Angelina Mabula waziri wa ardhi nyumba na makazi amezifungia kampuni saba na zingine kumi na tano za upimaji ardhi kushindwa kutekelezwa mikataba.
Habari kamili na Ally Thabith
Angelina Mabula waziri wa ardhi nyumba na makazi amezifungia kampuni saba na zingine kumi na tano za upimaji ardhi kushindwa kutekelezwa mikataba.
Habari kamili na Ally Thabith
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akibonyeza kitufe kufunga geti li maji yaweze kujaa katika Bwawa la Mwalimu Nyerere hii leo Desemba 22, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mradi wa ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere unatoa taswira kuwa Watanzania wanaweza kujitengenezea mambo makubwa wao wenyewe bila kupata msaada kutoka sehemu nyingine.
Rais Samia ameyasema hayo hii leo Desemba 22, 2022 mara baada ya kushuhudia tukio la ujazaji maji katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na kuongeza kuwa licha ya uwepo wa changamoto kadhaa lakini hii leo nchi inaingia katika historia ambayo ilitarajiwa na kusubiriwa kwa muda mrefu.
Habari picha na Ally Thabit
Makamba ameyasema hayo hii leo Desemba 22, 2022 wakati akiongea katika tukio la ujazaji maji Bwawa la Mwalimu Nyerere ambao utashuhudiwa na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa, Vyama, Serikali na Wananchi, huku ukitarajiwa kusaidia uchumi wa nchi.
Habari picha na Ally Thabith
Amesema haya tarehe 19/12/2022
Waziri wa nishati January makamba nilipo muhoji tarehe 19/12/2022 alisema ifikapo tarehe 22.12.2022 Tanzania itaweka historia kwa kuweza kujaza maji kwenye bwawa la Mwalimu Nyerere hatimaye historia hiyo imeandikwa rasmi.
habari kamili na Ally Thabith
Waziri mkuu Kassim Majiliwa Kassim ameitaka Tanapa kutangaza mafanikio wanayoyapata.
habari kamili na Ally Thabith