Thursday 27 August 2020

TCRA YATOA UJUMBE MZITO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2020

James Kilaba Mkurugenzi Mkuu wa Mamraka ya  Mawasiliano Tanzania (TCRA)  amesema tupo duniani  Kwa mapenzi ya Mungu ivyo amewataka wanahabari,wanasiasa na watu wengine  kulinda na Kuitunza Amani  tulio nayo kipindi  hiki cha Uchaguzi na Kampeni  Tanzania 
. Amesema TCRA imetoa   leseni  Kwa vyombo vya habari Lengo waelimishe jamii ,watoe ujumbe ,waburudishe na waweze kuwapa habari watu  hivyo amewataka Wana habari na wamiriki wa vyombo vya habari wazingatie na kufuata  taratibu, kanuni na Sheria za Mahudhui  ya leseni  zao Pia amewataka kuzingatia kanuni za Uchaguzi za mwaka 2015 kanuni ya 39 na vifungu vyake ambako Tume ya Uchaguzi Tanzania ndio yenye Mamlaka ya Kutangaza na kutoa taarifa za ushindi wa Wagombea Kwa ngazi zote za Uchaguzi  amesema haya wakati akiongea na Wana habari  wakati akitoa taarifa za kikifungia kituo cha Clauds  Midia upande wa Redio na TV kuanzia tarehe 28 Mwezi 8 mpaka tarehe 3 Mwezi wa 9 Kwa kutotoa huduma zozote za matangazo  baada ya kukiuka kanuni za Mahudhui za TCRA na Kanuni za Uchaguzi za Tume ya  Taifa ya Uchaguzi Tanzania


Habari picha na Ally Thabiti



 

TMHS YAGUSWA USHIRIKISHWAJI WA WATU WENYE ULEMAVU

Mkurugenzi wa Taasisi ya TMHS Dr Chakou Halfani amesema katika maswala ya mazingira  watawashirikisha watu wenye Ulemavu mbalimbali .Lengo watu wenye Ulemavu waweze kuzitambuwa na kuzichangamkia fursa mbalimbali zinazotokana  na taka  pia waweze kujikinga na kujikinga na hathari za taka katika miili Yao  

Habari picha na Victoria Stanslaus


 

LIPUMBA AWEKA BAYANA JUU YA PINGAMIZI LAKE

 Mwenyekiti wa Chama cha CUF prof Iblaim Aluna Lipumba amesema pingamizi aliloekewa na Mgombea mwenzake Kwa nafasi ya Urais kupitia Chama cha CHADEMA alikuwa na mashiko . Amewataka Wana CUF kujiandaa na kampeni  za Uchaguzi 


Habari Victoria Stanslaus

Wednesday 26 August 2020

HENRY KAZULA AITAKA JAMII KUCHANGAMKIA FURSA YA TAKA

Mkurugenzi Mtendaji Henry Kazula wa Taasisi ya JIELIMISHE KWANZA amewataka watu nchini Tanzania watenge taka ili waweze kuziuza wapate pesa  .Changamoto wanazozipata katika ujeleshwaji wa taka ni tabia za watu ,mifumo mibaya ,wananchi kutoka na uwelewa,gharama kubwa, uwajibikaji mdogo na Kanuni na Sera si rafiki .taasisi Yao inawapongeza uwezo  kuusiana na maswala ya taka 

Habari picha na Victoria Stanslaus

 

TAASISI YA TMHS YAGUSWA NA KIWANGO KIKUBWA CHA TAKA NCHINI

Mkurugenzi Mtendaji Dr Chakou Halfani wa Taasisi ya TMHS amesema uzarishaji wa taka tani elfu kumi 10 kinachozalishwa kwa siku Mkoa wa Dsm ni kikubwa mno na ifikapo mwaka 2025 utakuwa tani elfu 12 Kwa siku ndio mwana wamekuja na mikakati ya kutoa elimu Kwa watu ili wazitumie Kwa Lengo 
Taka la kujiajili na kujikwamuwa kiuchumi  .Mkurugenzi Chakou Halfani  anaamini taka si u uchafu  bali nisehemu ya watu  kujipatia kipato amesema haya jijini Dsm kwenye Mkutano wa wadau wa Taka,serikali na watunga Sera 

Habari picha na Ally Thabiti


 

MKURUGENZI WA BARAZA LA MAZINGIRA AIPONGEZA TAASISI YA MTHS

 Mkurugenzi wa Baraza la Mazingira Tanzania (NEMC) Dr  Eng Gwamwaka  amesema kitendo cha taasisi ya TMHS Kuwakutanisha wadau wa mazingira kujadili na kuweka mikakati ya kupunguza taka nchini ni kizuri kwani Kinatoa fursa ya watu kupata ajira kupitia taka ,kupunguza gharama za kuagiza Mali ghafi kutoka nje ya nchi huku mi kumuunga mkono rais Magufuli kufika Tanzania ya Viwanda 

