Tuesday 28 November 2017

MAKAMU WA RAIS WA AWAMU YA4 ATOA MADONGO NA ATOA YA MOYONI

Makamu wa rais wa awamu ya 4 Kharidi Bilari amezitaka shule za secondary hapa nchini kutoa elimu bora na yenye tija kwa wanafunzi na Taifa . pia ameipongeza shule ya Feza kwa kuwa vinara kwenye mitihani ya Taifa

habari picha na  ALLY THABITI

WANAFUNZI WANENA MAZITO JUU YA SHULE YA FEZA

Samweri John ni mwanafunzi alieitimu kidato cha 4 kwenye shule ya secondary ya Feza . ameushukuru uongozi pamoja na walimu  kwa kuwapa elimu bora na ameaidi kuyafanyia kazi yote walio fundishwa


habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

MKURUGENZI WA SHULE YA SECONDARY YA FEZA ATETA NA WAITIMU WA KIDATO CHA 4

Mkurugenzi wa shule ya secondary ya Feza Ibraim Yunusi amewataka wanafunzi walioitimu kidato cha 4 wawe raia wema kwa jamii  .amesema haya kwenye maafari ya 17 ya kuwaaga waitimu wa kidato cha 4 kwenye ukumbi wa mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

PICHANI MGENI RASMI AKIINGIA KWENYE UKUMBI WA MWALIMU NYERERE

Makamu wa rais wa awamu ya 4 Kharidi Bilari  akiingia kwenye maafari ya shule ya secondary ya Feza

IVI NDIVYO VIPAU MBELE VYA MGOMBEA UDIWANI KATA YA KIJICHI KUPITIA CCM

Eliasa Mtarawanje vipumbele vyake ni elimu,maji na barabara

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

MWENYE KITI WA CCM WILAYA ATOA SIRI NDANI YA CCM

Mwenyekiti wa ccm wilaya  Mwanaamisi  Ally  amesema siri ya mafanikio ndani ya chama cha ccm umoja na mshikamano .amesema aya kata ya kijichi wakati wa kumnadi mgombea udiwani Eliasa Mtarawanje

habari picha na VICTORIA STANSLAUS

PICHANI WAKULIMA WAKIPOKEA MAFUNZO



Wakulima wa Dapwata wakipokea mafunzo kutoka kwa afisa kilimo

habari picha na  ALLY THABITI

PICHANI AFISA KILIMO AKITOA MAFUNZO KWA WAKULIMA

Afisa kilimo kutoka Temeke akiwapa mafunzo wakulima jinsi ya kulima kilimo bora


habari picha na  ALLY THABITI

WAKULIMA WAPONGEZWA KWA MWITIKIO WA SEMINA

Mwenyekiti wa chama cha wakulima Dapwata amewapongeza wakulima kujitokeza kwa wingi kwenye semina . na ameiomba serikari iwasaidie pesa kwaajili ya kilimo

habari picha na  ALLY THABITI

PICHANI MADIWANI WALIOUDHURIA

hawa ndio madiwani walioudhuria kwenye baraza la madiwani halmashauri ya Ilala

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

DIWANI WA UKONGA AHAIDI MAZITO

Diwani wa kata ya ukonga amesema watakusanya kodi kwa wingi ili kutengeneza shule, zahanati na miundombinu mbalimbali

habari picha na ALLY THABITI

WANA ILALA WATOLEWA MCHECHETO

Diwani wa halmashauri ya Ilala  Sadi Kimji amewatoa ofu na mashaka wananchi wake kuwa barabara zote zitafanyiwa matengenezo

habari picha na ALLY THABITI

WADAU WA UTEPE MWEUPE WAKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

WANA HABARI WAAIDI MAZITO KATIKA KUTOKOMEZA VIFO VYA MAMAWAJAWAZITO NA WATOTOWACHANGA

Mwana habari wa kepito tv na redio Kostantini Miambo  amesema wataweka wazi maovu na madudu watakayo fanya wakunga,madaktari na manesi juu ya mamawajawazito na watoto wachanga


habari picha na  ALLY THABITI

HALMASHAURI YA ILALA VINARA KWA KUSABABISHA VIFO VYA MAMA WAJAWAZITO KWA MAKUSUDI

Nuru  Mwamedi kutoka taasisi ya utepe mweupe amesema kuanzia mwaka2015 halmashauri ya Ilala aikutenga bajeti kwaajili ya dawa pamoja na vifaa tiba vya kabla na baada ya kujifunguwa mamamjamzito .pia kwamwaka 2017adi 2018 awakutenga bajeti yeyote kwaajili ya mamawajawazito na watoto wachanga ivyo kupelekea vifo vya mamawajwazito na watoto wachanga kuongezeka


habari picha na  ALLY THABITI

SERIKALI KUU YATAKIWA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WAUGUZI

