Tuesday 30 November 2021

TAASISI YA VIPARUMA YAIPONGEZA WILDAF


 Mosses Mwangata Afsa Miradi wa VIPARUMA Kutoka Mkoa wa Rukwa amesema kampeni iliyozinduliwa na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ya kupinga na kutokomeza ukatili wa kijinsia Kwa watoto wa kike ni mzuri kwani itasaidia na kuwezesha watu kutofanya maswala ya ukatili wa kijinsia Kwa watoto wa kike na wengineo.

Mosses Mwangata amesema tassisiil Yao ya VIPARUMA ya mkoani Rukwa itatoa elim Kwa watu kutofanya ukatili Kwa watoto na watu wengine.pia ameshukuru na kuipongeza WILDAF Kwa uzinduzi walio Fanya.

Habari picha na Ally Thabiti


MRATIBU WA TAPHATA AELEZA MIKAKATI


 Emmanuel Bujiku Mratibu wa Baraza la Wafamasia (TAPHATA)  amesema baada ya mkutano huu kumalizika mabadiliko makubwa yatajitokeza katika Uuzaji na Usambazaji wa Dawa na Vifaa Tiba .

Lengo la mkutano wa TAPHATA no kujadili na kutatuwa Changamoto zilizopo Kwa Wafamasia na kupanua wigompanakwa  kupata Masoko ..pia Amewapongeza na kuwashukuru wanachama wa TAPHATA Kwa kujitokeza Kwa wingi kwenye mkutano na kuinua changamoto zilizopo kwenye maeneo yao ya kazi.

MRATIBU Emmanuel Bujiku ameahidi kuyafanyia Mapendekezo yote. Na Yale ambayo yapo upande wa serikali atayawasilisha serikalini amewàshukuru na kuwaongezea wazamini wao wote Kwa michango Yao na ushirikiano waomkubwa wakutosha.

WakiwemoCRDB BANK na wengine

Habari picha na Ally Thabiti


Wednesday 24 November 2021

DR AMBEGE MWAKATOBE ATOA NENO KWENYE MKUTANO WA AFYA YA TIBA YA MENO NA KINYWA

 

Dr Ambege Mwakatobe ameipongeza Serikali Kwa juhudi na jitihada wanazozifanya Kwa kutoa vifaa TIBA vya  Afya ya Meno na Kinywa pamoja na uboreshwaji wa miundombinu ya utendaji kazi.

Pia Ongezeko la Ajira la Watumishi Kwa Watoahuduma na kuongezeka Kwa wadahiri pamoja  na Vyuo vya kufundishia ,, Dr Ambege Mwakatobe ametoa wito Kwa Wataalam wa Afya ya Meno na Kinywa pamoja na wanaokwenda kupata huduma hiyo kuchukuwa taadhari dhidi ya UVIKO 19.

Habari picha na Ally Thabiti

MKUTANO WA AFYA YA KINYWA NA MENO ( TDA) YAWACHOCHEA WANAWAKE


 Dr Leonora Asseri Dds-Dar Implantology -Netherlands Kutoka SHALOM DENTAL SURGERY. amesema mkutano huu utasaidia Kwa kiasi kikubwa kuondoa matatizo ya Kinywa na Meno Amewapongeza wasichana waliofanya vizuri kwenye masomo yao katika maswala ya TIBA ya Meno na Kinywa. Sakina, Dr Luciana Albert na Chirstna.

Ivyo amewataka Wazazi na Walezi kuhachana na Mira na desturi potofu na kandamizi dhidi ya watoto wa kike Kwa kuamini kuwa wamezaliwa kwaajili ya kuolewa Tu ,ambako dhana hizi sio za kweli kwani wanawake wanauwezo mkubwa wa kufanya kazi na Uongozi.

Habari picha na Ally Thabiti

ANA ENGA AHAIDI MAZITO KUTOKA LHRC

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC Ana Enga amesema watashirikiana na taasisi ya APRM Kwa Ali na Mali Lengo Tanzania iendelee kuwa nchi inayojali maswala ya Utawara Bora na Demokrasia .

Ana Enga amesema APRM inajumla ya nchi 41 za Kiafrica APRM itasaidia watu kuondokana na mfumo dume,Ukatili wa Kijinsi,Uvinjwaji wa Amani na Viongozi wa Kiafrica kuzingatia haki za binadamu na Utawara bora katika nchi zao . 

