Sunday 30 April 2017

Afisa wa PSPF awataka wafanyakazi wa MOI wajiunge na mfuko wa PSPF

Abdul Njaidi amesema hayo kwenye mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa MOI lililofanyika wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam. Bwana Njaidi ameainisha mikopo inayotolewa na PSPF kuwa ni mikopo ya Nyumba, Viwanja, Elimu na Fao la uzazi kwa akina mama.

Tuesday 25 April 2017

VIONGOZI WA BARAZA LA BIASHARA WATOA TAARIFA YA KUZINDULIWA KWA BARAZA HILO TAREHE 05/05/2017 NA RAISI MAGUFULI

Katibu wa baraza la biashara la taifa Raymond Mbilinyi akiambatana na katibu mtendaji wa baraza la biashara sekta binafsi James Simbei wakiongea na waandishi wa habari juu ya uzinduzi wa baraza la wafanya biashara lililoundwa tarehe 03/12/2015 na Rais John Pombe Magufuli,( Picha na Mwandishi wetu )
pichani akikaribishwa na mkuu wa mkoa dodoma DANIELI RIGIMBANA rais JOHN POMBE MAGUFULI

RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AWASIRI DODOMA

rais JOHN POMBE MAGUFULI amewasiri mkoani dodoma kwaajiri ya sherehe ya miaka 53 ya muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar . kilele chake kitakuwa tarehe26 mwezi 4 /2017

MUFTI MKUU AWATAKA WATANZANIA WAWE MABALOZI WAKUKEMEA DAWA ZA KULEVYA

Mufti mkuu wa Tanzania Abubakary Zubery akiongea na wadau mbalimbali waliojitokeza kwenye kongamano la kupinga dawa za kulevya na kuwataka watanzania wote wawe mstari wa mbele kupinga matumizi ya dawa hizo pamoja na biashara haramu inayohusu mihadarati huku akiwapongeza viongozi mbalimbali walio mstari wa mbele katika kukemea dawa haramu za kulevya.

TAASISI ZA KIDINI ZATAKIWA KUPINGA DDAWA ZA KULEVYA

Waziri mkuu wa Tanzania akitoa pongezi kwa baraza la waislamu Tanzania BAKWATA kwa kuitisha kongamano lakupinga matumizi na biashara ya dawa za kulevya na akizitaka taasisi nyengine za kidini wafanye makongamano kama haya ili kuweza kuwanusuru vijana na athari zitokanazo na dawa hizo za kulevya huku pia wakitumia mikutano ya hadhara kuonya matumizi ya dawa hizo ambazo ni adui wa nguvu kazi ya Taifa. 

UVCCM WAKANUSHA UVUMI KUHUSU FIGISUFIGISU ZA UTEUZI WA JOKATE

Katibu mtendaji wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka akitolea ufafanuzi kuhusu habari za uzushi kuhusu uteuzi wa Jokate Mwegelo aliyekaa upande wa kushoto kuwa mwenyekiti wa uenezi na uhamasishaji wa vijana wa ccm na pia akielezea mafanikio ya miaka 53 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiwemo suala zima la kuimarika kwa demokrasia na maendeleo ya kiuchumi na kuimarisha idara mbalimbali ndani ya ofisi ya UVCCM.

WFP WARIDHIA KUFANYA KAZI NA SHIRIKA LA RELI TRL BAADA YA KURIDHISHWA NA MABORESHO YA SERIKA YA JPM

Pichani ni Michael Dunford mwakilishi mkazi wa shirika la chakula Duniani WFP akielezea kuhusu mipango mikakati yakuboresha mahusiano yakusambaza mazao mbalimbali ya chakula kwa kushrikiana na shirika la reli la taifa Tanzania TRL leo jijini Dar es salaam wakati wa kuzindua mpango huo

WFP WAINGIA UBIA NA TRL

Mkurugenzi wa shirika la Reli Masanja Kadogosa akizungumza na wanahabari kuhusu mpango mpya wa kusafirisha mazao ya mahindi kwa kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani WFP na kwa kuanza watasafirisha tani elfu saba kutoka Dar es salaama kuelekea Dodoma huku mzoigo huo ukiwa na thamani ya dola thelathini sawa na milioni moja shilingi za kitanzania. Picha na Ally Thabit

