Wednesday 30 August 2017

AFYA YA UZAZI NI KIKWAZO KWA VIJANA

Kaimu mwakilishi mkazi LULU MWANA KILALA wa jenda HEARTH  ameasema afya ya uzazi imekuwa ni kikwazo kwa vijana kwasababu aiwafikii vijana walioko vijijini na matokeo yake kuwepo kwa mimba za utotoni na ongezeko la vijana walioathilika na UKIMWI LULU MWANA KILALA  amesema mpaka sasa wametoa mafunzo kwa vijana 150 na vikundi 70 vya vijana kwenye mikoa 15 Tanzania

habari picha na  ALLY THABITI

VIJANA WAICHACHAMALIA SERIKALI

BENI kutoka mkoani Dodoma amesema wanaitaka serikali iwakatie bima vijana lengo waweze kupata uhakika wa matibabu Pia amezitaka taasisi mbalimbali pamoja na serikali ziwape nafasi vijana katika upangaji na utoaji wa maamuzi ya kimaendeleo wawape nafasi vijana wenyewe ili waweze kutatua changamoto zinazowakabili amesema haya kwenye mkutano wa kitaifa wa vijana wa siku 3 ambao umefanyika kwenye ukumbi wa mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam

habari picha na ALLY THABITI

MFUMO WA VYAMA VINGI USIWAGAWE VIJANA

Mdau wa vijana STERA MANDA amewataka vijana wa kitanzania  mfumo wa vyama vingi usiwagawe vijana  badala yake watie nguvu katika kujenga umoja wao ili wafikie malengo ametoa rai kwa vijana watumie fursa zilizopo nchini Tanzania  ili watatue changamoto zinazo wakabili kama  Ajira na afya  amesema haya kwenye mkutano wa kitaifa wa vijana ambao umefanyika kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam jumla ya vijana  180 wameshiriki kutoka mikoa mbalimbali

habari picha na ALLY THABITI

Sunday 27 August 2017

MAKAMPUNI YA UJENZI YAAKIKISHIWA NEEMA

Mgeni rasmi OSWADI  ameyaakikishia makampuni ya ujenzi nchini Tanzania watawakopesha kiasi cha pesa chochote watakacho itaji kwa masharti nafuu ili wafikie malengo yao pia ameipongeza kampuni ya  ECOBOXI kwakuja na mfumo mzuri wa utunzqaji wa  mazingira  uasusani  wa maji taka

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

KAMPUNI YA UUZAJI VIWANJA YAJA KUONDOA FIGISUFIGISU ZA VIWANJA

Meneja masoko wa kampuni ya kuuza viwanja  LUSAJO KONDOBOLE  amesema wamekuja na mfumo wa kununua viwanja  wateja wao kwanjia ya intaneti lengo ni kuondoa utapeli,usalama wa viwanja na pese za wateja wao pia kuokoa muda na gharama za kufuatilia manunuzi ya kiwanja na kuepukana na matapeli  ametoa rai kwa watanzania wawaunge mkono kwa asilimia100 Wana mradi  MBONDOLE CHANIKA na MAWENI TANGA

habari picha na ALLY THABITI

KAMPUNI YA ECOBOXI YAJA NA MWARUBAINI KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA NCHINI TANZANIA

JEMSI LIZOMBA  wakampuni ya ECOBOXI  amesema wamekuja na mfumo mpya wa kutibu maji machafu na kutumika tena katika uoshaji magari, kumwagilia bustani na kusafishia chooni lengo ni kuondoa uchafuzi wa mazingira  kwa maji taka ndio maana wamekuja na jibu maji haya kutumika tena ambako itasaidia kupungua ugonjwa wa kipindupindu na kunusulu uchafuzi wa vyanzo vya maji JEMSI LIZOMBA amesema ofisi zao zinapatikana Mikocheni kwa Warioba

habari picha na ALLY THABITI

NSSF YATEKELEZA KWA UADILIFU AGIZO LA RAIS MAGUFULI

Afsa mauzo wa mfuko wa ifadhi ya jamii NSSF SAIDI SILAJI amesema wao wanamuunga mkono rais MAGUFULI  kwa kuelekea Tanzania ya viwanda kwani wanajenga kiwanda kikubwa cha sukari mkoani morogoro eneo la  MKURAZI lengo kuondoa hadha ya sukari na kuongeza ajira kwa vijana wa kitanzania pia ameeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa nyumba za makazi ya watu eneo la mtoni  KIJICHI na KILUVYA  za kisasa na bei nafuu