Habari picha na Victoria Stanslaus


Tuesday 25 August 2020

MAAFSA WA JESHI WAAGWA

 Maafsa wa Jeshi la wananchi nchini Tanzania (JWTZ) wameagwa baada ya kufika kikomo cha kustaafu ambako wapate 16 Mameja Jenerali6 Blegedia Jenereli9 na Ruteni Jeneraki1 ambaye Pour Peter Massao ambaye aliekuwa mkuu wa Chuo cha Usalama wa Taifa Kunduchi jijini Dsm  .Mery Hiki bregedia Jenerali aliekuwa Mwambata wa Jeshi nchini Burundi akiiwakilisha Tanzania ameishukuru serikali ya Tanzania Kwa kuvijali na kuvisimamia Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nae Hawa ISA bregedia Jenerali ameahidi kutekeleza Kwa Vitlendo Yale yote yaliofanywa na watangulizi wao  . Name  mkuu majeshi  Ruteni Jeneraki1  Venasi Mabeo ameshirikiana kwenye kuwaahidi maafisa wa Jeshi  Eneo la Uhasibu Temeke jijini Dsm

Habari picha na Ally Thabiti

KAMPUNI YA B & F GLOBAL AWAKUTANISHA WADAU MBALIMBALI

 Bruno Kanyogi Mkurugenzi wa Kampuni ya  B&F GLOBAL amesema Lengo la kukutana na wadau mbalimbali ni kuunga mkono juhudi za rais Magufuli katika maswala ya miundombinu ambako wanamuunga kuwa lazima kuwepo na  ustaamilivu wa miundombinu kwaajili ya Uchumi na Maendeleo Kwa Taifa letu . Amewataka watu mbalimbali kuunga mkono juhudi za rais Magufuli


Habari picha na Victoria Stanslaus

Monday 24 August 2020

WARIOBA AKEMEA RUSHWA

 Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Josefu Sinde Warioba amesema watu waongeze mkazo na bidii katika Vita ya rushwa wasiiachie serikali peke yake amesema rushwa ikemewe Kwa nguvu zote amesema haya kwenye kongamano lililoandaliwa na Chuo cha KUMBUKUMBU Ya MWALIMU NYERERE

Habari picha na Ally Thabiti

ABASI TARIMBA AAHIDI MAZITO NDANI YA YANGA

 Mkurugenzi Mkuu wa Sport Pesa Abasi Tarimba amesema Kuelekea wiki ya mwanangu wataelekea YANGA Kwa Hali na Mali na wataendelea kuwathamini 


Habari picha na Victoria Stanslaus

YANGA YASHUSHA VIFAA

 Wachezaji kutoka FS Vita ya Kongo Twisira Kisinda na Tonombe pichani wakionekana kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere wakipokelewa  na wapenzi,washabiki  ,,wanachama na  viongozi wa YANGA 

Habari picha na Victoria Stanslaus

TAASISI YA MOYO YA JAKAYA KIKWETE YAJIVUNIA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete prof Muhamedi Janabi amesema tangy ianzishwe taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ambako watu walikuwa wanatumia shilingi milioni 8 Kwa sasa inatumika milioni 2na laki8 .pia watu wanatoa nje ya nchi kuja kutibiwa Tanzania ameipongeza CRDB BANK Kwa kutoa milioni Mia mbili kwaajili ya matibabu ya Moyo Kwa watoto kupitia CRDB BANK MARATHON
 

Habari picha na Victoria Stanslaus

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA ATOA NENO

 Fransisi Maiko wa Wizara ya Rais Utumishi na Utawala Bora  amesema watanzania Wasichague viongozi watoa rushwa kwenye Uchaguzi huu kwani atoletewa Maendeleo na sauti zao hazitosikika amesema haya kwenye kongamano lililoandaliwa na Chuo cha KUMBUKUMBUt ya MWALIMU NYERERE KIGAMBONI jijini Dsm


Habari picha na Victoria Stanslaus

CAJ MSTAAFU ABAINISHA MASWALA YA RUSHWA

 Rudoviki Uto amesema rushwa ina madhara makubwa ambako unafanya mtu kukosa haki,kuzorota Kwa demoksia na wananchi kukosa Maendeleo ivyo amewataka watu wote nchini kupinga,kuzuia na kupambana na rushwa kwaajili ya Maendeleo ameupongeza Uongozi wa Chuo cha KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE  kufanya kongamano kuusu rushwa kwani wameweza kuwajengea uwezo washiriki jinsi ya kupambana na kuzuia rushwa na  namna ya kutambua madhara ya kupokea na kutoa rushwa  amewataka washiriki kuwa mabarozi katika kupambana na rushwa amesema haya KIGAMBONI jijini Dsm

