Thursday, 2 February 2023

DOKTA AIMIZA JAMII KUPIM SELIMUNDU


 Dkt anaeusika na Maswala ya Selimundu amekitaka jamii kupima jenetiki zao ili kugunduwa selimundu.

Habari na Ally Thabiti

MSANII CHIBA KISMATI ATOA NENO KUUSU SELIMUNDU


Martini (Chiba Kismati)  amesema Jamii iwapeleke shule watoto wenye selimundu kwani wanauwezo mkubwa mfano yeye ni msanii na mkurugenzi wa wenye taasisi Yake.

Habari na Ally Thabiti

Tuesday, 24 January 2023

MKURUGENZI MKUU MTENDAJI WA REA AELEZA NAMNA YA KUWAZINGATIA WAITAJI


 Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Wakala wakusambaza Umeme vijijini (REA)  Mhandisi Hassan Seif  Saidy amesema katika utoaji wa  huduma zao wanawapa vipaumbele watu wenye ulemavu,wazee na wanawake.

Pia amesema kampuni zinazosambaza Umeme zinatoa Akira ndogondogo Kwa wazawa.

Habari picha na Ally Thabiti

WAZIRI WA NISHATI NA UMEME ATOA MIEZI MIWILI KWA WAKANDARASI WA REA

 January Makamba Waziri wa Nishati na Umeme ametoa miezi miwili kwa WAKANDARASI ambao wameshindwa kusambaza Umeme vijijini kupitoa mradi wakwani wakishindwa hatiwakali Zita hukuliwa dhidi yao .

Pia Tanzania itasambaza Umeme kwenye Vitongoji Kwa kiasi cha shilingi tilioni Sita 6,ivyo amewataka wakandarasi wa kitanzania wachangamkie fursa.

Habari na Ally Thabiti 

Saturday, 21 January 2023

DKT RAHMA SALIM MAHFOUDH KATIBU MTENDAJI TUME YAMIPANGO ZANZIBAR AMEPONGEZA KUWEPO KWA KONGAMANO LA KODI ZANZIBAR

 Dkt Rahma Mahfoudh Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Zanzibar amewataka wazanzibar kutumia kongamano la kikodi kwaajili ya kukuza Biashara zao na uchumi wa Zanzibar.

Habari na Ally Thabiti

MWENYEKITI WA ZNCC ALI AMOUR SULEIMAN


 Mwenyekiti wa ZNCC Ndugu Ali Amour Suleiman amesema naipongeza serikali ya Zanzibar Kwa kuja na kongamano la Kodi na kuwashirikisha wafanya Biashara kwani itasaidia kutatuwa changamoto za kikodi na kudhibitiwa mfumuko wa bei Zanzibar utapunguwa Zanzibar.

Amekitaka serikali iwe inawashirikiaha wafanyabiashara kwenye maswala ya Kodi na bajeti.

Habari na Ally Thabiti

WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA NA MAENDELEO YA VIWANDA WA ZANZIBAR

 Omar Said Shaaban amesema ni Vem


a wafanyabiashara wa Zanzibar amewataka waeleze vikwazo vya Kodi ili serikali iweze kutatuwa .

Habari na Ally Thabiti