habari picha na ALLY THABITI

CTM YAJA KIVINGINE

Kampuni ya CTM yaleta malumalu za kisasa za bei nafuu na zenye ubora wa hali ya juu pia wana Mabo za kisasa  lengo lao kila mtanzania aweze kutumia bidhaa zao wenye matabaka yote ofisi zao zipo mikocheni  haya amesema meneja mauzo  AROISI MAIKO  kwenye maonyesho ya mlimani CITY  jijini dar es salaam

habari picha na VICTORIA STANSLAUS

TEMBO SIMENTI YAJA KUONDOA MATATIZOYA NYUMBA

DEVID FILIPO amesema wameamua kuja na TEMBO SIMENTI lengo kuondoa matatizo ya kubomoka nyumba nchini Tanzania kutokana na simenti zisizo na ubora TEMBO SIMENTI  inauwezo wa kuzuia mashambuliziya chumvi,magadi na madini ya salfeti  kwenye udongo DAVID FILIPO amewataka wakazi wa Dar es salaam kutumia simenti yao kwani wanaasiliwa na chumvi na mchanga ivyo tembo simenti ndio suluisho la matatizo ya nyumba zao wanapatikana Sumbawanga,Mbeya, Songea ,Mpanda na sasa wapo Dar es salaam

habari picha na ALLY THABITI

KAMPUNI YA KISHERIA YAJA KUMALIZA MIGOGORO MIZITO TANZANIA

Kampuni ya ABC ATTORNEYS ni kampuni ya kisheria ambayo inatoa msaada wa kisheri bure lengo lao kuondoa migogoro wakati wa ujenzi ususani upande wa Ardhi  Mwanasheria DAKIRA  amesemakampuni yao baada ya kufanya utafiti wa kutosha wakagungua upande wa ujenzi kuna migogoro mingi sana ndio maana wameamua kutoa msaada wa kisheria bure tena wamefungua tovuti yao kwaajili  kwaajili ya kupata msaada wa kisheria bure na ofisi zao zinapatikana Mbezi biichi na jijini Arusha na sasa wapo mbioni kufungua  ofisi zao Mwanza na Dodoma

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

UBABAISHAJI NA OFU KWENYE UJENZI KWISHA KABISA

ANAELI EPAINETO MLIKARIA  wa kampuni ya ujenzi ya AFRICA PREFABS Creating solutions  amesema wamekuja na teknorojia mpya na yakisasa katika ujenzi wa nyumba za aina zote lengo kuimwezesha kila mtanzania na asiye mtanzania kumiliki nyumba bora na za kisasa ameongezea kwa kuwatoa ofu wateja wao kuwa ujenzi wao unatumia gharama ndogo na kwa muda mfupi asa kwa matirio bora na vifaa vya kisasa vyenye teknorojia mpya  ametoa wito  kwa jamii waweze kuwaunga mkono na ameiomba serikali waunge mkono na ofisi zao zinapatikana Mbezi biichi jijini Dar es salaam pia amewashukuru watanzania kwa kuwapokea kwa shangwe kubwa  amesema haya kwenye maonyesho ya siku2 eneo la mlimani CITY

 habari picha na ALLY THABITI

KAMPUNI ILIYOPEWA DHAMANA YAKUSIMAMIA TUZO YAAIDI MEMA

Kampuni iliyopewa dhamana ya kusimamia tuzo za waajili na waajiliwa imeaidi kusimamia kwa uweredi na uhadilifu bila shaka yeyote moja ya viongozi wa kampuni amekipongeza chama cha wafanyakazi Tanzania ATE kwani ushindani huu utasaidia kwa kiasi kikubwa katika utendaji wa kazi kwa wafanyakazi na waajili

