Thursday 27 May 2021

AMOSI MAKALA KUTEMBEZA FAGIO LA CHUMA KWA OMBAOMBA

 Mkuu wa Mkoa wa Dsm Amosi Makala amesema zoezi la kuondoa Ombaomba litaanza mara moja kwani wanalichafua na kupoteza hadhi ya Dsm .

Uku akiwataka watu wenye Ulemavu kutokubali kutumika katika suhuri za kuombaomba .pia ametoa wito kwa asasi za kiraia kushirikiana na serikali ya Mkoa wa Dsm katika kutokomeza na kukabiliana na ukatili wa kijinsia.

Habari na Ally Thabiti  

No comments:

Post a Comment