokeza kwa wingi kugombea na kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za .

pia amewataka wanaume waache mfumo dume pamoja na mila na destuli potofu na kandamizi kwa wanawake finding wanapoitaji kugombea nafasi za uongozi  na badala yake wawaunge mkono na wawetayali kuwapa luusa wanapoitaji kugombea au kupiga kura.

Kwa niaba ya viongozi wa kidini kupitia kamati ya malidhiano wanaunga mkono na kuipongeza TGNP kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kutoa elimu kwa watu kuondokana na dhana potofu kwa wanawake yakuamini kuwa wanawake  awawezi kuongoza na badala yake kuonesha wanawake kuwa na uwezo mkubwa wa kuongoza.

Amesema haya jijini dar es salaam wakati wa maombezi na dua ya miaka 60 ya muungano viwanja vya karimjee.

Habari picha na Ally Thabit 

MEA KUMBILAMOTO ATETA NA VIONGOZI WA KIDINI


 Omary Kumbilamoto Mea wa jiji la dar es salaam amewapongeza na kuwashukuru viongozi wa dini akiwemo Askofu Dr Peter Rashidi kwa kufanya maombi ya kuliombea taifa la Tanzania  kwa kutimiza miaka 60 ya Muungano . 

Ambako askofu Peter pamoja na wenzake akiwemo askofu Crement,janeti,liliani,she Adam,imams Rashidi wa pugu mnadani kwa kupitia taasisi ya kumuombea rais Samia wamefanya maombezi na dua viwanja vya Kariimjee lengo rais Dr samia ,waziri mkuu kasimu majolica,makalu wa rais,Barbara la mawaziri,wakuu wa mikoa ,wakuu wa wilaya,wakurugenzi,mama na viongozi wote mungo awaepushe na shari na mikosi na awape moyo thabiti wa kuongoza nawawe na maamuzi mazuri na sahihi.

Mea kumbilamoto amesema kipindi cha miaka 3 rais Dr Samia ameweza kuleta maliziano ya kisiasa,kukamilisha miradi ya kimkakati mfano ujenzi wa mwalimu nyerere, Sgr ,daraja la kigongo busisi mwanza na ujenzi wa maharaja kuanzia msingi,secondary na vyuo vya kati.

Amewataka viongozi wa dini zote waendelee kumuombea rais Dr Samia katika uongozi wake amesema haya jijini dar es salaam  katika kuliombea taifa kwa kutimiza miaka60 ya muungano .

Habari picha na Ally Thabit 

Thursday 18 April 2024

MKURUGENZI SANTINA BENSON AAIDI MAKUBWA KWA WANAWAKE

 


Mkurugenzi wa Taasisi ya Thank Equal, Lead Smart Leadrship has no gender Santina Benson amesema mradi waliouzindua Leo hii  wa miaka mitatu3 wenye lengo la kuwainua wanawake kushika nafasi za uongozi katika sekta binausi na serikalini utasaidia kwa kiasi kikubwa na kuwezesha  kuwepo kwa mabadiliko ya sera za wanawake kuongoza .

Kubadili mira na nadesturi potofu kuwa wanawake awawezi kuwa viongozi ambako jambo ili sio la kweli na kuwawezesha wanawake kujikwamuwa kiuchumi  mfano kwenye sekta ya kilimo na zinginezo.

Santina Benson ametaka sekta binaus na wadau wengine wawaunge mkono kwenye mradi wao huku akiwashukuru Vodacom kwa kuweza kutoa kiasi cha fedha milioni 200 katika mradi waliouzinduwa Leo.          Swala la kuwafikia watu wenye ulemavu ili wawe viongozi wakubwa wamelibeba na kuaidi kulifanyia kazi ,amesema haya kilimanjaro hotel jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit 

VODACOM YATOA MABILIONI YA PESA

 Aneti Kanola wa Vodacom amesema wametoa milioni Mia mbili 200 kwa taasisi ya Think Equal, Lead Smart Leadership has no gender . Lengo kuleta mabadiliko ya sera ,kubadili mira na destuli potofu juu ya mwanamke kuwa kiongozi na kumwezesha mwanamke kujikwamuwa kiuchumi.

Ambako asilimia 60% ya wanawake wanajishuulisha na kilimo lakini uchumi wao upon chini. Aneti Kanola amesema mradi huu utakuwa wa miaka 3 na vodacom itaendelea kutoa elimu kwa wanawake ili wapate nafasi  za    uongozi ili wajikwamuwe kiuchumi.

Asilimia 43 ya wafanyakazi wa vodacom ni wanawake na pia wamewezakuweka  mazingira wezeshi kwa wanawake wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua amesema haya kwenye uzinduzi wa kampeni ya kuleta mabadiliko wanawake kushika nafasi za uongozi  jijini dar es salaam  kilimanjaro hotel. 

Habari na Ally Thabit 

Wednesday 17 April 2024

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI TASAC

David Kihemile Naibu Waziri wa Uchukuzi  ameipongeza Tasac kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kulinda usalama wa majini na utunzaji wa mazingira na usimamiaji wa meli zinapoingia nakutoka nchini.

Semina ya siku mbili walio isimamia na kuratibu ambakoimejumuisha nchi mbalimbali ikiwemo nchi ya Kenya, Uganda,Senegal,Kongo pamoja na yenyewe Tanzania  semina hii imejumuisha wadau wa vyombo vya majini Tanzania tutajifunza mambo mengi . 

Kwaupande mwengine serikali ya Tanzania kupitia wizara ya uchukuzi imewekeza kiasi cha fedha tilioni moja kwaajili ya kuboresha vyombo vya majini ikiwemo ujenzi wa meli ziwa Victoria pamoja na kulekebisha meli kwenye maziwa mengine.

Pia ujenzi wa vivuko na ununuzi wa vivuko kwenye maeneo mengine amesema haya wakati akifunga semina ya siku mbili ya madau wa majini today nchi mbalimbali iliyofanyika ukumbi wa mwalimu nyerere posta jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit 

KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI CHAWEKA MAMBO ADHARANI

 Naibu Kamishna wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Ramadhani Ng'anzi amesema rais Dr Samia kwa miaka mitatu ameweza kupunguza ajali kwa kiwango kikubwa Tanzania huku akilejesha mabasi kusafili usiku ambako mwaka 1990 mabasi yalisimamishwa kutosafili usiku.

pia kiwango cha pesa kinachokusanywa kutokana na makosa yanayofanywa na madereva barabarani amesema haya makao makuu ya police usalama barabarani jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit 


ACT WAZALENDO WALIA NA MAFULIKO RUFIJI

 

Ndugu Isihaka R. Mchinjita Waziri Mkuu Kivuli

Amemtaka waziri mkuu aende Rufiji aka one vifo,Mali na ualibifu wa mazao unaotokana na mafuliko ya maji kutoka rufiji Hiku akiitaka serikali kutenga pesa ya kutosha kwaajili ya mahafa. 

Waziri mkuu Kivuli wa chamade cha ACT Wazalendo  ameitaka serikali uchaguzi wa serikali za mitaa usisimamiwe na tamisemi na badala yake uchaguzi usimamiwe na time huru ya uchagu. 

