Saturday 5 September 2020

BODI YA MIKOPO YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA

 Veneranda Malima Afisa Mawasiliano Bodi ya Mikopo Tanzania amesema kupitia Maonyesho ya Vyuo Vikuu yalioandaliwa na TCU wamefanikiwa kutoa Elimu kwa kiwango kikubwa kwa watu waliokuwa wanadaiwa na Bodi ya Mikopo na matokeo ni mazuri . Pia wamewakumbusha wanafunzi wanaoomba Mikopo kwa mwaka wa Masomo mwaka2020  2021kukamilisha taarifa zao kwa wakati  mfano vyeti vya kuzaliwa Ambavyo vimethibitishwa na Rita na vyeti vya Vifo vya wazazi wao na waviwasilishe kwa wakati na amewataka kutekeleza maagizo haya ya Bodi ya Mikopo kabla ya kufika kimono tarehe 10 mwezi9 mwaka 2020 wasipo Fanya hivi watakosa sofa za kupata Mikopo ambako app awali waliokuwa elfu14 waliokuwa awajawasilisha taarifa zao mpaka leo tarehe 5mwezi 9 2020 wanafunzi elfusita 6000 wamewakumbusha taarifa zao Bodi ya Mikopo hivyo Veneranda ametoa wito kwa wanafunzi elfusita nane8000 wawasirishe taarifa zao Bodi ya Mikopo haraka Sana ili wapate Fedha kwaajili ya kupata elimu amesema haya kwenye maonyesho ya 15 yalioandaliwa na TCU viwanja vya mnazi mmoja jijini dsm


Habari na Ally Thabiti

MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA YAIKUMBUSHA JAMII WAJIBU WAKE

Masozi Nyerenda ni Mratibu wa Mfuko wa Kuendeleza Jamii na Meneja was Miradi ya Elimu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania .ameitaka Jamii kulinda,kusimamia na kutunza Rasilimali  za Elimu mfano majengo,vifaa vya kufundishia na vitu vinginevyo kwani Mamlaka inatoa Fedha nyingi katika ujenzi na kununua vitu . pia
Ameitaka Jamii kuweza kutoa michango mbalimbali ya kifedha na Mali kwenye Mamlaka ya Elimu Tanzania  kwani Mamlaka hii imeundwa kwa Sheria ya Bunge mamba 8 ya mwaka 2001 ambako imepewa Mamlaka ya kusimamia Mfuko wa Elimu Tanzania na mwaka 2017 wizara ya Elimu ilitoa Mamlaka ya kuendeleza mfuko wa
 Ujuzi  . Na watu wenye ulemavu wamewezeshwa kujengewa mabweni,madarasa na vifaa vya kujifundishia  .  amesema haya kwenye maonyesho ya 15 ya Vyuo vikuu yalioandaliwa na TCU viwanja vya mnazi mmoja jijini dsm


Habari picha na Ally Thabiti


CHUO KIKUU CHA CATHOLIC MBEYA CHAJA KIVINGINE


Tamiloi Janga ni Mwalimu wa Masoko na Biashara amesema Chuo chao kimepanda hadhi ivyo anawataka watu wajiunge kupata Masomo ya Utawala wa Biashara,  Sheria,Teknolojia ya habari na Mawasiliano,Uhasibu na Frdha,Ugavi na Manunuzi,Usimamizi Masoko,Rasilimali watu,Ujasilia Mali,Maendeleo ya jamii na Ukutubi,Sayansi taarifa na tehama .kwa Mawasiliano zaidi S.L.P 2622
Mbeya- Tanzania
Simu:+255 2525004240 
Ofisi ya Udahili 
0768341328
0764622482 
Barua Pepe:admissions@cucom.ac.tz
www.cucom.ac.tz
Amesema gharama zao ni nafuu sehemu za kulala zipo za kisasa anawakaribisha wote 
Amesema haya kwenye maonyesho ya 15 ya Vyuo vikuu yalioandaliwa na TCU viwanja vya mnazi mmoja jijini dsm
 

