Wednesday 17 March 2021

BAKWATA YATETA NA WANAWAKE KUPITIA TGNP MTANDAO

 Hajati Shamimu Kani Mwenyekiti wa Wanawake kutoka Baraza la Kiislam Tanzania (BAKWATA) amewataka wanawake viongozi kushirikiana na Wanawake wengine katika kuwajengea uwezo wa Uongozi.

Pia wasikubali kukandamizwa na kunyonywa na mifumo dume na  wapige vita ndoa za utotoni,mimba za utotoni na aina zote za ukatili zinazojitokeza katika familia,Jamii,maofisini,masokoni na mahara popote 

Tukifanya hivi tutapata Wanawake wengi na bora katika nafasi za Uongozi. ametoa rai kwa wanaume kuwaunga mkono wake zao wanapowania nafasi za kazi na Uongozi .ameipongeza TGNP Mtandao kwa kuja na proglam ya kuwajengea uwezo Wanawake katika Uongozi 


Habari na Ally Thabiti

TGNP MTANDAO YAJA NA MAMBO MAZITO

 Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao Liliani Liundi amesema mfumo wa kanzi data kwa Wanawake viongozi  utaanza kazi hivi karibuni pia wanawake wenye taaruma mbalimbali taaruma zao zitakuwepo kwenye data bezi .

Lengo watambilike na waweze kupata furusa mbalimbali za uteuzi program za kuwajenga Wanawake wataendelea kuzikusanya .Pia Ukungwi proglam hii imeleta chachi ya Wanawake kuwa viongozi  

Mila na desturi potofu zipigwe vita na zitokomezwe amesema haya kwenye  kongamano la Wanawake na Uongozi uliofanyika jijini Dsm posta 

Habari na Ally Thabiti





ANA MAKINDA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA TGNP

 Spika wa Bunge Mstaafu Ana Makinda ameutaka Mtandao wa kijinsia (TGNP Mtandao ) kuweka mifumo ya kanzi data ya Wanawake  viongozi.  Pia wawajengee uwezo watoto wa kike kuanzia shule ya msingi .

 Ametoa wito kwa wanawake viongozi kuwa nafasi walizozipata wazitumie vizuri na wazitendee haki waepuke na maswala ya Ufisadi wawe wahadirifu ,Uaminifu na waweze kutatua changamoto za kijamii.

Uku akiwataka watunga  sera na wapanga bajeti wazingatie usawa wa kijinsia na ameipongeza TGNP Mtandao kwa kuwajengea uwezo Wanawake viongozi 

Habari na Ally Thabiti

Tuesday 16 March 2021

MANSIPAA YA KINONDONI KUTOA MAPFEDHA KWA WANACHI

 Afisa Maendeleo Jamii Mansipaa ya Kinondoni Wametoka fedha na watazidi kutoa fedha za Mikono bila riba kwa wanawake,vijana na watu wenye Ulemavu kwaajili ya kufanya biaahara .

Lengo la Mansipaa kutekeleza kwa vitendo sheria ya asilimia 10 Mansipaa zote zinatakiwa kufanya hivyo. Afisa Maendeleo Kinondoni amesema kiasi cha pesa Milioni mia 600 watapewa watu wenye Ulemavu

Habari na Ally Thabiti

MKURUGENZI WA JIJI LA DSM ANEWATOA OFU WATU WENYE UKEMAVU

 Jumanne Shauri Mkurugenzi wa Jiji la Dsm amesema Mradi wa ujenzi wa Machinjio ya Vingunguti na Miradi mingine ndani ya Jiji la Dsm swala la watu wenye Ulemavu kufika na kutumia ni rafiki kwao. 

Pia amesema kwenye ajira zaid ya 3000 watu wenye Ulemavu watapewa nafasi za ajira zinazowafaa na rafiki kwao ili waweze kujikwamuwa kimaisha na kiuchumi na wasiwe tegemezi katika familia zao na jamii zinazowazunguka 

Habari na Ally Thabiti  

BARAZA LA MAASKOFU LAJA NA DAWA YA COLONA

 Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoriki  John Kitima amewataka watanzania na wasio watanzania sawa pekee ya kukabiliana na homa ya mapafu (COLONA) kuzingatia kwanini,taratibu na sheria za Afya pia amewataka makanisa yote nchini huduma wanazozitoa wazingatie matumizi ya barakoa,kunawa mikono,kutumiavitakasa mikono na kukaamita moja moja


Habari na Ally Thabiti











 

KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA KUDUMU ZA SERIKARI ZA MITAA YAIPONGEZA MANSPAA YA ILALA ZA

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Serikari za Mitaa  amesema wanaipongeza Manispaa ya Ilala kwa utelezaji madhubuti wa Miradi kwa Uaminifu,Uweledi na kwa Ubora mkubwa. 

