Friday, 9 May 2025

WALIP MPIGA KATIBU MKUU BARAZA LA MAASKOFU WATIWA MBALONI

 Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam  Mulilo Jumanne Mulilo amethibitisha kuwa watu waliompiga na kumjeruhi Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Dkt Charese  Kitima wamekatwa na utaratibu wa kufikishwa Mahakamani unafanyika .

Ambako hivi karibuni eneo la Kurasini Makao Makuu ya Baraza la Maaskofu nchini Tanzania majira ya saa nne ya usiku watu hawa walifika eneo hili na kumshambulia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania.

Habari na Ally Thabit 

No comments:

Post a Comment