Saturday, 5 July 2025

PICHANI NI MAJIKO YA NISHATI MBADALA YANAYOPATIKANA KWENYE BANDA LA SIDO VIWANJA VYA SABASABA


Hama hakika  haya ni majiko yenye ubora na imara yanayotengenezwa na Sido ambayo yanatumia nishati safi ya kupikia  hivyo ni vyema watu wote kufika kwenye banda la Sido kwenye  viwanja vya Maonyesho ya sabasaba  ambako maonyesho haya ni ya 49 yanayofanyika Wilaya ya Temeke Jijini Dar es salaam. 

Habari picha na Victoria Stanslaus. 

No comments:

Post a Comment