Friday, 13 June 2025

TANZANIA YAWASIRISHA BAJETI YA KIMKAKATI

 Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Mchemba amesema bajeti alioiwasirisha bungeni jijini dodoma kiasi cha tilioni56.49 bajeti hii itamalizia miradi mbalimbali ya kimkakati na ile itakayoanzishwa . Bajeti hii fedha nyingi za ndani zitaendesha uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 bila kutegemea mataifa ya nje .

Habari na Ally Thabit Mbungo 

No comments:

Post a Comment