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

WAAJILI NA WAAJILIWA KUCHUANA KWENYE TUZO

Mkurugenzi mtendaji wa chama cha wafanyakazi Tanzania ATE amewataka watu wa sekta binausi na sekta za umma kushiriki kwenye tuzo zitakazo tolewa tarehe 8/12/2017  kwa waajili na waajiliwa  lengo kuwakutanisha watu wa sekta binausi na sekta za umma kubadilishana ujuzi na uzoefu 

habari picha na ALLY THABITI

WATANZANIA WATAKIWA KUTUMIA BIDHAA YA KAMPUNI YA KIWEMAKA HARDWARE AND GENERAL SUPPLIES COMPANY LIMITED

HARUN WEGGORO amesema kutokana na ubora wa bidhaa zao amewataka watanzania watumie bidhaa zao ususani katika maswala ya ujenzi ya miundombinu amesema haya kwenye maonyesho ya mlimani CITY jijini Dar es salaam HARUN WEGGORO amewata wanaotaka bidhaa zao na huduma zao waende Buguruni sheri ametoa wito kwa jamii kwa ujenzi bora watumie bidhaa kutoka kwao

habari picha na ALLY THABITI

MDAU ATOA PONGEZI MZITO

FRANSSE NJORAM MTAKIJE  ameipongeza kampuni GEARED CONSULTING ENGINEERS LTD kwa ufumbuzi wa matatizo ya umeme nchini Tanzania kwani swala la rangi kwenye umeme limekuwa tatizo mda mrefu ivyo ujio wa kampuni hii inayoongozwa na mwandisi  WARDA ESTER imeweza kutatuwa tatizo la mda mrefu ametoa rai kwa serikali kumuunga mkono mwandisi WARDA ESTER  kwajitiada zake anazozifanya kwani serikali ikimuunga mkono tutafanikiwa kuelekea Tanzania ya viwanda kwani bila umeme wa uhakika viwanda amna

habari picha na ALLY THABITI

MWANDISI AJA NA SULUISHO LA UMEME MAJUMBANI

Mkurugenzi wa kampuni ya GEARED CONSULTING ENGINEERS LTD  WARDA ESTER amesema kampuni yao inatoa elimu kuusu maswala ya umeme asa katika kutofautisha rangi lengo kuondoa maafa yanayotokana na maafa yanayotokea majumbani na viwandani amesema haya kwenye maonyesho ya siku 2 kwenye ukumbi wa mlimani City jijini Dar es salaam wale ambao wanaitaji huduma kutoka kwao wanapatikana kupitia namba za simu 0718754694 au 0767654694 na ya mwisho ni 0785911260 kwa barua pepe md@geared-consult.co.tz  mwandisi WARDA ESTER ametoa wito kwa jamii kwa elimu na mafunzo bora  wawasiliane nao  kupitia namba zao za simu na barua pepe

habari picha na ALLY THABITI

Wednesday 23 August 2017

PICHANI WANAFUNZI WANAOENDA KUSOMA JAPAN NA WADAU MBALIMBALI WA MAENDELEO



VICTORIA STANSLAUS

JAMII YA KITANZANIA YAKIWA KUACHA MIRA NA DESTUL POTOFU

ERIZABETI KWAYU amezitaka jamii za kitanzania waachane nmiranadestuli potofu juu ya mtoto wa kike ambako jamii kubwa ya kitanzania inaamini kuwa mtoto wa kike yupo kwaajili ya kuolewa ambacho kitu ichi sio kweli kwani yeye mtoto wa kike amepiga atuwa kubwa baada ya kusoma  na sasa anaelekea nchini JAPAN kwaajili ya kujiendeleza kimasomo pia ana kampuni yake ya ushonaji nguo za aina mbalimbali jijini MBEYA ametoa ujumbe kwa watoto wa kike wasome kwa bidii na wapuuze miranadestuli potofu zidi yao amesema haya kwenye mkutano uliofanyika kwenye hotel ya PROTEA jijini Dar es salaam

habari picha na VICTORIA STANSLAUS

KIJANA WA KITANZANIA AIPONGEZA JAPAN

JONH LUKASI amesema fursa alioipata kwenda kusoma JAPAN ataitumia vizuri kwa kuwasaidia watanzania waweze kuongeza kipatyo kwenye biashara zao na wawe wachangiaji wakubwa kwenye mapato ya serikali ya Tanzania  pia amelipongeza shilika la maendeleo ya japan [JICA]  kwa kuwapa nafasi ya kwenda kusoma JAPAN


habari picha na  ALLY THABITI

BAROZI WA JAPAN NCHINI TANZANIA ATOA MWONGOZO KUELEKEA MAENDELEO

Barozi anaeiwakilisha nchi ya JAPAN nchini Tanzania amewataka watanzania wapige vita ,rushwa, maradhi na umaskini ndipo watapopata mafanikio makubwa  pia amewasii vijana 8 wa kitanzania wanaoenda kusoma nchini JAPAN wazingatie na watekeleze kwa vitendo watakayo fundishwa amesema haya kwenye mkutano uliofanyika kwenye hotel ya PROTEA eneo la Upanga jijini Dar es salaam

