Mtendaji mkuu wa DSTV LEONARD SHELUKINDO amewataka watu kutoa 9900/= ili kuwangalia vipindi bora vya DSTV.
Habari na Ally Thabith
Habari na Ally Thabith
AMOS MAKALA, amewataka wenyeviti wa serikali za mtaa, watendaji, madiwani na mamea kuhakikisha wanawaondoa wamachinga maeneo yasiyofaa kwa biashara, kusimamia usafi.
Habari kamili na Ally Thabith
Abdallah Seif Abdallah amewataka wafanyabiashara kutoa risiti na wanunuaji wa bidhaa kudai risiti ambaye atatoa risiti atapigwa faini ya shinilingi milioni tatu mpaka milioni nne na nusu na atakae nunua kitu bila kudai risiti atatozwa elfu thelathini mpaka milioni moja na nusu.
Nora wa Tantrade amezungumzia tuzo za banda bora ambazo zitakuwa na category 26 nae SUDI afisa biashara wa Tantrade amezungumzia mfumo wa vibali.
Kwa upande wake Masha amezungumzia kanuni za ushiriki
Haya ndiyo ambayo yamezungumziwa kwenye semina kati ya Tantrade na washiriki wa maonyesho ya sabasaba.
habari Picha na Ally Thabith
Godwin Ggondwe amesema Kitendo cha MAKUMBUSHO ya TAIFA ya Kijito nyama Kwa kufanya tamasha la watoto wenye maitaji maalum ni Jambo zuri Kwani watu wenye ulemavu Wana haki sawa Amesema wilaya ya kinondoni inawathamini watu wenye ulemavu wote.
Kwa kuwapa elimu na Huduma zinginezo.
Nae Kwa upande wake Afisa elimu wa Makumbusho Wilhimina Josephu amesema ili ni tamasha la 34 amesema wameamuwa kuwakutanisha watoto wenye ulemavu lengo kuonyesha Wana haki Sawa na watoto wengine.
Pia amesema Makumbusho ya Taifa kuna miudombinu rafiki na wezeshi Kwa watu wenye ulemavu,swala la kuandika vipeperushi Kwa nukta nundu wamelibeba watalifanyia kazi.
Mwanafunzi Teresa wa darasa la sita shule ya misingi Kesho la wokovu kwaniaba ya watoto wenye ulemavu wamempongeza Makumbusho ya Taifa Kwa kuwajali na kuwathamini ivyo wameaidi watakuwa mabarozi Kwa Jamii .
Lengo watoto wenye ulemavu wapelekwe shule wakasome .
Habari na Victoria Stanslaus
habari Picha na Ally Thabith
habari picha na Ally Thabith
Kiasi cha fedha bilioni 43.4 imetengwa kwenye wizara ya maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na makundi maalum.
Waziri Dorithy Gwajima amesema kiasi hichi cha fedha kinasaidia katika kupambana na ukatili dhidi ya watoto ambako zaidi ya asilimia 60 watoto wanafanyiwa ukatili majumbani kwao na asilimia 40 mashuleni, waziri Dorithy Gwajima amesema fedha hizi zitaimarisha maafisa ustawi na watendaji wengine.
Habari picha na Ally Thabith