Monday, 10 April 2023

MWENYEKITI CCM KATA YA KISUTU AELEZA MAMBO MAZURI

Mwenyekiti wa CCM kata ya Kisutu amesema katibu wa CCM aliyemaliza muda wake wilaya ya Ilala amefanya mambo mema na mazuri.

Habari na ALLY THABITI

TUME YA MADINI YAWAGUSA WATU WENYE ULEMAVU

Mkurugenzi wa Biashara na Mazingira kutoka tume ya madini amesema leseni wanazozitoa wachimbaji madini wanazingatia makundi yote, pia amsema mkutano ulioandaliwa na STAMIKO itasaidia kukuza sekta ya madini.

Habari na ALLY THABITI

MENEJA MRADI GIZ ATOA NENO

Sudi Samwil Mejena Mradi wa GIZ amsema taasisi yao imetoa fedha kwa taasisi tatu za Kitanzania lengo waende wakakabiliane na mabadiliko ya Tabia ya nchi.

Habari na Ally Thabiti

TARURA WILAYA YA DODOMA YAJA KIVINGINE

Meneja wa Tarura wilaya ya Dodoma Mjini Emmanuel Mfinanga amesema wamejenga madaraja ya kutosha pamoja na makaravati pia wemejenga barabara kwenye kiwango cha rami na changarawe hayo ndiyo mafanikio waliyoyapata chini ya Rais Dr. SAMIA SULUH HASSAN.

Habari na ALLY THABITI

NBS YAWAFUNDA WATENDAJI NA WENYEVITI WA SERIKALI ZA MITAA

 Ofisi ya Taifa ya takwimu imekutana na watendaji na wenyeviti wa serikali za mitaa wa mkoa wa Dar es salaa lengo kueleza namna ya kutumia takwimu za sensa.

Habari na ALLY THABITI

RAIS KIKWETE USO KWA USO NA HAKI JINAI

 Rais Mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza tume ya haki jinai kwa kukusanya maoni kwa wadau mbalimbali, nae Waziri Mkuu Mstaafu Walioba pamoja na Paramaganda Kabudi wameitaka tume ya haki jinai kutoacha mawazo ya watu nae kwa upande wake Sheikh Issa Ponda pamoja na jaji mstaafu Miyayo wamesema kuwepo kwa tume ya haki jinai kutakuwa ni suluisho kwa kupatikana haki.

Habari na ALLY THABITI

SACP ATANGAZA VITA DAR ES SALAAM

 SACP Kamanda Jumanne Mulilo wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema yeyote atakayejihusisha na ualifu jeshi la Polisi litamkamata na kumchukulia hatua kari.

Habari na ALLY THABITI