Na sheria ya kikokotoo iweze kufanyiwa malekebisho kwani sheria iliopo sasa imekuwa mwiba mkali na mates kwa wastaafu pindi wanapoitaji pesa zao Waziri kivuli amesema haya takao makuu ya ACT Wazalendo wakati akizungumza na wanahabari jijini dar es salaam.

Habari na Ally Thabit 


VETA YATA MAFUNZO

 Mwalimu Salehe wa Chuo cha Veta ametoaa mafunzo kwa walimu wa vyuo vya Ufundi lengo kuwapa ujuzi wa namna bora ya kufundisha wanafunzi finding wanapojiunga na vyuo vya ufundi.

Ambako wilaya ya temeke walimu wengi wamejitokeza huku akitoa wito kwa walimu haha kuwapokea na kuwafundisha  maswala  ya fundi watu wenye ulemavu kwani wanauwezo mkubwa wa kufundishika.

Mfano chuo cha veta chang'ombe dar es salaam wanatoa mafunzo ya ufundi  kwa walemavu wa aina zote na kwaupande wao walimu waliopokea mafunzo haya kupitia mwenyekiti wa darasa Lao wameaidi kupitia mafunzo haya watawapokea na kuwafundisha watu wenye ulemavu kwenye vyuo vyao

Pia watakuwa mabalozi kwakuwaimiza wazazi na walezi kuwapeleka watu wenye ulemavu kwenye vyuo vya ufundi.

Habari na Ally Thabit 

Tuesday 16 April 2024

MINARA 758 KUTATUWA KELO ZA MAWASILIANO

 Mkurugenzi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote Justina Mashiba amewataka watendaji wa kata,mtaa,tarafa na wilaya kutokuwa kikwazo katika ujenzi wa mradi wa minara kwani kwani mfuko wa mawasiliano sawa kwa wote wanajenga minara 758 Tanzania  ambako mpaka sasa washajenga minara 98 imekamilika na kuwashwa.

Kiasi cha bilioni68 zimeshatolewa kwenye mradi huu changamoto kubwa wanayokutana nayo kunyimwa vibali vya ujenzi, vibali vya mipango miji na ubovu wa miundombinu ya barabara.  Ametoa rai kwa  madiwani, wakuu wa wilaya na wakurugenzi kutoa ushirikiano katika ujenzi wa minara.

Amesema haya kwenye semina na uzinduzi wa kampeni za ujenzi wa minara 758 jijini dar es salaam  habari na Ally Thabit 

MEHA WA UBUNGO AMPONGEZA RAIS SAMIA

 Safari Meha wa Ubungo amesema kwa miaka mitatu3 ya rais Dr Samia ameweza kutoa fedha za ujenzi wa shule za msingi na secondary kwenye wilaya ya ubungo . Pia ameraisisha  upatikanaji wa maji  ubungo na kibamba  ukilinganisha na mmiaka ya nyuma.

 huku akibainisha kuwa miundombinu ya Barabara pamoja na makaravati vimekamilika na kuwezesha ubungo kufikika kwa uraisi na kuimarima kwa masoko.

Ambako kumepelekea watu kujiajili na kuajiliwa . Mega Jafari ametoa wito  kwa watanzania waendelee kumuunga mkono rais samia  kwa kazi kubwa anayoifanya amesema haya kwenye Iftar iliyoandaliwa na Dawasa jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit

WADAU WA USAFIRISHAJI MAJINI WAKUTANA

 Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kutoka Zanzibar amewataka wadau wa sekta ya usafirishaji majini  waweze kueleza  changamoto  zinazowakabili wakati wakitimiza majukumu yao majini . 

Swala la mabadiliko ya hali ya hewa Baharini,mito na maziwa imekuwa kikwazo na kilio kwa wasafiri na kupelekea vivuko,merit,maboti na majahazi kuzama na kupelekea vifo kwa wasafiri na kupotea kwa Mali na kuaribika vyombo ya safari.

Waziri  Ali Saluum kutoka zanzibar amezitaka nchi za kiafrica kuchukua taadhari tabla ya kusafiri . Maswala ya kutekwa kwa meri imekuwa kilio kwa wamiliki wa meri , Ivyo amewataka viongozi wa Africa na wamiliki wa meri waungane na kuweka nguvu ya pamoja .

Kupitia semina hii  ilikutokomeza swala hili amesema haya kwenye seminar on Africa ferry safety iliyofanyika jijini dar es salaam 

Habari na Ally Thabit


KATIBU MKUU AIPONGEZA TIC

 Greison Msingwa Katibu Mkuu wa Wizara ya michezo,Sanaa na Utamaduni amekipongeza kituo cha uwekezaji TIC kwa kufanya kongamano lililojumuisha wadau wa sekta ya michezo,Utalii na ukarimu kujadili bursa za uwekezaji kuelekea Afcon 2027.

Lengo la kongamano kuwataka wadau awa kuweza kutoa huduma zilizo bora na nzuri kwa watakaoshiliki Afcon 2027. Katibu mkuu wa wizara ya michezo ameitaka TPSF wawekeze kwenye sekta ya michezo kwa kujenga mahotel pamoja na miundombinu mingine.

Kwani kupitia mashindano ya Afcon watapata faida kubwa na mafanikio mazuri kupitia uwekezaji wao . Ametoa wito kwa TIC  watafute wawekezaji ndani ya nchi na nje ya nchi wake kuwekeza kwa kasi kubwa katika ujenzi wa miundombinu ususani kwenye mahotel. 

Huku akiwaonya watumishi wa TIC wake Manaton huduma zenye ubora na rugha nzuri amesema haya  jijini dar es salaam ukumbi wa mwalimu nyerere

Habari na Ally Thabit

Sunday 14 April 2024

YANGA YAGAWA DOZI NZITO

 Msemaji wa klabu ya yannga Ali Kamwe amesema shindig wa magoli matatu walioyapata riding ya singida f.j ni dozi tosha na ni Salam katika kuelekea mechi ya Simba na Yanga itakayofanyika 20/4/2024 kwenye simba last Benjamini mkapa .

Ali kamwe amewashukuru wanachama na wapenzi wa yanga wa jijini mwanza kwa kuwaunga mkono mpaka kupata shindig wa magoli 3. 

Ametoa wito kwa wapenzi wa yanga kujitokeza kwa wingi kwenye mechi ya simba na yanga kwenye uwanja wa Benjamini mkapa jijini dar es salaam.

Habari na Ally Thabit

MWENYEKITI WA CHADWMA ATANGAZA KISASI KIZITO

Mwenyekiti wa vijana wa chama cha chadema John amewataka wanachadema na watanzania kujitokeza kwa winging three 22 /4/2024 mpaka three 30 ya mwezi wa 4 katika maandamano ya nchi nzima lengo nikushinikiza serikalo ya rais Samoa hiiondoe sheria kandamizi na ushushwaji wa being a vyakula ,mafuta  ,upandaji wa nauli na ukamatwaji wa watu ambao awana hatia. 

Mfano aliyekuwa kiongozi wa chadema mkoa wa njombe ndugu Sanga amble yup gerezani  kwa miaka 5 na mwenzake Omary wa mkpa wa pwani.

John ametaka uchaguzi wa serikali za mitaa usimamiwe na time hurt ya uchaguzi na sio tamisemi.

