Saturday 30 June 2018

WATANZANIA WATAKIWA KUTOKATA TAMAA


Watanzania watakiwa kuto kata taama katika suala la kudai haki kwani haki ni msingi ambao kila mtanzania natakiwa kuipata hayo yamesemwa na Pili Mohammed Kuliwa msaidizi kisheria kutoa mkoa wa Lindi katika semia iliyofanyika Landmark hotel ,Ubungo jijini Dar es salaam , semina ambayo imeandaliwa kituo cha msaada wa kisheria LHRC, Semina hiyo ikiwa na lengo la kuwajengea uwezo wa kisheria wasaidizi wote wa kisheria nchini.


Habari picha na ALLY THABIT

TFDA YAMSHIKILIA ALIYESAMBAZA TAARIFA ZA UONGO MTANDAONI KUHUSIANA NA DAWA YA PANADOL

Prince Mhina anayeshikiriwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa akiwa anezumza na waandishi wa habari katika ofisi za Mamlaka hiyo kulia kwake ni Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Agnes Sitta Kijo.
Mamlaka ya chakula na dawa imemshikilia aliyehusika na kusambaza taarifa mitandaoni Prince Mhina kuhusiana na dawa ya Panadol kutokuwa salama kwa matumizi ya binadamu.

Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Agnes Sitta Kijo amekanusha taarifa hizo za kwamba dawa ya panadol ukiimwagia maji inageuka kuwa kitambaa si zakweli, kwani dawa ya panadol ni salama kwa matumizi kama dawa nyingine.

Aidha Kaimu Mkurugenzi huyo wa Mamlaka ya Chakula na Dawa amesema kuwa bidhaa inayohusishwa na dawa tajwa ni kitambaa (tab towel) ambacho kimetengenezwa kwa muundo wa kidonge na juu hakuna lebo ya Panadol wala paracetamol kam inavyoelezwa na katika video inayosambazwa, na badhaa hii hutumika zaidi katika mahoteli au maeneo mengine.

Habari picha na ALLY THABIT

Thursday 28 June 2018

Mshindi wa airtel awatoa mchecheto watanzania

Venus Malima ni mshindi wa mchezo wa kubahatisha ameishukuru airtel pamoja na sportpesa kwa kuungana hivyo amewatoa hofu watanzania kuwa michezo inayoendeshwa kupitia airtel na sportpesa ni ya ukweli na uhakika hivyo amewataka watanzania wote waweze kushiriki kwani yeye mwanzo hakuamini lakini baada ya kupata zawadi ameamini,amesema haya wakati akikabidhiwa zawadi ya smartphone makao makuu ya airtel
Habari pichana Ally Thabit
                                         Airtel yadhihirisha ubora wake 
Meneja wa uhusiano wa airtel Jackson Mbando amesema airtel wameamua kuungana na sportpesa kwenye michezo ya kubashiri lengo ni watanzania waweze kuachana na kutumia makaratasi pamoja na vibanda ubiza badala yake watumie simu za kisasa zinazojulikana kama smartphone na waweze kujishindia zawadi mbalimbali pia wajikwamue kiuchumi ,na simu za smartphone zitumike katika mambo yao mbalimbali,amesema hayo wakati akiwapatia washindi wa michezo ya kubahatisha wapatao ishirini na moja kwa kuwapa zawadi za smartphone,tv na tiketi za kutazama mechi mbalimbali za ligi kuu kwenye makao makuu ya airtel
Habari picha na Ally Thabit

Kamishna wa jeshi la uokaji na zimamoto awatoa hofu watanzania 

Kamishna wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amesema wamejipanga vizuri katika kukabiliana na majanga ya moto kwasababu wanavifaa bora na vya kisasa vya kuzimia moto na uokoaji.

Pia amewataka wakurugenzi na wakuu wa wilaya wote nchini tanzania kuweka vifaa vya kuzimia moto kwenye mabweni na shule zote,amesema haya jijini Dare es salaam kwenye hafla ya kumpongeza mkuu wa wilaya ya kahama kwa kuweza kufanikiwa uweka vifaa vya kuzimia moto wilaya kwake

Habari picha na Ally Thabit

Wajasiriamali waipa tano airtel

Josephine Mbona Msusa anaishukuru kampuni ya simu ya airtel kwa kuweza kuwapa mafunzo ya kompyuta ambapo wao wajasiriamali itawasaidia kuuza na kusambaza bidhaa zao kwa njia ya mtandao

Amesema hayo kwenye shule ya msingi kijitonyama wakati wa ufungaji wa mafunzo haya yaliyoandaliwa na airtel yaitwayo airtel fursa
Habari picha na Ally Thabit

Tuesday 5 June 2018

KAIMU MKURUGENZI WA RASILIMALI ZA MAJI ATOA SIRI NZITO

Kaimu Bi Naomi Lupimo amesema "wameweza kudhibiti uharibifu wa vyanzo vya maji na uchafuzi wa mazingira katika maeneo ya mabonde ya maji kwasababu yakuwa na sera nzuri ya mwaka 2002 kanuni bora na sheria namba 11 ya mwaka 2009".

Bi Naomi Lupimo" wizara yake ya maji inashirikiano mzuri na wizara nyinginezo katika kutunza, kulinda,kuhifadhi na  kuboresha vyazo vya maji pamoja na mabonde ya maji dhidi ya wachafuzi wa mazingira na uharibifu wa vyazo vya maji" amesema hayo katika kilele cha madhimisho siku ya mazingira duniani ambayo kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jiji Dar es salaam.
habari picha na ALLY THABITI

SUMATRA YA ELEZA JINSI YA KUTUNZA MAZINGIRA

Salum Pazi kutoka SUMATRA amesema "wamechukua jitihada za kutuza mazingira kwakutengeneza vyoo stand za mabasi na daladala na kuweka vifaa vya kutunzia takataka ndani ya mabasi lengo abiria wasitupe takataka barabarani madirishani pia wanatoa elimu kwa abiria juu ya kutunza abiria vilevile wameahidi watazidi kuyatunza mazingira" amesema hayo kwenye maonyesho ya siku mazingira dunian katika viwanja vya mnazi mmoja jiji Dar es salaam.
  habari picha nALLY THABIT