Ambako Miradi hii itasaidia kutatua changamoto za wana Ilala na watu wengine .pia italeta chachi ingine ya maendeleo na kuongezeka kwa kipato kwa watu Matharani Miradi wa Machinjio Vingunguti umeweza kukamilika kwa asilimia 95 

Faida zitakazoopatikana kwenye Machinjio haya kupatikana kwa ajira zaid ya 3000 ,kuongezeka kwaa mapato ya kodi ndani ya Manispaa ya Ilala na kupatikana Nyama safi salama na yenye Ubora 

Kiasi cha fedha bilioni12.49 zitakuwa zimewezesha kukamilika kwa Miradi hii nae Mkurugenzi wa Manispaa wa Ilala ndugu Juma ameipongeza Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu ya Kudumu ya Serikari za Mitaa kwa kuweza kutoa ushauri na maelekezo kwabaadhi ya Miradi yenye changamoto. 

Ambako amesema mpaka sasa wametoka kiasi cha bilioni 11fidia kwa wananchi eneo la Limbanga  kwaajili ya ujenzi wa barabara 

Habari na Victoria Stanslaus


Friday 12 March 2021

MENEJA WA KODI MKOA WA TEMEKE AMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI

 Meneja wa TRA Mkoa wa Temeke Poo Wararaze amesema kuanzia tarehe 10mwezi3 2021 wameanza kutoa elimu kwa mlipa kodi kwenye Wilaya ya Temeke.  Lengo kujenga mazingira rafiki kwa wafanya biashara wadogo, wakati na wakubwa waweze kulipa kodi kwa kiwango kikubwa.

Hii itasaidia katika ujenzi wa miundombinu mbalimbali Meneja  wa TRA amesema kampeni ya Mlango kwa Mlango si kwaajili ya kuwakamata wafanya biashara na wawekezaji ndani ya Wilaya ya Temeke .

 Hivyo amewataka wajitokeze kwa wingi na watoe ushirikiano kwa elimu inayotolewa ambako mwisho tarehe 26 mwezi3 2021 elimu hii itawafikia watu wenye Ulemavu  Pia wameandaa vipeperushi vya Nukta Nundu am kwaajili ya wasio Ona . amesema haya kwenye Ofisi ya Wilaya ya Temeke jijini Dsm 

Habari Victoria Stanslaus

TCRA YATEMA CHECHE KWA MATAPERI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Mwandisi John Kiraba  amesema  makampuni yote ya Simu yenye tabia yakuweka vifurushi pasipo utaratibu hatua kali zitachukuliwa dhidi yao 

Habari na  Ally Thabiti

WAZIRI WA ARDHI ABAINI UFISADI

 William Lukuvi Waziri wa Nyumba Maendeleo na Makazi amesema  Watumishi wa Chuo cha Marogoni wakamatwe mara moja kwakuiba milioni500 kwa wakazi wa Kata ya Kivule wakati wa kurasimisha Ardhi ya wana Kivule 

Habari na Victoria Stanslaus

KATIBU MKUU WA CHAMA CHA SEKTA YA NISHATI NA MADINI ASIKITISHWA

 Nikodemius Kajungu amesema  kwanafasi yake ya Katibu Mkuu  anasikitishwa na kuuzinishwa kiwango cha pesa wanacholipwa Wachimbaji Madini  kwani ni kidogo na hakikidhi mahitaji yao.

Hivyo ameitaka TEITI kuandika ripoti za kutatua changamoto hii amesema haya kwenye Ofisi za Bunge posta jijini Dsm  

Habari na Victoria Stanslaus











WACHIMBAJI MADINI WADOGO WATOA NENO KWA TEITI

 Katibu wa Wachimbaji Madini Wadogo Tariki amesema wachimbaji wadogo wameweza kutoa bilioni 128 hivyo ameitaka TEITI washirikishe wachimbaji wadogo  kikamilifu wanapoandaa ripoti zao ili wawasirishe keto na changamoto zinazo wakabili amesema haya kwenye Ofisi za Bunge posta jijini Dsm 

Habari na Victoria Stanslaus

WAZIRI WA MADINI ATOA CHOZI ZITO

 Doto Biteku Waziri wa  Madini ameitaka TEITI kuweza kuwasaidia wachimbaji wadogo wa Madini kwa kutoa ripoti za kuwakwamuwa wachimbaji wadogo kuwa wakati na wakubwa

Waziri Doto Biteku ameitaka TEITI kuweza kujitangaza zaidi na kujenga mahusiano mazuri na taasisi zingine amesema haya kwenye Ofisi za Bunge posta jijini Dsm 

Habari na Victoria Stanslaus


Thursday 11 March 2021

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AIPONGEZA TRA

 Mkuu wa Wilaya yaTemeke Godwini Gondwe amesema kampeni ya TRA ya Mlango kwa Mlango kwaajili ya kutoa elimu ya kuamasisha watu kulipa kodi ni mzuri  kwani itasaidia kwa kiwango kikubwa kuwepo kwa mazingira wezeshi na rafiki  kwa wawekezaji na wafanya biashara wadogo,wakati na wakubwa kuenddelea kufanya shughuri zao ndani ya Temeke na wengine kuvutiwa kuja  kuwekeza Temeke . Pia kampeni hii ya TRA itasaidia katika ujenzi wa huduma za msingi ndani ya Temeke kutokana na pesa za walipa kodi  mfano barabara,hospitali na miundombinu mingineyo . Mkuu wa Wilaya ya Temeke Godwini Gondwe ametoa wito kuwa TINI namba ni bure na wananchi waTemeke wawape ushirikiano Maafsa wa TRA 


Habari na Victoria Stanslaus