Ivyo Taasisi ya APRM imekuja kusimamia Haki katika nafasi za Uongozi.

Habari picha na Ally Thabiti
 

DEUS KIBAMBA AIPONGENZA LHRC


 Mkurugenzi Mtendaji waTCID Deus Kibamba amesema anawapongeza LHRC Kwa kuweza kushirikiana na taasisi ya APRM Kwa kuzinduwa ripoti ya tanzania katika maswala ya kujitathimini Mfano upande wa Utawara Bora ,Demokrasia na mengineyo.

Ambako itasaidia kuelewa tulipo toka ,tulipo na tuendapo katika maswala ya Utawara Bora na Demokrasia.

Deus Kibamba amezitaka Asasi za Kiraia kutoa ushirikiano Kwa APRM.

Habari picha na Ally Thabiti

CHAMA CHA SIASA CHAAIDI MAZITO KWA TGNP


 Kiongozi wa Chama cha Siasa amesema Mafunzo waliopata TGNP yeye atayatumia katika kuleta mabadiliko katika  Vyama vingine vya Siasa , Lengo kuondoa mfumo dume kwenye nafasi za Uongozi. 

 Kwani semina hii itafanya wanawake kujiamini katika kugombea nafasi za wenyeviti ndani ya Vyama vya siasa na wanawake kuondokana na dhana potofu ya kungoja nafasi za Citi maalum upande wa Udiwani na Ubunge.  

Na atimae wanawake watakwenda kugombea nafasi za Udiwani na Ubunge katika kata na majimbo na ngazi ya Urasi,amewataka TGNP na ULINGO kutovunjika Moto Kwa Mafunzo wanayotoa.

Habari picha na Ally Thabiti

MWEKA HADHINA WA CHAMA CHA SIASA AIPONGEZA TGNP NA ULINGO


 Mweka Hadhina wa Chama cha Siasa aipongeza TGNP na ULINGO Kwa kuwajengea uwezo wa namna ya kuwa Viongozi Bora kwenye Vyama vyao vya Siasa na jinsi ya kuondoa mfumo dume ndani ya Vyama vya siasa na serikalini.

Ivyo amesema elimu alioupata ataitumia kwaajili ya kuelimisha wanawake mbalimbali kugombea nafasi za Uongozi tena za Juu ili kuwezesha Ajenda za wanawake na matatizo wanayokutana nayo yaweze kutatuliwa Kwa wepesi na haraka.

Mweka Hadhina wa Chama cha Siasa ametoa wito Kwa TGNP na ULINGO elimu hii waendelee kuitoa mara Kwa mara tena wafike Hadi mikoani .

Habari picha na Ally Thabiti

ULINGO YAWAPIGA MSASA VIONGOZI WANAWAKE


 Avemaria  Sema Kafu Kiongozi wa ULINGO amesema wamekutana na Viongozi wanawake wa Vyama vya Siasa kwaajili ya kuwajengea Uwezo namna ya kutumia rasilimali za Vyama vyao na namna ya kubeba Ajenda za wanawake wenzao .

Ivyo Wagombee Nafasi zaUongozi  Mfano Udiwani,Ubunge,Urasi na nafasi zingine ndani ya Vyama vyao. ULINGO  Lengo lao kuu kuondoa mfumo dume katika nafasi za Uongozi.

Habari picha na Ally Thabiti

TGNP YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA


 Mkurugenzi Mtendaji  wa TGNP MTANDAO Liliani Liundi amesema Lengo la kukutana na Viongozi wanawake wa Vyama vya siasa kuwajengea uwezo katika kubeba Ajenda za wanawake na namna ya kufikia asilia 50 Kwa 50 katika ngazi za maamuzi.

Habari picha na Ally Thabiti

Tuesday 23 November 2021

KIKWETE AIPONGENZA T-MARC


 Raisi wa Hawamu ya Nne wa Tanzania Mrisho Jakaya Kikwete Amewapongeza T-MARC Kwa kutoa huduma zilizobora na nzuri Pia amesema maleria, HIV ni mambo ambayo yanatikisa dunia pamoja na Tanzania lakini kupitia T-MARC watanzania wameweza kupata elimu ya kutosha katika kujilinda na kujikinga dhidi ya Maleria na HIV .