TAKUKURU TEMEKE YABAINI MIKAKATI MIZITO

 Mkuu wa TAKUKURU kutoka Temeke  Ndugu Kesi amesema katika mapambano ya rushwa wameanzisha Mabaraza ya kupinga rushwa katika shule za msingi na sekondari . Pia amesema wameweza kuwajengea uwelewa wa wa w kupinga rushwa  ameahidi kuwa swala la kutandika vipeperushi vinnavyozungumzia maswala ya rushwa wataandika Kwa Nukta Nundu ili watu wasio  Ona washiriki kikamilifu katika mapambano ya rushwa uku akiwataka watu kupiga namba ya Simu 113 wakibainika Vitendo vya rushwa amesema haya kwenye kongamano la kupinga rushwa lililoandaliwa na Chuo cha KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE KIGAMBONI jijini dsm 


Habari picha na Ally Thabiti

TAKUKURU YAFUNGUA MILANGO

Mkuu wa TAKUKURU Devota Miayo amewataka Wana Kigamboni wakibainika kuna swala la Rushwa iwemtu anaombwa au anatoa rushwa watoe taarifa Kwa kupiga namba ya Simu 113  ametoa wito Kwa watanzania  vitaya rushwa si ya TAKUKURU peke Yao Bali ni ya wote kwani rushwa no adui wa haki amesema haya kwenye kongamano lililoandaliwa na Chuo cha KUMBUKUMBU ya MWALIMU NYERERE Kigamboni jijini Dsm

Habari picha na  Ally Thabiti
 

CRDB BANK YAAIDI MAZITO

 Afsa Mwandamizi wa Mawasiliano na  Uhusiano Imanueli  amesema wataendeleza CRDB MARATHON miaka yote .Lengo Kuu la mbio hizi ni kuokoa maisha ya Watoto wenye matatizo ya Moyo


Habari picha na Victoria Stanslaus

BARAZA LA MAASKOFU LAITAKA TUME YA UCHAGUZI KUWEKA MASINGIRA RAFIKI

 Katibu  Mkuu wa Baraza la Maaskofu nchini Tanzania Charles Kitima  ameitaka Tume ya Uchaguzi kupelekea vifaa vya kupigia Kura Kwa wakati na wafungue vituo mapema .Lengo vulugu Isitokee amewataka wanasiasa kufanya siasa za kistaarabu  na lugha za matusi itawezesha kulinda na kutunza Amani iliyopo  amesema haya kwenye Mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dsm


Habari picha na Victoria Stanslaus

TUNDU LISU AWEKWA KIKAANGONI NA UHAMIAJI

 Kamishina wa Uhamiaji Ana Makakala amesema katika kipindi iki cha Uchaguzi Uhamiaji wataangalia Urais wa Wagomb Kwa ngazi ya Udiwani,Ubunge na Urais Kwa vyama vyote vya siasa .Lengo kupata viongozi wenye Urais wa Tanzania  kwaajili ya Ulinzi na Usalama wetu .amesema swala la Tundu Lisu na kuchukua uraia wa Ubirigiji wakati anaumwa wakati anaumwa awawezi wakalizungumzia  kwani wakati wake bado ameahidi kuwa watatoa elimu ya uraia Kwa wapiga Kura na Wagombea amesema haya kwenye Mkutano Ulioandaliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dsm 


Habari picha na Victoria Stanslaus

Wednesday 19 August 2020

BAKWATA YAKEMEA VIKALI UVUNJIFU WA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Isa Othmani Isa kutoka Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) ameitaka Tume ya Uchaguzi Tanzania ,Vyama vya Siasa ,Jeshi la Polisi ,Msajili wa Vyama vya Siasa,UHamiaji na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama Kuendesha na Kusimamia Uchaguzi bila Upendeleo Lengo tuilinde na Kuitunza Amani tulio nayo kwani kuna maisha baada ya Uchaguzi amesema haya kwenye mkutMku Ulioandaliwa na Tume ya Uchaguzi Tanzania uku wadau mbalimbali wakishika jijini Dsm 

Habari picha na Victoria StanslausKuuu
 

MZEE JOSEFU BUTIKU ATEMA CHECHE

Mzee Josefu Butiku Mkurugenzi wa Taasisi ya MWALIMU NYERERE amewataka viongozi waache ubinafsi ,kutisha watu,kuogopwa na ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi Kuendesha Uchaguzi wa Uhuru na haki na wasipitishe watu Kwa shinikizo la Dora . Name  Mkurugenzi Mtendaji wa TAKUKURU John Mbunge amevitaka vyama vya siasa kutoludia rushwa ili wachaguliwe endapo wakibainika hatua Kali zitachukuliwa dhidi Yao Wamesema haya kwenye Mkutano Ulioandaliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzani  ambako wadau mbalimbali wameshiriki jijini Dsm 
Habari picha Victoria Stanslaus
 

