Mkuu wa wilaya ya kinondoni Mh Ali Hapi amesema sasa ni wakati muafaka kuanzishwa na kuwepo kwa sera ya taifa inayohusu maadili ili tupate sheria ambayo itawabana na kuhukumu viongozi na watumishi wa serikali ambao wanakiuka misingi ya maadili kwenye kazi zao amesema haya kwenye mkutano ulioandaliwa na tume ya maadili kwa viongozi wa umma katika ukumbi wa Anatogo jijini Dar es salaam
Thursday, 19 July 2018
MAGIZO YA WAZIRI WA ELIMU ,SAYANSI NA TEKNOROJIA YA VUTA HISIA NZITO
Naibu makamu mkuu wa chuo cha SUA(utawala wa fedha) prof, Yonika Ngaja amesema maagizo yaliotolewa na waziri wa elimu wa sayansi na teknolojia prof Joyce Ndalichako ya vyuo vyote vifanye tafiti zenye kutatua matatizo ya jamii wamepokea na watatekeleza kwa vitendo pia vyuo ambavyo havijakidhi viwango na vigezo suala la kufutwa hatua vitachukuliwa kwa vyuo hivyo ilikupata wanafunzi bora na elimu bora kwa lengo la kuelekea Tanzania ya viwanda lifanikiwe kwa kiasi kikubwa kuweza kupata wataalam wengi na wenye ujuzi amesema hayo wakati wakutoa neno la shukrani kwa waziri wa elimu,sayansi na teknolojia prof Joyce Ndalichako wakatiwa kufungua maonyesho ya 13 ya vyuo vikuu ya siku nne kuanzia 18/07/2018 mpaka 20/07/2018 mnazi mmoja jijini Dar es salaam, habari picha na Ali Thabit
WADAU WA ASASI ZA KIRAIA, KISHERIA NA HAKI ZA BINADAMU WAKISHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE SERA MPYA
ASASI ZA KIRAIA WATAKIWA KUUNGA MKONO SERA MPYA
Ismail Abdunuru Sulemani katibu mkuu wa asasi za kiraia nchini Tanzania zisizo za kiserikali amezitaka asasi zote nchini kuunga mkono jitihada na juhudi za serikali katika kubadilisha sera za asasi za kiraia kwa kushiriki katika utoaji wa maoni kwa lengo la kuondoa sera ya mwaka 2001 kwa kuleta sera mpya kwaajili ya kuendana na wakati wa sasa amesema haya kwenye mkutano ulioandaliwa na kituo cha msaada wa kisheria na haki za binadamu LHRC uliofanyika sinza mori katika Wanyama hoteli jijini Dar es salaam.habari picha na Ali Thabit
WAJASIRIAMALI WADOGOWADOGO WAIPATANO SIDO
| viongozi wa sido sabasaba |
| mjasiriamali Danius akiongea |
| mjasiriamali Lucia akiongea |
wamesema hayo katika maonyesho ya 42 sabasaba Dar es salaam. habari picha na Ali Thabit
SIDO YAWAFUTA MACHOZI WAJASIRIAMALI WADOGOWADOGO
| mjasiriamali Merry akiongea na mwandishi |
| baadhi ya bidhaa ya mjasiriamali Merry |
| Rasi Jeshi Beku akiongea na mwandishi wetu |
wamesema hayo kwenye maonyesho ya biashara ya 42 sabasaba Dar Es Salaam habari picha na Ali Thabiti
Monday, 16 July 2018
BENKI KUU YA TANZANIA (B.O.T) YA ELEZA NAMNA YA KUDHIBITI MFUMUKO WA BEI TANZANIA
Mchumi mwandamizi kutoka kurugenzi ya uchumi kutoka benki kuu ya Tanzania(B.O.T) mh Lusajo Mwamkemwa amesema wao wanajukumu lakudhibiti mfumuko wa bei wa bidhaa na huduma mbalimbali kwa kushirikiana na ofisi ya taifa ya takwimu ambapo mfumuko wa bei unaweza kudumu kwa mwezi mmoja au miezi mitatu pia amesema mdhara ya mfumuko wa bei unaathiri maendeleo ya uchumi wa taifa.
Pia wao kama benki kuu huweza kusaidia njia mbalimbali kwaajili ya kudhibiti mfumuko wa bei kwa kutoa elimu kupita redio,televesheni,magazeti na maonyesho mbalimbali ya kitaifa kama sabasaba na nanenane, amesama hayo kwenye maonyesho ya biashara ya 42 sabasaba jijini Dar es salaam habari picha na Ally Thabit
Pia wao kama benki kuu huweza kusaidia njia mbalimbali kwaajili ya kudhibiti mfumuko wa bei kwa kutoa elimu kupita redio,televesheni,magazeti na maonyesho mbalimbali ya kitaifa kama sabasaba na nanenane, amesama hayo kwenye maonyesho ya biashara ya 42 sabasaba jijini Dar es salaam habari picha na Ally Thabit
Subscribe to:
Posts (Atom)
