Thursday 29 July 2021

CHUO KIKUU HURIA YATOA ELIMU KWA WATU WENYE ULEMAVU BULE


 Dr Omary Mkurugenzi wa Masoko wa Chuo Kikuu Huria amewataka watu wenye Ulemavu wa wa kutokuona wajitokeze Kwa wingi kusomea Tehama  bule kwani kuna watu wasio ona wamesomea Tehama kwenye Chuo Chao na wamehitimu vizuri . 

Na wanauwezo wa kutumia Compyuta na Wana uwezo wa kuperuzi kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii Kwa kutumia simu janja.

Dr Omary amewataka watu kujitokeza kwenye Maonyesho ya Vyuo Vikuu viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dsm Na watembelee Banda la Chuo Kikuu Huria ili waweze kujisajili .

Kwa Mawasiliano zaidi 2668762 

Habari picha na Ally Thabiti


CHUO KIKUU CHA MZUMBE CHAFUNGUA MILANGO


 Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chuo Kikuu cha Mzumbe Rose Joseph amesema Chuo Chao wanatoa elimu,utafiti,ushauri na huduma kwa jamii .

Ivyo amewataka watu Kama kuna changamoto zinazowakabiri za kiuchumi watoe taarifa za kimaandishi kwenye Uongozi wa  Chuo Kikuu cha Mzumbe  ili waweze kuzitatuwa.

Pia Chuo Kikuu cha Mzumbe kinatoa Mafunzo ya Ujasilia Mali Kwa jamii na uwafikia makundi ya watu wenye Ulemavu na miundombinu ya Chuo Kikuu cha Mzumbe ni rafiki Kwa watu wenye Ulemavu .

Amewataka watu kujiunga na Tawi la Dsm la Chuo Kikuu cha Mzumbe eneo la Tegeta kwani mazingira ni wezeshi na rafiki kwaajili ya kujisomea . Ambako Tawi ili linauwezo wa wa kukuwa Wanafunzi elfu 1500 na kozi zinazotolewa ni nzuri .

Rose Joseph amewataka watu kujitokeza kwenye Maonyesho ya Chuo Vikuu  viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dsm Na watembelee Banda la Chuo Kikuu cha Mzumbe ambako atapata nafasi ya kujiunga na Chuo hiki, Kwa Mawasiliano +255689455588 or ±255735455588/ +255736455588. Email:dcc@mzumbe.ac.tz or www.dcc.mzumbe.ac.tz.

Habari picha na Ally Thabiti 

Wednesday 28 July 2021

CHUO KIKUU CHA WAISLAM MOROGORO CHAJA KIVINGINE

 Hamadi Suremani Afisa Habari Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro amewataka watu kujiunga na Chuo Chao kwani gharama zao na nafuu . Wanatoa Mafunzo yenye Uweredi huku wakifundisha Lugha ya Kichina bule.

Ambako Lugha hii ya Kichina  imepelekea  Wanafunzi wao kupata Ajira za mmoja Kwa mmoja kwenye Kampuni za wachina .

Hamadi Suremani  amesema Chuo cha Waislam Morogoro kutokana na mabadiliko ya  kiteknolojia  Mafunzo wanatoyatoa yanaendana na Kasi ya teknolojia kwani wanatumia vifaa vya kisasa kwaajili ya kufundishia .

Ivyo ametoa wito kwa kwa  kujiunga na Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro na Kwa sasa wanapatikana kwenye Maonyesho ya Vyuo Vikuu ndani ya viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dsm.

Habari na Ally Thabiti

WATU WAFUNGULIWA MILANGO SEKTA YA MABENK


 Mratibu wa Mafunzo ya Muda Mlefu wa Chuo cha Bank of Tanzania Academy  Mlowe Airenus. amesema kutokana na changamoto  za  upungufu wa wataaram kwenye mabenk  Ndio maana wameamuwa Chuo cha Bank of Tanzania Academy kilichopo jijini Mwanza kutoa Mafunzo ya kibenk .

