Thursday 21 April 2022

LHRC YAJA NA RIPOTI KAPAMBE


 ANNA HENGA    Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC amesema ripoti walio izindua imebainisha changamoto mbalimbali zinazotokana na maswala ya ukatili wa kijinsia namna ya kuweza kukabilaiana na maswala ya ukatiri wa kijinsia lengo ni kutokomeza kabisa mfano ndoa za utotoni, ukatiri wanaofanyiwa watoto na wanawake mitandaoni, haki za watu wenye ulemavu, haki za wanawake wajane namna ya kumiliki mali  ANNA HENGA ameitaka Serikali na taasisi mbalimba za watu binafsi waitumie ripoti ya LHRC kwaajili yakuweza kutatua changamoto katika jamii pia amewatoa hofu watu wenye ulemavu wakuto kuona kuwa ripoti ya LHRC imeandikwa kwa maandishi nukta nuni ambao nao watapata fursa ya kusoma yaliyopo kwenye ripoti hii.

habari picha na Ally Thabith

BANK YA NBC YAJA NA MIKAKATI MIZITO





Mkurugenzi mtendaji wa NBC amesema wameamuwa kuwafikia watu kuanzia ngazi ya chinikupitia bank ya NBC lengo kuwakwamua watu kiuchumi kwa kutoa mikopo ya fedha bila masharti magumu. Amesema Bank ya NBC inaunga mkono juhudi na jitihada za Raisi Samia Suluhu Hassan kwa kuweka matawi kila kona ya Tanzania, ametoa rai watu waendelee kuiamini na kuitumia Bank ya NBC kwani usalama wa pesa zao ni wauhakika. Amewataka waislam huduma za NBC wajitokeze kwa wing

Amesema haya kwenye Iftar Selena Hotel 

habari picha na Ally Thatbith



SHEKH MKUU WA DAR ES SALAAM AIPONGEZA BANK YA NBC


 Alhaji Mussa Salim Shekh wa mkoa wa Dar es Salaam ameipongeza na kuishukuru bank ya NBC jinsi wanavyotoa huduma kwa kasi kubwa na namna inavyoweza kuwafikia waislam ambako wanatoa mikopo bila riba. Ametoa wito kwa watu waitumie bank ya NBC amesema haya wakati wa IFTAR selena Hotel iliyoandaliwa na BANK ya NBC.

habari picha na Ally Thabith