Sunday, 4 July 2021

 


THRDC YAJA NA MKAKATI MZITO
ONESMO ELI NGULUMO, mkurugenzi mtendaji wa THRDC amesema katika kutimiza miaka saba mtandao wa tetezi wa haki za kibinadam wamweza kufanikiwa kutatua changamoto za ukatiri wa kijinsia katika jamii wa kitanzania, sasa wanamkakati wakuweza kuwasaidia watanzaniakuondokana na ukatili wa kitanzania kwa kubuni mbinu za kujinusuru na umasikini nae naibu waziri anaeshughulikia maswala ya ulemavu UMMY NALIANANGA amewapongeza THRDC kwa kutimiza miaka saba na kuzindua mpango mkakati wakukabiliana na maswala ya ukatili wa kijinsia kwa upande wake waziri wa katiba na sheria PRO. PALAMAGAMBA KABUDI amezitaka asasi za kiraia nchini kuwa na mifumo ya kuinua wananchi kiuchumi ametoa wito kwa THRDC kuungana na serikali katika kuwa kwamua wananchi kiuchumi pia amesema serikali imefungua milango kwa asasi za kiraia.

Habari picha na Ally Thabith




Thursday, 1 July 2021

PLUS TV YAJA KUINUA MICHEZO

 Meneja wa Vipindi  wa  Plus TV ISaya Kandonga amesema tare he 27 mwezi 8 Mwaka 2021 na tarehe 28 mwezi mwaka 2021 watazinduwa Jukwaa Litakalo zungumzia jinsi ya kutatuwa changamoto kwenye Michezo linaloitwa exspo.

Ambako  nchi Zaidi ya 8 zitashiriki ikiwemo Kenya ,Romania,Rwanda,Tanzania na zinginezo.Jukwaa ili litaoneshwa kupitia Plus TV kwenye king'amuzi cha Dstv namba 294.

 Nae Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi Almas Kasongo amewapongeza Plus TV Kwan wataongeza uelewa wa mikataba ya wachezaji nakukuza uchumi kwa kupitia Michezo .


Nae Esta Maongezi amewataka wadhamini kujitokeza kwa Wingi ili Jukwaa ili lifanikiwe.

Habari na Victoria Stanslaus


 exspo.Ambako nchi Zaid ya 8 zitashiriki  ikiwemo Kenya


 


Ambako

Friday, 18 June 2021

BETI AWATAKA WATU KUJITOKEZA SIKU YA BABA DUNIANI

 Kila ifikapo tarehe 16 ya mwezi 6 ni siku ya baba duniani ambako BETI amewataka watanzania kutambua na kuthamini michango ya kina baba  . Pia amesema watu wakitambua umuhimu wa baba maswala ya ukatili wa kijinsia yatatokomea.

Habari na Ally Thabiti

JANETI MAWINZA ATOA MAPENDEKEZO KABAMBE YA BAJETI

 Janeti Mawinza ameitaka Serikali kuzingatia bajeti yenye mlengo wa kijinsia ikiwemo ujenzi wa mabweni  kwaajili ya wanafunzi wa kike pia kuwepo na bajeti kwaajili ya waanga wakifanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia .

Habari na Ally Thabiti

BODI YA MIKOPO YAJA NA MUHARUBAINI


 Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo Badu Masudi amesema wameamuwa kushirikiana na Rita Lengo kufanya uhakiki wa vyeti vya wanafunzi watakao pata mikopo ya Elimu ya juu.

Kwani kuna udabganyifu mkubwa unaofanywa na waomba mikopo na kupelekea watu wenye sifa kukosa mikopo .

Habari picha na Ally Thabiti 

WATUNISHA MISURI WATANGAZA VITA


 Katibu wa Chama cha Watunisha Misuri amewataka Vijana wa Kitanzania kujitokeza kwa wingi katika kushiriki kutunisha Misuri kwani kuna fursa mbalimbali zinapatikana za kujikwamua kiuchumi.

Habari picha na Ally Thabiti