Habari picha na Victoria Stanslaus

CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI CHABAINISHA MAMBO MAZITO

Ereni Mtui Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Chuo Kikuu cha AFYAna SAYANSI SHIRIKISHI   Muhimbili  amesema katika kuunga juhudi za rais  Magufuli wanatoa kozi 79 za Udaktali bingwa Lengo wapate wataalam wengi ili waweze kuwatibia  watanzania 
nchini na kuokoa fedha za Watanzania kwenda kutibiwa nje ya nchi pia chuo hiki kimefanya tafiti ya series mundu,HIV,material na tafiti zao zimesaidia kutengeneza Sera Bora na mzuri kwenye wizara ya Afya


Habari picha na Ally Thabiti
 

GLOBAL EDUCATION LINK LTD YAWATOA MCHECHETO WATANZANIA

Rejina Rema amewataka watu kuweza kutumia Global Education Link Ltd ili waweze kuwapeleka watoto wao kwenda kusoma kwenye Vyuo mbalimbali vya nchi tofauti mfano India ,China na nchi zingine .pia amewatoa hofu kwani gharama zao ni nafuu ,ulinzi na usalama wa wanafunzi wakienda kusoma nje ya nchi ni mzni mzuri, mkubwa na wauhakika  na wanafunzi wanaofisi pelekwa na Global Education Link Ltd wanaludi Tanzania wakimaliza Masoko Yao na wanapata fursa mbalimbali za ajila na ifikapo tarehe 19 mwezi wa 9 mwaka2020 Global Education Link Ltd watakuwa na maafari viwanja vya mlimani city jijini dsm kwa wanafunzi wote walihitimu Masoko nje ya nchi
ametoa wito makundi mbalimbali mfano watu wenye ulemavu kukitumia Global Education Link Ltd kwaajili ya kupata elimu nje ya nchi kwani Wana uzoefu mkubwa   
  Amesema haya kwenye maonyesho ya 15 yavyuo vikuu yalioandaliwa na TCU viwanja vya mnazi mmoja jijini dsm

Habari picha na Victoria Stanslaus



CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR CHABAINISHA MAFANIKIO RUKUKI

Sultan Said Omar Assistant Lecturer&ICE Coordinator,ZANZIBAR University amesema mafanikio waliopata ni kutoa wafanyakazi wengi serikalini,wamefanya tafiti zinazo tatua changamoto wa wananchi ,kuwatengeneza  wanafunzi kujiajili nasasa wameongeza proglam za kozi kutoka 3 mpaka 15 ivyo amewataka watu kujiunga na Chuo chao kwaajili ya kupata elimu bora na yenye tija .Lengo lao kwenye maonyesho haya wawasajili wanafunzi 200 wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa .pia chuo hiki kinatoa Ushauri ametoa wito kwa watu kuweza kukitumia chuo hiki ili waweze kujiajili na kuajiliwa amesema haya kwenye maonyesho ya 15 yalioandaliwa na TCU viwanja vya mmnazi mmoja jijini dsm 

Habari picha na Victoria Stanslaus

 

Friday 4 September 2020

STANLEY MNDASHA ALEZA MADISON YA CHUO CHAO

Afsa Masoko na Udahili Chuo Kikuu cha Umoja wa Mataifa Afrika Tanzania Stanley Mndasha amewataka watu kujiunga na Chuo Chao kwa kina fursa mbalimbali za ajila na kwenda kusoma nje ya nchi.  amewatoa ofu kuwa gharama zao ni nafuu amesema haya Kwenye maonyesho ya 15 yalioandaliwa na TCU mnazi mmoja Jijini dsm


 
habari picha  na Ally Thabiti


 

CHUO MKUU CHA USHIRIKA MOSHI CHATS NENO

Dr Jastini ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu Endelevu Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi amesema ni vema wana Ushirika wawatumie wataalam wanaotoka chuo Kikuu cha Ushirika Moshi Lengo waweze kuendesha umoja wao wa Ushirika kwa uweredi ILI kuepuka migogoro ya Mara kwa Mara. pia chuo hiki kinafanya tafiti zenye Tija katika Jamii ametoa rai kwa Watu kujiunga na chuo kikuu cha Ushirika Moshi Kwani watapata Elimu popote walipo. amesema haya Kenye maonyesho ya 15 yalioandaliwa na TCU mnazi mmoja Jijini dsm  

 
habari Pichai na Ally Thabiti

 