Raisi Msitaafu wa Hawamu ya Nne Mrisho Jakaya Kikwete amesema taasisi yake pamoja na Serikali itaendelea kuunga mkono juhudi na KAZI zinazofanywa na T-MARC

Habari picha na Ally Thabiti

MWANA HABARI WA CHANEL TEN AIPONGENZA TARURA


 Albert Kilalah Mwanahabari wa Chanel Ten amesema Tarura kuweka Ulipaji wa Tozo Kidigitali utasaidia kuokoa fedha za serikali ambazo zitasaidia kununuwa madawa,ujenzi wa hospitali,zahanati na Vituo vya Afya.

Ivyo amewataka watu kuutumia mfumo huu.
Habari picha na Ally Thabiti

MTAALAM WA IT AWATOA OFU WADAU WA TARURA


 Moja wa Kiongozi wa IT Tarura amesema Mfumo wameweza kuuboresha Kwa kuondoa changamoto zilizokuwa zikijitokeza wakati wa Ulipaji tozo za maegesho ya magari. Amewata watu kutumia mfumo huu.

Habari picha na Ally Thabiti

TARURA MKOA WA DSM YAJA KIVINGINE


 Meneja wa Tarura Mkoa wa Dsm Ndugu Mkinga amesema ifikapo tarehe 1/12/2021 Tarura Mkoa wa Dsm itaanza kukusanya tozo za maegesho ya magari Kidigitali . Ivyo amewataka watu kutumia mfumo huu .

Kwani unaokoa muda,unazuia mianya ya upotevu wa mapato ya serikali na kuweza kupelekwa Fedha hizi kutumia kwenye maboresho ya miundombinu ya barabara.

Habari picha na Ally Thabiti

Monday 22 November 2021

MKUU WA WILAYA YA ILALA AIPONGENZA TARURA


 Mkuu wa Wilaya ya Ilala Rubigija ameipongeza TARURA kwa kuwapa Semina Wanahabari kuusu matumizi ya Mfumo wa Ulipaji tozo za Maegesho ya magari ,amewataka watu kupokea mfumo huu na kuutumia .

Habari picha na Ally Thabiti

MKURUGENZI WA TAMISEMI ABAINISHA MIKAKATI YA AFYA


  •  Mtuli Mkurugenzi wa TAMISEMI Kwenye Sekta ya Afya Amesema Maazimio waliotoka nayo kwenye mkutano wa Wadau wa Afya ni kutoa huduma bila upendeleo,usambazaji wa madawa na vifaa kwenye mahospitalini, Kujenga miundombinu kwenye hispitali,zahanati na Vituo vya Afya.
Kuongezea Ujuzi na Uwezo Wataalam wa Afya na kuwafikia watu wenye Ulemavu wa Aina zote.

Habari picha na Ally Thabiti

Friday 19 November 2021

MUHUGUZI MKUU WA MKOA WA SHINYANGA ATOA SIRI NZITO


 Flora Kajumulla Muhuguzi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga amesema wao wamefanikiwa Kwa kiasi kikubwa katika kupunguza Vifo vya Mamawajawazito na Watoto Wachanga kwa kuwatumia watu wenye magari binausi .

Ambako Kwenye Huo Mradi Mkoa wa Shinyanga Unalipia asilimia miamoja Kwa watu wanaowasafirisha Mamawajawazitowakati wa kwenda kujifungua na Watoto Wachanga,,ambako mradi umesaidia kupunguza vifo 46Kwa mwaka 2016 Kati ya vizazi hai laki moja'' 

Ametoa wito Kwa Wadau na Serikali Kuiga Mkoa wa Shinyanga Lengo kunusuru Vifo vya Mamawajawazito na Watoto Wachanga.Amesema haya kwenye  Mkutano wa Mwaka wakujadili namna ya Kupunguza Vifo vya Mamawajawazito na Watoto wanga. 
 
Ambako Kauli Mbiu Inasema Kuongeza Kasi na Kupunguza Vifo Vitokanavyo na Uzazi, Watoto Wachanga, Watoto Chini ya Miaka Mitano na Vijana.

Habari na Ally Thabiti

DR KITINYA AELEZA NJIA ZA KUNUSURU VIFO VYA MAMAWAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA


 Dr Kitinya Mshauri na Mratibu amesema hili Kunusuru Vifo vya Mamawajawazito na Watoto Wachanga ni vyema serikali pamoja na wadau kuweka rasilimali Fedha za kutosha kwaajili ya kutoa elimu kabla ya kujifungua na Baada ya kujifungua, kuwepo na miundombinu Bora na rafiki,Vitendea kazi na rasilimali watu wa kutosha .