Habari na Ally Thabiti

Wednesday 3 April 2024

DAWASA YAELEZA MAFANIKIO YA MIAKA MITATU YA RAIS SAMIA


Katika miaka mitatu ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameweza kwa kiasi kikubwa kutekeleza kwa vitendo kauli yake ya kumtua mama ndoo kichwani kwa mafanikio makubwa na haya yanathibitishwa na Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya maji Dar es Salaam Kiula Kingu amesema tangu kuingia madarakani kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ameweza kukamilisha miradi midogo na mikubwa ya maji ambako bwawa la kidunda lenye thamani ya Bilioni 345 mradi huu umesainiwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambako bwawa hili litaweza kutoa maji kwa wingi katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani.

Pia kupitia Bwawa hili zitapatikana megawati 20 za umeme na kilometa 70 za barabara kwenda Ngerengere na uwepo wa Daraja Kubwa ambako itasaidia kukua kwa utarii, kilimo, upatikanaji wa samaki. Mradi wa Bilioni 72 ambao maji haya yatawafikia watu elfu 35, mradi wa maji mto Wami ambao gharama yake ni Bilioni 82, alafu mradi wa maji taka wa mbezi bichi wenye ukubwa wa kilometa 100.

Pia Rais Samia aliweza kutoa mashine za kuchimba visima saba kigamboni ambako imesaidia kwa kiasi kikubwa upatikanaji wa maji Ilala, Temeke na Kinondoni mkurugenzi mkuu wa Dawasa amesema Rais Samia amesaidia kuimalisha mifumo ya tehama ambako imesaidia kwa kiasi kikubwa ongezeko la ukusanyaji wa mpato na kuweka kamati za usimamizi wa maji kwenye mitaa na kuwezesha kupatikana kwa ajila kwa vijana wapatao elfu 680. Amesema haya makao makuu ya Dawasa Ubungo jijini Dar es Salaam.

Habari Picha na Ally Thabiti

MSAJILI WA JUMUHIYA ATANGAZA VITA

Bw. Emanuel Kiampa Msajili Mkuu wa Jumuiya wa wizara ya mambo ya ndani amewataka wato wote wenye jumuiya ambazo azijasajili wajisajili huku akiwataka wenye magroup ya Whatsapp waweze kujisajili mara moja kwa wale wote watakae kiuka maagizo na maelekezo haya atua kali zitachukuliwa zidi yao kwani kufungu cha 40 sheria namba tatu ya mwaka 2019 na sheria namba 337 iliyofanyiwa mabadiliko inawataka watu wote kusajili jumuiya zao kinyume na hapo hatua za kuwakamata wenye hizo jumuiya na kuwapeleka mahakamani na kufungiwa jumuiya hizo pia akiwataka wenye magroup ya Whatsapp kuweza kusajili magroup yao kwa shilingi laki mbili amesema haya wilayani Kigamboni mkoani Dar es Salaam kwenye kampeni ya kuhamasisha usajili wa jumuhiya pamoja na magroup ya Whatsapp.

Habari na Ally Thabiti

SHEIKH NURDEEN KISHKI KUGHALAMIA NDOA ZA VIJANA MIA MOJA

Mkurugenzi wa Taasisi ya  Taasisi ya Al- Hikma Foundation na Mwenyekiti wa Mashindano ya kuhifadhi Quruan Sheikh Nurdeen Kishki amesema atagharamia ndoa zipatazo mia moja kuanzia utoaji wa Pesa ya Mahali, Pesa ya Ukumbi pamoja na pesa ya vyakula kwa vigezo kumi kwa muoaji awe:-

1. Awe Muislamu, 2. Awe Mkazi wa Dar es Salaam, 3. Mawalii wawe wamekubali, 4. Awe na Kazi, 5. Awe Mtanzania, 6. Awe na Akiri Timamu, 7. Awe amechumbia, 8. Ajaze Fomu, n.k.  

Amesema haya Jijini Dar es Salaam.

Habari na Ally Thabiti

Thursday 28 March 2024

ACT YAWAPIGANIA WATU WENYE ULEMAVU KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Naibu Katibu mkuu wa mawasiliano na habari Shangwe Hayo ameitaka tume ya Taifa ya uchaguzi kuweka mazingira wezeshi pamoja na miundo rafiki kwa watu wenye ulemavu wanapokwenda kupiga kura kwa ajili ya kuwachagua viongozi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji mfano kuwepo kwa maandishi nukta nundu ili watu wasiona waweze kupiga kura kwa uhuru pia ameitaka serikali kupeleka mara moja mswada wa sheria ya uchaguzi amesema haya jijini Dar es Salaam makao makuu ya chama cha ACT Wazarendo wiliya ya Kinondoni.

Habari na Ally Thabiti

KANISA LA WRM LAJA NA TAMASHA LA KIBABE


Nabii Suguye amesema tarehe 01/04/2024 kanisa la WRM litatimiza miaka kumi na saba (17) tangu kuanzishwa kwake hivyo tarehe 01/04/2024 kutakuwa na tamasha siku ya jumatatu eneo la matembele ya pili kivule wilaya ya Ilala mkoa wa Dar es Salaam ambako mgeni rasmi atakuwa Jerry Siraa waziri wa Ardhi. Nabii Suguye amesema kanisa la WRM linavyotimizwa miaka kumi na saba imeweza kutoa vifaa tiba kwenye hospitali ya Kivule matembele ya pili, uwekaji vifusi kwenye barabara ya kivule, ujenzi wa madarasa shule ya msingi kivule na shule ya sekondari kivule, pia wametoa misaada kwenye mikoa ya Mtwara, Lindi, Bukoba na Morogoro na wameanzisha vituo vya Tv na Radio vinakuja hivi karibuni.

Nabii Suguye amewataka Watanzania na wasio Watanzania kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha lao siku ya jumatatu tarehe 01/04/2024 huku wakisisitiza pia wanamipango ya kuwasaidia watu wenye ulemavu na kuweka wataaramu wa lugha za alama kwa wenyeulemavu kwa wenye uziwi.

Habari Picha na Victoria Stanslaus

Tuesday 26 March 2024

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AZINDUA KAMPENI

 





Waziri wa mambo ya ndani Masauni Jumanne Masauni amesema wameamua kuzindua kampeni ya kusajili jumuiya zote nchini Tanzania lengo kukabiliana na utakatishaji wa fedha kwenye jumuiya, uuzaji wa silaa kupitia jumuiya, uuzaji wa binadamu na kuzibiti vitendo vya ugaidi waziri masauni amewataka watendaji wa kata viongozi wa wilaya na wakuu wa mikoa kushirikiana ili kuweza kuzisajili hizi jumuiya ambako kwa ngazi za kimataifa itasaidia kukuza na kuimalisha demokrasia naye kwa upande wake msajili wa jumuiya wa wizara mambo ya ndani amesema kampeni hi ya usajili wa jumuia utaanza Dar es Salaam mwanza, Arusha na Mbeya lengo kuu kuweza kuendelea kuimalisha usalama ndani ya nchi ametoa wito kwa wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali waje kuwekeza Tanzania. Amesema haya jijini Dar es Salaam ukumbi wa Mwl Nyerere kwenye uzinduzi wa kampeni wa kusajili jumuiya.