Mlowe Airenus ameapongeza Uongozi wa BOT Kwa kutoa elimu kwani Sekta ya kibenk itapiga atuwa kubwa.

Ivyo ametoa Rai watu waweze kuchangamkia fursa hii kwani wataweza kuajiliwa Kwa haraka zaidi Kwa mawasilihano piga namba 0768 248 524 amesema haya kwenye Maonyesho ya Vyuo Vikuu viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dsm .

Habari picha na Ally Thabiti


CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO (SUA) CHABAINISHA MIKAKATI MIZITO


 Mkuu wa Kitengo cha Ugani Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo   Dr Innocent Babili  amesema katika kuelekea tanzania ya viwanda wanawaandaa vijana Kwa kuwapa elimu bora ili kukidhi matakwa na  malengo ya serikali.

Ivyo amewataka watu kujiunga na Chuo Chao kwani wabaweza kujiajili na kuajiliwa baada ya jumaliza Masomo.  

Chuo Kikuu cha  Sokoine cha Kilimo  kina Matawi 3 Tawi la Mizengo Pinda Mkoa wa Katavi,Mahlangu Mazimbu Morogoro na Moringe Sokoine. Ametoa wito kwa wanaotaka kujiunga ambao wanaotaka kupata Ujuzi mbalimbali bila kujali viwango vyao vya elimu wanakalibishwa. 

Dr Innocent Babili amesema haya kwenye Maonyesho ya 16 ya Vyuo Vikuu viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dsm .

Habari picha na Ally Thabiti

MKURUGENZI WA TEBETHMENTORS ATANGAZA FURSA ZA KIMASOMO

 

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE KUWAFIKIA WENYE ULEMAVU KUHUSU CORONA


 Mkuu wa Wilaya ya Temeke Joketi Mongero amesema watatoa elimu Kwa watu wenye Ulemavu kwaajili ya kujikinga na kujikinga na ugonjwa wa Corona.

Pia amevitaka Vikosi vya Ulinzi na Usalama kuanzia tarehe 1mwezi8 mwaka 2021 kusimamia daladala zote watu wakae levositi. Amewapongeza Viongozi wa Dini kupitia Baraza la Maaskofu namba wanavyowaelimisha waumini wao jinsi ya kulinda na kujikinga na Corona .

Ametoa wito kwa watanzania na wasio watanzania waikubali Chanjo ya Corona nawawe tayari kuchanjwa.

Habari picha na Ally Thabiti

Tuesday 27 July 2021

CHUO KIKUU ZANZIBAR CHAMUUNGA MKONO RAIS WA ZANZIBAR


 Sultan Said  Omar Muhadhiri Maaisizi Chuo Kikuu cha Zanzibar amesema wanamipango ya kuandaa vijana wa Zanzibar katika kuelekea Uchumi wa Bluu ambako mpaka sasa wanawajengea uelewa watu wa Zanzibar  umuhimu na faida ya Uchumi wa Bluu.

Pia Sultan Said Omar amempongeza rais wa Zanzibar Kwa kuanzisha miradi mikubwa ya bandari . Amewataka watu kujitokeza Kwa wingi kwenye Maonyesho ya Vyuo Vikuu viwanja vyammnazi mmoja  jijini Dsm   Na watembelee Banda la Chuo Kikuu cha Zanzibar  .

Ambako watasajiliwa Kwa ngazi ya Cheti,Stashahada,Shahada,Uzamiri na Uzamivu kwamawasilihano +255 777 431 623/0777 706 260 Unguja, 0776 384 853 Pemba.,0658 085 783(Postgraduate)  E- Mail admission@zanvarsity.ac.tz,or info@zanvarsity.ac.tz.

Habari na Ally Thabiti

TBC KUKUZA WAANDISHI WA HABARI

 Mkurugenzi wa TBC  Ayubu Chacha Rioba amesema Lengo la kutoa Tuzo Kwa Wanahabari ambapo wapo Vyuoni kwaajili ya kuwatia moyo na kuwaongezea Ujuzi .