Ambako Kauli Mbiu ya Mkutano Huu Inasema Kuongeza Kasi ya Kupunguza Vifo Vitokanavyo na Uzazi, Watoto Wachanga, Watoto Chini ya Miaka Mitano na Vijana.

Habari picha na Ally Thabiti

DR NA MUHADHIRI MKUU WA CHUO KIKUU CHA TIBA NA SAYANSI MUHIMBILI NAHYA SALIM AGUSWA NA MAMBO YA WATU WENYE ULEMAVU


 Dr Nahya na Muhadhiri Mkuu wa Chuo Kikuu cha TIBA na SAYANSI MUHIMBILI amesema Swala la Afya ya Uzazi katika kuwafikia watu wenye Ulemavu ni Jambo muhimu kupitia mkutano Huu serikali imelibeba maswala ya mwandishi ya nukta nundu kwaajili ya wasio Ona na matumizi ya Lugha za Alama Kwa watu wenye Uziwi.

Nahya Salm amesema katika kupunguza Vifo vya mama wajawazito na Watoto wanga ni Jambo zuri .Kauli Mbiu ya Mkutano Huu Inasema" Kuongeza Kasi ya Kupunguza Vifo Vitokanavyo na Uzazi, Watoto Wachanga, Watoto Chini ya Miaka Mitano na Vijana"

Habari picha na Ally Thabiti

Thursday 18 November 2021

DORIS MOLLEL FOUNDATION ATOA ZAWADI KWA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA


 Taasisi ya DORIS MOLLEL FOUNDATION imempongeza Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Kwa juhudi na jitihada anazofanya Kwa kunusulu vifo ya mamawajawazito na watoto wachanga.

DORIS MOLLEL FOUNDATION imeweka Mipango kabambe kwaajili ya kutoa elimu ya afya  uzazi ,pia maswala ya watoto njiti NI miongoni mwa maeneo wanayafanyia kazi.

Habari picha na Ally Thabiti

WHO KUNUSURU VIFO VYA MAMAWAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA


 Mwakirishi Mkaazi wa WHO amesema Watasaidia na kuwezesha serikali ya tanzania Fedha kwaajili ya kunusuru vifo vya mamawajawazito na Watoto wachanga.

HAbari picha na Ally Thabiti

WIZARA YA AFYA KUWAFIKIA WATU WENYE ULEMAVU


 Dokta Bundala wa Wizara ya Afya Amesema Katika afya ya uzazi watawafikia watu wenye Ulemavu Kwa kuwapa elimu rafiki kwao.

Habari picha picha na Ally Thabiti

Wednesday 17 November 2021

WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATETA NA REPOA


 Prof Kitila Mkumbo Waziri wa Viwanda na Biashara Ameipongeza Repoa  Kwa tafiti zao kwani zimeweza kutatuwa Changamoto za wafanya biashara ndani ya Miaka Yao 25, pia ameitaka Repoa iongeze Kasi na bidii kwenye tafiti zao.

Habari picha na Ally Thabiti

REPOA YAZIDI KUCHOCHEA MAENDELEO YA TANZANIA

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Repoa Dr Donald Mmari amesema Repoa itaendelea kufanya tafiti lenge kutatuwa Changamoto inayowakabili jamii ya kitanzania.
Kwani itasaidia KUCHOCHEA MAENDELEO katika Sekta mbalimbali.

Habari picha na Ally Thabiti

WIZARA YA AFYA YAVUTIWA NA LSF


 Katibu Mkuu Wizara ya Afya Jinsia ,Wazee na Watoto dokta John Jingu amesema LSF NDANI ya MIAKA KUMI imewezakuisaidia serikali Kwa kiasi kikubwa katika mabadiliko ya Sera,Sheria,Kanuni na Taratibu ivyo wanaishukuru mno.

HAbari na Ally Thabiti

TAWLA YAGUSWA NA LSF NDANI YA MIAKA KUMI YAO

 Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania TAWLA Tike Mwambipile


ameipongeza na kuishukuru LSF Kwa kazi kubwa na nzuri ya kuwajengea uwezo na uwelewa Mawakili wanawake ndani ya Miaka 10 ,,Tike ameahidi ushirikiano mkubwa wataendelea kuwapa LSF ili waweze kutimiza Lengo la kuondoa ukatili wa kijinsia nchini Tanzania .