Bibi Rose ameitaka serikali ya Tanzania kuwalipa wakunga na wauguzi pesa ya kutosha  na kutoa vifaa tiba na dawa kwa wakati . Lengo kupunguza  vifo vya mamawajawazito na watotowachanga

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

HALMASHAURI ZATAKIWA KUWEKA BAJETI YA KUTOSHA

Msajili wa baraza la wauguzi na wakunga Rena Mfadhira amezitaka halmashauri zote hapa nchini kutenga bajeti za kutosha kwaajili ya kunusuru vifo vya mamawajawazito na watoto wachanga wakati wa kwenda kujifunguwa .amesema aya siku ya utepe mweupe

habari picha na  ALLY THABITI

PICHANI NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA

Naibu waziri wa viwanda na biashara mwandisi Stera Manyanya akiwa kwenye picha ya pamoja na waitimu wa chuo cha CBE

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

CHUO CHA CBE CHAJA NA MIKAKATI KABAMBE

Mkuu wa chuo cha CBE  ameaidi kuwa tafiti walizozifanya na watakazofanya zinatatua na zitatatua matatizo yaliopo katika jamii ametoa wito kwa waitimu kuto bweteka na kuwa wazarendo

habari picha na  ALLY THABITI

WAITIMU WA CHUO CHA CBE WATAKIWA KUWA CHACHU YA MAENDELEO

Naibu waziri wa viwanda na biashara mwandisi Stera Manyanya amewataka waitimu wa chuo cha CBE kuwa chachu ya maendeleo katika kuelekea Tanzania ya viwanda  amesema haya kwenye maafari ya chuo cha CBE  jijini  Dar es salaam

PICHANI WATOTO WENYE VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI WAKIKATA KEKI


PICHANI VIFAA ,DAWA,VYAKULA ,VINYAJI NA VITI MWENDO NI MIONGONI MWA MISAADA ILIOTOLEWA NA WADAU MBALIMBALI NA PESA MILIONI8 ILIOTOLEWA NA TAASISI YA CIVIL SOCIETY FOUNDATION KWAAJILI YA KUWASAIODIA WATOTO WENYE VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI KWENYE OSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI KITENGO CHA MOII


PICHANI MJASILIAMALI MWENYE CHANGAMOTO YA MIGUU MASHO MBISE AKIMUELEZEA UBORA WA BIDHAA ZAKE NA BEI MKURUGENZI MTENDAJI WA KITENGO CHA MOI OSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI


WATU WENYE ULEMAVU WATAKIWA KUTOKATA TAMAA

Masho Mbise ni mjasiliamali mwenye changamoto ya viungo  ameitaka jamii ya kitanzania asa wenye ulemavu kutokata tamaa na kubweteka  juu ya ulemavu wao na badala yake wachangamkie fursa mbalimbali za kujikwamuwa kimaisha na kiuchumi . ambako yeye anatengeneza bidhaa mbalimbali zitokanazo na shanga ambazo zinamuingizia kipato na sasa anawafundisha wazazi na walezi wa watotowenye vichwa vikubwa na mgongo wazi ospitali ya Taifa ya muhimbili kitengo cha Moi

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

WATANZANIA WAFUNDWA

Joyce Gidioni ni mlezi wa wanafunzi wenye ulemavu  kwenye shule ya msingi Jeshi la wokovu  amewaasa watanzania wawaeshimu,wawajali, wawapende,wawathamini na wawape haki zote za msingi watoto wenye ulemavu  kwani wana uwezo na juudi kubwa za kufanya vizuri kimasomo na kutengeneza vitu mbalimbali


habari picha na  ALLY THABITI

WATANZANIA WATAKIWA KUACHANA NA MILA NA DESTURI POTOFU JUU YA WATOTO WENYE ULEMAVU

Mwalimu Isabera Mwankenja Mwansoje  kutoka shule ya msingi jeshi la wokovu amewasii watanzania kuachana na mila na desturi  potofu juu ya watoto wenye ulemavu kwa kuamini ni mkosi katika familia na kuwafungia ndani. Ivyo amewataka wawapeleke mashuleni wapate elimu bora ili wajikwamuwe kiuchumi . amesema haya  kwenye ospitali ya Taifa muhimbili kitengo cha Moi siku ya watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi . pia amewapongeza taasisi ya Civil Society foundation kwa mchango wao na amewaomba wazidi kuendelea kutoa


habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

WAZAZI WA WATOTO WENYE VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI WATOKWA NA MACHOZI MAZITO

Mwajuma Abdallah ni mmoja ya wazazi wa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi  ameitaka serikali kuwasaidia gharama ya matibabu ya watoto wao na pesa za kujikimu kwa chakula, mavazi na nauli wanapo wapeleka watoto wao ospitalini

habari picha na  ALLY THABITI

WATANZANIA WATAKIWA KUNUSURU WATOTO WENYE VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI

Mkurugenzi mkuu wa kitengo cha Moi kwenye ospitali ya Taifa ya muhimbili  ameitaka jamii ya kitanzania kuweza kugharamia  matibabu ya madawa na vifaa tiba  kwaaajili ya kunusuru na kuokoa maisha ya  watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi . kwani gharama zake ni kubwa ivyo wazazi na walezi wa kitanzania wanashindwa kuzimudu. ameipongeza taasisi ya Civil society foundation kwa kutoa mchango wao . pia amewapongeza wadau wengine  kwa michango waliotoa .kifaa kimoja gharama yake ni shilingi laki 2 watoto 100 wanatakiwa kufanyiwa upasuaji gharama yake ni milioni40 .pesa zilizopatikana milioni20 ivyo amewataka wadau wazidi kuchangia


habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

MKURUGENZI WA CIVIL SOCIETY FOUNDESHEN ATOA MANENO MAZITO

Mkurugenzi  wa Civil society foundeshen Francis Kiwanga ameitaka jamii ya kitanzania watoe michango yao ya ali na pesa ili waweze kusaidia watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi  kwenye ospitali ya Taifa ya muhimbili kitengo cha Moi. amesema haya wakati alivyokabidhi kiasi cha pesa milioni 8 .kwa mkurugenzi mkuu wa Moi

habari picha na  ALLY THABITI

Tuesday 7 November 2017

MKURUGENZI WA DODOMA AJA NA MIKAKATI KABAMBE

Mkurugenzi wa Dodoma  GODWINI KUNAMBI amesema wamejipanga kikamilifu katika kuitengeneza Dodoma mpya kwa ujenzi wa miundombinu bora ya barabara na upatikanaji wa maji kwa uhakika pamoja na umeme na ujenzi wa viwanda . Lengo ni kumuunga mkono rais MAGUFULI   kuelekea Tanzania ya viwanda


habari picha na  ALLY THABITI

WAZIRI MAKAMBA APIGWA NA BUTWAA

Waziri wa muungano na mazingira JANUARY MAKAMBA  ameshitushwa na upotevu wa maji nchini Tanzania ivyo amewataka watendaji wake wa  kazi watengeneze miundombinu  ya maji aya yawafikie wakulima

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

GRADNESI APONGEZA KUDHIBITI UPOTEVU WA MAJI

GRADNESI SALEMA  ameipongeza benki ya Dunia kwa kuwakutanisha wadau mbalimbali kwaajili ya udhibiti wa maji

habari picha na  ALLY THABITI

BENKI YA DUNIA YAWATOA OFU WAKULIMA

Mwakirishi mkazi wa benki ya dunia amewaakikishia wakulima wa kitanzania kwa kuwapa mafunzo zana za kulimia na vifaa vya umwagiliaji

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

WATOTO WAFANYA MAAJABU YA DUNIA

Muumini wa Azania front MAIKO KAMAZIMA  ameweza kujifunza kwa watoto walivyofanya alaiki na kuonesha upeo mkubwa amesema haya wakati watoto wavyopata ubarikio wa kipaimara  uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

WATANZANIA WATAKIWA KUOMBEA AMANI

Mchungaji wa  KKT BONIFASI KOMBO amewataka watanzania wazidi kuiombea amani nchi yetu na kumuombea maisha mazuri na uongozi mzuri rais MAGUFULI  na watendaji wake wote amesema haya wakati wa ubarikio wa watoto wapatao 4800 kwenye uwanja wa Taifa

habari picha na  ALLY THABITI

MWINJIRISTI AWAPONGEZA WARUTRHERANI

Mwinjiristi MAKIMIRANI RIMO amesema tukio walilofanya warutherani kwa walivyo wabarikia watoto wa kipaimara kwa pamoja kwenye uwanja wa Taifa ni la  kupongezwa