Habari na Ally Thabiti


BARAZA LA MAASKOFU LAJA NA MIKAKATI DHIDI YA CORONA

 Mwenyekiti wa Bakwata wa Almashauri kuu ya Taifa shehe  Saudi Mataka amesema wamekubaliana Kwa pamoja Viongozi wrote wa Kidini kutoa elimu Kwa jamii namba ya kukabiliana na Corona Tanzania .

Name Nerisoni Kisale amewataka watanzania kuikubali na kuipokea Chanjo ya Corona .Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Temeke  Joketi Mongera amewapongeza Viongozi wrote wa Kidini Kwa kukutana kwenye Makao makuu ya Baraza la Maaskofu Kurasini jijini Dsm kwaajili ya kuweka mbinuna mikakati ya kukabiliana na Corona kwenye Misikiti na Makanisa.

Pia Joketi Mongera amesema watu wenye Ulemavu watapewa elimu ya kujikinga na Corona.

Habari na Ally Thabiti 

Monday 26 July 2021

CHUO CHA UKUTUBI NA UHIFADHI NYARAKA CHAFUNGUA MILANGO

 Mkutubi na Muhifadhi Nyaraka Theresia Kayumba amesema watu wajitokeze Kwa wingi kujiunga na Chuo cha  Ukutubi na Muhifadhi Nyaraka ambako Chuo hiki kipo Kibaha Mkoa wa Pwani .

Kwa ngazi ya Cheri na Diploma ghamama ni nafuu zakujiunga pia baada ya kumaliza Masomo fursa za kuajiliwa ni nyingi Kwa mawasilianozaidi piga +255 023 2440501/+255737975981/0714259997 Barua Pepe slads@tisb.go.tz: Tovuti www.slads.oc.tz

Bi Theresia Kayumba amewataka watu kutembelea Banda la Chuo cha Ukutubi na Muhifadhi Nyaraka kwenye Maonyesho yalioandaliwa na TCU viwanja vya Mnazi mmoja jijin Dsm

Habari na Ally Thabiti

CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI CHAWAFUTA CHOZI WAJASILIA MALI

 Ernist Hizza Mhadhiri Mkuu wa Idara ya Udaili na Utunzaji wa Kumbukumbu za Wanafunzi Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi .amesema kwakutambuwa umuhimu wa Wajasilia mali wameamuwa kuzirejea kozi 11.

Lengo Kuwajenga na Kuwainua Wàjasilia Mali iliwaweze kufanya biashara zao Kwa kuzingatia kanuni,taratibu za biashara. Pia kozi hizi zitasaidia kujiajili na kuajiliwa Kwa Wahitimu wa Ujasilia Mali.

Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi kina Matawi kwenye Mikoa 13 kozi zinazotolewa .Certificate in Accounting and Finance,Certificate in Coffee Quality and Trade,Certicate in Enterprise Development na zinginezo .

Diploma in Microfinance Management,Diploma in Business Enterprise Management, Diploma in Library and Information Science na zinginezo .

Bachelor of Accounting and Finance,Bachelor of Accounting and Taxation,Bachelor of Cooperative Management and Accounting na zinginezo.

Pia wanatoa Postgraduate , Master na PhD by Research .Kwa maelezo zaidi piga namba +255 272 754401 Fax +255 272 750 806 .E - mail info@mocu.ac.tz na Website www.mocu.ac.tz.

Amesema haya kwenye Maonyesho ya Vyuo Vikuu viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dsm.

Habari na Ally Thabiti

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR

 Khadija Sadiq Mahumba Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Masoko amewataka watanzania na wasio watanzania kujitokeza Kwa wingi kwenye maonyesho ya Vyuo Vikuu yalioandaliwa na TCU viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dsm.

