Wednesday, 21 February 2024

 BALOZI MINDU AHIDI MAFANIKIO KWENYE KUMBI LA MIKUTANO ZA ARUSHA INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE NA MWL NYERERE INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE.

Balozi mindu amesema katika semina ya siku mbili wanaopewa maafisa wanaofanya katika ukumbi AICC ARUSHA ,utasidia kwa kiasi kikubwa ufanisi ulio mzuri kwa wateja wanaohudumia pia utawaongezea chachu ya utendaji kazi na kupata mbinu mpya za kuvutia wateja na kutafuta fulsa za kimasoko ambapo itapelekea ongezeko kubwa la mikutano ya kitaifa na kimataifa kufanyika katika ukumbi huo.

kwa upende wao washiriki wamepongeza uwongozi kwa kuwapa semina hii kwani watapata mbinu mpya na zenye Tija ambapo itapelekea kukua uchumi wa Tanzania kwa kupata fedha za kigeni

Hbari Picha Ally Thabiti.




Tuesday, 20 February 2024

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AKABIZI MAGARI NA PIKIPIKI KWA TFS

Angera Kailuki Waziri wa Maliasili na Utalii amewataka TFS kuweza kuyatumia vizuri Magari aina ya Maroli mawili pamoja na magari mawili ya Randcuser pamoja na Pikipiki 39 kwaajili ya kuimalisha na kukuza sekta ya misitu nchini Tanzania uku akitaka hatua kari zichukuliwe kwa watumishi wasiokuwa na maadili.

Habari na Ally Thabiti

TANROADS, TBA, NA TEMESA KUKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA EGYPT

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amemshukuru Rais Dkt Samia kwa kuleta wawekezaji kutoka Egypt wa usafirishaji na miundombinu pamoja na wajumbe wake. Waziri Bashungwa amefuraishwa na mradi wa kutoka Cairo kwenda Captaon Afrika ya Kusini ambao njia yake itapita kwenye nchi 9 na Tanzania ikiwemo nchi itakayo nufaika na mradi huu ambao utakamilika ifikapo mwaka 2060 pia amewakaribisha kwenye sekta binafsi kwaajili ya project mbalimbali moja ya fursa ya kupata wawekezaji wa viwango vya juu.

Waziri bashungwa amewaambia Tanroads kutekeleza ahadi ya Rais kuwa na mkakati wa waandisi kuwa sehemu ya kusaidia wakandarasi wa zawa ambako kila kilometa 20 kutakuwa na vijana wawili. Kubadilishana uzoefu wa majenzi na kujifunza amewaomba Temesa kuwa na mitambo ya kisasa kwaajili ya kusaidia Wakandarasi wa ndani hii ndio mikakati ya Rais kuleta ubunifu na kuongeza wigo.

Kipande cha kutoka Zambia unapoingia nchini pale Songwe ni kilometa 1600 ni moja ya barabara ya mikakati Dar es Slaam na Morogoro Tanroads kujenga barabara za Express Morogoro kwenda Dodoma ambako itafungua uchumi na kutengeneza ajira kwa watanzania. 

Nae waziri wa Egypt amewaarika viongozi wa Tanzania kutembelea nchini mwao ili wajionee ujenzi wa Barabara zinavyopendeza . Chakwanza kudizaini njia za kawaida zote wanaweza kuzitengeneza katika ubora pia wanauwezo wa kutengeneza madaraja ya aina zote amewaomba watu wa Tanroads waende wakajionee ubunifu wa hali ya juu. Ujenzi wa barabara za Cement ya kawaida na hata barabara za rami pamoja na njia za juu njia za mwendokasi.

Habari na Victoria Stanslaus

Monday, 19 February 2024

WADAU WA SEKTA YA USAFILISHAJI WAPATA WAWEKEZAJI KUTOKA EGYPT

Waziri wa Uchukuzi na Usafirishaji Prof Makame Mbawara amefurahi kutembelewa na wageni na kuangalia fursa kwenye uwekezaji  kama mradi wa Bandari wa kujenga gati namba 13 na 15 ni mradi utakaoenda kuondoa changamoto pia litajengwa gati kubwa kwaajili ya kupokelea mafuta ambako mtwara itajengwa bandari kwaajili ya kusushia mizigo. Tanga kuna mradi wa reri, Mtwara kuna mradi wa reri ambao utaanzia Uvinza kwenda Mbambabei kilomita 1000.

