Tuesday 28 November 2023

MKURUGENZI WA TAMWA AINISHA MIKAKATI MIZITO

 Mkurugenzi wa TAMWA Dr Rose Rubein Amesema baada ya uzinduzi wa report TAMWA inamipango yakutoa elimu kwa wamiliki na wakurugenzi wa vyombo vya habari pamoja na  mameneja lengo kuondoa maswala ya ukatili dhidi ya wanahabari wanawake kwenye vyombo hivyo pia TAMWA inawataka wanahabari wanawake kupaza sauti na kukemea vitendo vya ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa.




Habari picha na Ally Thabit

No comments:

Post a Comment