Saturday, 30 November 2019




TUME YA USHINDANI YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURUSA

PROF Humphrey P .B Mosh amesema katika kuelekea maazimisho ya ushindani wa kibiashara ambako yatakuwa tarehe 3 mpaka5 mwezi wa 12 viwanja vya mnazi mmoja wajitokeze kwa wingi kuonyesha biashara zao TASAC itakuweepo,TRRC ,TTCR,na TCAA  tume ya ushindani  inaendana na kauli mbiu ya Magufuli kueleekea Tanzania ya viwanda ivyo amewataka watanzania kuwa wabunifu tarehe 4 mwezi12 kutakuwa na kongamano la kujadili maswala ya biashara za mitandaoni na ushindani wa biashara

habari picha na Victoria Stanslaus

TUME YA USHINDANI YAWATAADHARISHA WATANZANIA BIASHARA ZA MTANDAONI

Mkurugenzi wa tume ya ushindani ya biashara amewataka watanzania kutoamini biashara za mitandaoni ivyo amesema  makampuni ya Ally Baba na mengineyo ivyo waache kuttumia makampuni mengineyo watatapeliwa  amesema haya wakati akitambulisha kuwa kutakuwa na maonyesho ya ushindani wa kibiashara tarehe 3 mpaka 5 mwezi wa12 viwanja vya mnazi mmoja

habari  picha na Victoria Stanslaus

KAMISHINA WA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWARA BORA ATEMA CHECHE

Kamishina wa haki za binadamu na utawala bora Nyanda Shuri amezitaaka asasi za kiraia kuwafikia watu wa pembe zoni kwa kuwapa elimu  ya maswala ya jinsia na haki

habari picha na Victoria Stanslaus