Ambapo kwenye Banda la Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar wataweza kusajiliwa na kupata fursa ya kusoma kozi mbalimbali Kwa ngazi ya Cheri zipo 10, Diploma25, Bachelor18, Masters 8 na Phd1.

Ambapo kozi zote jumla zipo 62 Bi Khadija amesema watakuwa na ploglam ya Uchumi wa Bahari.pia Wana kozi za Kilimo  amesema haya kwenye Maonyesho ya Vyuo Vikuu viwanja vya Mnazi mmoja jijin Dsm.

Habari na Ally Thabiti


Sunday 11 July 2021

BILIONI 570 KUNUFAISHA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

 

Afisa Jonathan Manase kutoka bodi ya MKopo kwa wanafunzi wa  elimu ya Juu, bajeti bilioni 570 itasaidia wanafunzi wa  elimu ya juu kuwasaidia wanafunzi laki 1 na elfu 60.

Bodi yampongeza Raisi Samia Suruhu Hassan kwa kutenga Bajeti ya kihistoria kwenye bajeti ya mikopo ya elimu ya juu tangu kuanzishwa kwa bodi ya mkopo tangu mwaka 2005 haijawahi kutengwa bajeti kubwa kwenye bodi ya mkopo kuongeza bajeti ya asilimia 22.8. Amewataka wanafunzi kufuata miongozo ya mikopo elimu ya juu wahakiki vyeti vyao vya kuzaliwa au vifo

Amesema haya kwenye Maonyesho ya 45 ya sabasaba

habari na Ally Thabith 

STAMICO YAWAFIKIA WATU WENYE ULEMAVU KWENYE SEKTA YA MADINI

 



Geofrey Meena amesema STAMICO imeweza kuwafikia wachimbaji wa madini wenye ulemavu wa uziwi kwakuwapa elimu ya uchimbaji na namna ya kujikinga na maafa kwenye migodi ya madini pia STAMICO inafanya ujenjuaji wa dhahabu lengo kuiongezea thamani Zahabu yetu nae katibu wa wachimbaji wenye uziwi ameipongeza STAMICO kuwatengenezea mazingira rafiki katika uchimbaji.

Amesema haya kwenye maonyesho ya 45 kwenye viwanja vya sabasaba 

habari picha na Ally Thabith

WAKALA WA MAJENGO WAJIVUNIA

 

Kaimu Meneja Mawasiliano na masoko Fedrick Kalinga amesema TBA wapo mbioni kukamilisha nyumba za magomeni kota pia mradi wa bunju umekamilika kwa kiwango kikubwa uku wakijivua kuwa na mashine za kisasa na zenye ubora amesema haya kwenye maonyesho ya 45 ya sabasaba.

Habari picha na Ally Thabith

CHUO KIKUU CHA CATHORIC MBEYA CHAJA KUKOMBOA WATANZANIA


Muhaziri wa chuo kikuu cha Cathoric Mbeya anawataka wajitokeze kwa wingi kujiunga na chuo chao kwani wanatoa elimu bora ambako kwa upande wa degree ziko nne, ngazi diploma kumi, ngazi ya certificate 10. Pia amewataka tarehe 26 mwezi wa saba wajitokeze viwanja vya mnazi mmoja kwenye maonyesho ya TCU.

Habari picha na Ally Thabith

NDC YAWAFUTA CHOZI WAKULIMA

WAaziri wa viwanada na biashara Pro Kitila Mkumbo amesema NDC wametatua changamoto za wakulima zilizo kuwa zikiwakabili kwa kuja na tera lenye uwezo wa kubeba tani tano ambako tera hili lina ubora mkubwa na linauzwa kwa gharama nafuu pia wanaohitaji kukopa wanakopeshwa, waziri amezipongeza taasisi za CARMATEC, TEMDO na KMTC.