Habari na Ally Thabiti

LSF YATIMIZA MIAKA KUMI KIBABE


 Mkurugenzi Mtendaji wa LSF Lulu Mwanakilala amesema katika Miaka kumi wameweza kifikia jamii Kwa kiasi kikubwa Kwa kutoa elimu ya masada wa kisheria,pia wamewajengea uwezo wasaidizi WA kisheria kuanzia ngazi ya Chino mpaka kitaifa kwenye Mikoa ya Tanga,Pwani,Kigoma,Mwanza,Arusha,Shiynga,Ruvuma,Lindi,Mtwara, Dsm,Dodoma,Mbeya, Zanzibar na Mikoa mingineyo.

Lulu Mwanakilala amekishukuru serikali Kwa kuwaunga mkono Kwa kazi zao ,Danida,Ubarozi wa Swiden,ubarozi wa Canada,UK na wadau wengine I.

Habari na Ally Thabiti

DIT YAJA KUTATUA CHANGAMOTO MAHOSPITALINI

 

Meneja Julia Jenjezuu wa Chuo cha DIT amesema Lengo la mradi wao ni kutatua changamoto zilizopo katika jamii kwenye hispitali mbalimbali .amesema vifaa wanavyovitumia vikipelekwa mahospitalini vitasaidia kutatua changamoto mbalimbali.

Ametoa wito Kwa serikali kufanya maboresho na malekebisho yasera na sheria kwenye upande wa Afya.

Habari picha na Ally Thabiti

MAGOMA AWAFIKIA WATU WENYE ULEMAVU


 Dokta Magoma wa Gender Health Amesema Wamevifikia Vituo vya Afya 545 Kwa kuwapa elimu ya Uzazi salama ambako watoa huduma watapewa elimu ya namna ya kuwahudumiwa watu wenye Ulemavu wa aina zote.

Pia wamefikiwa watu milioni moja na lakinane kwenye Mikoa kumi ikiwemo Dodoma,Pwani,Tanga,Arusha,Kilimanjaro,Mwanza Dsm na Mikoa yote ya Zanzibar.

Habari picha na Ally Thabiti

Tuesday 16 November 2021

MWENYEKITI WA KAMATI YA KILIMO ZANZIBAR AELEZA FAIDA ZA UTAFITI


 Yusufu Masudi Mwenyekiti wa Kamati ya Kilimo Kutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar amesema Tafiti zinasaidia Kwa kiasi kikubwa kukuwa Sekta mbalimbali ,Mfano Kilimo Ivyo amewaomba Repoa kufanya tafiti za Aina zote mbalimbali Kwa kiasi kikubwa na mara Kwa mara.

Habari picha Ally Thabiti

MTANGAZAJI WA CLOUDS HADAM MCHOMVU AJITABILIA KUFIKIA ANGA ZA KIMATAIFA


 Mtangazaji wa Clouds Pia Mwimbaji wa Mziki wa Kizazi Kipya Hadam Mchomvu amesema anaamini anafanya vizuri na anakubalika na kuaminika wenye mziki wa Kizazi Kipya amefika mbali na anaamini atafika mbali kwenye mziki wake.

Licha ya changamoto anazokutana nazo katika kuwa Mtangazaji na Mwimbaji lakini anafanya vizuri amewataka watu kufuatilia Instagram yake @hadammchomvu na You tube hadammvomvu.

Anapokuwa kwenye kuitangaza anaepuka mgongano wa kimaslai kupiga nyimbo zake na Hadam Mchomvu kabla ya kuwa Mtangazaji alikuwa akiwa katika Uimbaji wa mziki. Ametoa wito Kwa watanzania wajitume katika kazi zao za mziki.

Habari picha na Ally Thabiti

TIRA YAWEKA MIKAKATI MIZITO


 Kaimu Meneja wa Utekelezaji wa Sheria Kutoka TIRA amesema TIRA imeweka mikakati mikubwa Lengo kuinua na kukuza sekta ya Bima  nchini  tanzania amesema haya kwenye viwanja vya mnazi mmoja jijini Dsm.