Habari kamili na Ally Thabiti 

Thursday 21 March 2024

tgnp yatoa mafunzo kwa wanahabari kuelekea uchaguzi

Mkurugenzi mkuu mtendaji wa TGNP mtandao LILIAN LIUNDI amewataka wanahabari pamoja wanahariri wa vyombo vya habari kuhamasisha wanawake kushiriki katika kugombea nafasi za uongozi huku akiwaambia waelimishe jamii waachane na mira na desturi potofu dhidi ya wanawake wanapotaka kugombea nafasi za uongonzi amesema haya wakati akifungua mafunzo ya wanahabari kuhusu kuhamasisha wanawake wajitokeze kwenye serikali za mtaa, ubunge na udiwani ili wapate nafasi za maamuzi ngazi za juu. Amesema haya Mabibo Dar es Salaam.

Habari Picha na Ally Thabith



Tuesday 19 March 2024

 Wakala wa Misitu wawafikia watu wenye ulemavu

kamishina wa wakala wa misitu Tanzania (TFS) Prof. DOS-SANTONS amesema katika miradi yao na utoaji wa Elimu wanazingatia watu wenye ulemavu.

kwa Mwaka jana mabubu walitoa semina katika Mkoa wa njombe huku mkoani Ruvuma kwa wenye uziwi kuna mradi wa ufugaji wa nyuki ,biharamuro pamoja na geita wakala wa misitu wamewapa mafunzo na kuwapa mitaji ya kulina asali na ufugaji wa nyuki katika shamba la SAO HILI , watu wenye ulemavu wanafanya shughuli za uvunaji miti na upandaji Miti.

Kamisha wa  TFS amesema katika utoaji wa Elimu kwa jamii wanatumia lugha za ALama kwa viziwi lengo la kufanya hivi kuweka fulsa sawa kwa wote , Amesema haya kwenye semina ya wahalili na vyombo vya habari.

kasi ya makusanyo ya fedha imeongezeka kwa kiwango juu ukilinganisha na mwaka 2015,ambapo walikuwa wakikusanya Bilioni 74.

kwa sasa wanakusanya kiasi cha Bilioni 175.huku akiwataka watu watumie Asali ya Tabaora maana ina ubora mkubwa.

ili kuandoa maswala ya hewa ukaa nchini Tanzania mkoa wa katavi wilaya ya Tanganyika unamradi wa kuondoa hewa mkaa na mkoa wa manyara eneo la wanzabe.

kila halimashauri inatakiwa wapande miti Milioni Moja na Laki 5 na Ardhi inafunikwa na miti hekta milioni 48,sawa na Asilimia 54 huku hekta milioni 47 za misitu zipo vijijini ,kilimo huchangia uwalibifu wa misitu asilimia 73.

Kamishina amewataka wahalili na wandishi habari kuelimisha juu ya utunzaji wa Misitu huku akiahidi ushirikiano kutoka tfs .

akisisitiza matumizi ya tekinologia na katika kukalibia na ulibiffu wa kukata miti , sheria kali zitawekwa.

Naye makamo mwenyekiti wa jukwaa la wahalili , salim amewataka wanahabari na wahariri wa habari , kuimiza jamii katika upandaji miti huku akipongeza kwa kuazisha viwanda 6 kwa ajili ya kuzalisha asali.huku akisisitiza kuazisha kwa haraka sheria kuzuiya matumizi na uwingizaji wa chain so

Habari picha :ALLY THABITI




Tuesday 12 March 2024

STEVE NYERERE ATAKA HATUA ZICHUKULIWE KWA WANAOMTUKANA RAIS


Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama ongea na mwanao Steve Nyerere ameitaka serikali kuwachukulia hatua wale wote wanaomtukana na kumbeza Mhe Rais kwani kuna sera, sheria kanuni na miongozo kwa watu wanaotukana kwani hii itakuwa fundisho na adabu kwa wengine.

mwenyekiti wa taasisi ya Mama ongea na mwanao amempongeza rais kwa kuongoza vyema watanzania zaidi ya milioni 61 na ndani ya mika yake 3 ya uongozi amezesha kukuwa afya, Barabara, usimamizi wa reri ya umeme SGR na kutekeleza kwa vitendo mradi wa bwwa la mwalimu nyerere na kukuza sekta ya elimu na kuzingatia watu wenye ulemavu ndio maana taasisi ya Mama ongea na mwanao wameamuwa kugawa viatu kwa wanafunzi wa aina zote mpaka sasa wametoaviatu mkoa wa Tabora Anang'i, Bagamoyo na mikoa ngingine zaidi ya pea mia tatu (300), huku Steve Nyerere amewataka wanasiasa na wanaharakati kufanya kazi zao kwa kufuata sheria za nchi, huku wakiendela kwenye mikoa 13 ambako kauli mbiu inasema "MTONYE MWENZIO MAMA TENA" amesema haya wakati akiongea na wanahabari jijini Dar es Salaam Serena Hotel.

Habari na Victoria Stanslaus.

Thursday 7 March 2024

VIONGOZI WANAWAKE WA TAASISI ZA SERIKALI WAMPONGEZA MHE.RAIS WA JMT DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Mheshimiwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalum Dkt. Doroth Gwajima  amemshukuru Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha wanawake na kuwepo na kizazi chenye usawa.

Akiendelea kuzungumza katika ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika Jijini Dar es Salaam Machi 07, 2024 Mheshimiwa Waziri Dkt.Doroth alisisitiza uongozi huo kuchukua vikundi vya kina mama ili wawe na umoja ambao utasaidia kujadili ajenda za usawa na uchumi pamoja na kujadili mafanikio na masuala ya ukatili kwa wanawake na watoto na jukwaa.

 "Niwapongeze kwa kuanzisha umoja huu hivyo Wizara inaahidi kufanya kazi na na ninyi katika kuongelea  mafanikio ya uwekezaji uliofanywa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia," alisema Mhe.Dkt Dorothy.

Naye Afisa Mtendaji Mkuu na Msimamizi wa Hakimiliki kutoka Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) Bi.Doreen Anthony Sinare amesema Umoja wa Viongozi Wanawake wa Mashirika, Taasisi na Vyuo vya Serikali wametoa tuzo kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuleta Maendeleo katika na kukuza Uchumi wa Taifa na kiongozi mwanamke wa mfano.

Akiendelea kuzungumza katika mkutano huo  Doreen alisema umoja huo una jumla ya viongozi 31, na lengo la Umoja hii ni kuwafikia wanawake viongozi kuanzia ngazi ya Vijiji, Kata, Wilaya na Mkoa ili kupata fursa mbalimbali.

Kwa upande wa Balozi Amina Salum Ali amewaomba wanawake kuungana ili wapate fursa na umoja huo unawajibu wa kushuka chini na kujua matatizo ya Wanawake wa waliongazi ya chini.

Nae Mkuu wa Ukuzaji Biashara na masoko kutoka Benki ya Mwalimu Commercial Bank Letcia Ndongole amesema wiki ya maadhimisho ya mwanamke duniani wameweza kuwekeza ili kuwafikia wanawake ngazi ya chini katika kukuza uchumi ambako asilimia 32% wanawake wamepiga hatua kwa kuwapa elimu kwenye kuwekeza na kuwapa mikopo hii yote ni katika kumsapoti mwanamke.