habari picha na VICTORIA STANSLAUS

SERIKALI KUWAPIGA TAFU VIJANA 8

Mwakilishi wa serikali amesema vijana 8 wanaoenda kusoma JAPAN watawasaidia kwa kuwapa ajira lengo waongeze uzalishaji kwenye viwanda vya Tanzaniia vijana hawa8 wakitanzania wanaenda kusoma JAPAN kwa msaada wa shilika la maendeleo ya JAPAN [JICA]

Habari picha na ALLY THABITI

BASATA YABARIKI TAMASHA KUBWA LA TIGO FIESTA


habari picha na  ALLY THABITI

MWENYEKITI WA MAANDALIZI YA TIGO FIESTA AHAIDI MAZITO

Mwenyekiti wa TIGO FIESTA
      
  kutoka CLOUDS SEBASTIANI MAFGANGA  amesema mwaka huu watanzania watarajie burudani nzuri ,bidhaa boro na uhibuaji wa vipaji sehemu mbalimbali kutoka kwenye  TIGO FIESTA pia amewataka wakazi wa NJOMBE na mikoa mingine wajitokeze kwa wingi kwenye TIGO FIESTA 

habari picha na VICTORIA STANSLAUS

TIGO YADHAMINI FIESTA KWA MARA NYINGINE

Kaimu mkurugenzi wa masoko wa Tigo WILIAM MPINGA  amesema lengo la kudhamini tamasha kubwa ;la FIESTA N ni kuwawezesha wasanii kiuchumi na kuwafikishia wananchi huduma na bidhaa za tigo kwa ukaribu na uraisi zaidi kaimu mkurugenzi wa masoko wa tigo WILIAM MPINGA  amesema tamasha la fiesta mwaka huu 2017 limeongezewa hadhi ya kuitwa TIGO FIESTA lengo nikuonesha jinsi gani tigo wanavyolijali na kulithamini tamasha la fiesta na wananchi kwa ujumla  ametoa rai kwa jamii na wasanii kutumia vizuri na vyema fursa ya TIGO FIESTA  kwani watanufaika kiuchumi

habari picha na  ALLY THABITI

PICHANI MSAIDIZI WA JESHI LA POLISI AKIZINDUWA KIPINDI CHA WAENDESHA BODA BODA

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

JESHI LA POLISI LAAHIDI KUTOA ELIMU KWA WAENDESHA BODABODA

Kamishna msaidizi wa jeshi la polisi Tanzania ameaidi kuendelea kuwapa elimu waendesha bodaboda  Tannzania  lengo kuondoa vifo na majerui kwa waendesha bodaboda na abilia amewataka waendesha bodaboda kuijali na kuithamini kazi ya bodaboda kwani ni ajira kama ajira zingine na inawaletea kipato kikubwa amemalizia kwa kuwapongeza waandaaji wa kipindi cha bodaboda

habari picha na  ALLY THABITI

WAENDESHA BODA BODA WAPATA PAKUSEMEA YAO YA MOYONI

Mwenyekiti wa chama cha waendesha boda boda amepongeza kuanzishwa kwa kipindi kinachousu waendesha bodaboda  kupitia CLOUDS TV  kila siku ya juma tano saa o2;00 usiku na maludio jumapili saa 02;00 usiku kupitia kipindi hiki wataelimika na kuielimisha jamii juu ya boda boda

habari picha na VICTORIA STANSLAUS

WAENDESHA BODABODA WAPIGWA MKWARA MZITO

Chama cha kutetea abilia  CHAKUWA  chawataka waendesha bodaboda kutii sheria bila shuluti kwani wakifanya ivyo watapunguza ajali nyingi zinazotokea  pia abilia nao wameaswa wasiwe chanzo cha ajali

habari picha na ALLY THABITI

HADHA YA MAJI SASA BASI

Afsa mtendaji wa dawasco SIPIRIANI  LUWEMEJA  ameaidi kuwa wakazi wa dar es salaam wataondokana na adha ya maji kwani dawasco wametenga shilingi bilioni 23 kwaajili ya kuondoa mitambo iliochakaa na mpaka sasa wameweza kupunguza umwagikaji wa maji kutoka asilimia 55 adi asilimia 38 na ifikapo mwezi wa9 tatizo la maji jijini Dar es salaam alitakuwepo ametoa rai kwa jamii watoe taarifa kwa wakati dawasco na wawe karibu nao

habari  picha na VICTORIA STANSLAUS

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YATOA BARAKA KWA VIJANA WA KITANZANIA

