Monday 29 April 2024

TAASISI YA TUME YA NGUVU ZA ATOMU (TAEC) YABAINISHA MAFANIKIO CHINI YA RAIS DKT SAMIA

 


Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Tume ya Nguvu za Atomu (TAEC) Professor Razaro Busagala amesema kipindi cha miaka mitatu kwenye uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wameweza kujenga maabara sita miaka ya Arusha, Dodoma, Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na Zanzaibar, 

Ambako kiasi cha shilingi Bilioni 28.11 zimeweza kutumika kwenye ujenzi wa maabara hizo lengo la kujenga maabara hizi ni kuwezasha usalama katika sekta ya kilimo, kwenye matumizi ya pembe jeo na viwatirifu, sekta ya afya ambako kuweza matumizi sahihi na yenye ubora kwenye vifaa vya MRI, CT-Scan ambako zimewawezesha watoa huduma watoe huduma kwa usalama kwao na kwa wapokeaji huduma hizi na sekta ya uchimbaji madini.

Ambako taasisi yao imeweza kufanikiwa kwa kiasia kikubwa katika uwangalizi na usimamizi wa matumizi ya Nguvu za Atomu haya kwao ni mafanikio makubwa sana, Profesor Razaro Busagala amesema kipindi cha miaka mitatu cha Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kiwango chao cha ukusanyaji wa fedha kimeongezeka ambako wamepata kiasi cha Bilioni 10.9, ukilinganisha na miaka ya nyuma walikuwa wanakusanya Bilioni 8.3 pia amewatoa hofu Watanzania na wasio Watanzania kuwa Tanzania kwenye nguvu za Atomu angani na ardhini ni salama, 

Swala la utowaji wa elimu kwa matumizi ya Nguvu ya Atomu wanatoa kwa kiasi kikubwa huku wakiwa na mipango mikakati kutoa elimu kwa watu wenye ulemavu, amesema haya jijini Dar es Salaam kwenye ukumbi wa chuo cha Utarii wakati akizungumzia mafanikio ya taasisi yao kwa miaka mitatu chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa na wanahabari mapoja na wahariri wa vyombo vya habari.

Habari Picha na Ally Thabiti

Tuesday 23 April 2024

ASKOFU DR PETER AIMIZA MAOMBI KWA RAIS DR SAMIA


 Mkurugenzi  wa Taasisi ya Kumuombea rais Dr Samia askofu dr Peter Rashidi amewataka viongozi wote wa kidini Tanzania wafanye maombi usiku na mchana kama inavyofanya taasisi yake lengo ili mungu amlinde na maadui,amuepushe na mitosis na aweze kufanya maamuzi yenye hekima na busala.

Ametoa wito kwa watanzania kuendelea kutunza na kuilinda amanita iliopo pia waendelee kuombea muungano wa nchi yetu uendelee kuhimarika

Amesema haya jijini dar es salaam kwenye maombezi na dua yakuombea taifa na miaka60 ya muungano.

Habari picha na  Ally Thabit 


VIONGOZI WA KIDINI WAUNGA MKONO KAZI YA TGNP


 Makalu Mwenyekiti wa Kamati ya Maliziano Wilaya ya Ilala na Mchungaji Liliani amewataka wanawake nchini Tanzania kujitokeza kwa wingi kugombea na kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za .

pia amewataka wanaume waache mfumo dume pamoja na mila na destuli potofu na kandamizi kwa wanawake finding wanapoitaji kugombea nafasi za uongozi  na badala yake wawaunge mkono na wawetayali kuwapa luusa wanapoitaji kugombea au kupiga kura.

Kwa niaba ya viongozi wa kidini kupitia kamati ya malidhiano wanaunga mkono na kuipongeza TGNP kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kutoa elimu kwa watu kuondokana na dhana potofu kwa wanawake yakuamini kuwa wanawake  awawezi kuongoza na badala yake kuonesha wanawake kuwa na uwezo mkubwa wa kuongoza.

Amesema haya jijini dar es salaam wakati wa maombezi na dua ya miaka 60 ya muungano viwanja vya karimjee.

Habari picha na Ally Thabit 

MEA KUMBILAMOTO ATETA NA VIONGOZI WA KIDINI


 Omary Kumbilamoto Mea wa jiji la dar es salaam amewapongeza na kuwashukuru viongozi wa dini akiwemo Askofu Dr Peter Rashidi kwa kufanya maombi ya kuliombea taifa la Tanzania  kwa kutimiza miaka 60 ya Muungano . 

