Monday, 10 April 2023
MWENYEKITI CCM KATA YA KISUTU AELEZA MAMBO MAZURI
TUME YA MADINI YAWAGUSA WATU WENYE ULEMAVU
Mkurugenzi wa Biashara na Mazingira kutoka tume ya madini amesema leseni wanazozitoa wachimbaji madini wanazingatia makundi yote, pia amsema mkutano ulioandaliwa na STAMIKO itasaidia kukuza sekta ya madini.
Habari na ALLY THABITI
MENEJA MRADI GIZ ATOA NENO
TARURA WILAYA YA DODOMA YAJA KIVINGINE
NBS YAWAFUNDA WATENDAJI NA WENYEVITI WA SERIKALI ZA MITAA
Ofisi ya Taifa ya takwimu imekutana na watendaji na wenyeviti wa serikali za mitaa wa mkoa wa Dar es salaa lengo kueleza namna ya kutumia takwimu za sensa.
Habari na ALLY THABITI
RAIS KIKWETE USO KWA USO NA HAKI JINAI
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza tume ya haki jinai kwa kukusanya maoni kwa wadau mbalimbali, nae Waziri Mkuu Mstaafu Walioba pamoja na Paramaganda Kabudi wameitaka tume ya haki jinai kutoacha mawazo ya watu nae kwa upande wake Sheikh Issa Ponda pamoja na jaji mstaafu Miyayo wamesema kuwepo kwa tume ya haki jinai kutakuwa ni suluisho kwa kupatikana haki.
Habari na ALLY THABITI
SACP ATANGAZA VITA DAR ES SALAAM
SACP Kamanda Jumanne Mulilo wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema yeyote atakayejihusisha na ualifu jeshi la Polisi litamkamata na kumchukulia hatua kari.
Habari na ALLY THABITI