JESHI LA POLISI LABAINISHA MIKAKATI MIZITO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IJP) Saimoni Siro amesema wamejipanga vizuri katika swala la kulinda Amani kipindi hiki cha Uchaguzi uku akiitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kufikisha vifaa vya Uchaguzi Kwa wakati na vituo vifunguliwe Kwa muda sahihi hii itasaidia Kutokiona vurugu amesema haya kwenye Mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wadau mbalimbali.ikiwemo Jeshi la Polisi ,viongozi wa Dini na wadau wengine



Habari picha na Victoria Stanslaus

PICHANI WATU WENYE ULEMAVU WAKIPATA MAFUNZO KABAMBE KUTOKA TUME YA UCHAGUZI

 Watu wenye Ulemavu wa Aina mbalimbali wakielezwa namna Tume ya Taifa ya Uchaguzi hatua walizofikia Kwa vifaa vya kupigia Kura watu wenye Ulemavu


Habari picha na Victoria Stanslaus

ALLY THABITI APONGEZA KUPATA BILIONI 331

 Ally Thabiti  ni Mwanachama wa Chama cha Wasio Ona nchini Tanzania (TLB) ameipongeza serikali Kwa kutenga kiasi cha bilioni 331 kwaajili ya Uchaguzi . Fedha hizi ni za watanzania  pia ameishukuru Tume   ya Uchaguzi Tanzania kwa kuweka mazingira rafiki na wezeshi Kwa watu wenye Ulemavu kwenye Uchaguzi Mkuu 


Habari picha na Victoria Stanslaus

WATU WENYE UHALBINO WAIPONGEZA TUME YA UCHAGUZI

 Musa Kabimba Katibu Mkuu wa Chama cha watu wenye Uhalbino Tanzania ameupongeza uongozi wa Tume ya Uchaguzi Tanzania Kwa kuwashirikisha  watu wenye Ulemavu na  makundi mbalimbali kushiriki kwenye Uchaguzi wa mwaka huu katika kumchagua Viongozi Bora . Ametoa wito Kwa Tume ya uchaguzi kuendeleza kushirikiana na watu wenye Ulemavu katika Shughuri mbalimbali za Kitaifa 



Habari picha na Victoria Stanslaus

TUME YA UCHAGUZI YASIKILIZA KILIO CHA WATU WENYE ULEMAVU

 Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Semisteus Kaijage amesema wameweza kuandikisha watu wenye Ulemavu elfu 13 Wasiio Ona elfu2200 Wenye Ulemavu wa mikono elfu 4 na Ulemavu mwingine wakiwemo wenye hualbino Watu wenye Uziwi . Pia Time imetoa vibari Kwa Asasi za watu wenye Ulemavu ili watu wenye Ulemavu wapewe elimu ya kupiga Kura,yameandaliwa Maandishi ya Nukta Nundu kwaajili ya wenye Ulemavu wa Kutokiona Ona waweze kupiga Kura Kwa Uraisi 

Swala la Wakarmani wa lugha na Vifaa vya wenye Ulemavu wa Viungo vya Miguu vipo wakati wa kupiga Kura  tarehe 28 Mwezi 10 mwaka 2020  .Tume imetoa wito Kwa watu wenye Ulemavu kushiriki kusikiliza kampeni za Wagombea na kujitokeza Kwa wingi tarehe 28 Mwezi 10 .kupiga Kura kwaajili ya kumchagua Viongozi wanaowataka kwani Time imeweka mazingira rafiki Kwa wenye Ulemavu na makundi mengine


Habari picha na Victoria Stanslaus

Sunday 16 August 2020

MAKMU WA RAIS PONGEZA MIKAKATI MIZITO NA KABAMBE YA CRDB BANK

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema kitendo cha CRDB BANK kuanzisha CRDB  MARATHON kwa lengo la kukusanya fedha kwaajili ya kusaidia kwenye Ugonjwa  wa Ini,utunzaji wa mazingira jijini dsm Kwa kupanda miti Goba na kukabidhi milioni mia mbili kwenye Taasisi ya Jakaya  Kikwete ya Moyo ili fedha zikatumike kugharamia matibabu ya Upasuaji wa Moyo Kwa Watoto Mia moja wa kitanzania ni Jambo jema .
 CRDB BANK Kwa kushirikiana na taasisi zingine  wameweza Kuondokana Uzuni Kwa Watoto na kurudisha Tabasam lililopotea Kwa kukosa fedha za Upasuaji wa Moyo Kwa Watoto na kunusuru maisha Yao ambako wangekufa Kwa kukosa fedha za Upasuaji . Amewataka CRDB BANK waendelee na MARATHON hizi wasiishie hapa  ametoa wito Kwa taasisi zingine  kushirikiana na CRDB BANK katika kuokoa maisha ya Watoto  na wawaige CRDB  Kwa walivyofanya amesema haya kwenye CRDB  BANK MARATHON jijini Dsm 