Ambako askofu Peter pamoja na wenzake akiwemo askofu Crement,janeti,liliani,she Adam,imams Rashidi wa pugu mnadani kwa kupitia taasisi ya kumuombea rais Samia wamefanya maombezi na dua viwanja vya Kariimjee lengo rais Dr samia ,waziri mkuu kasimu majolica,makalu wa rais,Barbara la mawaziri,wakuu wa mikoa ,wakuu wa wilaya,wakurugenzi,mama na viongozi wote mungo awaepushe na shari na mikosi na awape moyo thabiti wa kuongoza nawawe na maamuzi mazuri na sahihi.

Mea kumbilamoto amesema kipindi cha miaka 3 rais Dr Samia ameweza kuleta maliziano ya kisiasa,kukamilisha miradi ya kimkakati mfano ujenzi wa mwalimu nyerere, Sgr ,daraja la kigongo busisi mwanza na ujenzi wa maharaja kuanzia msingi,secondary na vyuo vya kati.

Amewataka viongozi wa dini zote waendelee kumuombea rais Dr Samia katika uongozi wake amesema haya jijini dar es salaam  katika kuliombea taifa kwa kutimiza miaka60 ya muungano .

Habari picha na Ally Thabit 

Thursday 18 April 2024

MKURUGENZI SANTINA BENSON AAIDI MAKUBWA KWA WANAWAKE

 


Mkurugenzi wa Taasisi ya Thank Equal, Lead Smart Leadrship has no gender Santina Benson amesema mradi waliouzindua Leo hii  wa miaka mitatu3 wenye lengo la kuwainua wanawake kushika nafasi za uongozi katika sekta binausi na serikalini utasaidia kwa kiasi kikubwa na kuwezesha  kuwepo kwa mabadiliko ya sera za wanawake kuongoza .

Kubadili mira na nadesturi potofu kuwa wanawake awawezi kuwa viongozi ambako jambo ili sio la kweli na kuwawezesha wanawake kujikwamuwa kiuchumi  mfano kwenye sekta ya kilimo na zinginezo.

Santina Benson ametaka sekta binaus na wadau wengine wawaunge mkono kwenye mradi wao huku akiwashukuru Vodacom kwa kuweza kutoa kiasi cha fedha milioni 200 katika mradi waliouzinduwa Leo.          Swala la kuwafikia watu wenye ulemavu ili wawe viongozi wakubwa wamelibeba na kuaidi kulifanyia kazi ,amesema haya kilimanjaro hotel jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit 

VODACOM YATOA MABILIONI YA PESA

 Aneti Kanola wa Vodacom amesema wametoa milioni Mia mbili 200 kwa taasisi ya Think Equal, Lead Smart Leadership has no gender . Lengo kuleta mabadiliko ya sera ,kubadili mira na destuli potofu juu ya mwanamke kuwa kiongozi na kumwezesha mwanamke kujikwamuwa kiuchumi.

Ambako asilimia 60% ya wanawake wanajishuulisha na kilimo lakini uchumi wao upon chini. Aneti Kanola amesema mradi huu utakuwa wa miaka 3 na vodacom itaendelea kutoa elimu kwa wanawake ili wapate nafasi  za    uongozi ili wajikwamuwe kiuchumi.

Asilimia 43 ya wafanyakazi wa vodacom ni wanawake na pia wamewezakuweka  mazingira wezeshi kwa wanawake wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua amesema haya kwenye uzinduzi wa kampeni ya kuleta mabadiliko wanawake kushika nafasi za uongozi  jijini dar es salaam  kilimanjaro hotel. 

Habari na Ally Thabit 

Wednesday 17 April 2024

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI TASAC

David Kihemile Naibu Waziri wa Uchukuzi  ameipongeza Tasac kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kulinda usalama wa majini na utunzaji wa mazingira na usimamiaji wa meli zinapoingia nakutoka nchini.

Semina ya siku mbili walio isimamia na kuratibu ambakoimejumuisha nchi mbalimbali ikiwemo nchi ya Kenya, Uganda,Senegal,Kongo pamoja na yenyewe Tanzania  semina hii imejumuisha wadau wa vyombo vya majini Tanzania tutajifunza mambo mengi . 