CHUO CHA UFUNDI ARUSHA CHAJA NA MIKAKATI MIZITO

Afsa Uhusiano Chuo cha Ufundi Arusha ndugu Gastoni amesema wanaunga mkono juhudi za rais Magufuli  kufika Tanzania ya viwanda chuo Chao Kinatoa diglee 5 na diploma13 na kozi fupifupi pia wanafanya tafiti mbalimbali kwaajili ya kutatua changamoto katika Jamii mfano .wana fimbo yaa kumuongoza mtu asiye ona. Lengo lachuo hiki kuandaa wataalam ILI waweze kufanya kazi Kenye viwanda vya  tanzania .chuo hiki kinashiliki maonyesho ya vyuo vikuu kwa Mara ya 11 Gastoni ametoa wito kwa wazazi kuwaimiza watoto wao kusoma Masomo ya sayansi na amewataka Watu kujiunga na Chuo cha Ufundi Arusha ILI waweze kupata ujuzi wa kujiajili na kuajiliwa amesema haya Kenye maonyesho ya 15 yalioandaliwa na TCU viwanja vya mnazi mmoja Jijini dsm 


habari Pichai na Ally Thabiti

 

CHUO KIKUU URIA CHAWATAKA WATU WENYE ULEMAVU KUCHANGAMKIA FURSA

Mkurugenzi Mkuu wa Uhusiano DrMohamedi Maguo amesema Kuwa Chou Kikuu Uria

kimeanzishwa mwaka 1992 na kuanza kazi rasmi mwaka 1994 kwa sheria ya Bunge namba 17 ambako wanatoa elimu yao kwa masafa ya wakulima,wafanyabiashara,wavuvi na makundi mengineyo. Dr Mohamedi Maguo amesema Kuwa pia wanatoa elimu kwa  makundi maalum wakiwemo watu Wenye ulemavu wakiwemo watu wasio ona Ambao wanajifunza kompyuta kundi hili nalo waweze kujiajili na kuajiliwa .  Ametoa wito kwa watu kuwapatia watu wenye ulemavu fursa mbalimbali ikiwemo elimu ili waweze kujikwamuwa kiuchumi Dr Mohamedi  Maguo Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko Chuo Kikuu Uria amewataka watu wenye ulemavu na wasio na ulemavu kujiunga na Chuo Kikuu Uria  amesema Jaya kwenye Maonyesho ya 15 yalioandaliwa 
 na TCU


habari picha na Ally Thabiti
 

CHUO KIKUU CHA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE (SUA) KUIPONGEZA SERIKALI YA AWAMU YA TANO

 

Mkurugenzi wa shahada za awali SUA, Nyambilila Amuli(kulia) 

Mkurugenzi ndg, Nyambilila ameipongeza sana serikali ya awamu ya tano kwa kuwawezeshea ujenzi wa maabara ya kisasa kabisa. Ujenzi wa maabara hiyo umeleta tija na manufaa makubwa katika kufanya tafiti zao. Pia ameongeza kua tafiti mbalimbali zikiwemo za kilimo,ufugaji na uvuvi ni eneo ambalo wamekua wakijikita zaidi. Hivyo vijana wote nchini ni fursa kwao kujiunga katika chuo chetu(SUA), kwani wataweza kujiajiri wenyewe pindi wamalizapo chuo bila ya kusubiria ajira serikalini.
Chuo kikuu cha SUA ni miongoni mwa vyuo bora kabisa ukanda ya Afrika mashariki na kati kwa kuwandaa wataalamu mbalimbali katika fani za kilimo na ufugaji. Chuo hicho kinajivunia vijana wengi nchini waliotoka chuoni hapo na kufanya mengi makubwa kwenye jamii yetu
Pia chuo cha SUA kimekua kikifanya tafiti mbalimbali kuangalia udongo unaofaa katika kilimo na utafiti wa mbolea sahihi.
Amemaliza kwa kuishukuru sana serikali kuwapatia trekta ambazo zimekua na mchango mkubwa sana. Serikali pia imewezesha kupatikana kwa tawi lingine la chuo hicho lililopo katavi na kua na uwezo wa kudahili vijana wengi zaidi
Kwa vijana wote wenye maono makubwa na kilimo wanakaribishwa sana kujiunga na chuo cha SUA kwani kina ubora mkubwa sana katika sekta hiyo
Habari picha na ally thabiti

