Friday, 13 June 2025

MJUMBE WA TGNP AIMIZA BAJETI YENYE USAWA WA KIJINSIA

 Mwanaharakati na Mjumbe wa TGNP Ana amesema serikali ya tanzania iakikishe bajeti wanazozipanga zizingatie usawa wa kijinsia .Kwani bajeti iliyowasilishwa na Waziri wa Fedha na Dr Mwigulu Mchemba yenye kiasi cha shilingi za kitanzania tilioni 56.49 ,kwa kiasi kikubwa aijazingatia misamaha ya kikodi kwenye taulo za kike,visaidizi vya watu wenye ulemavu na mengineyo.

Ametoa wito kwa Wanaharakati wa tanzania kuendelea kupaza sauti kwa serikali amesema haya makao makuu ya TGNP eneo la mabibo jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit Mbungo

No comments:

Post a Comment