Naibu waziri wa wizara ya nishati na madini amewatakia masomo mema vijana 20 wanaoenda kupata mafunzo nchini CHINA  kwenye sekta ya mafuta na gesi ivyo amewasii waitumie fursa walioipata kwa kwenda na wazingatie mafunzo watakayo pewa  kwani inatija kwao na taifa kwa ujumla lengo la kuwapeleka vijana hawa serikali inataka kuondoa gharama za kuwatumia wataalam kutoka nje ya nchi kwenye sekta ya mafuta na gesi

habari picha na VICTORIA STANSLAUS

MKURUGENZI WA UTAWARA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU ATOA NENO KWA WANAOENDA KUSOMA NJE

Mkurugenzi wa utawara na usimamizi wa rasilimali  wa wizara ya nishati na madini amewataka vijana wapatao 20 wanaoenda CHINA kujifunza maswala ya mafuta na gesi waitumie nafasi hii vizuri kwaajili ya kuiletea nchi ya Tanzania manufaa makubwa kwenye sekta ya mafuta na gesi na wakipata mafunzo haya wasiende nchi nyingine kufanya kazi hii wakifanya ivyo wataisababishia serikali asala kubwa ametoa wito kwa vijana wa kitanzania kusoma masomo ya sayansi kwani tutaondokana na uhaba wa wataalam wa mafuta na gesi 

habari picha na ALLY THABITI

CHAMA CHA MAWAKALA WA FORODHA CHAPONGEZWA KWA KULETA FURSA NCHINI TANZANIA

LUKIA SHAMTE  ni mdau  wa chama cha forodha  amekipongeza chama cha forodha nchini Tanzania kwa kuandaa na kuwaleta wataalam wa forodha  kwenye mkutano mkubwa  kwani  watanufaika  kwa kupata utaalam mbalimbali ivyo changamoto za kuchelewa mizigo bandarini na kulundikana kwa meli itabaki kuwa istoria  kupitia wataalam waliopo kwenye mkutano huu LUKIA SHAMTE  amewaasa wauzuliaji wa mkutano watumie fursa vizuri kutoka kwa wataalam kwani tija kubwa itaonekana kwa mawakala na serikali kwakuwa gharama zitapungua na muda pia na pesa zitakazo bakia zitapelekwa kwenye maendeleo mengine ya kijamii

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

MAWAKALA WA FORODHA WAIPONGEZA SERIKALI KWA KUTOA BILIONI 2.5

Katibu mkuu wa mawakala wa forodha TONI SWAI ameipongeza serikali kwa kutoa bilioni2.5 kwaajili ya utanuzi wa bandari ya Dar es salaam  kwani itawawezesha mawakala wa forodha kufanya kazi kwa alaka ,ubora na ufanisi zaidi kwani akutakuwa na foleni kwenye utoaji mizigo bandarini na kuondoa foleni za meli amesema haya kwenye mkutano wa kimataifa wa siku3 uliojumuisha mawakala wa forodha wapatao 250 kutoka nchi mbalimbali pia amempongeza waziri mkuu kwa uboleshaji wa bandari ya Dar es salaam ambae kawakilishwa na waziri wa ujenzi na uchukuzi porf MAKAME MBARAWA akiwa mgeni rasmi ametoa wito kwa mawakala wa forodha  kutekeleza kwa vitendo maagizo ya serikali . yeye katibu mkuu wa mawakala wa forodha TONI SWAI ameaidi kutekeleza kwa vitendo mkutano umeanza tarehe23/8/2017 na utamalizika 26/8/2017 kunduchi kwenye hotel ya RAMADA jijini Dar es salaam

habari picha na ALLY THABITI

Saturday 12 August 2017

WAZIRI WA ELIMU WA ZANZIBAR ATOA MAAGIZO KWA PSPF

Waziri wa elimu wa Zanzibar RIZIKI PEMBE JUMA amewaagiza PSPF kuboresha huduma zao  ziwe za wazi  kwa wanachama wao pindi wanapoitaji kwenda kusoma vyuoni na kuongeza kasi ya uwelewa wa wateja wao amesema haya baada ya kutembelea banda la PSPF  kwenye maonyesho yalioandaliwa na tume ya vyuo vikuu Tanzania[TCU]

