Mwanaharakati Mkongwe wa TGNP BI Subira ameitaka serikali ya tanzania kabla ya kupanga bajeti ni vyema kuwashirikisha wananchi wote kuanzia ngazi ya kaya ,kitongoji au Mtaa ,Kijiji,Kata,Tarafa,Wilaya,Mkoa na ngazi ya Kitaifa lengo kuwa na bajeti shirikishi .
Hamesema haya Makao Makuu TGNP eneo la mabibo jijini dar es salaam.
Habari na Ally Thabit
No comments:
Post a Comment