Habari picha na Ally Thabiti

Monday 15 November 2021

BOT YATOA TILIONI MOJA KWENYE MABANK


 Mmoja wa Afisa wa BOT amesema Katika Kutekeleza maagizo na maelekezo ya raisi Samia Suluhu Hassan Juu ya mabank kupunguza riba ya mikopo kwenye  mabank BOT imezikopesha Bank nchini Tanzania kiasi cha tilioni moja Lengo zitoe mikopo ya riba nafuu.

Ambako bank zimeanza kushuaha viwango vya riba ambako apo mwanzo Bank zilikuwa zinatoa asilimia 28 na wataasisi zinazotoa mikopo zimeanza kutoa mikopo asilimia 3.5 Kwa mwezi ukilinganisha na kipindi cha nyuma .

Nae Afisa Mwandamizi wa BOT Crispina Nkwa amewataka watu kutozialibu Kwa kuzikanyaga pesa au kuzifanyia Jambo lolote kinyume na Taratibu za nchi kwani hatua Kali dhidi Yao zitachukuliwa kutokana na sheria ya mwaka 206 ya Tanzania BOT Ndio yenye mamlaka ya kuziaribu pesa amesema haya viwanja vya mnazi mmoja jijini Dsm.

Habari picha na Ally Thabiti

MARGARET MNGUMI ATOA NENO KWA TASISI ZA BIMA


Margaret Mngumi Msajili wa Malalamiko Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima ,,amesema Kwa mwaka huu wametatuwa Migogoro ya Bima 150 Sawa na mwaka Jana .

Amewataka Wananachi wakiwa na Malalamiko ya Bima waende kwenye Ofisi zao zilizopo Mbeya,Mwanza,Dodoma ,Dsm na Mikoa mingineyo.

Kwamawasiliano zaidi +2552221111117 Nukushi +25522211094 Kwa barua Pepe Ombudsman@tio.go.tz Tovuti Www.tio.og.tz.

Habari picha na Ally Thabiti

 

KUNDI LA KUPINGA NDOA ZA UTOTONI LAWEKA MIKAKATI TGNP MTANDAO


 Kama anavyoonekana Pichani Kiongozi wa Kundi la kupinga Ndoa za utotoni Kerven akieleza mikakati yao ya kwenda kutoa elimu Kwa Jamii,Viongozi wa Kidini na Wadau wengine.

Kerven ameipongeza na kuishukuru TGNP MTANDAO Kwa juhudi na jitihada wanazozifanya na kuzichukuwa za kupinga na kupiga Vita Aina zote za ukatili WA kijinsia, mfano Ndoa za utotoni.

Habari picha na Ally Thabiti

FORUM CC YATOA NENO KWA WANAHARAKATI WA TGNP MTANDAO


 Msololo Onditi Program Officer wa FORUM CC amewataka Wanaharakati wote Kuwajenga uwezo watu WA namna ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi, Kwa Lengo la kunusulu vizazi vya sasa na vijavyo.

FORUM CC inaipongeza TGNP MTANDAO Kwa juhudi na jitihada wanazofanya Kwa jamii Kwa kuwapa elimu ya utunzaji wa Mazingira. 

 FORUM CC imetoa Rai Kwa serikali washirikiane na Wanaharakati ili waweze kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi . Kwa kuwapa rasilimali watu,Fedha na kuweka mazingira rafiki na wezeshi Kwa wadau wote Kwa maslai mapana Kwa tanzania .

Habari picha na Ally Thabiti

JOYCE WA TGNP MTANDAO AKITANA NA WANAHARAKATI


 Joyce Kutoka TGNP MTANDAO Amewataka Wanaharakati kuweka nguvu za pamoja ili kutokomeza Mimba za utotoni,Ndoa za utotoni na Utoaji wa mimba Kwa watoto wa kike  na namna ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Pia Joyce wa TGNP MTANDAO ameitaka serikali ya Tanzania kutekeleza makubaliano waliyosaini SADC mwaka 2008 namna ya kutokomeza na kupinga maswala ya ukatili wa kijinsia .

Kwani katika makubaliano hayo tanzania imekuwa nchi ya mwisho katika utekelezaji.

Habari picha  na Ally Thabiti

MWANA HARAKATI JENIFA AHAIDI MAZITO


 Jenifa ni Mwanaharakati amesema Mafunzo aliyoyapata TGNP yamemjengea uwezo mkubwa wa namna ya kuweza kutokomeza mimba za utotoni na maswala ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.  

