Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Tanzania Nyaoza awataka Wanachama,Wapenzi na Viongozi wa Vyama vya Siasa Kutunza na Kuilinda Amani iliyopo kipindi cha Uchaguzi na baada ya uchaguzi.
Anesema haya kwenye mkutano mkuu wa chama cha NLD ambako chama hiki wanachama wake walipomchagua na kumpitisha Doyo Hassan Doyo kuwa ndiye atakayepeperusha bendera ya urais ifikako mwezi wa kumi mwaka huu 1025 kwenye uchaguzi mkuu.
Habari picha na Ally Thabit Mbungo
No comments:
Post a Comment