Wednesday, 4 October 2017

PICHANI WATENDAJI NA WAKUU WA IDARA WAMEJITOKEZA KUSIKILIZA RIPOTI ZA IDARA MBALIMBALI WILAYA YA KINONDONI

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

MKUU WA WILAYA AWATANGAZIA KIAMA MATAPELI

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni ALLY HAPI amesema atawachukulia atuwa kali matapeli wanao zulumu ardhi na nyumba za wajane pia amewataka madarali wote  kuacha utapeli .Pia amewataka viongozi wa kata zote za wilaya ya Kinondoni wawatumikie wananchi wao vizuri asa wanyonge na wawafichue matapeli wote . ametoa rai kwa wakuu wa idara mbalimbali kufanya kazi kwa bidii amesema haya wakati wa kukabiziwa ripoti za idara mbalimbali ofisini kwake

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

MIFUGO NI SHIDA WILAYA YA KINONDONI

Kiongozi wa idara ya mifugo wilaya ya Kinondoni amesema mifugo inazulura mno na kuwa chanzo cha uchafuzi wa mazingira wilaya ya Kinondoni. amemuomba mkuu wa wilaya ya Kinondoni ALLY HAPI awatafutie eneo ili wakikamata mifugo wapate sehemu ya kuiweka .licha ya kuwapa elimu wafugaji jinsi ya kutunza mifugo yao lakini awatekelezi ipasavyo

habari picha na  ALLY THABITI

IDARA YA MAZINGIRA WILLAYA YA KINONDONI YAKABILIWA NA CHANGAMOTO LUKUKI

Kiongozi wa usafi na mazingira wilaya ya Kinondoni ABILLU PETER  amesema ukosefu wa dampo,magari ya kubebea takataka na uhaba wa vifaa ni kikwazo kikubwa katika wilaya yake ya Kinondoni juu ya kusafisha mazingira  .amemuomba mkuu wa wilaya ya Kinondoni ALLY HAPI  kuwawezesha kipesa na kupata eneo la dampo ili wafanye kazi zao kwa wepesi . amesema haya wakati wa kutoa tathimini ya ali ya usafi wa mazingira mbele ya mkuu wa wilaya ya kinondoni  ALLY HAPI  ofisini kwake

habari picha na  ALLY THABITI

IDARA YA AFYA KUIPAISHA KINONDONI

Afsa afya  JOHN KIJUMBE  amesema wamejipanga kikamilifu katika idara yao ya afya kwa kudhibiti ugonjwa wa kipindupindu wilaya ya Kinondoni kwa kufukia madimbwi ya maji, kutoa elimu na  kupulizia dawa vyooni.pia wanamipango ya kukusanya kiasi kikubwa cha pesa  kwa watakao kiuka sheria za afya . Ivyo itasaidia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa mapato wilaya ya Kinondoni amesemaa haya wakati wa kuto tathimi ya afya wilaya ya Kinondoni mbele ya mkuu wa wilaya ya Kinondoni  ALLY HAPI  ofini kwake

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

GAVANA WA BENKI KUU YA TANZANIA AZITOLEA UVIVU SEKTA ZA KIBENKI

Gavana wa benki kuu ya Tanzania [ BOT]  BEENO NDURU  amezitaka sekta za kibenki zilizopo Tanzania ziwafikie wananchi wa ali za chini kwa kuwapa mikopo yenye mashariti nafuu. Pia zifanye tafiti kwenye kilimo kwaajili ya kupata  matatizo yanayowakabili wakulima . Lengo kumuunga mkono rais  MAGUFULI  kuelekea Tanzania ya viwanda


habari picha na ALLY THABITI

WATANZANIA WAASWA JUU YA FEDHA ZAO

Mkurugenzi mtendaji sekta za kibenki  amewataka watanzania  waache tabia ya kuweka pesa zao kwenye majumba yao  badala yake wapeleke benki kwaajili ya usalama

habari picha na ALLY THABITI