Na mambo yote yanayousu ukatili wa kijinsia yeye atakuwa balozi mzuri,ametoa wito Kwa jamii kuungana na TGNP MTANDAO katika kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia.

Habari picha na Ally Thabiti

Tuesday 9 November 2021

TBA YAJA KIVINGINE


 Tusekelege M. Joune Executive Director wa TBA amesema watu wajitokeze Kwa wingi kwenye Banda la TBA viwanja vyanazi mmoja ili waweze kupata elimu ya kibank na vipeperushi vya Aina mbalimbali bule.

Pia mabank yanatekeleza maagizo na maelekezo ya serikali riba za mikopo kuwa ndogo, TBA imesimamia na kiwango kimekuwa kidogo cha riba   Mkurugenzi wa TBA ameiomba serikali kutatuwa Changamoto zilizopo kwenye mabank . 

 huku akitoa wito Kwa wakopaji kulejesha Fedha Kwa wakati kwenye mabank na waache kukimbilia mahakamani.

Habari picha na Ally Thabiti

MBONI AJA KIBABE


 Katika Kuelekea Maazimisho ya Miaka 60 Tanzania (Tanganyika) Mwanadada MBONI ameamuwa kufanya Tamasha kubwa la Taharabu tena bule tarehe 10/12/2021 ambako kutakuwa na wasanii nguli akiwemo Khadija Kopa.

Habari picha Victoria Stanslaus

ESABERA KAONGA AWATAKA WANAWAKE KUCHANGAMKIA FURSA

 


Mfanya Biashara Kutoka  Mbeya Esabera Kaonga amewataka wanawake kujiunga na taasisi ya MWANAMKE NI TUNU kwani watapata fursa mbalimbali .pia amewataka watu kununuwa bidhaa zake Kwa Mawasiliano zaidi 0714 981 067.

Habari na Victoria Stanslaus

WIZARA YA ELIMU YANUFAIKA NA MABILIONI YA UVIKO 19


 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu amesema Fedha walizopata za UVIKO 19 watatumia katika ujenzi wa madarasa,mabweni na miundombinu  kwenye shule mbalimbali . Pia watanunua vifaa vya kuifunzia na kusomea watu wenye Ulemavu mbalimbali.

Habari picha na Ally Thabiti

Saturday 6 November 2021

TAASISI YA MWANAMKE NI TUNU YAWAKOMBOA WANAWAKE


 Mkurugenzi wa Taasisi ya MWANAMKE NI TUNU Adera amesema Lengo lao ninkuwainuwa wanawake kiuchumi ambako wameweza kuwafikia wanawake zaidi ya elfu moja nchini Tanzania. Pia Wana matawi jijini Mbeya ,kanda ya kaskazini, Mkoani Iringa na Mikoa mingineyo .

Habari picha na Ally Thabiti

TARURA YAJA NA MIKAKATI MIZITO DSM


 Meneja wa Talura Mkoa wa Dsm Bwana Mkinga amesema wamepokea maelekezo ya maboresho ya mfumo wa Ukusanyaji wa tozo za uegeahaji wa magari Kwa njia ya mtandao yaliotolewa na Waziri wa Tamisemi Humi Mwalimu watayafanyia  kazina kutekeleza Kwa vitendo. 

Ikiwemo kutoa elimu ,matumizi ya Lugha nzuri na mengineyo. Pia amesema watu wenye Ulemavu watashirokishwa Kwa kiasi kikubwa .Mkinga ametoa wito Kwa waegesha magari Kwa Dsm kutoa ushirikiano wakati WA utoaji elimu na Baada ya mfumo kurejeshwa tarehe 1/12/2021.

Lengo ni kudhibiti upoteaji wa mapato ya Maegeaho ya magari.

Habari picha na Ally Thabiti

WIZARA YA TAMISEMI YATATUWA KELO YA MFUMO


 Waziri wa Tamisemi Humi Mwalimu amesema Kwa kushirikiana Tarura wametatuwa kelo zilizokuwa zimejitokeza kwenye mfumo wa tozo za kukusanya maeneo  ya Maegeaho ya magari .

Kwani watu walipokuwa wakiegesha magari yao waliweza kubainisha changamoto walizokutana nazo jijini Dsm wakati wa kulipa Kwa njia ya mtandao ...Ikiwemo kupigwa faini ya elfu30,kutopewa taarifa za madeni,kutopewa namba ya malipo,Lugha chafu Kwa watumishi na zinginezo.