Habari picha na Victoria Stanslaus

CRDB BANK YAMWAGA MAPESA LUKUKI

Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB BANK Abdulmajid Nsekela akiambatana na viongozi wenzake  akikabidhi Hundi ya Shiringi milioni Mia mbili fedha ya kitanzania kwaajili kwenda kugharamia  Upasuaji wa Moyo Kwa Watoto 100  wa kitanzania kwenye taasisi ya Jakaya Kikwete  kama inavyoonekana pichani  .Mheshimiwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Hundi hii 
 .uku nae  Mkurugenzi  Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete prof Janabi akiwa amevalia koti   lake jeupe  akishuudia makanisani ya Hundi hii baada ya kumarizika Kwa CRDB BANK MARATHON jijini Dsm 


Habari picha na Victoria Stanslaus

KAMPUNI YA ASASI USO KWA USO NA CRDB BANK

 Mwakirishi wa Kampuni ya Maziwa ya ASASI Sulemani amesema kitendo cha CRDB BANk kuanzisha CRDB MARATHON ni Jambo la kuungwa mkono na kuingwa na taasisi zingine . Kwani mazoezi yanasaidia kuimarisha  Afya za watu na kufanya watu kuondokana na Magonjwa mbalimbali .Pia CRDB MARATHON imewezesha kupatikana Kwa fedha Milioni Mia mbili 200 .000,000kwaajili ya Kugharamia matibabu ya Moyo Kwa Watoto Mia 100 amesema haya kwenye CRDB BANK MARATHON ambazo zimefanyika jijini Dsm 

Habari picha na Victoria Stanslaus


 

KAMPUNI YA COCACOLA YATOA YA MOYONI KWA CRDB BANK

Meneja wa Matamasha wa Kampuni ya Vinywji vya COCACOLA Mwakabungu  Edwadi ameutaka uongozi wa CRDB BANK waendelee  kusaidia Makundi  Maalim asa yenye Uhitaji kama walivyotoa fedha kiasi cha milioni mia mbili 200 000 000 .kwaajili ya Upasuaji wa Moyo Kwa Watoto Mia moja 100 kwenye taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete  Jijini Dsm amesema haya kwenye CRDB MARATHON

Habari picha na Victoria Stanslaus

KAMPUNI YA BIMA YAAIDI MAZITO KWA CRDB BANK

Meneja wa Ukuzaji Biashara na Masoko Chares Nyori ameapongeza Uongozi wa CRDB BANK kwa kunusuru vifo vya Watoto 100 ambavyo  vingetokana na matatizo ya Moyo. Kwa kuanzisha  CRDB BANK MARATHON ambako milioni Mia mbili 200  ,000 ,000 .zimepatikana kwaajili ya kufanya Upasuaji  wa Moyo Kwa Watoto Mia moja 100 kwenye taasisi ya Moyo ya JakayaKikwete huku akiaidi Kampuni Yao ya Bima SANLAM kushirikiana na CRDB BANK amewataka watanzania kutumia Bima zao kwani no Bora na gharama nafuu Mfano Bima za Afya na  za Mali amesema haya jijini Dsm kwenye CRDB BANK MARATHON jijini Dsm 

Habari picha na  Victoria Stanslaus
 

VIONGOZI WA DINI WAGUSWA NA UTENDAJI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

Mwenyekiti wa Amani na Shee Mkuu wa Dsm All Hadi Musa Salim amesema kwaniaba ya viongozi wa Dini mbalimbali wanaupongeza uongozi wa Tume ya Uchaguzi nchini Tanzania Kwa kuwaahidi kuwa Uchaguzi utakuwa wa  Uhuru  na Haki  .na swala la kutoa elimu Kwa mpiga Kura  kwani wametekeleza kufungua cha 8 pia kutoa Bihari Kwa Asasi za kiraia kwaajili ya mafunzo ya Ipigaji Kura  Uku wakiishukuru serikali Kwa kutengeneza bilioni 331 tena fedha za Ndani si za Waisani 