Wednesday 2 September 2020

CHUO CHA USHIRIKA MOSHI KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI

 

Chuo Kikuu cha  ushirika moshi kinawaalika vijana wote wenye sifa waweze kujiunga na chuo hicho kwani kinazo sifa zote za kuweza kuwaandaa vijana ili kuweza kujikwamua kiuchumi. Akiongea na mwandishi wa habari Dr Faustine Panga katika banda lao amesema kua,, wanampango mkakati mkubwa sana wa kusaidia taifa kupitia vijana ambao watakwenda kujiunga na chuo hicho. Dr Faustine Panga amesema kwamba wanaofisi  kwenyemikoa 13   Tanga,  Mtwara Tabora  ,Ruvuma  na mikoa mingineyo Tanzania bara  pia wanatoa mafunzo kwa njia ya Masafa 

Habari picha na ally thabiti

CHUO KIKUU IRINGA MAMBO NI MOTO

 

Akiongea na mwandishi wa habari, amewakaribisha wanafunzi wote wafike waweze kupata huduma bora katika matawi yao yote likiwemo lililopo Zanzibar ili kuweza kupata maarifa na ujuzi kutoka katika chuo hicho. Chuo kikuu cha Iringa kinazo sifa zote ambazo zitamfanya mwanafunzi kuwa mjuzi na mbunifu katika nchi yake na kuweza kuinua uchumi wa taifa kiujumla

Habari picha na Ally thabiti

Tuesday 1 September 2020

CHUO CHA KIISLAM MOROGORO KUWAKARIBISHA WANAFUNZI WOTE

 Afsa Habari Msaidizi Hamadi  Hasani amewataka Watu kujiunga na chuo Kikuu cha ki Islam Morogoro kwaajili ya kupata Elimu Bora na yenye Tija Chuo hiki kinazingatia maswala ya Mahadili. pia chuo iki kinaunga mkono juhudi za rais Magufuli katika kufika Tanzania ya viwanda kwa kuandaa wataalam wenye uwezo wa kufanya kazi katika nyanja  mbalimbali mfano sheria  na katika maswala ya habari ambako chuo kikuu cha ki Islam kimetenga millioni 90 fedha za kununua vifaa vyakisasa vya kufundishia wana habari pia amewatoa ofu watu kuwa chuo hiki kinachukuwa wa Islam na wasiowaina sifa zote na uwezo wa kuwaandaa wanafunzi kuwa wabunifu na kuweza kusaidia taifa lao katika kuinua uchumi wa yetu 

Wakiyasema hayo katika banda lao lililopo mnazi mmoja jijini dar es salaam wanawakaribisha wanafunzi hata wenye matatizo kama ulemavu kwani chuo kina mazingira mazuri ya watu wenye ulemavu pia

Habari picha na Ally thabiti 

ST JOHN'S UNIVERSITY OF TANZANIA KUSAIDIA UCHUMI WA VIWANDA NCHINI


 Chuo kikuu cha St john's university kimewaomba wanafunzi wote nchini waweze kujiunga na chuo hicho ili waweze kuungana na kauli mbio ya nchi ya kuweza kuinua uchumi wa viwanda 

Akiyasema hayo katika banda lao lililopo maeneo ya mnazi mmoja jijini dar es salaam amasema kua vijana wajitokeze kwa wingi waweze kusaidiwa kufanya maombi ili kuweza kujiunga na chuo hicho 

Habari picha na Ally thabiti

MZUMBE UNIVERSITY YAJA NA MIPANGO MIZITO

 

Chuo kikuu cha mzumbe kinapenda kuwakaribisha wanafunzi wote walio hitimu kidato cha sita na wenye sifa waweze kujiunga na chuo hicho kwani kina ubora wa hali ya juu sana kuweza kuwafikisha katika malengo yao.

Akiyasema hayo mmoja wa viongozi wa chuo hicho madam Rose amesema chuo cha mzumbe kina sifa zote na ubora wa hali ya juu sana wa kutoa maarifa kwa wanafunzi wake 

Habari picha na Ally thabiti