Kiongozi wa ZAFFA Othumani Musa amempongeza raisi wa TAFFA Edwardi Urio Kwa kazi nzuri anayoifanya za kutatuwa Changamoto za wanachama wake na kuwaunganisha ZAFFA na TAFFA kuwa kitu kimoja.
Habari picha na Ally Thabiti
Habari picha na Ally Thabiti
NIC ina bima mbalimbali ambako mtu yeyote akijiunga atojutia na bima zao ni nafuu ukilinganisha na Kampuni zingine za bima na NIC Awana ubabaishaji kwenye malipo Kwa wateja wao.
Pia NIC wanawaakikishia wanachama wa TAFFA watapata hudhuma Bora .
Habari picha na Victoria Stanslaus
Habari picha na Victoria Stanslaus
Damask Ndumbalo Waziri wa Maliasili na Utalii anamshukuru raisi Samia Suluhu Hassan Kwa kuipa Wizara yake Fedha za Kitanzania bilioni 29 Kwaajili ya Kupambana na UVIKO 19.
Waziri Ndumbalo amesema Fedha hizi zitatumika kwenye miradi 5 mfano kutoa elimu Kwa waongoza Utalii,kutengeneza vipeperushi na mabango.
Pia amesema fedha hizi zitatumika kwenye Mikoa 26 Tanzania bara, ametoa onyo Kwa watakaoiba fedha hizi hatua Kali zitachukuliwa dhidi Yao ikiwemo kufukuzwa kazi na kupelekwa mahakamani.
Habari picha na Victoria Stanslaus
Lengo watu wa Zanzibar waache vitendo vya ukatili wa kijinsia Kwa watoto wakike kuwaodhesha wakiwa na umri mdogo na kutokuwepo na mimba za utotoni pamoja na wanawake kuto nyanyaswa na kutodhalilishwa Kwa vipigo na matusi.
Amesema TGNP MTANDAO na UN WOMEN FUND wasikate tamaa katika kupigania Haki za binadam pia ametoa wito kwa watu wenye Ulemavu kuchangamkia fursa mbalimbali.
Habari picha na Ally Thabiti