Kwaupande mwengine serikali ya Tanzania kupitia wizara ya uchukuzi imewekeza kiasi cha fedha tilioni moja kwaajili ya kuboresha vyombo vya majini ikiwemo ujenzi wa meli ziwa Victoria pamoja na kulekebisha meli kwenye maziwa mengine.

Pia ujenzi wa vivuko na ununuzi wa vivuko kwenye maeneo mengine amesema haya wakati akifunga semina ya siku mbili ya madau wa majini today nchi mbalimbali iliyofanyika ukumbi wa mwalimu nyerere posta jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit 

KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI CHAWEKA MAMBO ADHARANI

 Naibu Kamishna wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Ramadhani Ng'anzi amesema rais Dr Samia kwa miaka mitatu ameweza kupunguza ajali kwa kiwango kikubwa Tanzania huku akilejesha mabasi kusafili usiku ambako mwaka 1990 mabasi yalisimamishwa kutosafili usiku.

pia kiwango cha pesa kinachokusanywa kutokana na makosa yanayofanywa na madereva barabarani amesema haya makao makuu ya police usalama barabarani jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit 


ACT WAZALENDO WALIA NA MAFULIKO RUFIJI

 

Ndugu Isihaka R. Mchinjita Waziri Mkuu Kivuli

Amemtaka waziri mkuu aende Rufiji aka one vifo,Mali na ualibifu wa mazao unaotokana na mafuliko ya maji kutoka rufiji Hiku akiitaka serikali kutenga pesa ya kutosha kwaajili ya mahafa. 

Waziri mkuu Kivuli wa chamade cha ACT Wazalendo  ameitaka serikali uchaguzi wa serikali za mitaa usisimamiwe na tamisemi na badala yake uchaguzi usimamiwe na time huru ya uchagu. 

Na sheria ya kikokotoo iweze kufanyiwa malekebisho kwani sheria iliopo sasa imekuwa mwiba mkali na mates kwa wastaafu pindi wanapoitaji pesa zao Waziri kivuli amesema haya takao makuu ya ACT Wazalendo wakati akizungumza na wanahabari jijini dar es salaam.

Habari na Ally Thabit 


VETA YATA MAFUNZO

 Mwalimu Salehe wa Chuo cha Veta ametoaa mafunzo kwa walimu wa vyuo vya Ufundi lengo kuwapa ujuzi wa namna bora ya kufundisha wanafunzi finding wanapojiunga na vyuo vya ufundi.

Ambako wilaya ya temeke walimu wengi wamejitokeza huku akitoa wito kwa walimu haha kuwapokea na kuwafundisha  maswala  ya fundi watu wenye ulemavu kwani wanauwezo mkubwa wa kufundishika.

Mfano chuo cha veta chang'ombe dar es salaam wanatoa mafunzo ya ufundi  kwa walemavu wa aina zote na kwaupande wao walimu waliopokea mafunzo haya kupitia mwenyekiti wa darasa Lao wameaidi kupitia mafunzo haya watawapokea na kuwafundisha watu wenye ulemavu kwenye vyuo vyao

Pia watakuwa mabalozi kwakuwaimiza wazazi na walezi kuwapeleka watu wenye ulemavu kwenye vyuo vya ufundi.

Habari na Ally Thabit 

Tuesday 16 April 2024

MINARA 758 KUTATUWA KELO ZA MAWASILIANO

 Mkurugenzi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote Justina Mashiba amewataka watendaji wa kata,mtaa,tarafa na wilaya kutokuwa kikwazo katika ujenzi wa mradi wa minara kwani kwani mfuko wa mawasiliano sawa kwa wote wanajenga minara 758 Tanzania  ambako mpaka sasa washajenga minara 98 imekamilika na kuwashwa.

Kiasi cha bilioni68 zimeshatolewa kwenye mradi huu changamoto kubwa wanayokutana nayo kunyimwa vibali vya ujenzi, vibali vya mipango miji na ubovu wa miundombinu ya barabara.  Ametoa rai kwa  madiwani, wakuu wa wilaya na wakurugenzi kutoa ushirikiano katika ujenzi wa minara.

