Thursday 6 August 2020

MAMA LISHE WA KARIAKOO WAFURAHIA FURUSA WALIO IPATA

Mwantum ni Mama Lishe kutoka Mtaa wa Gerezani amesema wanaushukuru uongozi wa Mkoa wa Dsm Kwa kuwapa vitambulisho vya Magufuli .amemuomba uongozi huu waendelee kuwafutia furusa mbalimbali  Pia amemshukuru Jenifa Bashi Kwa kuwatengenezea mazingira rafiki ya biashara ya Chakula kwani Mamalishe na Babalishe kwasasa wanathaminiwa na kujaliwa  pia wameweza kuimarisha kibiashara na kiuchumi kupitia taasisi ya MAMA ALASKA JAMII 

Habari picha na Victoria Stanslaus

No comments:

Post a Comment