Sunday 21 May 2017

MWENYE KITI WA WAHARIRI AWATAKA WAANDISHI WA HABARI WASIFANYE KAZI KWA KUFUATA MKUMBO

Mwenyekiti wa wahariri THEOPHIL MAKUNGA amewataka waandishi wa habari wasifanye kazi kwa kufuata mkumbo bali waweke vipaumbele vyao namikakati yao  hammesema haya kwenye siku ya uhuru wa vyombo vya habari kwenye ofisi ya shirika la kazi ILO posta jijini dar es salaam                                                 habari picha na ALLY THABITI

PICHANI WANAFUNZI WAKIWA KWENYE WIKI YA ELIMU


MKUU WA WILA YA ILALA AWATAKA WANAFUNZI WASOME KWA BIDII

RAIS WA MBIO KLABU AMEWATAKA WATANZANIA WAJITOKEZE KWA WINGI KWENYE MBIO ZA RIADHA

Rais wa mbio ameataka watanzania ashiliki kikamilifu  kwenye mashindano ya riadha ambayo yanaandaliwa DASANI marathon ili waweze kuonyesha vipaji vyao, kukuza uchumi wao na kuimarisha afya zao haya amezungumza kwenye mashindano ya marathon yaliyofanyika  porisi osasm esi jumla ya washiliki zaidi ya elfu moja waliweza kushiliki pia ametoa wito kwa serikali na wadau wengine wawaunge mkono                                 habari picha na ALLY THABITI

KAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI HALOTEL YAKANUSHA SAKATA LA KUHUJUMU UCHUMI

Mkurugeni mtendaji wa halotel LE VAN DAI amesema kuwa awajausika katika kuhujumu uchumi wa tanzania kama TCRA wanavyosema bali wao makosa yao ni mawili tu ambayo kutosajili laini kupitia TCRA na kuto kupeleka thamani ya hizo laini pia wamekanusha kwamba awajalipa shilingi milioni mia saba bali wanelipa shilingi milioni mia nne hamsini na tisa  pia amesema hawana uhusiano na kampuni ya UNEX   na mitambo hiyo sio ya halotel  naameomba radhi kwa wateja wao  na watazidi kushilikiana na serikali katika kukuza uchumi wa tanzania                                  habari picha na ALLY THABITI

WAANDISHI WAJENGEWA UWEZO JUU YA UGONJWA WA FISTULA

UNFPA yawapa mafunzo wana habari ya kuwajengea uwezo jinsi ya kuandika na kutangaza dalili na chanzo cha fistula kwa kina mama  uchungu kandamizi,kutokwa haja ndogo na kubwa sehemu za siri na jinsi ya kuepuka kupata fistula  pichani wana habari kama wavyoonekana . katika hotel ya protea ndipo mafunzo yamefanyika jijini dar es salaam                                                                                                                                                              habari picha na VICTORIA STANSLAUS

UNFPA YASEMA FISTULA INATIBIKA TANZANIA

mwakilishi mkazi wa shirika la idadi ya watu duniani \UNFPA\ amesema ugonjwa wa fistula unatibika nchini tanzania ikia wakina mama watajitokeza maosptalini kupata tiba pia amesema wameweka mikakati ya kuwapa mafunzo watoa huduma za afya mpaka sasa wametoa mafunzo kwa watoa huduma wa afya elfu nne dawa za uzazi wa mpango zenye thamani za dora za kimarekani shilingi milioni kumi na sita .pia wamewatibia wagonjwa wenye fistula hapa tanzania elfu kumi na tano amesema haya kwenye semina  ya waandishi wa habari kabla ya kuelekea siks ya kilele ya ugonjwa wa fistula tarehe 23\5\2017 .ambako itaazimishwa duniani kote ametoa wito kwa wana habari kutumia taaluma yao kufikisha ujumbe kwa jamii kuwa fistula inatibika na matibabu yake ni bule pia waweze kuondokana na zana potofu kuwa ugonjwa wa fistula hausababishwi na kulogwa       bali unatokana na kupata mimba utotoni na kumcheleweha mama mjamzito wakati wa kujifungua . pia ameishukuru serikali kwa kupambana na ugonjwa wa fistula tanzania                  habari picha na ALLY THAITI                                                                                                                                          

Thursday 18 May 2017

TRL YAWATAKA WANANCHI WATII SHERIA BILA SHURUTI

shirika la reli la Tanzani TRLwametoa wito kwa watanzania wanaotumia usafiri huo kuwa makini na kujihami kwa kutokufanya vitendo hatarishi na kwa wale wote watakaokaidi agioz hilo watachukuliwa hatua kali za kisheria.

