Thursday, 27 May 2021

AMOSI MAKALA KUTEMBEZA FAGIO LA CHUMA KWA OMBAOMBA

 Mkuu wa Mkoa wa Dsm Amosi Makala amesema zoezi la kuondoa Ombaomba litaanza mara moja kwani wanalichafua na kupoteza hadhi ya Dsm .

Uku akiwataka watu wenye Ulemavu kutokubali kutumika katika suhuri za kuombaomba .pia ametoa wito kwa asasi za kiraia kushirikiana na serikali ya Mkoa wa Dsm katika kutokomeza na kukabiliana na ukatili wa kijinsia.

Habari na Ally Thabiti  

DR AUGUSTINA ALEXANDER ABAINI MAZITO SEKTA YA MAJI

 Dr Augustina Alexander Lecturer & Head Department of Winter Resources Engineering. amesema kuwa wamefanya tafiti kuusu maswala ya Maji wameweza kubaini kwamba Wanawake na wasichana pamoja na Wazee wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kupata maji kwa kuyafuata maji ambayo yapo mbali.

Pia wamebaini kwenye tafiti zao vyanzo vyingi vya maji vinachafuliwa na kupelekea maji wanayotumia Wananchi yanakuwa si salama na kupelekea watu kupata madhara.

Ndio maana wamefanya tafiti zenye kuleta majawabu ya kunusulu na kuokoa maisha ya watumiaji maji tanzania ili wawe na Afya bora na kwawale wanaopata maji kwa umbali mrefu wapate maji kwa ukaribu.

Amesema haya kwenye wiki ya tafiti na bunifu Chuo Kikuu cha Mlimani.

Habari na Ally Thabiti 

BALOZI MSTAAFU MSEKELA AWA NA MATUMAINI YA TAFITI NA BUNIFU

 Balozi Mstaafu Dkt  Msekela  amesema tafiti na bunifu zinazofanywa na Chuo Kikuu cha Mlimani zimeweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutatua matatizo ambayo jamii ya Kitanzania wanayokabiliana nayo.

Ivyo tafiti hizi na bunifu hizi zitaleta mageuzi ya  kitechnolojia  katika kukuwa kwa sekta mbalimbali na kupelekea kukuwa kwa Uchumi wetu.

Serikali na wadau mbalimbali waendelee kutoa michango kwaajili ya kuziwezesha tafiti na bunifu hizi ziendelee kifanyika amesema haya wiki ya tafiti na ubunifu Chuo Kikuu cha Mlimani Dsm.

Habari na Ally Thabiti

CHANGOMA FRANCES KUKUZA UCHUMI WA BLUU KWA KISHINDO

 Muhadhiri Msaidizi na Mratibu Msaidizi wa kutoa Elimu kwa Umma na Mshauri Mkuu wa Shule ya Sayansi akuwa na technorojia Changoma  Frances amesema tafiti na bunifu wanazozifanya katika Chuo cha  Uvuvi  Kunduchi .

Lengo ni kuwasaidia wavuvi na wakulima wa bahari  kutumia  dhana bora za kisasa ili waweze kujikwamua kiuchumi amesema haya kwenye maonyesho ya wiki ya tafiti na bunifu Chuo Kikuu cha Mlimani Dsm.

Habari na Ally Thabiti

TIBA ZA KUKABILIANA NA MAGONJWA ZAPATIWA UFUMBUZI

 Josefu ni Mwanafunzi Chuo Kikuu cha Mlimani amesema wameamua kufanya utafiti na kubuni namna mtu avyopata fursa ya kuwasilisha maradhi yanayomsibu kwa daktali kwa kutumia technorojia akiwa nyumbani.

Amesema huduma hii itawafikia adi watu wa vijijini ambao ukosa huduma za Afya kwa kuwa mbali na vituo vya Afya,zahanati na hospitali .

Ametoa wito kwa serikali kuimarisha na kukuza mkongo wa taifa wa Mawasiliano amesema haya siku ya kirere ya wiki ya tafiti na ubunifu.

Habari na Ally Thabiti

MKUU WA CHUO KIKUU CHA MLIMANI CHAJA NA MAJAWABU YA VIWANDA

 Wiliam Anangise Makamu Mkuu wa Chuo cha Mlimani amesema Tafiti na Bunifu wanazozifanya kwaajili ya kuibuwa Viwanda vya tanzania viweze kukuwa kwa kasi kubwa.

Amesema Maagizo na Maelekezo aliyatoa Waziri Mkuu Majaliwa kasimu Majaliwa wakati wa Ufungizi wa wiki ya Utafiti na Ubunifu.

chuo Kikuu cha Mlimani kwa kutaka tafiti zao na bunifu zao ziweze kutatua matatizo na changamoto zinazowakabili watanzania watatekeleza na kufanya kazi bila mkwamo wala vikwazo vyovyote .

Habari na Victoria Stanslaus

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TECHNOROJIA ATOA MAAGIZO MAZITO

 Ronald Akwirapo amewataka watu wanaofanya tafiti waje kutatua matatizo yanayowakabili watanzania pia majarida ya tafiti hizo yaandikwe kwa rugha rafiki ya Kiswahili na yapelekwe kwa watanzania amesema haya siku ya kirere cha wiki ya Tafiti na Ubunifu kwenye Chuo Kikuu cha Dsm.

Habari na Victoria Stanslaus