Habari picha na Ally Thabiti


TUME YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VIONGOZI WA DINI

 Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Tanzania amewataka viongozi wa Dini tofauti kufanya maombi ili Uchaguzi uwe na Amani na Huturivu .pia amewaaidi Kutokiona kutumika na viongozi wa Vyama vya Siasa ,wasikubali kutumika kuwa wapiga Debe wa Wagombea na misikitini na makanisani wanasiasa wasiluusiwe kufanya Kampeni .Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi . Haji mstaafu Semisteus Kaijage amewatoa ofu viongozi wa Dini vifaa vya kupitia Kura na Mawakala na utoaji fomu Kwa ngazi Urais,Ubunge na Udiwani Unaendelea vizuri amesema haya jijini Dsm alipoludia na viongozi wa Dini 


Habari picha na Ally Thabiti

Friday 14 August 2020

TCRA YAVISHUSHIA RUNGU ZITO VYOMBO VYOMBO VYA HABARI

Joseph Mapunda Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui TCRA amesema waevionya na kuvipa hadhabu vyombo tisa 9 vya habari Kwa kukiuka kanuni za Maudhui ya Mtandaoni ya Kielekroniki na Posta CG A FM,Kiss FM Abood FM watatoa milioni tano 5,000,000.00, Triple A FM watatoa milioni tano,Wasafi Media Online TVwatatoa mimioni tano kwa kuwapigia kampeni wagombea wa Ubunge na Udiwani Viti Maalum .huku Clouds FM kipindi chao cha Jahazi kikifungiwa nao Carry Mastery Media Ltd wakitozwa milioni tano Kwa kuamasisha mapenzi ya jinsi moja .Joseph Mapunda  ametoa wito Kwa vyombo vya habari nchini Tanzania kupitia Upya Mikataba Yao ya Ushirikiano na vyombo vya nje Lengo watendaji na Kanuni mpya za TCRA ili wasipate hadhabu za mara Kwa mara au kufutiwa Reseni zao 

Habari picha na Victoria Stanslaus

 

Thursday 13 August 2020

MGOMBEA MWENZA ATOA NENO


Mgombea Mwenza amewashukuru wanachama mno kwakuja kumlaki kama anavyoonekana pichani  

Habari picha na  na Victoria Stanslaus
 

CUF YATIA FOLA

Wana CUF wakimpokea Kwa shangwe prof Lipumba alipo wasili kutoka Dodoma  kwaajili  ya kuchukuwa  fomu ya kugombea Urais  Kwa tiketi ya Chama cha  CUF


Habari na Victoria Stanslaus
 

ILALA YAFUNGUA MILANGO KWA VIJANA

Afsa wa Vijana wa  Wilaya ya Ilala amewataka vijana na watoto wafike Kwa watendaji wa KATA na wilaya na wenyeviti wa serikali za mitaa ili wapate furusa mbalimbali na kujikwamuwa kiuchumi amesema wanatembelea makundi ya vijana na watoto waishio kwenye mazingira magumu ya mtaani  Kwa kuwapa mafunzo ya taalumabalimbali .amelipongeza shirika la BABA WATOTO kwajitiada na juhudi wanazozitoa ya Kwa kuwakwamuwa vijana na watoto waishio kwenye mazingira magumu amesema haya siku ya vijana Duniani ambako uadhimishwa tarehe12 Mwezi 8 Kila mwaka 


Habari picha na Victoria Stanslaus
 

Wednesday 12 August 2020

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AVIONYA VYAMA VISIVYOJIELEWA

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Nyaoza amevitaka  vyama vya siasa kuiga uongozi wa NCCR Mageuzi 

Habari picha na  Victoria Stanslaus
 

NCCR YAFUNGUA MILANGO KWA UPINZANI

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Jemsi Mbatia amesema wapo  tayari kushirikiana na Chama chochote na kuungana nao 

Habari picha na Victoria Stanslaus
 

AMINI AJA KIVINGINE

Msanii wa Kizazi  Kipya Amini ameaema atakuja na Nyimbo nyingi karibu uku akimpongeza Rich Mavoko Kwa Uzinduzi wa MINITAPE 


Habari picha na Victoria Stanslaus
 

BABA ASKOFU KUTOKA MOROGORO AWAFUNDA WANA SIASA

Baba Askofu kutoka Morogoro amewa Wagombea nchini Tanzania watumie  Lugha za kistaarabu wakati wa Kampeni na watunze na kulinda Amani iliyopo amesema haya kwenye Ofisi za Baraza la Maaskofu nchini Tanzania 

Habari picha na Victoria Stanslaus
 

HAJATI SHAMIMU ATOA NASAA KWENYE UCHAGUZI MKUU

Kiongozi wa Dini Hajati Shamimu amewataka viongozi wa Dini watoe elimu makanisani na misikitini Kwa waumini wao jinsi ya kulinda Amani ,utulivu na Usalama kipindi hiki cha Uchaguzi na
 baada ya matokeo kutangazwa