Amesema haya kwenye semina na uzinduzi wa kampeni za ujenzi wa minara 758 jijini dar es salaam  habari na Ally Thabit 

MEHA WA UBUNGO AMPONGEZA RAIS SAMIA

 Safari Meha wa Ubungo amesema kwa miaka mitatu3 ya rais Dr Samia ameweza kutoa fedha za ujenzi wa shule za msingi na secondary kwenye wilaya ya ubungo . Pia ameraisisha  upatikanaji wa maji  ubungo na kibamba  ukilinganisha na mmiaka ya nyuma.

 huku akibainisha kuwa miundombinu ya Barabara pamoja na makaravati vimekamilika na kuwezesha ubungo kufikika kwa uraisi na kuimarima kwa masoko.

Ambako kumepelekea watu kujiajili na kuajiliwa . Mega Jafari ametoa wito  kwa watanzania waendelee kumuunga mkono rais samia  kwa kazi kubwa anayoifanya amesema haya kwenye Iftar iliyoandaliwa na Dawasa jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit

WADAU WA USAFIRISHAJI MAJINI WAKUTANA

 Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kutoka Zanzibar amewataka wadau wa sekta ya usafirishaji majini  waweze kueleza  changamoto  zinazowakabili wakati wakitimiza majukumu yao majini . 

Swala la mabadiliko ya hali ya hewa Baharini,mito na maziwa imekuwa kikwazo na kilio kwa wasafiri na kupelekea vivuko,merit,maboti na majahazi kuzama na kupelekea vifo kwa wasafiri na kupotea kwa Mali na kuaribika vyombo ya safari.

Waziri  Ali Saluum kutoka zanzibar amezitaka nchi za kiafrica kuchukua taadhari tabla ya kusafiri . Maswala ya kutekwa kwa meri imekuwa kilio kwa wamiliki wa meri , Ivyo amewataka viongozi wa Africa na wamiliki wa meri waungane na kuweka nguvu ya pamoja .

Kupitia semina hii  ilikutokomeza swala hili amesema haya kwenye seminar on Africa ferry safety iliyofanyika jijini dar es salaam 

Habari na Ally Thabit


KATIBU MKUU AIPONGEZA TIC

 Greison Msingwa Katibu Mkuu wa Wizara ya michezo,Sanaa na Utamaduni amekipongeza kituo cha uwekezaji TIC kwa kufanya kongamano lililojumuisha wadau wa sekta ya michezo,Utalii na ukarimu kujadili bursa za uwekezaji kuelekea Afcon 2027.

Lengo la kongamano kuwataka wadau awa kuweza kutoa huduma zilizo bora na nzuri kwa watakaoshiliki Afcon 2027. Katibu mkuu wa wizara ya michezo ameitaka TPSF wawekeze kwenye sekta ya michezo kwa kujenga mahotel pamoja na miundombinu mingine.

Kwani kupitia mashindano ya Afcon watapata faida kubwa na mafanikio mazuri kupitia uwekezaji wao . Ametoa wito kwa TIC  watafute wawekezaji ndani ya nchi na nje ya nchi wake kuwekeza kwa kasi kubwa katika ujenzi wa miundombinu ususani kwenye mahotel. 

Huku akiwaonya watumishi wa TIC wake Manaton huduma zenye ubora na rugha nzuri amesema haya  jijini dar es salaam ukumbi wa mwalimu nyerere

Habari na Ally Thabit

Sunday 14 April 2024

YANGA YAGAWA DOZI NZITO

 Msemaji wa klabu ya yannga Ali Kamwe amesema shindig wa magoli matatu walioyapata riding ya singida f.j ni dozi tosha na ni Salam katika kuelekea mechi ya Simba na Yanga itakayofanyika 20/4/2024 kwenye simba last Benjamini mkapa .

Ali kamwe amewashukuru wanachama na wapenzi wa yanga wa jijini mwanza kwa kuwaunga mkono mpaka kupata shindig wa magoli 3. 

Ametoa wito kwa wapenzi wa yanga kujitokeza kwa wingi kwenye mechi ya simba na yanga kwenye uwanja wa Benjamini mkapa jijini dar es salaam.

Habari na Ally Thabit

MWENYEKITI WA CHADWMA ATANGAZA KISASI KIZITO

Mwenyekiti wa vijana wa chama cha chadema John amewataka wanachadema na watanzania kujitokeza kwa winging three 22 /4/2024 mpaka three 30 ya mwezi wa 4 katika maandamano ya nchi nzima lengo nikushinikiza serikalo ya rais Samoa hiiondoe sheria kandamizi na ushushwaji wa being a vyakula ,mafuta  ,upandaji wa nauli na ukamatwaji wa watu ambao awana hatia. 

