Thursday, 9 May 2024

BRELA YAAZIMISHA WIKI YA UBUNIFU

Katika Maazimisho ya Wiki Bunifu Brela imefunguwa fursa kwa taasisi mbalimbali lengo kukuza bunifu na kuzilinda  kama inavyoonekana kwenye picha  taasisi zikitiliana saini kwenye hati ya makubaliano kwaajili ya kushilikiana  kwenye nyanja mbalimbali 

 Habari picha na Ally  Thabiti.

TIA YAIPONGEZA BRELA


 Mkuu wa Chuo cha TIA Prof Paranju amesema hati ya makubaliano waliosaini na Brela itasaidia kwa kiasi kikubwa kukuza bunifu,kupatikana kwa masoko ya kitaifa na kimataifa na Brela inasajili wajasilia Mali wa chuo cha TIA kwa Mwanza,Mbeya,dar es salaam, zanzibar na kwenye matawi ya TIA .

Prof Paranju amesema wafanyakazi wa tia pamoja na wanafunzi 28153 watanufaika na makuvaliano haya jijinini dar es salaam. 

Habari picha na Ally Thabit 

LIBERTY SPARKS WAITAKA SERIKALI KUBOLESHA SERA YA BIASHARA


 Mkurugenzi Mkuu wa Liberty Sparks Evance amesema ni vyema serikali kuweza kufanya mabadiliko ya sera na sheria  kwani itasaidia kukuza biashara.

Habari na Ally Thabit 

KANISA LA TAG LAJA NA MUAROBAINI WA MMOMONYOKO WA MAADILI


 Mchungaji Drt. Barbaras  Weston Mtokambali Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God. Amesema kanisa la Tag katika kukabiliana na maswala ya mmomonyoko wa maadili nchini Tanzania  wamewekeza vijana kwa kiwango kikubwa kwa kuwapa elimu mbalimbali za kumjuwa mungo na makatazo mbalimbali ambako kuànzia shule za awali,msingi,secondary na vyuo vyikuu kanisa la Tag linatoa mafunzo kwa wanafunzi wote wa shule za seeikali na binausi.

Ambako kanisa la Tag three 14/7/2024 kwenye uwanja wa uhuru jijini dsm wataazimisha miaka 85 tanguy kuanzishwa kanisa la Tag, pia kutakuwa na makongamano mbalimbali yatakayojumuisha vijana ,viongozi wa dini na viongozi kutifa mbalimbali na viongozi wa serikali.
Habari picha na Ally Thabit 

HAKI ELIMU YATOA MAPENDEKEZO YA BAJETI


 Makumba Mwenezi Meneja Idara ya Utafiti na Uchambuzi wa Sera haki Elimu amesema kwenye makadlio ya bajeti Elimu iliowasilishwa bungeni na Waziri wa elimu Prof Adofu Mkenda kiasi cha tilioni 1.9 bad akijafikia viwango vya kimataifa kwa kila nchi iwezekufikia asilimia20% lakini kwa Tanzania makadilio ya bajeti iliowasilishwa bungeni aijafikiwa haha kidogo.

Swala la mikopo ya elimu ya juu si rafiki kwa vyuo vya Ufundi na vyuo vya kati  kwani wanafunzi wa vyuo hivi awana sifa za kukopesheka na hata wanafunzi wa vyuo vya juu wasio somea masomo ya sayansi nao awana sifa za  kukopesheka.

Taasisi ya haki Elimu inaitaka serikali kuweka mifumo ya mikopo ya elimu rafiki kwa wanafunzi wote ,pia waondoe vikwazo na masharti magumu ya mikopo kwa wanafunzi wote.

Swala la mafunzo ya Amali ni vema serikali mafunzo haya yangeanza kuanzia kidato cha kwanza hadi 4 kwa shule zote za secondary za serikali na binausi, pia walimu wa mafunzo haya wawe na ujuzi wa kutosha

Elimu jumuishi bajeti yake sio rafiki.

Habari picha na Ally Thabit 

Tuesday, 7 May 2024

COOK FUND YAONGEZA UWELEWA WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI


 Dr Peter amesema biashara ya hewa ukaa ni muhimu Sana kwani inasaidia kwa kiasi kikubwa katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ambako watu wataachana kupika kupitia kuni na mkaa kwa kiwango kikubwa.

Watanzania walio wengi wanapika kwa kutumia kuni na mkaa ndio maana taasisi  ya Cookfund wamesajili miradi ipatayo42 ya hewa ukaa na wamewezesha wataalamu 80 kwenye sekta 4 kwaajili ya kuwapa mafunzo ya matumizi ya hewa ukaa mpaka sasa washatoa semina6 za kuwajengea uwezo wataalam mbalimbali .

Lengo kubwa watu waingie kwenye biashara ya hewa ukaa ili kuzinusulu na kuziokoa ekta 48.14 milioni za misitu nchini Tanzania zisialibiwe kwa kukatwa.

Pia taasisi yao inatoa mafunzo kwa wakulima namna ya kutumia nishati safi ya kupikia ili wailing na kuitunza misitu yao na waingie kwenye biashara ya hews ukaa ambako itawasaidia kujiinua kiuchumi.

Habari picha na Ally Thabit 

WATANZANIA WAIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA YA HEWA UKAA


 Manual W Muro senior Finance Specialist  Cookfund Programme Meneger amesema biashara ya hewa ukaa inafaida kubwa ni vyema watanzania wajitokeze kwa wingi katika kuwekeza kwenye biashara hii ya hewa ukaa.

Kwani kwa Tanzania inafursa kubwa ya kufanya biashara hii kwakuwa kuna hekta za misitu zaidi ya milioni40  pia biashara hii itasaidia kwa kiasi kikubwa kuifadhi na kulinda misitu yet kwani wananchi wataacha matumizi ya kuni na mkaa katika kupika.  

Imanue W Muro amesema ni vyema serikali na sekta binausi waweke dira ya pamoja ili kufanikisha biashara ya hewa ukaa ,pia serikali ifanye mabolesho ya sera ,kanuni na sheria ya biashara ya hewa ukaa lengo kuwavutia watu wengi kuwekeza kwenye  biashara hii ya hewa ukaa.

Ambako sheria iliopo sasa ilianzishwa mwaka 2022  ,amesema haya jijini dar es salaam kwenye mkutano wa wadau wa hewa ya ukaa UNIDO,COOKFUND FOOD AND AGRICUITURE OF ORGANIZATION OF THE UNITED NATIONS NA UNCDF

 

Habari picha na  Ally thabit