Friday, 9 May 2025

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AIMIZA UTUNZAJI WA AMANI NA USALAMA WAKATI WA UCHAGUZI


 Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Tanzania Nyaoza awataka Wanachama,Wapenzi na Viongozi wa Vyama vya Siasa Kutunza na Kuilinda Amani iliyopo kipindi cha Uchaguzi na baada ya uchaguzi. 

Anesema haya kwenye mkutano mkuu wa chama cha NLD ambako chama hiki wanachama wake walipomchagua na kumpitisha Doyo Hassan Doyo  kuwa ndiye atakayepeperusha bendera ya urais ifikako mwezi wa kumi mwaka huu 1025 kwenye uchaguzi mkuu.

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

No comments:

Post a Comment