Mfano aliyekuwa kiongozi wa chadema mkoa wa njombe ndugu Sanga amble yup gerezani  kwa miaka 5 na mwenzake Omary wa mkpa wa pwani.

John ametaka uchaguzi wa serikali za mitaa usimamiwe na time hurt ya uchaguzi na sio tamisemi.

Habari na Ally Thabiti

Wednesday 3 April 2024

DAWASA YAELEZA MAFANIKIO YA MIAKA MITATU YA RAIS SAMIA


Katika miaka mitatu ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameweza kwa kiasi kikubwa kutekeleza kwa vitendo kauli yake ya kumtua mama ndoo kichwani kwa mafanikio makubwa na haya yanathibitishwa na Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya maji Dar es Salaam Kiula Kingu amesema tangu kuingia madarakani kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ameweza kukamilisha miradi midogo na mikubwa ya maji ambako bwawa la kidunda lenye thamani ya Bilioni 345 mradi huu umesainiwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambako bwawa hili litaweza kutoa maji kwa wingi katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani.

Pia kupitia Bwawa hili zitapatikana megawati 20 za umeme na kilometa 70 za barabara kwenda Ngerengere na uwepo wa Daraja Kubwa ambako itasaidia kukua kwa utarii, kilimo, upatikanaji wa samaki. Mradi wa Bilioni 72 ambao maji haya yatawafikia watu elfu 35, mradi wa maji mto Wami ambao gharama yake ni Bilioni 82, alafu mradi wa maji taka wa mbezi bichi wenye ukubwa wa kilometa 100.

Pia Rais Samia aliweza kutoa mashine za kuchimba visima saba kigamboni ambako imesaidia kwa kiasi kikubwa upatikanaji wa maji Ilala, Temeke na Kinondoni mkurugenzi mkuu wa Dawasa amesema Rais Samia amesaidia kuimalisha mifumo ya tehama ambako imesaidia kwa kiasi kikubwa ongezeko la ukusanyaji wa mpato na kuweka kamati za usimamizi wa maji kwenye mitaa na kuwezesha kupatikana kwa ajila kwa vijana wapatao elfu 680. Amesema haya makao makuu ya Dawasa Ubungo jijini Dar es Salaam.

Habari Picha na Ally Thabiti

MSAJILI WA JUMUHIYA ATANGAZA VITA

Bw. Emanuel Kiampa Msajili Mkuu wa Jumuiya wa wizara ya mambo ya ndani amewataka wato wote wenye jumuiya ambazo azijasajili wajisajili huku akiwataka wenye magroup ya Whatsapp waweze kujisajili mara moja kwa wale wote watakae kiuka maagizo na maelekezo haya atua kali zitachukuliwa zidi yao kwani kufungu cha 40 sheria namba tatu ya mwaka 2019 na sheria namba 337 iliyofanyiwa mabadiliko inawataka watu wote kusajili jumuiya zao kinyume na hapo hatua za kuwakamata wenye hizo jumuiya na kuwapeleka mahakamani na kufungiwa jumuiya hizo pia akiwataka wenye magroup ya Whatsapp kuweza kusajili magroup yao kwa shilingi laki mbili amesema haya wilayani Kigamboni mkoani Dar es Salaam kwenye kampeni ya kuhamasisha usajili wa jumuhiya pamoja na magroup ya Whatsapp.

Habari na Ally Thabiti

SHEIKH NURDEEN KISHKI KUGHALAMIA NDOA ZA VIJANA MIA MOJA

Mkurugenzi wa Taasisi ya  Taasisi ya Al- Hikma Foundation na Mwenyekiti wa Mashindano ya kuhifadhi Quruan Sheikh Nurdeen Kishki amesema atagharamia ndoa zipatazo mia moja kuanzia utoaji wa Pesa ya Mahali, Pesa ya Ukumbi pamoja na pesa ya vyakula kwa vigezo kumi kwa muoaji awe:-

1. Awe Muislamu, 2. Awe Mkazi wa Dar es Salaam, 3. Mawalii wawe wamekubali, 4. Awe na Kazi, 5. Awe Mtanzania, 6. Awe na Akiri Timamu, 7. Awe amechumbia, 8. Ajaze Fomu, n.k.  

Amesema haya Jijini Dar es Salaam.

Habari na Ally Thabiti