Uzinduzi hu umefanyika kwenye maonyesho ya 45 viwanja vya sabasaba

Habari picha na Ally Thabith

AYUBU NDEE MTAFITI MWANDAMIZI WA TARI ATOA MBINU

 Mtafiti mwandamizi wa taasisi ya kilimo TARI AYUBU NDEE amewataka wakulima wakilimo cha mihogo na viazi vitamu kunumia mbegu kutoka TARI kwani zina ubora na watapata elimu ya kutoka ya namna ya kilimo bora.

Amesema haya kwenye maonesho ya 45 sabasaba

Habari na Ally Thabith

MAMA KUTOKA GEITA ATANGAZA DAGAA ZAKE

 Mwanamama kutoka mkoa wa geita amewataka watu kununua Dagaa zake ndani ya viwanja vya sabasaba na baada ya maonyesho kumalizika.

Habari picha na Ally Thabith


WATU WATAKIWA KUNUNUA MAJIKO JANJA

 Mwandisi Warda Ester Mash'mark amewaataka watu kununa majiko ya umeme kwa shilingi laki moja na elfu thelathin pia wanasufuria za bei nafuu kwa mawasiliano 0718754694 au 0785911260.

amesema haya kwenye maonyesho ya 45 sabasaba.

\Habari picha na Ally Thabith


JUBILEE YATOA DONGE NONO KWA WATEJA WAO

 Jubilee Life Insurance inatoa bima yenye kiwango cha juu hivyo watu wachangamkie fursa afisa masoko amesema haya kwenye maonyesho 45 ya sabasaba.

Habari picha na Ally Thabith



ERICK OMONDI ATOA TANO KWA NIC

 Mchekeshaji maarufu na balozi wa wilaya ya Temeke ameipongeza shirika la bima ya Taifa NIC kwa kutoa bima zenye kiwango za kimataifa kwani wanasaidia vijana kupata ajira amesema haya kwenye maonyeshoi ya 45 viwanja vya sabasaba.

Habari picha na Ally Thabith


TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO TARI YAMUUNGA MKONO RAISI SAMIA SURUHU HASSAN

Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya utafiti wa kilimoo TARI GEOFREY MKAMILO amesema wanafanya tafiti za kilimo lengo kutatua changamoto zinazo wakabili wakulima wakilimo Tanzania amesema TARI inavituo 17 vya utafiti na waweza kufanikisha kufanya tafiti mbalimbali za kilimo amabko zimesaidia wakulima lengo kumuunga mkono Raisi Samia Suruhu Hassan Katika kufika Tanzania ya viwanda ambako zaidi ya asilimia ya 65 ya malighafi zinazotumika viwandani zinatokana na kilimo na kilimo ni uti wa mgongo zimeweza kuwajili watu zaidi ya 75. amesema haya kwenye maonyeshgo ya 45 kwenye banda la Taasisi la utafiti wa kilimo TARI.

Habari picha na Ally Thabith




TANGA FRESH YAJA NAMAZIWA KABAMBE

 




Potasi malio amewataka watanzania na wasio watanzania watumie maziwa ya tanga fresh kwani yana ubora amesema haya kwenye maonyesho ya 45 viwanja vya sabasaba.

habari picha na Ally Thabith



TGNP YATOA NENO SIKUMIA YA SAMIA SURUHU HASSAN


 Mkurugenzi mtendaji wa TGNP mtandao LILIAN LIUNDI amesema wanampongeza Raisi Samia Suruhu Hassan Ndani ya siku 100 ameweza kutatua changamoto ya maswala ya kijinsia.

Habari picha na Ally Thabith



CRDB YAMWAGA MAPEMA

 

Bank ya CRDB imeamua kutoa mikopo kwa makunidi ya ulemav, Vijana na wanawake kwa riba nafuuu lengo kuwakwamua kiuchumi.

Habari picha na Ally Thabith


Friday 9 July 2021

ABDALLAH MKWAMBA ATOA NENO


 ABDALLAH MKWAMBA mfugaji Chaza awataka watanzania wafuge Chaza iliwapate Madini Ruby amesema haya kwenye maonyesho ya 45 ya Sabasaba jijini Dar es salaam.