Habari picha na ALLY THABITI

ABDULI NJAIDI WA PSPF AKITOA NENO KWA WAZIRI

ABDULI NJAIDI  wa PSPF  asema PSPF wanatoa fursa kwa wanachama wao kwenda kusoma kwenye vyuo vya apa nchini na nje ya nchi baada ya kutembelewa na mgeni rasimi waziri wa elimu wa Zanzibar RIZIKI PEMBE JUMA  pichani kama inavyoonekana

habari picha na VICTORIA STNSLAUS

WAZIRI WA ELIMU WA ZANZIBAR AIPONGEZA TCU

Waziri wa elimu wa Zanzibar RIZIKI PEMBE JUMA  ameipongeza tume ya vyuo vikuu Tanzania [TCU] kwa kuzingatia matumizi ya kanuni ,sheria na taratibu za nchi  kwa kusimamia vyuo hapa nchini ndio maana vyuo vya hapa nchini vinatoa elimu bora pia amezipongeza taasisi za vyuo zinazowapeleka wanafunzi wa kitanzania  kwenda kusoma nje ya nchi  kwani wanasaidia katika kuelekea Tanzania ya viwanda  amezitaka taasisi zinazowapeleka wanafunzi nje ya nchi kupunguza gharama kwani ni kubwa

habari picha na ALLY THABITI

CUF YAWATAKA WANA HABARI KUTOA HABARI KWA UWEREDI

Naibu mkurugenzi wa mawasiliano na habari wa chama cha CUF  amewataka wana habari watoe taarifa asa za mahakamani kwa uweredi zaidi amesema haya baada ya vyombo vya habari kutoa taarifa kuwa shauri lao walilopeleka mahakamani limetupiliwa mbali jambo sio la kweli kuusu wale wabunge8 na madiwani 2 waliovuliwa nyadhifa zao na mwenyekiti LIPUMBA  na kusema mchakato wa kesi yao unaendelea mahakamani


habari picha na  ALLY THABITI

GLOBAR LINKI EDUCATION YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA YA KWENDA KUSOMA VYUO VYA NJE

MEDATI SOTA  ni meneja miradi wa taasisi ya GLOBAL LINKI EDUCATION  amewataka watanzania wajiunge na taasisi yao pindi wanapoitaji kuwatafutia watoto wao au wao wenyewe  vyuo vya kwenda kusoma nje ya nchi kwani wao wanatafutia vyuo vinavyotoa elimu bora na yenye tija pia amesema lengo lao ni kuunga mkono rais MAGUFULI  katika kuelekea Tanzania ya viwanda na Uchumi wa kati  kwa kuwapeleka wanafunzi nje yanchi kwa gharama nafuu kwa wale wanao itaji kupata huduma zao wana patikama  Mwanza, Arusha, Dar es salaam kwenye viwanja vya maonyesho vya sabasaba ndipo ofisi zao zilipo na wameenea kwa kiasi kikubwa Tanzania MEDATI SOTA  meneja miradi amesema haya kwenye maonyesho ya vyuo vikuu yalioandaliwa na TCU  jijini Dar es salaam wilaya ya Ilala viwanja vya mnazi mmoja


habari picha na  ALLY THABITI

PICHANI MUONEKANO MPYA WA KAMPUNI YAO

Bidhaa ya rangi wanazo tumia ni hizi kama unavyoziona  kwenye picha ya pamoja

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

KAMPUNI YA KANSAI PLASCON YAWATOA OFU WAFANYA KAZI WAKE

HAMIN HABIB ni mkurugenzi wa kampuni ya  PLASCON amesema licha ya kampuni yao kubadilisha jina aitoleta athali wala mabadiliko kwa wafanya kazi na watendaji wake bali  utendaji wa kampuni yao utakuwa wakifanisi zaidi na kutakuwepo na matumizi ya kiteknorojia ya kisasa kampuni yao ni ya kumi duniani na kwa Afrika ni ya kwanza katika kutoa huduma bora na zenye tija  Miongoni mwa nchi ambazo zinanufaika na huduma zani Tanzania,zambia , nigeria , afrika kusini , msumbiji na zinginezo  ametoa wito kwa wateja wao wazidi kutumia huduma zao