Saturday 22 April 2017

HAWA WACHEZAJI WASHIRIKI KWENYE TAMASHA KWENYE KATA YA KIRUNGULE WILAYA YA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM


MEYA AMPONGEZA DIWANI WA KATA YA KIRUNGULE

Meya wa temeke amempongeza diwani FERA wa kata ya kirungule kwakuzindua na kuanzisha kampeni ya tujuane natufaamiane ili tusaidiane ili kuweza kutatua changamoto za wananchi kwa haraka na kuweza kuibua vipaji vya vijana wa kata yake na kuwawezesha kuwakutanisha na wadau mbalimbali ili waweze kupata ajira meya ABDALA JAFARI CHAULEMBO amewapongeza wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha la leo na amesisitiza zoezi la kuibua vipaji litakuwa endelevu kwenye wilaya ya temeke amewataka wananchi wachangamkie fulusa kwenye matamasha yote uzizinduzi huu umefanyika kata ya kirungule wilaya ya temeke jijini  dar es  salaam

habari picha na  ALLY THABITI

DIWANI WA KATA YA KIRUNGULE AZINDUA KAMPENI YA TUJUANE NA TUFAAMIANE HILI TUSAIDIANE KATA YA KIRUNGULE

Diwani FERA wa kata ya kirungule amezindua kampeni hii ili wakazi wa kata yake watoe kelo zao ili watatuliwe kwa haraka pia amefanya ivi kwa ajili ya kuwashukuru wananchi wake na kuwakutanisha na wadau mbalimbali ili waweze kupata ajira ikiwemo kwenye kiwanda cha rasta na wenye vipaji vya michezo waweze kupata ajira mfano kwenye tim ya afrika liyoni  uzinduzi huu umembatana na bonanza la michezo kwenye kata ya kirungule wilaya ya temeke jijini dar es salaam          habari picha na VICTORIA STANSLAUS

HII NI PICHA YA PAMOJA

Baada ya mradi kuzinduliwa ripoti yake picha ya pamoja imepigwa na kuashiria kutumika kwa ripoti hii                  habari picha na ALLY THABITI

MWAKILISHI WA OFISI YA RAIS NA UTAWARA BORA AMESEMA HAYA

C-sema waweze kutumia sera ya zanzibar  ya mtoto ya miaka iliopita kwa kuanzisha vituo mbalimbali vya kukusanya maoni mwakilishi OMARI HAMISI JUMA amesisitiza elimu hii ya uraia itolewe tanzania kote amezungumza haya kwenye uzinduzi wa mradi wa utoaji ripoti kwenye hotel ya count yard .    habari picha na ALLY THABITI

MWAKILISHI WA WAKALA WA USAJIRI; UFIRISI NA UZAMINI RITA AMEWATAKA WATANZANIA KUSAJIRI VYETI VYA KUZALIWA

 
JAFARI MALEMA mwakilishi  wa rita amewataka watanzania waweze kusajiri vyeti vya kuzaliwa ili waepukane na vikwazo mbalimbali ikiwemo kupata nafasi za kazi na waweze kutambulika kuwa wao ni watanzania amezungumza haya kwenye uzinduzi wa mradi wa ripoti ya c-sema kwenye hotel count yard       habari picha na ALLY THABITI

AFSA MAWASILIANO WA C-SEMA AELEZA JUU YA UTOAJI UJUMBE KWA NJIA YA SIMU

ITANISIA VISENTI afsa mawasiliano wa c-sema amesema kwenye wilaya ambako mradi ulipita wamekusanya maoni kwa kutumia simu ya mkononi ambako wayu waliandika ujumbe mbalimbali na ameziomba halmashauri zingine mradi huu ukipita watoe ushirikiano aya amezungumza kwenye uzinduzi wa ripoti kwenye hotel ya count youdy jijini dar es salaam            habari picha na ALLY THABITI

C- SEMA YAZINDUA RIPOTI YA MRADI WA ELIMU YA KIRAIA JINSI YA KUPATA HUDUMA KWENYE HALMASHAURI KWA NJIA YA SIMU

 
Mkurugenzi wa c-sema amesema ripoti imebaini changamoto mbalimbali kwenye halmashauli hapa nchi zikiwemo ndoa za utotoni;mirathi; mimba za utotoni; mirathi;migogoro ya ardhi pamoja na upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa JOELI KIIYAamesema mradi huu umefanyika kwenye wilaya zifuatazo shinyanga; kiera; bagamoyo; kahama;karagwe;chalinje pamoja na maswa ametoa wito jamii iweze kutumia elimu ya uraia kupata huduma kwenye halmashauri    hili waondokane na migogoro ya ardhi; ndoa za utotoni na changamoto zingine .                habari picha na ALLY THABITI