Habari Picha na 

Ally Thabiti

MIKAKATI YA KUZIBITI MAGONJWA YA KOROSHO


 Afsa Kilimo mtafiti mwandamizi wa kituo cha Naliendele STANSLAUS LILAI amesema wanafanya jitihada za kuwasaidia wakulima wa korosho kukabiliana na magonjwa ya (1) BLAITI (Leaf and Nut Blight) (2) DIBEKI (Diback) (3) Ubwiri Unga (Powdery milden) (4) Chule (Anthracrote) na hizi ndiyo dawa zake nazo ni:-  (1) Biolojia (2) Usafi wa shamba (3) Matumizi sahihi ya viwatilifu vilivyosajiriwa na TPRI. 

Amesema haya kwenye maonyesho ya 45 kwenye viwanjwa vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Habari Picha na 

Ally Athabiti

TEITI YAWA NA UWAZI MKUBWA


 Erick Ketagory Afsa msimamizi wa fedha TEITI amesema wanatoa taarifa zao za Madini, Mafuta na Gesi asilia kwa wananchi lengo kutoa uwazi na ukweli namna rasilimali hizi zinavyowanufaisha wananchi pia taarifa zao wamechapisha kwa maandishi ya Nukta nundu kwa ajili ya wasiona.

Amesema haya kwenye maonyesho ya 45 kwenye viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Habari picha

Victoria Stanslaus

MTAALAMU WA VIKOI AIPONGEZA SIDO


 Mzee ambaye anatengeneza Vikoi amesema anaipongeza Sido kwa kuweza kumpa hujuzi na kumtafutia masoko ya kuuza vikoi vyake na sasa anapatikana Goba amesema haya kwenye maonyesho ya 45 kwenye viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Habari Picha 

Ally Athabiti

Thursday 8 July 2021

WATU WATAKIWA KUKUZA THAMANI YA MAZAO

 Mdau wa kilimo amewataka watanzania kukuza thamani kwenye mazao yao ambapo uchumi wao utakuwa kwa kiasi kikubwa.

amesema haya kwenye maonyesho ya 45 ya sabasaba 

Habari picha na Ally Thabith


CHAMA CHA WABANGUA KOROSHO WAKUBWA CHATOA YA MOYONI VIWANJA VYA SABASABA

Bahati Mayoma Mwenyekiti wa Chama cha wabungua Korosho wakubwa amesema serikali ifanye jitihada za kuhahakisha kuwa korosho zinabanguliwa nchini Tanzania Pia amewataka wabangua korosho wawe na mikakati imara ili na wao wawe na mitaji mikubwa ya kununua korosho.

Amesema haya kwenye maonyesho ya 45 ya Sabasaba

Habari picha na Ally Thabith


EAST WEST SEED YAJA NA MIKAKATI MIZITO



 
Daniel Kabaka Afisa kilimo kiongozi wa East West Seed amesema huduma wanazo zitoa ni bora na nzuri pia mikakati yao kutatua changamoto zinazo wakabili wakulima kwakuwapa elimu na mbinu mbalimbali za kilimo.

Amesema haya kwenye maonyesho ya 45 ya sabasaba.

Habari picha na Ally Thabith


WADAU WAWATAKA WATU KUCHANGAMKIA FURSA

Kama inavyoonekana pichani kiongozi atuonyesha maana ya kutumia magambuti kwenye shughuli mbalimbali kwaajili ya usalama kwenye maonyesho ya 45 ya sabasaba.

Habari picha na Ally Thabith


TIRDO YAMUUNGA MKONO RAISI SAMIA SURUHU HASSANI


 Mtaalam wa mifumo ya ICT wa TIRDO amesema kuwa wamebuni mifumo mbalimbali ambayo itasaidia katika viwanda nchini Tanzania pia wameingia mkataba na Taasisi mbalimbali lengo kukuza na kuendeleza juhudi zinazo fanywa na TIRDO kwenye taasisi hizo, amesema pia ubunifu zinazofanywa na TIRDO zinasaidia kwa kiwango kikubwa changamoto wanazokutana nazo watu wenye ulemavu.

