Thursday, 2 February 2023

GODWIN GONDWE AIMIZA UADILIFU NA UAJIBIKAJI


 Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni amewataka watumishi na watendaji Wilaya ya Kinondoni wawe waadilifu na wawajibikaji pia washirikiane kwenye utendaji kazi.

Habari picha na Victoria stanslaus

MENEJA TARURA KINONDONI AELEZA MIKAKATI


 Meneja Tarura Kinondoni amesema Tarura Wilaya ya Kinondoni inatatuwa kelo za barabara kwa Rami na changarawe, pia tarura wanashirikiana na Tra  na Idara zingine kwenye ujenzi wa barabara.

Habari picha na Ally Thabiti

TAASISI YA JAKAYA KIKWETE YA MOYO YAFANYA KAMBI YA SIKU MBILI


 Kaimu Mkurugenzi waTaasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete amesema kupitia madaktali wa India wameweza kutibu watu Moyo bila kufanya upasuaji wa kifua Kwa watanzania 12 ambako madaktali wa kitanzania wameweza kupata ujuzi ambako itasaidia kuokoa  pesa Kwa kiasi kikubwa.

Habari picha na Ally Thabiti

WAZIRI WA VIWANDA ,BIASHARA NA UWEKEZAJI AKUTANA NA WADAU IN

 Waziri Dr Ashatu Kijaji amesema Lengo la wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kukutana na Wadau wake kuweza kujadili changamoto walizonazo wafanya Biashara, wawekezaji,wenye kampuni na viwanda. Pia kufanya mabolesho ya Sera,Sheria na kanuni ili vipato vyawafanyabiashara na wananchi vikuwe.

Habari na Ally Thabiti


PICHANI WANAFUNZI WA JANGWANI WAKIWA KWENYESIKU YA SELI MUNDU


 Habari picha na Ally Thabiti 

MSTAIKI MEA WA JIJI LA DSM APONGEZA UZINDUZI WA DUKA LA VIATU


 Omary Kumbiramoto Mstaiki Mea wa Jiji la Dsm amepongeza uzinduzi wa Duka la Viatu liitwalo SPARX lililopo kata ya mchafukoge kwani Duka ililitasaidia watukupata ajira na Biashara zao  zinauzwa Kwa bei nafuu.

Habari picha na Ally Thabiti 

HAMAD MUSA SALUM AVUTIA WATU KUNUNUA BIDHAA ZAO


 Mkurugenzi wa Kampuni ya Sparx Hamad Musa Salum amesema watu wajitokeze kununua viatu vya Aina mbalimbali kwani nibei nafuu na imara.
 
Pia amesema wanampango WA kufungua maduka 20 DSM na mikoani .

Habari picha na Ally Thabiti