Thursday, 21 October 2021

ZANZIBAR YAIPA TANO TAFFA


 Kiongozi wa ZAFFA Othumani Musa amempongeza raisi wa TAFFA Edwardi Urio Kwa kazi nzuri anayoifanya za kutatuwa Changamoto za wanachama wake na kuwaunganisha ZAFFA na TAFFA kuwa kitu kimoja.

Habari picha na Ally Thabiti

NIC YAFUNGUWA MILANGO


 Kafiti Kafiti , Principal Business Development Officer anawataka watu kuchangamkia huduma ya bima inayotolewa na NIC kwani bei zao ni nafuu .

NIC ina bima mbalimbali ambako mtu yeyote akijiunga atojutia na bima zao ni nafuu ukilinganisha na Kampuni zingine za bima na NIC Awana ubabaishaji kwenye malipo Kwa wateja wao.

Pia NIC wanawaakikishia wanachama wa TAFFA watapata hudhuma Bora .

Habari picha na Victoria Stanslaus

TAFFA YAJA KIVINGINE


 Mwenyekiti wa TAFFA  Edwardi Urio amewataka wanachama wake kujitaidi kutoa michango na amewaaidi kuwa watapata KAZI nyingi, pia amewataka  wanachama wa TAFFA wafanye KAZI Kwa Uweredi.

Habari picha na Victoria Stanslaus

KATIBU WA JUWAKITA AIHASA JAMII

Khanifa Katibu wa JUWAKITA Kinondoni amewataka wanawake wa Kiislamu kuwapeleka watoto kujifunza dini ,nae Mgeni rasmiMarihamu Ditopile ametoa kiasi cha milioni tano kwaajili ya kuwakatia bima watoto wenye Ulemavu na Watoto yatima .

Amewataka watoto wa Kiislam wachangamkie fursa mbalimbali za kiuchumi , huku akitoa wito kwa Uongozi wa JUWAKITA Taifa kusimamia uweredi , maadiri, na Amani iliyopo Tanzania .

Habari picha na Victoria Stanslaus
 

Wednesday, 20 October 2021

JUWAKITA ATOA NENO KWA WANAWAKE


 Mwenyekiti wa JUWAKITA Marihamu wa Wilaya ya Kinondoni amewataka wanawake kujiunga na JUWAKITA ili waweze kupata fursa mbalimbali amesema haya siku ya kusheherekea siku ya Mahazazi ya Mtume Muhamadi.

Habari picha na Victoria Stanslaus

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAPEWA BILIONI 29

 

Damask Ndumbalo Waziri wa Maliasili na Utalii anamshukuru raisi Samia Suluhu Hassan Kwa kuipa Wizara yake Fedha za Kitanzania bilioni 29 Kwaajili ya Kupambana na UVIKO 19.

Waziri Ndumbalo amesema Fedha hizi zitatumika kwenye miradi 5 mfano kutoa elimu Kwa waongoza Utalii,kutengeneza vipeperushi na mabango.

Pia amesema fedha hizi zitatumika kwenye Mikoa 26 Tanzania bara, ametoa onyo Kwa watakaoiba fedha hizi hatua Kali zitachukuliwa dhidi Yao ikiwemo kufukuzwa kazi na kupelekwa mahakamani.

Habari picha na Victoria Stanslaus

Saturday, 16 October 2021

MWENYEKITI WA BARAZA LA WATU WENYE ULEMAVU ZANZIBAR AHAIDI MAZITO KWA TGNP MTANDAO NA UN WOMEN FUND


 Salma Sahadati Mwenyekiti wa Baraza la Watu wenye Ulemavu Wanawake Zanzibar amesema Ufeminia alioupata atatumia kikamilifu na vizuri Kwa wakazi wa Zanzibar .

Lengo watu wa Zanzibar waache vitendo vya ukatili wa kijinsia Kwa watoto wakike kuwaodhesha wakiwa na umri mdogo na kutokuwepo na mimba za utotoni pamoja na wanawake kuto nyanyaswa na kutodhalilishwa Kwa vipigo na matusi.

Amesema TGNP MTANDAO na UN WOMEN FUND wasikate tamaa katika kupigania Haki za binadam pia ametoa wito kwa watu wenye Ulemavu kuchangamkia fursa mbalimbali.

Habari picha na Ally Thabiti