Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam Mulilo Jumanne Mulilo amethibitisha kuwa watu waliompiga na kumjeruhi Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Dkt Charese Kitima wamekatwa na utaratibu wa kufikishwa Mahakamani unafanyika .
Ambako hivi karibuni eneo la Kurasini Makao Makuu ya Baraza la Maaskofu nchini Tanzania majira ya saa nne ya usiku watu hawa walifika eneo hili na kumshambulia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania.
Habari na Ally Thabit
No comments:
Post a Comment