Amesema haya kwenye maonyesho ya 45 ndani ya viwanja vya sabasaba.

Habari picha na Ally Thabith


MSIMBAZI YATOA HUDUMA ZA KIBINGWA ZA MACHO

 



Mfanyakazi wa Msimbazi eye Center Limited amewataka watu kujitokeza kwa wingi viwanja vya sabasaba kwenye banda lao kwaajili ya kupima macho kwa bei nafuu pia wanauza miwani kwa gharama ndogo sana baada ya sabasaba kumalizika wanapatikana mtaa wa rumumba na amani pia wanapatikana msimbazi centre.

Habari picha picha na Ally Thabith


SILVERLAND YAUZA VIFARANGA BORA VYA KUKU

 Afisa wa Silverland amewataka watu wajitokeze kwa wingi katika kununua vifaranga vya kuku na chakula cha kuku vya kampuni yao kwani bidhaa zao zina ubora mkubwa. Amesema haya kwenye maonyesho ya 45 ndani ya viwanja vya sabasaba.

Habari Picha na Ally Thabith



SHIMONO YAWAITA WATU KUNUNUA BIDHAA ZAO

Mello kutoka kampuni ya shimono amewataka watanzania kujitokeza kwa wingi kwenye viwanja vya sabasaba kununua bidhaa za shimono zikiweo pasi, Juice, na bidha nyinginezo. amesema haya kwenye maonyesho 45 kwenye viwanja vya sabasaba.

Habari picha na Ally Thabith

LATRA KUZIBITI AJALI

 


Fatuma kutoka LATRA CCC Dar es Salaam wanatoa elimu kwajamii kwanjia ya vipeperushi, kwa vyombo vya habari na makundi mbalimbali ya wanafunzi lengo kuzibiti ajali katika jiji la Dar es Salaam. Pia wanawafikia walemavu wa aina zote huku akiwataka Watanzania na wasio kuwa watanzania kumbelea banda la jakaya kikwete kwenye maonyesho ya 45 viwanja vya sabasaba ili wapate elimu kutoka LATRA.

Habari picha na Ally Thabith




Sunday 4 July 2021

Chuo cha ualimu wa VETA yatoa mafunzo yakimkakati


SOPHIA CLEEMNT TUKA-SENIOR TUTOR amewataka watu kujitokeza kwa wingi kwenye chuo cha ualimu wa VETA MOROGORO watu wajitokeze kwa wingi ili wapate kuwa walimu wa vyuo vya VETA kwani kozi zinazotolewa zinaendana na mipango mikakati ya Rais Samia Suruhu Hassan Tanzania iwe ya viwanda pia wanakozi tatu huku wakizingatia kuwaanda walimu ambao watakao kuwa wanafundisha watu walemavu wa aina mbalimbali amewataka watu kuchangamkia fursa wakuwa waalimu wa vyuo vya VETA, amesema haya kwenye maonyesho 45 ya sabasaba ndani ya viwanja vya sabasaba

habari ya Picha na Ally Thabith

PATRICK KITOSI AWATAKA WATU KUTUMIA ASALI

 



PATRICK KITOSI wa VETA dakawa anaishukuru VETA kwakumpa ujuzi wanamna ya kulina asali na namna ya kuhifadhi pia veta dakawa imempa ujuzi namna ya kutengeneza mashine ambazo zinatengeneza sumu yakutibu wagonja ya Kansa na neva ambazo zinauzwa laki tano na laki saba pia kunamavazi pamoja na mizinga na mashine ya kulina asali VETA DAKAWA wanauza hivyo wamewataka watu kutembelea kwenye maonyesho ya 45 kwenye banda la VETA ndani ya viwanja vya sabasaba.

