Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni amewataka watumishi na watendaji Wilaya ya Kinondoni wawe waadilifu na wawajibikaji pia washirikiane kwenye utendaji kazi.
Habari picha na Victoria stanslaus
Habari picha na Victoria stanslaus
Waziri Dr Ashatu Kijaji amesema Lengo la wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kukutana na Wadau wake kuweza kujadili changamoto walizonazo wafanya Biashara, wawekezaji,wenye kampuni na viwanda. Pia kufanya mabolesho ya Sera,Sheria na kanuni ili vipato vyawafanyabiashara na wananchi vikuwe.
Habari na Ally Thabiti
Habari picha na Ally Thabiti