Thursday 20 April 2017

KATIBU WA DAWACKO AHACHA MAAGIZO

    
Katibu wa dawacko ahacha maagizo kwa viongozi wanaosimamia watu wasiolipia biri ya maji waweze kufuatiliwa ili waweze kulipa bili zao endapo wasipolipa basi waburuzwa mahakamani mkutno huu ulifanyika jijini dar es salaam kwenye ofice za dawacko        habari picha by ALLY THABITI

Wednesday 19 April 2017

KAMSHNA WA UHAMIAJI ATOA SIKU 90 KWA WAAJIRI KUAKIKI VIBARI VYA WAFANYAKAZI WAO

Tamko hilo amelitoa baada ya uzinduzi wa mfumo wa uhakiki wa vibari vya wafanyakazi wa kigeni doctar ANA PITA MAKAKALA amesema endapo awatajitokeza kuakiki watawaburuza mahakamani na ametoa wito kwa makampuni pamoja na taasisi wasiwatumie mawakala kupata vibari vya wafanya kazi wa kigeni na watatoa elimu kupitia vyombo vya habari  jinsi ya kutumia mfumo huu umezinduliwa jijini dar es salaam kwenye ofice za uhamiji zilizopo kurasini.                           habari picha na  ALLY THABITI

KAMISHNA WA UHAMIAJI AMEZINDUA MFUMO WA UHAKIKI WA VIBARI VYA WAFANYA KAZI WA KIGENI

 Doctar ANA PITA MAKAKALA amesema mfumo wa uhakiki wa vibari vya wafanya kazi nivya  kieletroniki utasaidia kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo vibari kutoka kwa wakati; kuzuia mianya ya rushwa na kuweza kutopotea kwa maduhuri pia amewaakikishia watanzania huduma hii itapatikana tanzania kote huzinduzi huu umefanyika jijini dar es salaam kwenye ofice za uhamiaji zilizopo kurasini                            habari picha na VICTORIA STANSLAUS

Saturday 15 April 2017

MKUU WA SHULE YA TAMBAZA ASII WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAWEZE KUPIMA AFYA ZAO

  
OSENI ZUBERI MAVUMBA amesema haya kwenye maafari ya kidato cha sita ya shule yatambaza ya kiislam wapime afya zao kabla ya mitiani itakayo anza tarehe 2 mwezi 5 elfu 2017 ili waweze kufanya vizuri  kwenye mitihani yao na wasome kwa bidii pia waweze kudumisha upendo kwenye jamii.    habari picha na VICTORIA STANSLAUS

SHEE ARU AMEWASII WANAFUNZI WAKIDATO CHA SITA WAWE NA MAADILI MEMA

Haya amezungumza kwenye maafari ya kidato cha sita shule ya sekondari tambaza ya kiislam shee ARU amewataka wafunzi waweze kujitambua;wajitolee kwenye shuguri mbalimbali za kijamii  na waweze kutoa elimu walioipata kwa wengine.           habari picha na ALLY THABITI

RISARA YAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA SHULE YA SEKONDARI TYA TAMBAZA YA KIISLAM

Uchache wa walimu; vitabu vya kusomea; vifaa vya kufundishia pamoja na uchache wa madarasa ni changamoto ambazo zipo kwenye shule ya sekondari ya tambaza ya kiislam haya yamebainishwa na mwanafunzi wa kidato cha sita licha ya kukabiliwa na changamoto wameweza kupata mafanikio ya kufauru vizuri nakuweza kuwasaidia wanafunzi wanao kosa maitaji muhimu ikiwemo sale za shule;vitabu pamoja na madafutariwakati anamkabidhi lisala mgeni lasmi anamuomba kutatua changamoto zinazo wakabili.shule ya sekondari tambaza ina jumla ya wanafunzi 310 kidato cha tano160 na walioitim kidato cha sita leo hii ni 150      habari picha na ALLY THABIT

