Monday, 6 September 2021

MWENYEKITI WA NMB BANK AWAFUNDA VIJANA

 Dr Edwini Muhede Mwenyekiti wa Bodi ya NMB amewataka vijana wa kitanzania watakao pata fursa ya kusaidiwa na Asasi ya NMB kwenye Sekta ya Elimu watumie vizuri . Pia amezitaka Asasi zingine kushirikiana na Asasi ya NMB.

Habari na Ally Thabiti

HAMOSI MAKALA AIPONGENZA NMB

 Mkuu wa Mkoa wa Dsm Hamosi Makala ameipongeza  Bank ya NMB Kwa kuanzisha Asasi Yao kwani itawezesha Kwa kiasi kikubwa kutakuwa changamoto za watanzania. Kwenye Sekta ya Afya,Mazingira, Elimu, Kilimo, na Ujasilia Mali.

Hamosi Makala ameiomba NMB kusaidia ujenzi wa shule kwenye Mkoa wa Dsm.

Habari na Ally Thabit

NMB YAZINDUWA ASASI YAKE

 Afisa Mtendaji Mkuu wa  Bank ya NMB  Lusi Zaipuna amesema Lengo la kuzinduwa Asasi ya NMB kuweza kusaidia Sekta ya Afya,Mazingira,Elimu,Kilimo na Ujasilia Mali.

Lusi Zaipuna amesema NMB ina mawakala elfu kumi ,10000. Ivyo amewataka watu  kuiamini Bank ya NMB na waitumie.

Habari na Ally Thabit

Friday, 3 September 2021

MWIJAKU AMPIGA MANALA


 Mwijaku amtaka Muamasishaji wa Tanga Haji Sandé Manala aacha kusema vibaya Timu ya Simba. pia Mwijaku amemtaka Manala Kama amesoma aoneshe vyeti vyake.

Habari picha na Ally Thabiti

VUNJA BEI KUINOGESHA SIMBA DAY


 Wakala wa Kuuza na Kusambaza Jezi za Timu ya Simba anawataka wapenzi,mashabiki na wafuasi wa Timu ya Simba wanunue jezi za Timu Yao kwaajili ya kuchangia Timu Yao.

Habari picha na  Victoria Stanslaus

JOHN BOSKO KALISA ABAINISHA CHANGAMOTO ZA KIBIASHARA E A C


 Mwenyekiti wa Baraza la EAC John Bosko Kalisa amesema maswala ya Forodha ,Ubora wa bidhaa na miundombinu,Soko la pamoja la kibiashara hizi ni changamoto zilizokuwa zikiwakabili wafanya biashara wa EAC.

Lakini zimejadiliwa na kufanyiwa kazi.

Habari picha na Victoria Stanslaus

KAMPUNI YA WLC YAJA NA MIKAKATI KABAMBE

Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Kampuni ya  World Logistics Company Limited (WLC) Agnes Daniel amewataka watu kutumia Kampuni Yao katika kusafirisha bidhaa zao .

Kwani gharama zao ni nafuu wameanza kazi  hizi mwaka elfumbili na nne 2004 Chino ya mwanzilishi Regnold George .ambako wanatumia Nyenzo ya Google Excel Spreadsheet.

Agnes Daniel Mkuu wa Kitengo cha Masoko amesema japo kunachangamoto ya KORONA 19 richa ya Kuenea Kwa ugonjwa wa KORONA wanaendelea kusafirisha mizigo nchi za  China,Uingereza,Japan, Afrika Kusini,Falme za Kiarabu,India,Malaysia na nchi zinginezo. 

Lengo la kuendelea na Usafirishaji Kwa gharama nafuu ni kumuunga mkono raisi  Samia Suluhu Hassan, katika kukuza Uchumi wa tanzania.

Habari na Victoria Stanslaus