Makamu wa rais wa awamu ya 4 Kharidi Bilari amezitaka shule za secondary hapa nchini kutoa elimu bora na yenye tija kwa wanafunzi na Taifa . pia ameipongeza shule ya Feza kwa kuwa vinara kwenye mitihani ya Taifa
habari picha na ALLY THABITI
Tuesday, 28 November 2017
WANAFUNZI WANENA MAZITO JUU YA SHULE YA FEZA
Samweri John ni mwanafunzi alieitimu kidato cha 4 kwenye shule ya secondary ya Feza . ameushukuru uongozi pamoja na walimu kwa kuwapa elimu bora na ameaidi kuyafanyia kazi yote walio fundishwa
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
MKURUGENZI WA SHULE YA SECONDARY YA FEZA ATETA NA WAITIMU WA KIDATO CHA 4
Mkurugenzi wa shule ya secondary ya Feza Ibraim Yunusi amewataka wanafunzi walioitimu kidato cha 4 wawe raia wema kwa jamii .amesema haya kwenye maafari ya 17 ya kuwaaga waitimu wa kidato cha 4 kwenye ukumbi wa mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
MWENYE KITI WA CCM WILAYA ATOA SIRI NDANI YA CCM
Mwenyekiti wa ccm wilaya Mwanaamisi Ally amesema siri ya mafanikio ndani ya chama cha ccm umoja na mshikamano .amesema aya kata ya kijichi wakati wa kumnadi mgombea udiwani Eliasa Mtarawanje
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
Subscribe to:
Posts (Atom)