habari picha na ALLY THABITI

WANAWAKE WATAKIWA WAWE CHACHU YA UKUAJI WA KIUCHUMI AFRIKA

Moja ya viongozi wa wanawake  wa bara la Afrika  amewataka wanawake wote wa Afrika  walete mabadiliko makubwa kwenye ukuaji wa uchumi kwenye nchi zao za kiafrika na waachane kuwa tegemezi katika jamii zao kwani wanawake wana nguvu,akili,ujuzi ,maarifa na ubunifu mkubwa  amesema haya kwenye mkutano wa siku4 uliofanyika nchini Tanzania jijini Dar es salaam kwenye hotel ya KILIMANJARO iliyopo POSTA  ambako imejumuisha wanawake kutoka nchi mbalimbali za kiafrika  ameipongeza nchi ya Tanzania kwa kuwatetea ,kuwajali, kuwathamini na kuwapa fursa mbalimbali za uongozi kwenye  serikali na taasisi binausi wanawake wa kitanzania

habari picha na VICTORIA STANSLAUS

NAIKE MOSHI AMEAIDI KUITUMIA FURSA YA MKUTANO VIZURI

Mkurugenzi NAIKE wa kampuni ya CVPEOPLE AFRIKA  amesema kampuni yake ambayo inajishuulisha  na kuunganisha watu wanaotafuta kazi na wanao ajili ivyo kupitia mkutano huu wameweza kunufaika kwa kiasi kikubwa  katika kupata surluisho la ajira kwa watoto wakike wa kitanzania kwenda kufanya kazi nchi za nje pia amenufaika kwa kupata muunganiko na watu wa sekta mbalimbali Pia waliojifunza kwenye mkutano huu wa siku4 wataenda kuwaelimisha wanawake wenzao na jamii kwa ujumla ametoa wito kwa serikali kubadili sera na sheria kandamizi dhidi ya mwanamke ikiwemo umiliki wa ardhi,sheria ya mirathi na zinginezo ameiasa jamii kuachana na mila na destuli potofu dhidi ya mwanamke na ametoa rai kwa wanawake wa kitanzania wachangamkie fursa mbalimbali za kimaendeleo na kiuchumi


habari picha  na  VICTORIA STANSLAUS

WANAWAKE WATAKIWA KULETA MAPINDUZI YA KIUCHUMI

Rais wa kwanza wa bunge la afrika mama  GETRUDI  MONGERA  amewataka wanawake wa kiafrika walete mapinduzi ya kiuchumi katika bara la Afrika lengo waondokane na ukandamizwaji na mila potofu  dhidi yao amesema haya jijini Dar es salaam nchini Tanzania kwenye mkutano wa siku4 uliofanyika kwenye hotel ya KILIMANJARO POSTA  ametoa wito kwa jamii ihachane na dhana potofu dhidi ya mwanamke

habari picha na ALLY THABITI

Friday 11 August 2017

WASHINDI WA HARAKATI ZA LUCY WATOA NENO ZITO

GWAMWAKA MWAGUKA  nikiongozi wa harakati za lucy amesema miaka miwili iliopita walikuwa wanaenda kwenye shule za secondary kutoa elimu juu ya afya ya uzazi lengo ni kuwasidia watoto wa kike kutokosa elimu kwaajili ya mimba za utotoni na kutofanya vizuri kwaajili ya edhi wameweza kufanikiwa kwa kiasi kikubwa  kwa kutoa elimu kwenye mikoa 8 ikiwemo jijini Dar es salaam changamoto walizokuwa wanakutana nazo ukosefu wa fedha ivyo baada ya kupata milioni 15 kutoka UNFPA kazi yao ya uelimishaji  itaongezeka zaidi na amempongeza kaimu mwakilishi mkazi wa UNFPA dokta ASHINA BEGA na watendaji wake wote kwa kuja na wazo zuri  ametoa rai kwa taasisi mbalimbali na serikali kufadhili vijana kama wao wanao saidia Taifa  Pia ametoa wito kwa jamii kuachana na mira na desturi potofu na kandamizi zidi ya mtoto wa kike

habari picha na  ALLY THABITI

HAWA NDIO VINARA WA UNFPA

Kaimu mwakilishi  mkazi wa UNFPA dokta ASHINA BEGA  akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi  pia amewaasa washindi hawa fedha walizoshinda wazitumie kwaajili ya malengo yalio kusudiwa ususani katika kuibua matatizo mbalimbali ya jamii ikiwemo Afya ,elimu ,mimba za utotoni na matumizi ya uzazi wa mpango

