Sunday, 13 July 2025

TIRDO YAJA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA


 Devid Langa Afisa Uhusiano  na Mawasiliano TIRDO  amesema wanatebgeneza na kupima majiko yanayotumia nishati mbadala vile vile TIRDO  inatoa mafunzo ya namna ya kutengeneza mkaa mbadala .,Mkaa huu auchafui mazingira kwani nishati yake ya kupikia ni safi na salama .

TIRDO imetoa mafunzo kwenye mikoa 12 juu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia pia  kwa upande mwingine TIRDO  inatoa mafunzo kwa watu wenye ulemavu wa aina zote  na kuwafanyia hatamizi amesema haya kwenye maonyesho ya Sabasaba ya 49 yaliofanyika jijini dar es salaam .

Habari picha na Victoria Stanslaus 

No comments:

Post a Comment