Habari picha na Victoria Stanslaus
 

ALFAYO WANGWE AAHIDI MAZITO SIKU YA VIJANA DUNIANI

Mkurugenzi wa Miradi wa shirika la BABA WATOTO  Alfayo Wangwe amesema wataendelea kuwajengea uwezo na kuwapa maarifa mbalimbali vijana na watoto waishio kwenye mazingira magumu mtaani .Lengo waweze  kujitokeza na kujikwamuwa kiuchumi mpaka sasa vijana wengi wameweza kuwafutia furusa mbalimbali za Ajira na wamewashukuru  elimu ya Afya na wameondokana na makundi hatarishi  amesema haya siku ya vijana  Duniani ambayo uadhimishwa tarehe12 Mwezi wa 8/Kila mwaka 

Habari picha na Victoria Stanslaus
 

FILIPO ATOA USHUUDA MZITO SIKU YA VIJANA

Filipo ni Kijana ambaye alikuaa anaishi kwenye mazingira magumu ya mtaani .ameushukuru Uongozi wa shirika la BABA WATOTO kwa kumpa fursa ya kumpeleka Gereji na kumpa elimu ya kutotumia madawa ya kulevya,bangi na vileo vingine vya hatari  ametoa   wito kwa vijana kutokata tamaa na badala yake wachangamkie fursa mbalimbali zinazotolewa na shirika la BABA WATOTO na serikali amesema haya kwenye semina iliojumuisha vijana na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu ya mtaani  
 Amesema haya kwenye kilele cha siku ya vijana Duniani ambako uadhimishwa tarehe12 Kila mwaka


Habari picha na Victoria Stanslaus

VIJANA WAIPONGEZA TAASISI YA BABA WATOTO

Zaituni Yahaya anaushukuru uongozi wa shirika la BABA WATOTO Kwa kufungua ndoto zake na kuokoa maisha yake kwani yeye Kijana aliekuwa anaishi mazingira magumu ya mtaani .Lakini shirika la BABA WATOTO limempa elimu ya kujitangaza na kufahamu haki zake za msingi  .pia imempa Taaluma ya ushonaji nguo ambayo anaitumia katika kujiingizia  kipato amesema  haya siku ya kilele  cha siku ya  vijana ambako uadhimishwa Kila tarehe12 Kila mwaka 

Habari picha na Victoria Stanslaus
 

VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURUSA

Afsa Vijana wa  Wilaya ya Ubungo Bupe amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia furusa mbalimbali ili waweze kujikwamua kiuchumi amesema  haya siku ya maadhimisho ya vijana  Duniani ambako uadhimishwa Kila mwaka tarehe12 Kila mwaka  . Uku akiipongeza taasisi ya BABA WATOTO Kwa kutoa Elimu ya kujitangaza  na mafunzo ya kujikwamua  kiuchumi Kwa vijana na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu

Habari picha na Victoria Stanslaus
 

TAMWA YABAINI RUSHWA YA NGONO NA RUGHA CHAFU NI KIKWAZO KWA WANAWAKE KATIKA UCHAGUZI

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari wanawake (TAMWA) Rose Rubeni amesema rushwa ya ngono,lugha za kejeri na matusi, Sera za Ilani ndani ya vyama vya siasa wamebaini kuwa ni
  vikwazo vinavyopelekea  wanawake kushindwa  kutia  Nia katika Kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye Uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 katika nafasi  Ubunge,Udiwani na nafasi ya Urais  Ingawa mpaka leo hii tarehe 12 Mwezi 8/2020 watia Nia Kwa ngazi ya Urais wanawake 2 na Wagombea wenza 5  Kwa wanawake. TAMWA wamebaini haya Kwa kushirikiana na GEPF  WLDAFU na Asasi zingine za kiraia  .ameitaka Tume ya Uchaguzi na Jeshi la Polisi na vyombo vya Urinzi na Usalama nchini kutoa adhabu Kali Kwa Mgombea ama Chama kitachotoa rugha chafu kwenye Kampeni Ususani Kwa wanawake  ametoa wito Kwa vyama vya siasa waache kuwagawa wanawake Kwa kauli za kusema wanawake awapendani na pia ametoa Rai Kwa Tume ya Uchaguzi  na Jeshi la Polisi  kutekeleza na kusimamia kauli   Kwa  Vitendo  za rais 
 Magufuli kuwa Uchaguzi utakuwa wa huru na haki amesema haya Makao Makuu ya TAMWA Sinza Mori jijini Dsm 