AFISA MAWASILIANO WA PSPF AWATAKA WAFANYAKAZI WA MOI WAJIUNGE NA MFUKO WA PSPF

HABDULI NJAIDI amewataka wafanya kazi wa moi wajiunge kwenye mfuko wa PSPF mfuko wa PSPF una fao la uzazi,mikopo ya nyumba,mikopo ya viwanja hivyo wafanyakazi wa moi watanufaika kwakiasi kikubwa hivyo wajiunge kwa manufaa zaidi



habari picha na ALLY THABITI

BARAZA LA WAFANYA KAZI MOI LAZINDUA MKUTANO WAO

Baraza la wafanya kazi moi limejadili changamoto mbalimbali miongoninmwao ni huaba wa vifaa ,kutopandishwa madaraja   mishahara duni, haya yamejadiliwa kwenye mkutano wao nakuiomba serikali iwaboreshee mishahara, sehemu ya maradhi,  babajeti    ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi mkutano huu humefanyika kwenye ukumbi wa nyundo wilaya ya temeke jijini dare es salaam


habari picha na ALLY THABITI

WAZIRI WA FEDHA AMESEMA UTAFITI UTASAIDIA KUELEKEA UCHUMI WA VIWANDA

Waziri wa fedha amesema utafiti utasaidia kuelekea tanzania ya viwanda waziri wa fedha FILIP MPANGO amesema haya kwenye ufunguzi wa maonyesho ya utafiti kwenye chuo kikuu cha DSM amewataka wataalam wazidi kufanya tafiti mbalimbali ili kusaidia kuelekea tanzania ya viwanda na kukua kwa uchumi wetu tanzania pia ametoa wito kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha DSM wasiwe wavivu kwenye kufanya tafiti na waadhili wafanye tafiti zenye tija na maslai ya taifa




habari picha na  ALLY THABITI

WARIRI WAMESEMA WATAISHINIKIZA SERIKALI KUUSU KATIBA MPYA


Mwariri wa gazeti laMWANA HARISI amesema kwa niaba ya waariri wenzake wataishinikiza serikali kuusu kuibua mchakato wa katiba mpya na watatoa elimu kwa jamii kwa kuandika makala mbalimbali kuusu mchakato wa katiba mpya pia amewapongeza kituo cha msaad wa kisheria HLRS kwakuwakutanisha pamoja na kuwapa mafunzo ya katiba mpya kwenye kongamano na kuzitaka taasisi zingine ziandae makongamano kama haya na ametoa rai kwa serikali kuwa katiba mpya ni haki ya watanzania hivyo serikali  hianzishe mchkato huu ulipo ishia




habari picha na ALLY THABITI

PROF WA CHUO KIKUU DSM AMEWTAKA WAARIRI WAISHINIKIZE SERIKALI HIENDELEZE MCHAKATO WA KATIBA MPYA

Haya amezungumza kwenye kongamano la katiba mpya liloshirikisha waariri na waandishi wa habari  lilo andaliwa na kituo cha haki za binadam HLRS ambako prof waariri pamoja na wandishi wa habari watumie kalamu zao  kuishinikiza serikali kuibua mchakato wa katiba mpya kwa kuandika makala mbalimbali kuusu katiba mpya