HAJATI JOHA SIMBA MWENYE KITI WA WANAWAKE KANDA YA KASKAZINI AKIMKABIDHI CHETI MWANAFUNZI TAUSI RAMADHANI MOHAMMEDI WA KIDATO CHA SITA WA SHULE YA SEKONDARI YA TAMBAZA YA KIISLAM



MAARI YAKUKABIDHIWA VYETI VYA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA

Huyu ni miongoni mwa wanafunzi waliokabidhiwa vyeti kwenye maafari ya kiislam ya kidato cha sita shule ya sekondari ya tambaza jijini dar es salaam RAJABU MUSA amefurai kwa kukabidhiwa cheti.      habari picha na VICTORIA STANSLAU

Thursday 13 April 2017

RAIS AWAKISHISHIA WANANCHI WA PUGU NA WATANZANIA WOTE WATAPATA AJIRA.

Haya ameongea na wananchi wa eneo la pugu jijini dar es salaam baada yakumaliza kuweka jiwe la msingi na kukata utepe na amesema kuwa reli hii ikikamilika itasaidia kukua kwa uchumi wa nchi yetu ya tanzania reli hii ujenzi wake utaanzia dar es salaam hadi morogoro na hawamu zingine za ujenzi wa reli hii ya kati ya
kisasa zitatangazwa .habari picha ALLY THABITI

RAIS AKATA UTEPE WA UJENZI WA RELI YA KISASA ENEO LA PUGU JIJINI DAR ES SALAAM.

Habari picha na VICTORIA STANSLAUS

R AIS AWEKA JIWE LA MSINGI KWENYE UJENZI WA RELI YA KISASA

Rais JOHN POMBE MAGUFULI ameweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa reli ya kati 

Tuesday 11 April 2017

TIGO YAZINDUA HUDUMA YA KITABU APU

KAMPUNI TIGO KWAKUSHILIKIANA NA KAMPUNI YA JACSON GROUP  HUDUMA HIYO ITAWEZESHA WATU KUSOMA VITABU KWA KUTUMIA MTANDAO
WA SIMATI PHONE KWA GHARAMA NAFUU KWA SH500 HADI ELFU5000 MTANDAO HUU WA TIGO HUMEWAFIKIA WATU ZAIDI YA ELFU19 NA MIKOA ZAIDI YA MIKOA 22 HAYA YAMESEMWA NA MENEJA MAWASILIANO WA TIGO WEINDE SHISAELI.

NAE MKULUGENZI WA KAMPUNI YA JACSON GROUP AMETOA WITO KWA WAANDISHI WA VITABU WAUNGANE NAO NA WANAFUNZI WATUMIE FULSA HII KWANI ITAWASAIDIA KUFANYA VIZURI KWENYE MASOMO YAO NA KUFIKIA LENGO LA TAANZANIA KUWA NCHI YA VIWANDA HAYO YAMESEMWA NA KEVINI TWIKA MKULUGENZI WA KAMPUNI YA JACSON GROUP HUZINDUZI HUU HUMEFANYIKA MAKAO MAKUU YA TIGO YALIOPO MAKUMBUSHO JIJINI DAR ES S ALAAM

Sunday 9 April 2017

KATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF ASHTUKIA MPANGO WA KUTAKA KUMUONSOA MADARAKANI KUPITIA RITA

ameyazungumza hayo leo jijin Dar es salaam mbele ya waandishi wa habari akiwa amefuatana na viongozi mbalimbali na baadhi ya wafuasi wa chama chake, ndani ya Ramada Hotel alipofanya mkutano huo na waandishi wa habari




picha na Victoria Stanslaus

Saturday 8 April 2017

MKUTANO WA KAMATI ZA BUNGE WAFANA JIJINI DAR ES SALAAM

kamati za bunge wakati zikijadili namna yakuimarisha shirika la nyumba la taifa mkutano huo umefanyika katika ofisi za shirika la nyumba NHC jijini Dar es Salaam.

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KWA MIRADI MBALIMBALI YA MAJENGO

Jengo la ananasifu ni miongoni mwa majengo yaliyotembelewa na kamati ya bunge chini ya mwenyekiti wake HAJI MPONDA mwishoni mwa juma lililopita PICHA na VICTORIA STANSLAUS

MKUTANO WA TPDC

Picha ya pamoja iliyowakutanisha viongozi mbalimbali wa dini pamoja na madiwani katika kujadili masuala ya nishati na namna gani inaweza kuwanufasiha watanzania