*Wekeza kwa mwanamke kuarakisha maendeleo ya Taifa na Ustawi wa Jamii 

Habari na Victoria Stanslaus


Wednesday 6 March 2024

 RAIS, Dr SAMIA SULUHU HASSANI KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI OFISI ZA CCM.

Poul mkonda kaibu mwenezi taifa ,ccm amasema katika kumuenzi na kumkumbuka hayati ALHAJI AL HASSAN MWINYI , aliyekuwa Rais wa Tanzania Awamu ya pili ,Dr samia ameamua kutenga siku moja kila mwezi kuzungumza na wananchio juu ya kelo mbalimbali za wananchi.

kero hizi zitasikilizwa kwenye ofisi za ccm lumumba, dodoma na zanzibar.

poul makonda ametoa wito kwa wananchi kuchangamkia fulsa hii na kujitokeza kwa wingi kutoa kero zao huku akitoa tahadhali na kuwaonya watumishi na watendaji na wa ccm na serekali walioshidwa kutoa kero za wananchi kuchukuiwa hatua kali .

Poul makonda amebainisha hayo wakati alipokutana na wanahabari katika ofisi ya ndogo  ccm iliyopo lumumba Dar es salaaam.

alikuwa anawasilisha taalifa ya ziara yake aliyofanya katika mikoa 23 tanzania bara , kero kuu ilikuwa ardhi na ukatili wa watoto , utekaji wa watu na viongozi kutokutatua kero za watu.


Habari Picha na Ally Thabiti

 BODI YA MICHEZO YA KUBAHTISHA TANZANIA YAKUZA UCHUMI KWA KASI KUBWA .

Mkurungezi mkuu mtendaji wa Bodi ya michezo ya kubahatisha Bwana JAMES , amesema ameweza kusaidia katika kukuza uchumi wa Tanzania kwa ongozeko la makusanyo ya kodi kila mwaka , utoaji wa vibali kwenye michezo ya kubahatisha na utoaji wa leseni kwa makampuni ya michezo ya kubahatisha .

ambako kwa muwekezaji kutoka nje uwekeza Dolla laki 5 . na muwekezaji wa ndani anatoa Dolla laki 3 .pia mwaka uliopita wamekusanya Fedha bilioni 170.

na mwaka huu Bodi ya michezo ya kubahatisha inampango wa kukusanya fedha Bilioni 200 na mpaka sassa wameshakusanya fedha bilioni 108 ndani y miezi 6.

ndugu james sector hii inasaidia kwa kiasi kikubwa.kuajili vijana wa kitanzania zaidi ya vijana elfu 25 kuajilwa. na makampuni 91 yamepewa leseni . ukilinganisha na miaka ya nyuma 28  tu .kwenye upande wa sector ya michezo .

mkurungezi mkuu mtendaji ametoa wito kwa wahariri na wanahabari kuelimisha jamii iliiyondokane na dhana potofu juu ya michezo ya kubahatisha .

na wenyewe waandike habari zenye mlengo za kuhamasisha jamiii na watanzania juu ya mchezo wa kubahatisha kwani kuna fulsa nyingi.

amesema hayo katika mkutano na wandishi wa habari uliyofanyika katika ukumbi wa chuo cha Taifa cha utalii.

Habari na Ally Thabiti.

Tuesday 5 March 2024

MERIDIAN NA TIGO PESA YAZINDUA PROMOSHENI MPYA YA CHOMOKA NA BAJAJI

Dar es Salaam 5 Machi 2024, Meridianbet, kampuni inayoongoza ya kubashiri, inafurahi kutangaza ushirikiano wa kipekee na Tigopesa, kampuni inayotoa huduma bora ya malipo kwa simu, kuanzisha promosheni ya kusisimua inayolenga kuwavutia mashabiki wa kubashiri kote Tanzania, kuanzia Machi 5 hadi Aprili 31,2024, promosheni hii inaahidi zwadi na burudani kwa washiriki.

Allan Rwebogora, Mwakilishi wa Meridianbet Tanzania alisema, "Tunafurahi kushirikiana na Tigopesa kuanzisha promosheni hii ya kusisimua kwa wateja wetu wapendwa, Sisi Meridianbet, tuna dhamira ya kutoa thamani na burudani bora kwa wateja wetu, na promosheni hii ushaidi wa auminifu wetu."

Kila siku, wateja wote wanaoweka pesa kwenye akaunti zao kubashiri kwa zaidi ya Shilingi 25,000 za Tanzania watapata spins za bure kwenye michezo ya kasino, zikiwapa fursa ya ziada ya kushinda kwa kiasi kikubwa wakati wanafurahia michezo yao pendwa ya kasino na kubashiri na kutakuwa na Jackpot ya Milioni 200 mzunguko 250. 

Zawadi za wiki: Washiriki wana nafasi ya kushinda zawadi za kuvutia za wiki, ikiwa ni pamoja na bonasi ya 10% inayowekwa moja kwa moja kwenye akaunti zao za kubashiri. Zaidi ya hayo, washndi watatu wenye bahati watachaguliwa kila wiki kupokea simu mpya za kisasa ambayo ubashiri wa meridianbet unaweza kupiga *149*10# bashiri kila siku kwa nafasi ya kushinda zawadi za kusisimua zaidi au tembelea kwenye tovuti www.meridianbet.co.tz . Zawadi kuu: Kama kilele cha promosheni, Meridianbet na Tigo zinafuraha kutoa zawadi kuu ya kipekee: washindi wattu wenye bahati kila mmoja atapokea Bajaji mpya, njia ya usafiri ya mtindo na rahisi inayoahidi kuboresha safari yao kila siku.

Naye Fabian Felician, Meneja biashara wa kampuni ya Tigo, anawahimiza wateja wa Tigo Pesa kuchukua fursa hii kwa kuweka pesa kwenye akaunti zao za kubashiri kwa kupiga *150*01#, Chagua Malipo ya Bili, kisha chagua na Ingiza namba ya Biashara 444999, ikifuatiwa na kiasi. 

Washindi watachaguliwa kupitia droo za kila siku, droo kuu ya wiki itafanyika kila Ijumaa na tangazo litafanyw kupitia mitandao yetu ya kijamii, Meridianbet na Tigo Pesa zinaendelea kutoa huduma bora kwa wateja wake kupitia promosheni zenye kuvutia na zawadi nyingi. Promosheni hii itaitwa "CHOMOKA NA BAJAJI. ameyasema hayo jijini Dar es Salaam.

Habari na Victoria Stanslaus

Tuesday 27 February 2024

WATU WENYE ULEMAVU WAPONGEZA TRENI YA UMEME

 Ally Thabiti ni kijana mlemavu wa kuona amesema mladi w reli ya mwendo kasi ya treni ya umeme (SGR) umezingatia maitaji ya watu wenye ulemavu wa aina zote kuanzia miundo mbinu kwenye kituo cha kupandia hiyo treni pamoja na ndani mabehewa yenyewe. hivyo kwaniaba ya watu wenye ulemavu wameishukuru serikali ya Tanzania chinu ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassani uku wakimpongeza mkurugenzi mkuu mtendaji wa shirika la Reli Tanzania Mwandisi Masanja Kadogosa kwa kuweza kusimamia mradi wa SGR na kuzingatia maitaji ya watu wenye ulemavu.