Waziri Humi Mwalimu amesema Kwa sasa mteja atatozwa shilingi elfu kumi Kama atachelewa kulipa ndani ya siku 14, Kwa sasa atatozwa shilingi 500 na Kwa siku 2500 Baada ya kuegesha gari.  Pia Waziri ameitaka Talura kutoa elimu Kwa waegesha magari ndani ya siku 21 kwani mfumo huu utaanza tena tarehe 1/12/2021.

Waziri Humi Mwalimu ametoa wito Kwa waegesha magari nchi mzima kutumia mfumo huu Kwa kulipa tozo Kwa njia ya mtandao kwani inasaidia kutokupotea pesa za serikali.kabla ya kutumia mfumo huu Dsm ilikuwa inakusanya milioni25 na Baada ya kutumia mfumo huu imekusanya milioni 40.

Humi Mwalimu ametoa Rai Kwa Talura kutoa asilimia 40 ya Fedha kupelekwa kwenye halmashauri pia kutowachaji tozo ya Maegeaho watu wenye Ulemavu kupitia Sura ya 288.

Habari picha na Ally Thabiti

Thursday 21 October 2021

MWENYEKITI WA NCCR MAGEUZI ATANGAZA VITA


 James Mbatia Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi amewataka Viongozi wa Serikali ya Tanzania,wanasiasa, Viongozi wa Kidini, Viongozi wa kimira na kijadi na watu wote wawapige Vita na wawapige watu wote wanaoalibu UTU wa Watu. 

kwani kutowapiga Vita watasababisha kuvunjika Kwa Amani na utulivu wa nchi yetu ya Tanzania .

Habari picha na Victoria Stanslaus

MENEJA WA TANROAD AHAIDI MAZITO


 Japhet Kivuyo Meneja wa TANROAD wa Mizani amesema Kwa sasa wanafanya makongamano na semina mbalimbali Kwa wadau mbalimbali wa Usafirishaji namna ya kutumia Mizani ambako wameanza elimu Kwa Mkoa wa Dsm na Pwani na wamefurahishwa na mwitikio mkubwa wa wadau wa Usafirishaji na jinsi walivyopokea Mafunzo haya.

Mikoa mingine watakayoenda Lindi ,Mtwara,Dodoma,Singida ,Morogoro,Tanga Iringa,Mbeya Ruvuma,Katavi,Geita,Mwanza,Arusha na Mikoa mingine. Lengo la semina hizi ni kuwaongezea uwelewa na ufahamu  na umuhimu wa kuzingatia Sheria,kanuni na Taratibu za Mizani.

Ametoa wito Kwa wadau wa Usafirishaji wazingatie Uzito unaotakiwa kwenye magari Yao kwaajili ya kutunza na kulinda barabara na madaraja hili yaweze kudumu Kwa muda mrefu.

Kwani wakizingatia haya tutapunguza gharama za ujenzi wa barabara na madaraja ambako Fedha hizi zitasaidia katika kutatuwa Changamoto ya Afya, Elimu,maji na maeneo mengineyo.

Japhet Kivuyo Meneja wa TANROAD amesema haya wakati wa semina na wadau wa Usafirishaji jijini Dsm.

Habari picha  Victoria Stanslaus

TANROAD YAJIVUNIA


 Mkurugenzi wa Matengenezo ya Mizani TANROAD amesema mpaka sasa wameweza kuiboresha na kuimarisha Mizani ya kupinga Nagari .amewataka wadau wa Usafirishaji wazingatie sheria ,kanuni na Taratibu za Mizani .

Lengo la TANROAD kuweka Mizani ya kupinga magari hili kudhibiti Uzito uliopitiliza ,ambako kutaepusha uhalibifu wa barabara na madaraja.

Amesema moja ya jitihada anazofanya kutoa elimu na kufanya semina mbalimbali Kwa wadau wa Usafirishaji.

Habari picha Ally Thabit

MCHUNGAJI ATAKA WATU KUZINGATIA UTU


 Mchungaji Masanja anawataka Watu Wote Kuzingatia UTU kwani Ndio msingi wa Amani pia amekipongeza Chama cha NCCR Mageuzi Kwa kuzinduwa Kampuni ya UTU .

Ivyo amevitaka Vyama vingine kuunga mkono .

Habari picha na Victoria Stanslaus