Thursday, 21 April 2022

LHRC YAJA NA RIPOTI KAPAMBE


 ANNA HENGA    Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC amesema ripoti walio izindua imebainisha changamoto mbalimbali zinazotokana na maswala ya ukatili wa kijinsia namna ya kuweza kukabilaiana na maswala ya ukatiri wa kijinsia lengo ni kutokomeza kabisa mfano ndoa za utotoni, ukatiri wanaofanyiwa watoto na wanawake mitandaoni, haki za watu wenye ulemavu, haki za wanawake wajane namna ya kumiliki mali  ANNA HENGA ameitaka Serikali na taasisi mbalimba za watu binafsi waitumie ripoti ya LHRC kwaajili yakuweza kutatua changamoto katika jamii pia amewatoa hofu watu wenye ulemavu wakuto kuona kuwa ripoti ya LHRC imeandikwa kwa maandishi nukta nuni ambao nao watapata fursa ya kusoma yaliyopo kwenye ripoti hii.

habari picha na Ally Thabith

BANK YA NBC YAJA NA MIKAKATI MIZITO





Mkurugenzi mtendaji wa NBC amesema wameamuwa kuwafikia watu kuanzia ngazi ya chinikupitia bank ya NBC lengo kuwakwamua watu kiuchumi kwa kutoa mikopo ya fedha bila masharti magumu. Amesema Bank ya NBC inaunga mkono juhudi na jitihada za Raisi Samia Suluhu Hassan kwa kuweka matawi kila kona ya Tanzania, ametoa rai watu waendelee kuiamini na kuitumia Bank ya NBC kwani usalama wa pesa zao ni wauhakika. Amewataka waislam huduma za NBC wajitokeze kwa wing

Amesema haya kwenye Iftar Selena Hotel 

habari picha na Ally Thatbith



SHEKH MKUU WA DAR ES SALAAM AIPONGEZA BANK YA NBC


 Alhaji Mussa Salim Shekh wa mkoa wa Dar es Salaam ameipongeza na kuishukuru bank ya NBC jinsi wanavyotoa huduma kwa kasi kubwa na namna inavyoweza kuwafikia waislam ambako wanatoa mikopo bila riba. Ametoa wito kwa watu waitumie bank ya NBC amesema haya wakati wa IFTAR selena Hotel iliyoandaliwa na BANK ya NBC.

habari picha na Ally Thabith



Thursday, 31 March 2022

WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII YAMPONGEZA RAISI SAMIA SULUHU HASSAN


Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia watoto na makundi maalum Dr. Doris Ngwajima amesema kipindi cha uongozi wa Raisi Samia Suluh Hassan kwa Mwaka Mmoja ameweza kuanzisha wizara ya maendeleo ya jamii ambako imeweza kupata mafanikio makubwa ikiwemo kutatua changamoto zilizo kuwa zinawakabili watoto waishio mitaani, wanawake na watoto pia pamoja na makundi maalum yameweza kufikiwa kwa kiasi kikubwa Waziri Doris Gwajima amewataka watu kumuunga mkono Rais Samia Suluh Hassan 




Nae katibu mkuu Dr. Zainabu Chaula amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameweza kuyainua makundi mbalimbali hivyo ni vyema watu waendelee kumuunga mkono na kuwanao sambamba.

Habari picha na Ally Thabith

KAMPUNI YA PUMA YA MAFUTA YATOA ZAWADI

Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni ya Puma Energy Dr. Suleiman Madige lengo la kutoa zawadi nikuongeza ufanisi kwa Ma_meneja na wadau wa kampuni ya Puma. Ameutaka uongozi wa kampuni hii ifikapo mwaka 2025 Puma iwe na vituo vitavyo 150 ambavyo kwasasa vipo vituo 80 

Naye kwa upande wake mkurugenzi wa kampuni ya Puma amemuhakikishia mwenyekiti wa bodi wa kampuni ya PUMA kuwa ifikapo mwaka 2025 watahakikisha watajenga vituo zaidi ya 150 pia mkurugenzi amepongeza serikali ya Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan namna inavyoweka nguvu kwenye kampuni ya PUMA. Kwa upande wake VANESA meneja wa kampuni ya PUMA energy ametoa wito wa watu wote waendelee kutumia bidhaa ya kampuni ya PUMA pia kampuni ya PUMA inakuja na bidhaa ya gesi ambako gesi hiyo itapatikana kwenye vitu vyote vya PUMA, VANESSA amewaahidi watu waishio vijijini watajengewa vituo vya PUMA.

Habari  na Ally Thabith

 

Friday, 4 March 2022

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AWAFUNDA VIONGOZI WA DINI


 Hamadi Suleimani Chande  Naibu Waziri wa Fedha na Mpango amewataka viongozi WA dini Kutoa elimu Kwa jamii ,pia Watumie nafasi zao vizuri na waache kujikweza .

Habari picha na Ally Thabiti

WAZIRI APONGEZA KONGAMANO LA AFRICA MEDIA

 Waziri wa Ardhi Anjerina Mabura ameipongeza Kampuni ya Africa Media Group Kwa kufanya kongamano la Wanawake ambako umesaidia kutolewa Kwa madam mbalimbali za kuwawezesha Wanawake kuwainua kiuchumi na kutiwa moyo.

Habari na Ally Thabiti