Maboresho gati namba 8 hadi 11 ambako meri zinakaa wiki mbili mpaka 3 ambako itasaidia kuondoa msongamano waziri ameshukuru Rais kwa kupambania maswala ya miundombinu ya bandari, viwanja vyandege pamoja na reri na serikali itaendelea kuwekeza kwenye miundo mbinu.

Kwa upande wake Waziri wa EGYPT Hon Amb. Sherif Abdelhamid Ismail ametoa shukrani kwa nchi yao kuwa ya pili wa urafiki na Tanzania kisiasa ambako utaenda kufafanua ushirikiano mkubwa wakufanya biashara.

Misri na Tanzania ilikuwa na urafiki kwenye utalii na bara zima la Afrika katika kusapoti kazi za maendeleo mpaka sasa mausiano yameendelea kwenye kitengo cha uchukuzi ambako itapelekea wizara mbalimbali na sekta ya uchukuzi kusonga mbele amesema nchi ya Misri itafanya kila kitu kwaajili ya afrika na kujitoa katika uwekezaji kwenye njia za anga na miundombinu mingine kitengo cha usafirishaji ndio kitengo muhimu na kinategemewa na nchi ilikiweze kutoa mitandao mbalimbali mabadilishano ya biashara kati ya nchi na nchi nyingine ili kuwaraisishia wananchi na watu kuja kuwekeza mambo ya kitalii na kidini.

amesema kupata miradi ya nchi hivyo kuna umuhimu wa kuongelea njia za bandari kavu kwa sababu Tanzania ndio mlango unao tumika na nchi zingine. angependa bandari ya Dar es Salaam kushirikiana na bandari ya misri na kubandilisha na uzoefu pia itapelekea mausihano kuongezeka kitu kitapelekea misri kusadirisha biashara zao kutoka mto Nail na kuamasisha biashara nchi za maretenia na ziwa Victoria ili kutanua utalii. Projecti ya kuwekeza Tanzania ni fursa ya kuzifikia nchi zingine ambako ajenda yao itakamilika ifikapo mwaka 2060 ambako wanataka kuetenegenza njia kilometa 200 kutokan Kairo ambako nchi 9 njia iyo itapita miongoni mwao Tanzania ambako itapelekea kuongeza wigo baadhi ya uzoefu wa kampuni kufanya kazi mbalimbali miongoni mwa makampuni ni Arabic na Asweedi katika ushirikiano wa kujenga bwawa la mwalimu Nyerere hii imekuwa alama tosha kwa Misri litakapo kamilika.

Pia alizungumzia miji mipya ya viwanda Tanzania ina mraba mlioni moja uwekezaji wake milino mia moja na nafasi za kazi 50. Hakuna viwanda zao makampuni ya madawa vifaa vya ujenzi viwanda vya vinywaji na vyakula na wapo tayali kutekeleza mala moja, Kampuni ya Aweedi kufundisha watu ili kufanya kazi kwa weredi na ameaidi kufanya kazi vizuri ili kuacha alama iliyo bora. Uhusianio wa kisiasa Tanzania na Misri kuongezeka zaidi na kuyalaisisha Makampuni ya Misri nchini Tanzania ambako kampuni zipo tayari kuwekeza soko la Tanzania ambako Tanzania inaweza kutumia Kampuni hizi ili kuweza kubadilishana uzoefu katika kitengo cha uchukuzi.

amemshukuru Prof. Mbarawa na kumkribisha Misri kuwatembelea haya yamesemwa na waziri wa uchukuzi wa Egypt kwenye kikao muhimu.