Habari Picha na Victilia Stanslaus

Saturday 24 February 2024

TTCL KUSAINI MKATABA WA MIAKA MITANO NA BBS

Waziri NAPE NAUYE amesema TTCL kusaini mkataba wa miaka 5 na nchi ya Buruni utakao dumu kwa miaka 5 wenye thaman ya shilingi Milioni Tatu nukta tatu (3.3) sawa na Shilingi Bilioni 8.3 ambapo kutaenda kudumisha ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi mbili (2). Amewaagiza TTCL kuakikisha BBS inapata huduma bora ili wapate kuendesha shughuli zao kwa uraisi, amewaomba Burundi kujitaidi hili kusaini mkataba wa kituo cha kutunzia data na kuimarisha sekta ya mawasiliano kwani Tanzania ipo tayari kuwahudumia Burundi na nchi zingine.

Mwandishi Peter Lwanga amemshukuru Rais kwa kutufunguria fursa katika ukanda wa Afrika Mashariki pia amewapongeza BBS kwa kukubari kushirikiana na Tanzania kupitia shirika la mawasiliano Tanzania kwa kutumia huduma za mkongo wa Taifa ambakko leo wamesaini mkataba wa Dola za Kimarekani Milioni 3.3 sawa na Bilioni 8.3 za Kitanzania ambapo mktaba huu utadumu ndani ya miaka mitano (5) ameahidi TTCL watawapa huduma bora. Kwani wanajivunia kuwa na uhusiano mzuri tangu mwaka 2019.

Shirika la mawasiliano Tanzania lipo tayali kutoa huduma bora na iliyo kamilika ambapo wanaamini ushirikiano huu utaimarisha uhusiano wa kindugu kati ya nchi zetu na kuchangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi wa Tanzania na Burundi. TTCL itaendelea kutoa huduma bora na kuendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika kukuza sekta ya mawasiliano nchini Tanzania. Haya yamesemwa na mwandishi Peter Luanga kutoka TTCL.

Bw. Jeremie Diomende hageringwe mtendaji mkuu wa Burundi Backbone System – BBS na viongozi wa BBS kutoka Burundi mtendaji mkuu amewashukuru Marais wan chi mbili kwa ushirikiano uliopelekea kusaini mkataba wa miaka mitano (5) kwa Dolla za Kimarekani 3.3 sawa na shilingi za Kitanzania Bilioni 8.5 kwani itasaidia kufanya shughuri zao kwa wapesi na ufanisi kwani Burundi inafurahia kuunganishwa na mkongo wa Taifa wa Tanzania ambao utaenda kuleta mabadiliko kwenye sekta ya mawasiliano na Tecknolojia kuongeza ushirikiano wa kibiashara kwani hili tukio ni la kiistoria katika sekta ya mawasiliano.

Habari na Victoria Stanslaus

Thursday 22 February 2024

TMA YATOA TAADHARI KWA WANANCHI JUU YA MVUA YA MASIKA


 


MWELEKEO WA MVUA ZA MSIMU WA MASIKA

MACHI – MEI, 2024

 

Kielelezo 1: Mwelekeo wa mvua za Machi hadi Mei, 2024.

 

Dondoo muhimu za msimu wa mvua za Masika; Machi - Mei 2024

 

Taarifa hii inatoa uchambuzi wa mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa na mwelekeo wa msimu wa mvua za Masika katika kipindi cha Machi – Mei, 2024, ushauri kwa wadau wa sekta na mamlaka mbalimbali kama vile Kilimo na Usalama wa Chakula, Mifugo na Uvuvi, Utalii na Wanyamapori, Uchukuzi, Mamlaka za miji, Nishati, Maji na Madini, Afya pamoja na Menejimenti za Maafa. Baadhi ya mambo muhimu katika taarifa hii ni: -

 

          i.    Mvua za Wastani hadi Juu ya Wastani kwa msimu wa Masika, 2024 zinatarajiwa katika maeneo mengi ya nchi yanayopata misimu miwili ya mvua kwa mwaka.

 

         ii.    Ongezeko la mvua linatarajiwa katika kipindi cha mwezi Machi, 2024.

        iii.    Mvua za Masika zinatarajiwa kuanza wiki ya nne ya mwezi Februari, 2024 katika maeneo mengi na zinatarajiwa kuisha katika wiki ya tatu na ya nne ya mwezi Mei 2024 katika maeneo mengi.

 

Athari zinazotarajiwa:

          i.    Vipindi vya unyevu wa kuzidi kiasi pamoja na mafuriko vinaweza kujitokeza na kuathiri ukuaji wa mazao na miundombinu ya kilimo.

 

        ii.    Kina cha maji katika mito na mabwawa kinatarajiwa kuongezeka.

       iii.    Magonjwa ya mlipuko yanaweza kujitokeza kutokana na uchafuzi wa maji.

 

 

 

1.     MWENENDO WA MVUA ZA MSIMU (NOVEMBA, 2023 HADI APRILI, 2024) NA MWELEKEO WA MVUA ZA MASIKA (MACHI – MEI), 2024

1.1     Mwenendo wa mvua za Msimu (Novemba, 2023 hadi Aprili, 2024)

Mvua za Msimu zilizoanza mwezi Novemba, 2023 zimenyesha kwa kiwango cha Juu ya Wastani katika mikoa ya Dodoma, Singida, Kigoma, Tabora, Katavi, Iringa, Ruvuma, Lindi, Mtwara na kusini mwa mkoa wa Morogoro na Wastani katika mikoa ya Rukwa, Mbeya, Songwe na Njombe katika kipindi cha Novemba, 2023 hadi Januari, 2024. Mvua hizi zilianza mapema wiki ya kwanza na ya pili mwezi Novemba, 2023 na zilitawaliwa na vipindi vya mvua nyingi zilizochangiwa na uwepo wa El Niño. Katika kipindi kilichosalia cha msimu (Februari hadi Aprili, 2024) mvua zinatarajiwa kuendelea kama ilivyotabiriwa mwezi Oktoba, 2023, ambapo kwa ujumla mvua zilitabiriwa kuwa za Wastani hadi Juu ya Wastani.

 

1.2       Mwelekeo wa mvua za Masika (Machi hadi Mei), 2024

Msimu wa mvua za Masika ni mahususi kwa maeneo ya nyanda za juu kaskazini mashariki (Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro), pwani ya kaskazini (kaskazini mwa mkoa wa Morogoro, mikoa ya Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Dar es Salaam, Tanga pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba), ukanda wa Ziwa Victoria (Mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara) pamoja na kaskazini mwa mkoa wa Kigoma. 

