Monday, 16 June 2025

NCHI YA DRC KONGO YAJA NA MIKAKATI KABAMBE KWA TANZANIA


 Mkurugenzi Mkuu wa Uhamiaji nchi ya Drc Kongo Roland Kashwakale  amesema watahakikisha kudhibiti kwenye mipaka yao dhidi ya wahamiaji wanaotaka kuingia tanzania . Pia watakuwa wanafanya doria mara kwa mara na pindi watakapo wakamata watu wasifuata taratibu za kuingia tanzania  kupitia Drc Kongo sheria kali watachukuliwa amemuhakikishia Kamishina Mkuu wa Tanzania Dr Ana Makakala kuwa nchi ya Drc Kongo itatoa ushirikiano wao na kuimarisha ulinzi na usalama kwe nye mipaka ya nchi ya Drc Kongo na nchi ya Tanzania  kama wanavyoonekana kwenye picha ya pamoja viongozi hawa.

Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

No comments:

Post a Comment