Habari na Victoria Stanslaus

CRDB YAKUTANA NA WANAHABARI


 
Mkurugenzi mkuu mtendaji wa Benki ya CRDB ABDUL MAJJID MSEKELA amesema lengo la kukutana na wanahabari pamoja na wahariri wa vyombo vya habari ni kuendeleza mahusiano na ushirikiano katika kazi pia amesema CRDB inafanya kazi kubwa sana katika sekta ya kifedha na imeweza kupata mafanikio makubwa kwaajili ya kupita wanahabari ambako CRDB Bank inatoa taarifa zake kwa uma kupitia vyomboa vya habari.

Nae MASOUD KIPANYA mwanahabari wa Clouds Fm amesema CRDB lipoti wanazotoa za kifedha ni jumuishi ambako mwaka 2006 walitoa lipoti yao kwa mara ya kwanza uku ikionesha 10% za huduma zao kuwafikia wananchi na lipo hii ya tano huduma jumuishi ilikuwa 76%.

Habari picha na Ally Thabiti 

WAZIRI NA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAAHIDI MAMBO MAZITO ZAO LA MIANZI

Waziri wa Maliasili na Utalii Angera Kailuki amesema mkakati aliouzindua wa zao la mianzi serikali itasimamia na kutekeleza kwa vitendo kwa kutega bajeti ya kutosha ili kutoa elimu kwa jamii namna bora ya kupanda mianzi kwani faida zitakazopatikana ajira, kodi, fedha za kigeni, malisho kwa mifugo na kukua kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. 

Waziri Kailuki ameitaka taasisi ya utafiti kutafiti mbegu bora na ardhi yenye rutuba kwa ajili ya kupanda zao la mianzi.

Nae kwa upande wake katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dr. Hassan Abbas amesema zao la mianzi litasaidia kuondoa mmomonyoko wa ardhi huku akiahidi mpango kazi na mkakati uliozinduliwa wa kupanda zao la mianzi atasimamia kikamilifu.

Nae kwa Ubapande wake Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo amesema tukipanda mianzi tutabusulu kumomonyoka kw ardhi hekta milioni 5 huku, akisisitiza kuwa zao la mianzi litaleta faida kubwa nchini Tanzania ambako mikoa kumi na nne 14 litapanda zao la mianzi.

Habari na Ally Thabiti

Friday, 16 February 2024

MAJIMBO KUMI YANUFAIKA NA MAGARI YA KUBEBEA WAGONJWA DAR ES SALAAM

Mganga Mkuu Daktali Mang'ura amesema Magari yapatayo 14 yamepatikana Serikalini kupitia mradi wa UVIKO ambapo kila jimbo litapata gari moja kwaajili ya kuwabebea wamam wajawazito pamoja na wagonjwa wengine.

Vituo 25 vya upasuaji wanatakiwa kufika salama Magari yamepelekwa vituo maalumu kwaajili ya huduma ya Afya.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Ilala alikuwa na haya, ameongea kwaniaba ya wakuu wa wilaya wote amemshukuru mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa kukabidhi magari ya wagonjwa hasa kwa Mama wajawazito na wataendelea kumuunga mkono kwenye afya na maeneo mengine.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Arbeti Charamira amesema magari ya kubebea wagonjwa 10 na magari 4 kwaajili ya ufuatiliaji. Ambako amesema gari moja ina gharimu shilingi milioni 10 ameimiza kuyatunza magari haya na kutumia vizuri. Katika majimbo 10 Dar es Salaam kila jimbo litapata gari moja aya ni zaidi ya magari 500 haya ni maoni ya Rais wakati akitafuta fedha kwaajili ya maji kujenga madarasa pamoja na afya bila kusaau miundombinu bilioni nyingi zilienda kwenye maji.

Magari haya yataenda kusaidia wagonjwa kuongeza nguvu kiteknolojia kwa wahudumu wa afya, zaidi ya watu Milioni 6 wanahitaji huduma mzuri ya afya.

Wito kwa madereva kuendesha magari vizuri kwa wale watakao endesha magari huku wamelewa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao hamesema haya wakati akikabidhi magari 10 kwa kila jimbo gari moja (1) kwaajili ya kubebea wagonjwa na wamama wajawazito.

Habari na Victoria Stanslaus