 

Kutokana na mifumo ya hali ya hewa inayotarajiwa katika kipindi cha Masika (kama inavyoelezwa katika kipengele Na. 2 cha taarifa hii), kwa ujumla mvua za wastani hadi juu ya wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi yanayopata misimu miwili ya mvua kwa mwaka. Ongezeko la mvua linatarajiwa mwezi Machi, 2024 katika maeneo hayo. Maelezo ya kina juu ya mwelekeo wa mvua hizo za msimu ni kama ifuatavyo:

 

i.   Kanda ya Ziwa Victoria: (Mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, na Mara) pamoja na kaskazini mwa mkoa wa Kigoma (wilaya za Kakonko na Kibondo):

 

Mvua za Masika zinatarajiwa kuwa za Wastani hadi Juu ya Wastani katika maeneo mengi ya ukanda wa Ziwa Victoria pamoja na kaskazini mwa mkoa wa Kigoma. Mvua za nje ya msimu zinazoendelea kunyesha zinatarajiwa kuungana na mvua za Masika 2024. Mvua zinatarajiwa kuisha wiki ya tatu na ya nne ya mwezi Mei, 2024.

 

 

 

 

 

 

 

ii.   Ukanda wa Pwani ya Kaskazini: (kaskazini mwa mkoa wa Morogoro, mkoa wa Pwani (ikijumuisha kisiwa cha Mafia), Dar es Salaam, Tanga pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba):

 

Mvua za Wastani hadi Juu ya Wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi ya ukanda wa pwani ya kaskazini.

 

Mvua hizo zinatarajiwa kuanza mapema wiki ya nne ya mwezi Februari, 2024 na kuisha wiki ya tatu na ya nne ya mwezi Mei, 2024.

 

iii.   Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki: (Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro):

 

Mvua katika maeneo haya zinatarajiwa kuwa za Wastani hadi Juu ya Wastani na zinatarajiwa kuanza mapema wiki ya nne ya mwezi Februari, 2024. Mvua hizo zinatarajiwa kuisha wiki ya pili na ya tatu ya mwezi Mei, 2024.

 


Kielelezo 2:  Kushoto: Mwelekeo wa mvua za Masika (Machi –Mei), 2024 na Kulia: Wastani wa muda mrefu (miaka 30) wa mvua za Masika (1991-2020).

 

Angalizo 1: Izingatiwe kuwa matukio ya vipindi vya mvua kubwa yanaweza kujitokeza katika Msimu wa Masika, 2024.

 

Angalizo 2: Mwelekeo wa mvua uliotolewa umezingatia zaidi kipindi cha msimu (miezi mitatu) na hali ya mvua katika maeneo makubwa. Hivyo, viashiria vinavyochangia mwenendo wa mifumo ya mvua na mabadiliko ya muda mfupi katika maeneo madogo utazingatiwa katika

 

 

uchambuzi wa utabiri wa muda wa kati na mfupi. Watumiaji wa taarifa hii wanashauriwa kufuatilia taarifa za utabiri wa saa 24, siku 10, mwezi na tahadhari kama zinavyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA).

 

2.      MIFUMO YA HALI YA HEWA 

Joto la bahari la juu ya wastani linatarajiwa katika eneo la magharibi mwa Bahari ya Hindi (pwani ya Afrika Mashariki) ikilinganishwa na upande wa mashariki mwa Bahari ya Hindi. Vilevile, joto la bahari la chini kidogo ya wastani linatarajiwa katika eneo la kusini mwa kisiwa cha Madagaska. Hali hii kwa pamoja inatarajiwa kuimarisha mifumo isababishayo mvua nchini kwa kuimarisha kasi na nguvu ya msukumo wa unyevu nyevu kutoka baharini kuelekea katika maeneo ya pwani ya kaskazini na nyanda za juu kaskazini-mashariki. Katika eneo la mashariki mwa bahari ya Atlantiki (pwani ya Angola), joto la bahari la chini kidogo ya wastani linatarajiwa. Hali hii inatarajiwa kuimarisha msukumo wa unyevu nyevu kutoka misitu ya Kongo kuelekea nchini hususan katika maeneo yanayozunguka ziwa Viktoria, kaskazini mwa mkoa wa Kigoma na nyanda za juu kaskazini mashariki. Hata hivyo, hali ya El-Niño inayoendelea katika Bahari ya Pasifiki inatarajiwa kupungua nguvu hususan tunapoelekea mwishoni mwa msimu wa mvua wa MAM, 2024.

 

3.      ATHARI NA USHAURI

Athari za kisekta na ushauri uliotolewa hapa chini umeandaliwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa kushirikiana na wataalam wa sekta husika katika mkutano wa wadau wa hali ya hewa uliofanyika tarehe 19 Februari, 2024. Wadau wa sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii wanashauriwa kupanga na kutekeleza shughuli zao kwa kuzingatia taarifa mahususi za hali ya hewa zinazotolewa na TMA.

 

a)        Kilimo na Usalama wa Chakula

Vipindi vya unyevu wa kuzidi kiasi pamoja na mafuriko vinaweza kujitokeza na kuathiri ukuaji wa mazao na miundombinu ya kilimo. Magonjwa kama vile ukungu (Fungus) yanatajariwa kuongezeka na kuathiri mazao kama nyanya, ufuta, maharage na mazao jamii ya mizizi. Hata hivyo, shughuli za kilimo zinatarajiwa kuendelea kama ilivyo kawaida katika maeneo mengi.

 

Wakulima wanashauriwa kuandaa mashamba, kupanda, kupalilia na kutumia pembejeo husika kwa wakati, kutumia mbinu bora na teknolojia za kuzuia maji kutuama shambani, mmomonyoko na upotevu wa rutuba, na kuchagua mbegu na mazao sahihi kwa ajili ya msimu huu wa Masika. Pia, wanashauriwa kuimarisha miundombinu ya kilimo hususan maeneo ya mabondeni pamoja na kudhibiti visumbufu vya mimea ili kupunguza athari

 

zinazoweza kujitokeza. Aidha, wauzaji na wasambazaji wa pembejeo za kilimo wanashauriwa kuhakikisha pembejeo zinapatikana kwa wakati.

 

b)        Mifugo na Uvuvi

Wafugaji na wavuvi wanatarajiwa kunufaika na upatikanaji wa malisho na chakula cha samaki. Hata hivyo, mlipuko wa magonjwa ya mifugo kama vile ugonjwa wa homa ya bonde la ufa na kuzaliana kwa wadudu wanaosambaza magojwa vinaweza kujitokeza.  Vilevile, matukio ya kuongezeka kwa magonjwa ya mwani baharini na kupungua kwa uzalishaji wa mwani kutokana na kupungua kwa kiwango cha chumvi ya maji ya bahari vinatarajiwa.

 

Wafugaji wanashauriwa kutumia mbinu bora za ufugaji ili kutunza malisho na kuvuna maji ya mvua kwa matumizi ya baadae. Jamii inashauriwa kuweka mipango mizuri ya matumizi bora ya maji na malisho. Wakulima wa mwani wanashauriwa kulima mwani kwenye maji ya kina kirefu ili kuondokana na athari za maji ya mvua yanayokuwa yanaingia baharini. Vilevile, wafugaji na wavuvi wanashauriwa kufuatilia mirejeo ya tabiri za hali ya hewa na ushauri kutoka kwa maafisa ugani ili kupunguza athari zinazoweza kujitokeza na kuongeza tija katika msimu huu wa mvua.

