Thursday 23 November 2023

IIDADI YA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU MITIHANI YA DARASA LASABA YAONGEZEKA

Katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani Dkt. Said A. Mohamed amesema kiwango cha ufanyaji mitihani kwa watu wenye ulemavu wa darasa la saba imeongezeka kupita wanafunzi 4583 kwa 2023 ambako kwa mwaka jana walikuwa 4221 pia amesema ufahuru wao umeongezeka kwa kiasi kikubwa hii yote ni kwaajili ya juhudi na jitihada zinazofanywa na Rais Dkt Samia Suluh Hassan kwa kujenga miundo mbinu rafiki na bora pamoja na vifaa kwa wanafunzi wenye uhitaji maarumu.

Ametoa wito kwa jamii kutowafungia ndani watu wenye uremavu wawapeleke shule ili wapate elimu.

Habari na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment