Saturday, 30 November 2019
TUME YA USHINDANI YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURUSA
PROF Humphrey P .B Mosh amesema katika kuelekea maazimisho ya ushindani wa kibiashara ambako yatakuwa tarehe 3 mpaka5 mwezi wa 12 viwanja vya mnazi mmoja wajitokeze kwa wingi kuonyesha biashara zao TASAC itakuweepo,TRRC ,TTCR,na TCAA tume ya ushindani inaendana na kauli mbiu ya Magufuli kueleekea Tanzania ya viwanda ivyo amewataka watanzania kuwa wabunifu tarehe 4 mwezi12 kutakuwa na kongamano la kujadili maswala ya biashara za mitandaoni na ushindani wa biashara
habari picha na Victoria Stanslaus
habari picha na Victoria Stanslaus
TUME YA USHINDANI YAWATAADHARISHA WATANZANIA BIASHARA ZA MTANDAONI
Mkurugenzi wa tume ya ushindani ya biashara amewataka watanzania kutoamini biashara za mitandaoni ivyo amesema makampuni ya Ally Baba na mengineyo ivyo waache kuttumia makampuni mengineyo watatapeliwa amesema haya wakati akitambulisha kuwa kutakuwa na maonyesho ya ushindani wa kibiashara tarehe 3 mpaka 5 mwezi wa12 viwanja vya mnazi mmoja
habari picha na Victoria Stanslaus
habari picha na Victoria Stanslaus
KAMISHINA WA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWARA BORA ATEMA CHECHE
Kamishina wa haki za binadamu na utawala bora Nyanda Shuri amezitaaka asasi za kiraia kuwafikia watu wa pembe zoni kwa kuwapa elimu ya maswala ya jinsia na haki
habari picha na Victoria Stanslaus
habari picha na Victoria Stanslaus
Subscribe to:
Posts (Atom)