Tuesday, 17 June 2025

MWENYEKITI WA CHAMA CHA CHAUMA AZIDIWA MAUTUTI

 Ashim Rungwe  Mwenyekiti wa Chama cha Chauma Maarufu Mzee wa Ubwabwa yupo  Maututi Mkoani Kilimanjaro Mjini Moshi na kupelekea kulazwa kwenye hospitali ya Kisms hali hii ya ugonjwa imemtokea kwenye zoezi la kukieneza na kukitangaza chama cha Chauma haya yamesemwa na mkuu wa Idara ya chama  cha Chauma John Mrema . 

Ambae amesema plesha na sukari vimepanda kwa Ashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa.

Habari na Ally Thabit Mbungo  

No comments:

Post a Comment