Dkt anaeusika na Maswala ya Selimundu amekitaka jamii kupima jenetiki zao ili kugunduwa selimundu.
Habari na Ally Thabiti
Habari na Ally Thabiti
Habari na Ally Thabiti
Pia amesema kampuni zinazosambaza Umeme zinatoa Akira ndogondogo Kwa wazawa.
Habari picha na Ally Thabiti
January Makamba Waziri wa Nishati na Umeme ametoa miezi miwili kwa WAKANDARASI ambao wameshindwa kusambaza Umeme vijijini kupitoa mradi wakwani wakishindwa hatiwakali Zita hukuliwa dhidi yao .
Pia Tanzania itasambaza Umeme kwenye Vitongoji Kwa kiasi cha shilingi tilioni Sita 6,ivyo amewataka wakandarasi wa kitanzania wachangamkie fursa.
Habari na Ally Thabiti
Dkt Rahma Mahfoudh Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Zanzibar amewataka wazanzibar kutumia kongamano la kikodi kwaajili ya kukuza Biashara zao na uchumi wa Zanzibar.
Habari na Ally Thabiti
Amekitaka serikali iwe inawashirikiaha wafanyabiashara kwenye maswala ya Kodi na bajeti.
Habari na Ally Thabiti
Omar Said Shaaban amesema ni Vem
Habari na Ally Thabiti