Habari picha na Victoria Stanslaus

WANA KIBAMBA WAPASWA KUIUNGA MKONO NCCR MAGEUZI

 Mtia Nia wa Ubunge Jimbo la Kibamba amewataka Wana Kibamba wamchague ili aweze kuwakimboa kiuchumi amesema kwani Chama cha NCCR Mageuzi kina mbinu na Mipango ya kuwaondoa watanzania kwenye wimbi la umasikini ametoa Rai Kwa wananchi wapewe ridhaa ya kuiongoza nchi


Habari picha na Ally Thabiti

Tuesday 11 August 2020

MAZAUJI YAJA NA TAMASHA KUBWA NA ZITO JIJINI DSM

 Mratibu wa Taasisi ya MAZAUJI Selemani amewataka watanzania nawasio watanzania kujitokeza Kwa wingi tarehe 6 Mwezi 9/2020 hotel ya Ubungo Plaza kutatuwa na waimbaji wa Kaswida Kwa mtu mmoja1 elfu 20000 kutatuwa na chai na Chakula cha mchana


Habari na Ally Thabiti

BUTIKU ABAINISHA RUSHWA NDANI YA CCM

Mzee Josefu Butiku amesema mchakato wa kupata Wagombea CCM  umegubikwa na rushwa  amewataka walipo madarakani kwamba waache kuogopwa Kwa vitisho vyao kwani Urais aumfanyo mtu nchi aifanye yakwake na kuiongoza kibabe  . Amevitaka vyama vya siasa ,jeshi la polishing,Usalama wa Taifa na Tume ya Taifa ya uchaguzi easier chanzo cha kuvunja Amani ya nchi na wasikichague Chama Chama cha CCM

Habari picha na Ally Thabiti
 

MBUNGE JOSEFU SERASINI ATOA NENO KWA WAKAZI WA ROMBO

Mbunge aliemaliza muda wake jimbo la Rombo Josefu Serasini amesema ameingia chama cha NCCR Mageuzi kwani ni chama makini kinachotekeleza Itikadi ya Hutu kwa vitendo. Amewataka watu  waishio Rombo ifikapo tarehe 28 mwezi 10/2020 wamchague awe Mbunge wao  kwani anataka kuyaendeleza yale mazuri aliofanya .mfano ujenzi wa miundombinu a,masoko, hospital na upatikanaji wa maji safi na salama 

Habari picha na Victoria  Stanslaus
 

JUKWAA LA KATIBA LAKUMBUSHA KUIBULIWA KWA KATIBA MPYA

Deusi Kibamba amesema ili kupata uchafuzi wa haki ni vyema Katiba mpya iwepo ndipo Mifumo itabadilika

Habari picha Ally Thabiti
 

BAKWATA YANYOOSHEWA KIDOLE

Hajati Amina ameitaka Baraza la kiislam nchini Tanzania (BAKWATA) wawashirikishe wanawake katika kupata furusa mbalimbali  ikiwemo furusa za kusafiri sehemu mbalimbali kwa ajili yakupata elimu waache kuchukuana wanaume tupu
Habari picha na Victoria Stanslaus
 

SHEE WA MKOA WA DSM APIGANA NA TUNDU LISU

Al   Hadi Musa Salim shee Mkuu wa Dsm na kwenyekiti wa Amani Tanzania amesema anampinga Mgombea Urais wa Chama cha CHADEMA Tundu Lisu Kwa kusema Wagombea wao wakienguliwa wataandamana ivyo anamtaka Tundu Lisu Kwa kulinda Amani ya Tanzania awe mpole akubali matokeo yatakayotolewa na Tume  ya Uchaguzi Mkuu  amewaagiza wenye Viti wa Amani wa Mikoa watoe elimu kwaajili ya Uchaguzi amesema haya kwenye Mkutano wa viongozi wa Dini na Mabarozi wa Amani Kurasini

Habari picha na Victoria Stanslaus
 

BABA ASKOFU AMEWATAKA WANASIASA KULINDA AMANI

Baba Askofu kutoka Zanzibar amewataka viongozi wa Vyama vya Siasa kufanya Kampeni za kistaarabu ambazo azitakuwa na rugha za matusi,kejeri na ubaguzi .Pia amevitaka vyombo vya Urinzi na Usalama pamoja na Tume ya Uchaguzi kusimamia haki wakati wa Uchaguzi .ametoa wito Kwa viongozi wa wa Dini mbalimbali na Mabarozi wa Amani kutoa elimu namafunzo Kwa waumini wao katika kulinda Amani kipindi hiki cha Uchaguzi  amesema haya kurasini Makao Makuu ya Ukumbi wa Baraza la Maaskofu Tanzania 

Habari picha na Victoria Stanslaus