
Habari picha na Ally Thabiti.
Prof Paranju amesema wafanyakazi wa tia pamoja na wanafunzi 28153 watanufaika na makuvaliano haya jijinini dar es salaam.
Habari picha na Ally Thabit
Habari na Ally Thabit
Swala la mikopo ya elimu ya juu si rafiki kwa vyuo vya Ufundi na vyuo vya kati kwani wanafunzi wa vyuo hivi awana sifa za kukopesheka na hata wanafunzi wa vyuo vya juu wasio somea masomo ya sayansi nao awana sifa za kukopesheka.
Taasisi ya haki Elimu inaitaka serikali kuweka mifumo ya mikopo ya elimu rafiki kwa wanafunzi wote ,pia waondoe vikwazo na masharti magumu ya mikopo kwa wanafunzi wote.
Swala la mafunzo ya Amali ni vema serikali mafunzo haya yangeanza kuanzia kidato cha kwanza hadi 4 kwa shule zote za secondary za serikali na binausi, pia walimu wa mafunzo haya wawe na ujuzi wa kutosha
Elimu jumuishi bajeti yake sio rafiki.
Habari picha na Ally Thabit
Watanzania walio wengi wanapika kwa kutumia kuni na mkaa ndio maana taasisi ya Cookfund wamesajili miradi ipatayo42 ya hewa ukaa na wamewezesha wataalamu 80 kwenye sekta 4 kwaajili ya kuwapa mafunzo ya matumizi ya hewa ukaa mpaka sasa washatoa semina6 za kuwajengea uwezo wataalam mbalimbali .
Lengo kubwa watu waingie kwenye biashara ya hewa ukaa ili kuzinusulu na kuziokoa ekta 48.14 milioni za misitu nchini Tanzania zisialibiwe kwa kukatwa.
Pia taasisi yao inatoa mafunzo kwa wakulima namna ya kutumia nishati safi ya kupikia ili wailing na kuitunza misitu yao na waingie kwenye biashara ya hews ukaa ambako itawasaidia kujiinua kiuchumi.
Habari picha na Ally Thabit
Kwani kwa Tanzania inafursa kubwa ya kufanya biashara hii kwakuwa kuna hekta za misitu zaidi ya milioni40 pia biashara hii itasaidia kwa kiasi kikubwa kuifadhi na kulinda misitu yet kwani wananchi wataacha matumizi ya kuni na mkaa katika kupika.
Imanue W Muro amesema ni vyema serikali na sekta binausi waweke dira ya pamoja ili kufanikisha biashara ya hewa ukaa ,pia serikali ifanye mabolesho ya sera ,kanuni na sheria ya biashara ya hewa ukaa lengo kuwavutia watu wengi kuwekeza kwenye biashara hii ya hewa ukaa.
Ambako sheria iliopo sasa ilianzishwa mwaka 2022 ,amesema haya jijini dar es salaam kwenye mkutano wa wadau wa hewa ya ukaa UNIDO,COOKFUND FOOD AND AGRICUITURE OF ORGANIZATION OF THE UNITED NATIONS NA UNCDF
Habari picha na Ally thabit