Tuesday, 19 May 2020

HALMASHAURI YA KINONDONI KULETA MAENDELEO MAKUBWA

Beni Sita Meha wa Kinondoni akiingia makubaliano ya Mradi wa MDP awamu ya tano na Wakorea kwaajili ya ujenzi wa barabara za Halmashauri ya Kinondoni ambako Beni Sita amesema barabara hizi zitasaidia katika kukuza Uchumi wa Kinondoni na watu Kuwait kwenye shughuri zao za Kila siku


Habari picha na Ally Thabit

MEHA WA KINONDONI AUNGA MKONO KWA VITENDO KAULI YA RAIS MAGUFULI

Beni Sita Meha wa  Kinondoni pichani akikagua Viatu vinavyoelezea na Ngozi huku akiwataka Watanzania kuanzisha Viwanda vya bidhaa za Ngozi amesema Ofisi yake inafungua Milango Kwa anaeitaji kuwwkeza Halmashauri  ya Kinondoni

Habari picha na Ally Thabit

CCBRT YAIPONGEZA SAWA (WSSCC) KWA KUNUSULU WATU WENYE ULEMAVU

Meneja wa Ushawishi na Utetezi wa watu wenye ulemavu kutoka CCBRT Fredrick Marthin Msigallah  amesema wameipongeza Taasisi ya SAWA kwakunusulu na kuwaokoa watu wenye ulemavu ili wasipate virusi vya CORONA Kwa kuchapisha vipeperushi vya Maandishi ya Nukta Nundu vinavyoelezea dalili na namna ya kujikinga na virusi vya CORONA Kwa wasio hona na makundi mengine ya watu wenye ulemavu amesema haya wakati akipokea Nakala ya Maandishi ya Nukta Nundu kwaajili ya kuwapelekea watu wasio hona waishio Kigoma kwenye Kambi ya Wakimbizi CCBRT imetoa wito Kwa wadau mbalimbali kuunga mkono juhudi za taasisi ya SAWA huku akimpongeza Mwandisi Eng Malima na vipngozi wenzake kwakuguswa na kubeba maswala ya watu wenye ulemavu



Habari picha na Ally Thabit

Friday, 15 May 2020

TAKUKURU YATOA ONYO KALI KWA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkurugenzi wa Taasisi ya kupambana na Rushwa Tanzania John Mbungo amesema vyama sita vya Ushirika wasipoludisha fedha hatuwa Kali zitachukuliwa Kwa Viongozi wao pia amewashukuru wananchi Kwa kutoa ushirikiano mpaka imepelekea kiasi cha bilioni 11.3 kupatikana ambazo zilifanyiwa ubadhirifu

Habari picha na Ally Thabit

TAASISI YA CHAKULA NA LISHE TANZANIA YAWAPA SEMINA WAHABARI

Mkurugenzi wa Elimu na Mafunzo ya Lishe kutoka
Taasisi ya Chakula na Rishe Sikitu Kihinga amesema wameamuwa kuwapa Mafunzo wanahabari Lengo kuwataka wawaelimishe wananchi matumizi ya Tangawizi,Vitunguu thaumu,habdalasini Malimao na matunda kutumia kwaajili ya kujikinga virusi vya CORONA Sikitu Kihinga amesema mamamjamzito na anayenyonyesha awawezi kumuambukiza mtoto virusi vya CORONA Taasisi ya Chakula na Rishe imetoa wito Kwa jamii kuwa viungo na matunda si dawa ya CORONA Ola vinasaidia kutoshambuliwa na virusi vya C

PICHANI MKUU WA MKOA WA DSM AKIJARIBU GARI ALIOKABIDHIWA NA KAMPUNI YA TATA


Mkuu wa Mkoa wa Dsmameishukuru Kampuni ya TATA Kwa kutoa gari ambayo itasaidia katika mapambano ya virusi vya CORONA Kwa kuwabeba Wataalam wa Arya  huku akiwataka Watanzania na wasio watanzania kununua magari ya Kampuni ya TATA kwani no Imara na yanaubora mkubwa uku akiwataka ofu wanaDsm maambukizi ya virusi vya CORONA vimepungua waendelee kuchukua taadhari amesema Aya kwenye makao makuu ya TATA


Habari picha na Ally Thabit

KAMPUNI YA TATA YAMUUNGA MKONO MAKONDA KWAAJILI YA KUPAMBANA NA CORONA

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya TATA amesema wameamuwa kutoa gari Aina ya TATA lenye thamani ya milioni 65 Lengo kuunga mkono juhudi la Rais Magufuli na mkuu wa Mkoa wa Dsm Poho Makonda katika kupambana na virusi vya CORONA ndio maana wametoa gari hii kwaajili ya kuwabeba Wataalam wa Afya


Habari picha na Ally Thabit