 

c)        Utalii na Wanyamapori

Hali ya malisho na maji kwa ajili ya wanyamapori katika mbuga na hifadhi inatarajiwa kuwa nzuri. Hata hivyo, mvua za wastani hadi juu ya wastani zinazotarajiwa katika maeneo mengi zinaweza kusababisha kutuama na kusambaa kwa maji na kupelekea kuhama kwa wanyamapori. Hali hii inaweza kupelekea magonjwa ya wanyamapori kusambaa kwa wanyama wanaofugwa na binadamu kutokana na wanyamapori kuingia katika makazi ya jamii zinazozunguka hifadhi na mbuga. Pia, hali hii inaweza kusababisha hatari kwa binadamu na wanyama wanaofugwa kutokana na kushambuliwa na wanyamapori.

 

Mamlaka husika zinashauriwa kuboresha miundombinu mbalimbali katika hifadhi za wanyamapori na kujenga uelewa kwa jamii ili kupunguza athari zinazoweza kujitokeza. Hivyo basi, jamii inashauriwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika endapo wanyamapori wataingia katika makazi ya watu.

 

d)        Usafiri na Usafirishaji

Kutokana na mvua zinazotarajiwa, sekta ya usafiri na usafirishaji inatarajiwa kuathirika na kupelekea uharibifu wa miundombinu ya barabara na reli, ongezeko la ajali barabarani katika usafiri wa nchi kavu, kuchelewa au kusitishwa kwa safari za nchi kavu, ndege, majini,

 

mawasiliano hafifu angani na kwenye maji na kupelekea kuongezeka kwa gharama za uendeshaji katika usafiri wa anga, nchi kavu na majini. Mamlaka husika na wadau wanashauriwa kuchukua hatua stahiki katika utekelezaji wa matengenezo na ujenzi wa miundombinu mbalimbali pamoja na ukaguzi wa mara kwa mara wa miundombinu ya usafiri na usafirishaji ili kupunguza athari zinazoweza kujitokeza.

 

e)        Nishati, Maji na Madini

Mvua zinazotarajiwa zitachangia kuongezeka kwa kina cha maji katika mito, maziwa na mabwawa hivyo matumizi sahihi ya maji majumbani na uzalishaji wa umeme ni muhimu kupewa kipaumbele. Hata hivyo, kupungua kwa ubora wa maji, kuongezeka kwa kifusi cha mchanga maji na uharibifu wa kingo za mito na mtandao wa usambazaji maji pia unatarajiwa.

 

Sekta ya Madini hususan shughuli za uchimbaji mdogo wa madini, huenda zikaathirika, hivyo tahadhari za kiusalama ni muhimu kuchukuliwa ili kukabiliana na maporomoko ya ardhi na miamba. Mvua zinazotarajiwa huenda zikaathiri mtandao wa usafirishaji na usambazaji wa nishati ya umeme na kupelekea kukosekana kwa umeme. Hivyo, mamlaka husika na wadau zinashauriwa kuzingatia usimamizi endelevu wa rasilimali maji na mgawanyo wake kwa maeneo mbalimbali kama vile shughuli za uchakataji madini, uzalishaji umeme, matumizi ya viwandani na majumbani.

 

f)         Mamlaka za Miji na Wilaya

Vipindi vya mvua kubwa vinaweza kusababisha kutuama kwa maji na mafuriko. Hali hii inaweza kusababisha uharibifu wa miundombinu na upotevu wa maisha na mali. Mamlaka za Miji na Kamati za Maafa zinashauriwa kuchukua hatua stahiki ili kukabiliana na athari zinazohusiana na mafuriko ikiwa ni pamoja na shughuli za utafutaji, uokoaji na msaada wa kitabibu.

 

g)        Sekta ya Afya

 

Magonjwa ya mlipuko yanaweza kujitokeza kutokana na uharibifu wa miundombinu ya maji unaoweza kusababishwa na maji ya mvua kutuama na kutiririka. Mamlaka za Afya na jamii zinashauriwa kuchukua tahadhari stahiki ili kupunguza athari za kiafya zinazotarajiwa kwa kuharibu mazalia ya mbu, kutibu maji kabla ya kuyatumia, kunywa maji safi na salama pamoja na kuhakikisha uwepo wa dawa na vifaa tiba vya kutosha katika vituo vya Afya.

 

 

 

h)        Sekta Binafsi

Sekta binafsi inatarajiwa kunufaika na mvua zinazotarajiwa katika msimu huu wa Masika hususan katika shughuli za kilimo, uzalishaji viwandani, n.k. Hata hivyo, wingi wa mvua unaweza kupelekea athari katika shughuli za ujenzi wa miundombinu, uhifadhi na usafirishaji wa mazao tete na bidhaa.

 

Sekta binafsi zinashauriwa kushirikiana na wataalam mbalimbali ikiwemo wataalam wa hali ya hewa ili kukabiliana na athari zinazoweza kujitokeza. Taasisi mbalimbali zikiwemo Benki na Bima zinashauriwa kuandaa na kutoa huduma mahususi kwa wadau ili kujenga ustahamilivu katika biashara.

 

i)          Menejimenti za Maafa

Vipindi vya mvua kubwa vinaweza kujitokeza na kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi na kupelekea uharibifu wa miundombinu, mazingira, upotevu wa mali na maisha. Hivyo, mamlaka husika katika idara mbalimbali na idara ya Menejimenti ya Maafa nchini zinashauriwa kuendelea kuratibu utekelezaji wa mipango itakayosaidia kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza. Aidha, sekta, mamlaka husika na Kamati za Usimamizi wa Maafa katika ngazi ya Mkoa, Wilaya, Kata na Vijiji/Mitaa zinashauriwa kushirikiana na kuchukua hatua stahiki ikiwemo kutoa elimu na miongozo itakayohamasisha kuzuia au kupunguza madhara, kujiandaa, kukabiliana na maafa na kurejesha hali endapo maafa yatatokea.

 

j)          Vyombo vya Habari

Vyombo vya Habari vinashauriwa kupata, kufuatilia na kusambaza taarifa za utabiri na tahadhari, pindi tu zinapotoka ili jamii iweze kuzipata kwa wakati. Vilevile, vinashauriwa kutafuta ushauri wa kitaalamu kutoka katika sekta husika wakati wa kuandaa, kutayarisha na kusambaza taarifa za hali ya hewa kwa watumiaji. Pia, inapendekezwa kutumia lugha nyepesi wakati wa kuhabarisha jamii.

 

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania inawashauri watumiaji wote wa taarifa za hali ya hewa ikiwa ni pamoja na wakulima, wafugaji, mamlaka za wanyamapori, wasafirishaji, mamlaka za maji, afya, shughuli za ujenzi (Makandarasi), uchimbaji madini, upakuaji na ushushaji mizigo Bandarini kuendelea kutafuta, kupata na kuzingatia ushauri wa wataalam katika sekta husika.

 

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania itaendelea kufuatilia mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa na kutoa mirejesho ya mwelekeo wa mvua na hali ya hewa kwa ujumla nchini kadri

 

 

inavyohitajika. Aidha, wadau wanashauriwa kuwasiliana na Mamlaka ili kupata taarifa mahsusi za mwelekeo na utabiri wa hali ya hewa ili kukidhi mahitaji maalum katika sekta zao.

 

 

 

 

Imetolewa: Tarehe 22 Februari, 2024.

Na: Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania:


Bahari Picha na Ally Thabiti