habari picha na VICTORIA STANSLAUS

KAMISHINA WA MAPATO TANZANIA TRA AMEZITAKA BANK ZINGINE ZISHIRIKIANE NA TRA

Kamishina wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) CHAZI KICHERE amezitaka bank nyingine zishirikiane na TRA  kukusanya mapato maeneo ya bandarini na sehemu nyingine isiwe kwa bank za serikali tu  na kulia kwake ni mkurugenzi wa TIB BANKambaye amelezea bank yao kuunga mkono mpango huo




habari picha na ALLY THABITI

TIB BANK NA MAMRAKA YA MAPATO TANZANIA TRA WAKABIDHIANA NYARAKA

Mkurugenzi wa TIB Bank na kamishina wa TRA wakabidhiana nyaraka  za makubariano ya kukusanya kodi bandarini lengo nikutekereza maagizo ya rais kutaka tra na tib bank washirikiane kukusanya kodi bandarini makabidhiano haya yamefanyika makao makuu ya tra jijini dar es salaam


habari picha na ALLY THABITI

Friday 12 May 2017

TGNP MTANDAO YAJADILI BAJETI YA MAJI


 

TGNP MTANDAO imesema serikali iweke bajeti ya kutosha kwenye wizara ya maji kwani swala la maji ni tatizo kubwa nchini ambako linasababisha kutokea  vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo kubakwa, kurawitiwa ,kukatishwa kwa masomo kwa watoto na mimba zautotoni hasa vijijini haya yamesemwa na mwana arakati wa TGNP MTANDAO  akizungumza na wana arakati wenzake na wadau wa maji kwenye mkutano wa maji umefanyika kwenyemakao makuu ya TGNP MTANDAO mabibo jijini dar es salaam


habari picha na ALLY THABITI

KAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI YA TIGO YATOA FEDHA KIASI CHA BILIONI 63.58

Kitengo cha tigo pesa kimetoa fedha kiasi cha bilioni 63.58 kwa wateja waon kama gawio la robo mwaka  haya yamesemwa namkuu wa kitengo cha fedha tigo pesa CHRISTOPHAR KIMARO kuliani mkuu wa masoko na usambazaji CATHERINE RUTENGE  wakati anaongea na wanahabari huiduma hii ya gawio imeanza tangu mwaka 2014  haya yamezungumzwa katika makao makuu ya tigo eneo la makumbusho wilaya ya kinondoni jijini dar es salaam


habari picha na ALLY THABITI

Thursday 11 May 2017

RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA AMEWAAKIKISHIA WATANZANIA KUDUMISHA UMOJA NA MSHIKAMANO HULIOPO

JACOB ZUMA amewataka wafanya biashara wa tanzania wakawekeze afrika kusini kwani kuna maeneo mengi ya kuwekeza pia amempongeza rais JOHN POMBE MAGUFULI kwaa utendaji wake wa kazi ndio maana wamekuja kuwekeza tanzania kwenye maeneo kumi ikiwemo utalii, kilimo;mabadfiliko ya tabia ya nchi,na maneo mengine amesema watazidi kuja kuwekeza tanzania  umoja na mshikamano hulio asisiwa na mwalimu nyerere na mzee mandera watazidi kuhudumisha na kuimarisha hamesema haya kwenye jukwaa la wafanya biashara ambako wamefanya kwenye ukumbi wa mikutano ya kimataifa  wa mwalimu nyerere posta jijini dar es salaam 




habari picha VICTORIA STANSLAUS

RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AWATAKA WAFANYA BIASHARA WA TANZANIA WAKAWEKEZE AFRIKA KUSINI

hamezungumza haya kwenye jukwaa la wafanya biashara wa tanzania pamoja na waafrika kusini  pia rais magufuli amewataka wafanya biashara wa tanzania washirikiane na wafanya biashara kutoka afrika kusini na amewapongeza waafrika kusini kuwekeza tanzania kwani kutasaidia kukuwa kwa uchumi, kuongezeka kwa ajira,kuimarika kwa miundombinu yetu na kuongezeka kwa mapato ya kodi .pia rais magufuli amekipongeza kituo cha uwekezaji tanzania kwa kuleta wawekezaji kwa wingi  pia amempongeza rais wa afrika kusini JACOB ZUMA kwa ujio wake haya amezungumza kwenye jukwaa lawafanya biashara kwenye ukumbi wa mikutano ya kimataifa wa mwalimu nyerere posta jijini dar es salaam

habari picha na ALLY THABITI

KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAAKIKISHIA AJIRA WATANZANIA

Haya yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha uwekezaji tanzania kwenye mkutano wa kutiliana saini na wawekezaji kutoka afrika kusini  pia amewatoa ofu wawekezaji kuusu kupatikana kwa ardhi mikataba walio wekeana itasaidia kukua kwa uchumi tanzania na kuongezeka ukusanyaji wa kodi maeneo ya nishati, tehama,miundombinu,ujenzi wa kiwanda cha mborea mkoani tanga ,eneo la elimu pamoja na afya ni baadhi ya miradi walio wekeana mkurugenzi mtendaji TANDARIkutoka kituo cha uwekezaji tanzania amewapongeza wana habari kwa ushirikiano . mkutano huu umefanyika jijini dar es salaam kwenye ukumbi wa mikutano ya kimataifa wa mwalimu nyerere  .wafanya biashara mia nne watanzania wameuzuria na ajira elfu themanini na tano zitapatikana kwa watanzania 

Monday 8 May 2017

CHAMA CHA A.C.T.WAZARENDO KIMEMPONGEZA RAIS JOHN JOSEFU POMBE MAGUFULI KWA ATUA ALIO ICHUKUA KWENYE VYETI FEKI

Haya amezungumza katibu mwenezi KADO SHAIBU pia chama kimemtaka rais haakiki vyeti vya wabunge,madiwani,wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa kwani nao wana vyeti feki kwakuto akiki vyeti vyao ni kusigina katiba ya tanzania

habari picha na ALLY THABITI

NA HII NDIO RIPOTI ILIO ZINDULIWA NA HLRC KWENYE UKUMBI WA MAKUMUSHO YATAIFA JIJINI DAR ES SALAAM


NA HAPA WAKIZINDUA RIPOTI YA HLRC

Kupitia ripoti hii watanzania watajifunza mengi na inaonesha mikoa ya nyanda magharibi inaongoza kwa ukatiri wa kijinsia

habari picha na ALLY THABITI

MGENI RASMI AMBAYE NI JAJI WA TANZANIA AMESEMA ATASHIRIKIANA NA SERIKALI KUONDOA SHERIA KANDAMIZI

 
Haya amezungumza kwenye uzinduzi wa ripoti ya HLRC miongoni mwa sheria ambazo zitafanyiwa malekebisho ni  sheria ya ndoa za utotoni.sheria ya mtandao na sheria za huduma za habari. ametoa wito kwa taasisi zishirikiane kutokomeza ukatiri wa kijinsia pamoja na haki za binadam hamesema haya kwenye uzinduzi wa ripoti ya HLRC jijini dares salaam kwenye ukumbi wa makumbusho ya taifa

habari picha na ALLY THABITI

MWENYEKITI WA BARAZA LA WADHAMINI LAKITUO CHA MSAADA WA KISHERIA H.L.R.C AMEITAKA SERIKALI IKOMESHE UKATIRI WA KIJINSIA

 
Amesema haya kwenye uzinduzi wa ripoti ya shirika la HLRCambako inaonekana mimba za utotoni,ubakaji,na urawiti nivitendo ambavyo vimekithiri kwa kiasi kikubwa nchini tanzania haya yamebainishwa na ripoti ya HLRC kupitia ripoti hii ameiomba serikali kuyatokomeza haya maswala mkutano huu umefanyika jijini dar es salaam  kwenye ukumbi wa makumbusho ya taifa posta

habari picha na ALLY THABITI

PATRICK KUSIGA WA TICTS AWAPONGEZA CLOUDS KWA KUAANDAA BONANZA LA WAFANYA KAZI

Mashindano haya yameweza kuwakutanisha wafanya kazi wa makampuni mbalimbali hivyo wamejenga uhusiano mkubwa na makampuni hayo

habari picha VICTORIA STANSLAUS