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

UGONJWA WA KANSA WAKUMBWA NA CHANGAMOTO

Mwanafunzi wa chuo cha Muhimbili  SALHA SUMANI  amesema tabia ya watu kushindwa kwenda kuangalia afya zao ni kikwazo cha kupambana na ugonjwa wa KANSA .pia amewataka watanzania wabadilike wapende kusoma masomo ya udaktari ili kuwepo na madaktari wa kutosha kwaajili ya kukabiliana na ugonjwa wa KANSA . yeye ameamua kusomea udaktari kwaajili ya kunusuru vifo vitokanavyo na KANSA


habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

WATANZANIA WAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI KWAAJILI YA UCHUNGUZI WA KANSA



habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

KANSA YATIBIKA

Mfamasia  SAKINA KALIMALI amewataka watanzani wawe wenye kuangalia afya zao  mara kwa mara . ususani KANSA ikijulikana mapema inazuilika na kutibika  pia amewapongeza watanzania waliojitokeza kwa wingi kwenye Hospitali ya  IBRAIM HAJI kwaajili ya kufanya uchunguzi wa  KANSA 


habari picha na  ALLY THABITI

PICHANI MTOTO AKIPATIWA HUDUMA YA MACHO BULE KUTOKA KWENYE TAASISI YA BILALI

habari picha na  ALLY THABITI

MTOTO WA JICHO KUWA ISTORIA TANZANIA

Mratibu wa kambi ya macho ya Bilali  SHARIFU  amesema wameamuwa kutoa huduma ya macho bule kupima na tiba lengo kutokomeza matatizo ya macho nchini Tanzania

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

SERIKALI YATAKIWA KUTEKELEZA KWA VITENDO MIKATABA YA KIMATAIFA

ANTONI BONIFASI  amesema ni vyema serikali itekeleze kwa vitendo mikataba ya kutokomeza maswala ya kutokomeza ukatili wa kijinsia . kwani swala la umiliki wa ardhi na kujikwamuwa kiuchumi  ni tatizo kubwa kwa wanawake  Tanzania


habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

ELIMU BORA KWA WATOTO UTOA MAJAWABU

MANPEET SINGH ni mshiriki wa kongamano lililoandaliwa na taasisi ya chuo cha  AGAKHAN amesema watoto wakipewa elimu bora itasaidia wao kujikombowa kiuchumi na jamii ikielimishwa juu ya kupambana na ukatili wa kijinsia itawezesha kupambana na kupiga vita unyanyasaji kwa watoto

habari picha na  ALLY THABITI

NDOA ZA UTOTONI NI SHIDA AFRIKA

OKIA HENRY STANLEY ni mshiriki wa kongamano lililoandaliwa na taasisi ya chuo cha AGAKHAN amesema ndoa za utotoni katika bara la Afrika ni chanzo cha watoto kushindwa kufikia malengo yao. ivyo amesema kongamano ili litawakombowa watoto wa kiafrika

habari picha na  ALLY THABITI

TAASISI YA CHUO CHA AGAKHAN KUNUSURU WATOTO

Mkuu wa chuo cha AGAKHAN nchini Tanzania prof JOO LLUGANA amesema wameamuwa kuanzisha kongamano la siku 3 .lengo kuwakombowa watoto wa kiafrika  na ukatili wa kijinsia ambako jumla ya nchi 35 zimekutana kwenye kongamano ili kwenye hotel ya Serena jijini  Dar es salaam

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

Saturday 4 November 2017

PICHANI BIDHAA ZA DARIING

Bidhaa izi zinapatikana  Kwariti Center

habari picha na  ALLY THABITI

WATEJA WATOLEWA MCHECHETO

MBANGA FEDRIKI amewatoa ofu watanzania kuusu bidhaa za Shimono  kuwa ni bora wasisite kununua popote wazionapo

habari picha na  ALLY THABITI

WATANZANIA WATAKIWA KUTUMIA BIDHAA ZA KAMPUNI YA SHIMONO

Meneja masoko wa kampuni ya Shimono  SIPRIANI KAGUO  amewataka watanzania watumie bidhaa za Shimono kwakuwa bidhaa zao ni bora na mzuri .amesema haya kwenye maonyesho  yanayo fanyika kwenye ukumbi wa Daimondi jubree jijini Dar es salaam

habari picha na  ALLY THABITI

WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU AKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA NA WATUMISHI WA TFDA

Habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

PICHANI WAZIRI WA AFYA,JINSIA,WATOTO NA WAZEE AKIKATA UTEPE

Waziri  UMMY MWALIMU  akikata utepe kwenye makao makuu ya ofisi ya mamlaka ya chakula na dawa [TFDA]  kuashiria uzinduzi wa  MAHABARA HAMISHIKA  umefunguliwa rasmi

habari picha na  ALLY THABITI