kwa mawasiliano 0713783125

Habari picha na Ally Thabith



VETA YAJA NA MWARUBAINI WA UGONJWA WA UTI

 

ALLY ISSA Mwalimu wa maabara chuo cha ufundi stadi VETA  chang'ombe Dar es Salaam amesema ugonjwa wa UTI umekuwa ugonjwa sugu na hatari nchini Tanzania hivyo yeye ameamua kuja na dawa ambayo inasaidia kwa kiwango kikubwa kutibu ugonjwa huu wa UTI mpaka sasa mkoa wa Dodoma na Dar es Salaam dawa hi imetumika katika kutibu maswala ya UTI na mafanikio ni makubwa pia TMDA imesema watanzania na wasio watanzania waitumie dawa ya aina ya TOILET SEAT SPRAY DISINFECTANT kwani ni nzuri na inauwa bacteria ya UTI amewataka watu kutembeleea banda la veta kwenye maonyesho ya 45 ndani ya viwanja vya sabasaba.

Habari picha na Ally Thabith 




MWANDISI BUGALAMA KULWA ATOA MOYONI KWA SIDO

 



BUGALAMA KULWA kutoka kionda Morogoro anaishukuru SIDO kwa kumpa elimu na ujuzi kwa namna ya kutengeneza mashine za aina mbalimbali ambako imemsaidia kufungua kampuni inayo itwa INTERMECH COMPANY LIMITED hivyo anawaomba SIDO waendelee kutoa ujuzi kwa vijana wote Tanzania, pia ametowa wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi SIDO ili kuchangamkia fursa Mbalimbali kwa wanaohitaji mashine zake wampigie kupitia 0756374849. au watembelee viwanja vya maonyesho ya sabasaba


Habari picha na Ally Thabith 



SIDO YAMUUNGA MKONO RAISI SAMIA SURUHU HASSAN

 


SEBASTIAN MROPE MSIMAMIZI WA TEKNOLOJIA NA UBUNIFU SIDO

Amesema katika kumuunga mkono Raisi Samia Suruhu Hassan SIDO inafanya ubunifu wa Teknolojia Mbalimbali zikiwemo Teknolojia ya usindikaji wa mazao ya kilimo kwa kubuni mashine mbalimbali, pia SIDO inatoa elimu kwa watanzania namna ya kuunda na kutengeneza mashine.

Mpaka sasa SIDO inavituo vya kuendeleza Teknolojia kwenye Mikoa Saba ikiwemo Mkoa wa Lindi ambako kuna machine za kubwangua korosho, kusindika mihogo, na Chumvi, Pia Iringa Kuna mashine za mafuta za mbegu mbalimbali, Mbeya kuna mashine za mahindi, Kigoma kuna mashine za kutengeza mafuta ya mawese, Arusha Mashine za Mbao, Shinyanga Mashine za Ngozi na Kilimanjaro mashine za matunda.

Sebastian Mrope amesema lengo la SIDO kuwasaidia watanzania waweze kutengeneza bidhaa bora ili wajikwamue kiuchumi. Hivyo amewataka watu kutembelea banda la SIDO kwenye maonyesho ya 45 viwanja vya sabasaba.


habari picha na Ally Thabith



ALLY DAHAL AIPONGEZA SIDO

 



Fundi wa kutengeneza mashine za kutengeneza mifuko mbadala ameipongeza SIDO kwa kumpa ujuzi wa namna ya kutengeneza mashine ambako imemsaidia kwa kiasi kikubwa kujikwamua kiuchumi kwa kuuza mashine hizi pia imemsaidia SIDO kwa kumtafutia masoko yakuuza mashine na mifuko mbadala anayoitengeneza awewataka watanzania na wasio watanzania kutembelea banda la SIDO viwanja vya sabasaba kwenye maonyesho ya 45 ametoa wito kwa watu kujiunga na SIDO ili waweze kujikwamua kiuchumi.

Habari picha na ALLY THABITH