habari picha na  ALLY THABITI

HARAKATI ZA LUCY YAJIZOLEA MAMILIONEA


habari picha na VICTORIA STANSLAUS

UN YAWATAKA VIJANA WA KITANZANIA KUTOKATA TAMAA

Mwakilishi mkazi wa umoja wa mataifa ALL VARO LWEDRUGEZI [UN]  amewataka vijana wa kitanzania kutokata tamaa pindi wanaposhindwa kufanya vizuri kwenye miradi mbalimbali amesema haya kwenye mashindano ya vijana wa kitanzania waliofanya tafiti mbalimbali kwenye mradi ulioandaliwa na  NFPA na amewapongeza wale wote waliofanya vizuri ambako mshindi wa kwanza amepata milioni 15 fedha ya kitanzania ambayo sawa na dola 6000 umoja wa mataifa umeaidi kushilikiana bega kwa bega na vijana walioshinda na walioshindwa  lengo kuisaidia tanzania kuondokana na maradhi mbalimbali na kukuza uchumi wao pia amewashukuru UNFPA kwa kubuni wazo zuri lenye tija kwa vijana wa kitanzania  kwani limeongeza ajira kwa vijana na kuibu changamoto za afya ya uzazi


habari picha na VICTORIA STANSLAUS

VIJANA WAIPONGEZA UNFPA

JUMANNE MTAMBALIKE mkurugenzi mtendaji wa SAHARA amesema wanaipongeza UNFPA kwa kuwasaidia vijana wa kitanzania kwa kufanya tafiti zenye tija ikiwemo kampuni yao ya SAHARA  ambayo imefanya tafiti ya maswala ya ujasiliamali na afya ya uzazi kwani watanzania wengi wameelimika kupitia mradi wao  amewapongeza UNFPA  kwa kuleta mpango huu wa afya ya uzazi kwani umeibua changamoto nyingi za afya ya uzazi na zimeweza kupatiwa ufumbuzi  na mradi huu umeongeza ajira kwa vijana JUMANNE MTAMBALIKE mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya SAHARA ametoa rai kwa UNFPA wazidi kuleta miradi mingi zaidi kwani ina tija kwa Taifa


habari picha na ALLY THABITI

KAMPUNI YA BIMA YA AFYA YA AAR YAJA NA MIKAKATI MIZITO

TABIA MASUDI meneja mauzo na masoko wa kampuni ya bima ya afya ya AAR  amesema ifikapo mwaka 2018 kampuni yao itatoa bima za magari na zinginezo  pia kwa sasa wamezinduwa mfumo wa kujiunga kwa kupitia simu ya mkononi lengo kuwafikia wananchi kwa ukaribu zaidi swala la kuwapa elimu watoto wa shule za msingi na watu wazima kuusu bima ya afya ya AAR ni kuwasaidia  pindi watakapo jkuwa wanaumwa  bima ya afya ya  AAR  ni bima bora na ni nzuri kwani inatoa huduma zao kwa bei nafuu na kwa wananchi wenye kipato kidogo  TABIA MASUDI meneja masoko na mauzo wa AAR  amweipongeza serikali kwa jitiada zao za kuelimisha jamii umuhimu wa kujiunga na bima za afya kwa kupitia wizara ya afya na wizara ya fedha  ametoa wito kwa jamii wajiunge na bima ya afya ya AAR kwani ni bima inayotoa huduma boera Ameiomba serikali wazidi kuunga mkono makampuni ya bima ya afya hapa nchini

habari picha na VICTORIA STANSLAUS

Wednesday 9 August 2017

VIJANA 200 WA SHULE ZA SEKONDARI KUSHIRIKI MAONYESHO YA KISAYANSI

GOZBETI KAMGISHA  kutoka tasisi inayoshuurika na kuamasisha vijana wa kitanzania kupenda kusoma masomo ya sayansi amesema wameamua kufanya maonyesho ya wanafunzi wa shule za sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita tarehe 8 na 9 ya mwaka 2017  lengo ni kuwawezesha vijana hawa kuonyesha utaharamu wao wa kisayansi katika utafiti jinsi unavyosaidia kutatua matatizo kwenye jamii kwenye sekta ya Afya, kilimo na maji wanafunzi hawa wataambatana na walimu 100 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS